Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

REALLY LOVE* Chapter 17
Gonga94 · Stories

REALLY LOVE* Chapter 17

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

alisema mama cathe kwa

mama usiseme mimba mama huwenda homa tu alisema cathe huku analia sana kwakweli alijutia sana

mpumbavu mkubwa wewe hivi unayaona hayo matapishi mjinga mkubwa wewe cathe unatutia aibu sana umetutia albนนนนนนนนนนนนน alisema mama cathe jwa

hasira sana,

mtoto talla sana wewe mtajuwana na mama yako nakama unamimba untagute haraka baba wa huo ujauzito aje apa tukuozeshe sitaki kulea.

mjukuu asiye na baba nimemaliza alisema baba catherin kisha akanyanyuka kutaka

kuelekea ndani lakini ghafla mlango ulifunguliwa. akaingia calor mtoto wao wa kiume aliyetoka masomoni ndo anafuka muda huo alikuja kwa tabasam sana lakini aliwashangaa wazazi wake walivyo kasirika hakuna aliyeenda kumpikea. wote walimpita na kuelekea ndani na kumuacha cathe akilia sana pale chinu

ikabidi calor sende kumnyanyua cathe na kumuweka kwenye sofa na kumbembeleza asijue chanzi chake ni nini

upande mwingine katika apartment ya devi alikuwa amechanganyikiwa sana tena sana tu

"dah ninani huyu aliyeharibu mpango wetu au john uyu john leo nitakula sahani moja

anachezea sana maisha yangu sasa ngoja alisema dwvi kisha akavaa haraka haraka kutoka kuelekea kazini kwa john alitoka kishari

kwelikweli

upande mwingine kwa seven walimaliza kula chakula vizuri sana walikisifia chakula kilivyo kitamu sana

kwahiyo mkwe wangu ndo umeamua kuturoga kwa kutupikia mapishi matamu kama. haya ili tulale hapa sindiyo alisema mama. seven kwa utani

hahaaha hamna mama alijibu fahima uku akitabasam muda wote seven jicho lake ilikuwa

jwa fahima tu hakupepesa oengine zaidi ya kwa fahima, seluna na sarafina nao muda wote walikuwa wakimchunguza kaka yao bila kujua

huku wakicheka kimya kimya

"unaitwa nani mwanangu alisema mama

seven

fahima alijibu

jina zuri mmezaliwa wangapi aliuliza mama

seven

mimi nimezakiwa peke yangu tu, niko na baba

yangu tu mama ashafariki mda sana nimelelewa sana na baba alisema fahima kwa huzuni

pole sana mwanangu ila kwasasa hautakuwa na huzuni tena ushampata mama yako ambaye ndiyo mimi nitakupenda kama binti yangu na kukufariji pia alisema mama seven

asante san mama nashukuru alijibu fahima alifurahi sana

mimi ndiye mama yake seven nimewazaa

watatu tu wakwanza huyu selina anafata seven kisha sarafina mziwanda wangu huyu cha kudeka alisema mama seven walicheka kwell

masana sarafina ni mtu wa kudeka sana akiwa

na mama yake,

ila naomba sana muishi vizuri hatujui kama

mna mahusiano au la maana mimi seven

hajaniambia kitu hayo mengine unayoyasikia hapa ni utani tu, ila kama mnapendana msikae naomba mugane haraka alisema mama seven

sawa mama aliitikia seven,

mama mimi leo nitalala hapa alisema selina

"kwani nani amesema anaondoka alisem

mama seven walicheka namani familia likuwa

kituko sana, basi wakaendelea kupiga story

mara simu ya seven ikaingia unumbe kutoka.

kwa john ikimuomba afike kazini,

mama mimi nawaacha kidogo alisema.

seven

unaenda wapi alisema fahima, na kufanya dada wa seven wafinyane walikuwa wambea

kwelikweli

subiri kwanza nimalizane na mama wewe tutaenda kuzungumza ndani alisema seven.

wapi sasa kazini au aliuliza mama seven

ndiyo mama nataka sasa nikaimarishe

nitakuwa bize kidogo maana siku zijazo nina kikao kikubwa sana kwahiyo nataka niweke

mambo sawa alisema seven

sawa mwanangu nakuombea dua tu isema

mama seven, basi seven akamwambia fahima waende wakazungumze ndani, wakaongozana

hadi chumbani,

unaenda wapi aliuliza ten fahama

kazini alijibu seven

utarudi saa ngapi alisema fahima

"Jamani fahima mbona hivo lakini mi sijui mda

wowot nitarudi alijibu seven

saa kumi uwe nyumbani lasivyo hapatatosha unaondoka unaniacha na wageni pekeyangu

alisema fahima, seven akamsogelea karibu sana

akashika shavu lake na mkono wake

"am sorry najuwa hilo ila nimetumiwa mesej

najohn kuna jambo muhimu sana sitachelewa

kurudi alisema seven

sawa alisema fahina huku akiwa amenuna,

seven akamsogelea na kumkiss shavuni,

nakupenda sana natumai wewe ni mwanamke

bora kwangu uliyeweza kunisimamisha tena na

leo ninazawadi yako nzuri sana alisema seven

kwa tabasam nae fahima akajikuta anatabasam

alijihisi amani sana alipomtazama seven,

sawa zawadi gani alisema fahima

sikutaji alisema seven

tabia mbaya hiyo alisema fahima

hebu nipige busu apa huwenda nitabadilika na kuwa na tabia nzuri alisema seven

nakusababisha fahima acheke alikuwa anamfurahisha sana bibie, basi seven alimuaga na kutoka zake aliwaaga na kuondoka

akiwaacha wakizungumza,

muda huohuo ndio devi aliingia katika kampuni

hiyo alikuwa kam kachanganyikiwa tu allenda mpaka ofisini kwa john walinzi walimzula lakini

alileta fujo,

muachen wakamuachia alisema John, walinzi

"hivi wewe unataka nini katika maisha yangu eee unatak nini weweeee mbona unanifatilia

sana alisema devi kwa hasira mno

nani akufatilia mwehu kama wewe hata

mende

chooni hawezi kufanya ujinga kama huo unanini haswa mpaka nikufatille bro isema john kwa dharau sana

sikia john niwe nakitu au sina kaa mbali na

maisha yangu nimekuja kukuonya kaa mbali

umesababisha nimefukuzwa kazi narudia tena

kaambali alisema devi

aisee wewe chunga mdomo wako nitakuzingua sasa hivi mjinga wewe nani

aliyekutuma ukalale na mke wa biss tena ndani

kwake umalaya wako na tamaa zako ndizo

zimefanya ukose kazi sasa unakuja hapa

kunibwekea kama mbwa oya bro siko kwenye

mood kabisa leo alisema john

kwahiyo mimi mbwa sio: alisema devi

sasa kwa unyama uliomfanyia mwenzio utasema wewe mtu kweli yani sio mbwa tu ni

shetani kabisa wewe alisema john aiseee kauli hiyo ilimuuma sana devi akasogea na

kumpiga ngumi john najohn hakukubari

akarudisha wakaanza kukamataka na kupigana Ikabidi maaskar wawashike kuingilia kati ugomvi

huo,

niacheni hata kidogo tu nimuonyeshe mbwa.

wewe sema john

"niachienii nasema niachieeee alisema devi

wote walikuwa na hasira sana

kuna nini hapo ilisjkika sauti ya seven hapo

watu wote wakajiweka sawa muda huo ndio

aliwasili hapo

uku nyumbani kwa mama cathe chumbani alikuwa akisemwa sana na mumewe

nishakwambia kabisaaa ole wake mimba

Isiwe na baba alisema baba cathe

baba cathe jaman hata sipumui lakini sasa mimba itakosaje baba jamani alisema mama.

cathe

wewe sa hivohivo sasa ole wake ikataliwe hakai hapa hakai alisema bab cathe.

baba cathe tusifikie huko jamani mume

wangu alisem mama cathe

keleleeee kwahiyo unataka lishe tu kirahisi wewe na mwanao wote wapuuzi tu alisem

baba cathe kwa kufoka sana

sasa unanilaumu mimi kosa langu nini nahuyu mtoto tutamtupia nani kashakuwa mzigo

wetu alisema mama cathe

mzigo wako sio wetu narudia tens mimba.

Ikikataliwa sitaki kumuona happppaaaaaa alisem baba cathe cathe

ITAENDELEA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

REALLY LOVE* Chapter 17


alisema mama cathe kwa

mama usiseme mimba mama huwenda homa tu alisema cathe huku analia sana kwakweli alijutia sana

mpumbavu mkubwa wewe hivi unayaona hayo matapishi mjinga mkubwa wewe cathe unatutia aibu sana umetutia albนนนนนนนนนนนนน alisema mama cathe jwa

hasira sana,

mtoto talla sana wewe mtajuwana na mama yako nakama unamimba untagute haraka baba wa huo ujauzito aje apa tukuozeshe sitaki kulea.

mjukuu asiye na baba nimemaliza alisema baba catherin kisha akanyanyuka kutaka

kuelekea ndani lakini ghafla mlango ulifunguliwa. akaingia calor mtoto wao wa kiume aliyetoka masomoni ndo anafuka muda huo alikuja kwa tabasam sana lakini aliwashangaa wazazi wake walivyo kasirika hakuna aliyeenda kumpikea. wote walimpita...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/really-love-chapter-17

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi really-love-chapter
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 100

MY WANGU❤️ sehemu ya 100

582
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 64💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 64💘💘

506
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 49 na 50

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 49 na 50

504
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 63💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 63💘💘

482
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 51

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 51

306
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 65💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 65💘💘

155
REALLY LOVE* Chapter 17

REALLY LOVE* Chapter 17

127
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️

YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️

88
MALAIKA  SEHEMU YA 1

MALAIKA SEHEMU YA 1

65
UTANIITA SHEMEJI*  SEHEMU YA 10

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 10

58

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.18K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.91K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.69K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.09K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.42K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.32K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.31K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.17K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MY CRAZY BOSS 1 - 5 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 1 - 5
@majario LIVE

MWANZO "Nikiwa nimeketi kwenye benji mimi pamoja na wenzangu kama ishirini hivi nnje ya kampuni ya All Over iliyopo Mikocheni B , ikiwa ni majira ya saa moja kamili asubuhi ambapo...

🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Mechi ya Benfica dhidi ya Real Madrid IMESIMAMA kutokana na kisa cha kibaguzi dhidi ya Vinícius Júnior Post Mpya
🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Mechi ya Benfica dhidi ya Real Madrid IMESIMAMA kutokana na kisa cha kibaguzi dhidi ya Vinícius Júnior
@majario LIVE

AKIWA UWANJANI. ⚠️🚫 Mchezaji wa Benfica alimwita NYANI!!! ‼️ VINI AKATAA KUCHEZA!! 😤❌

WEWE NI WANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
WEWE NI WANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO....... Kazi ya ualimu inahitaji moyo sana jamani, msione kwamba watoto wenu wanafaulu vizuri tu lakini upande mwingine huwa wanapitishwa 😂 Sijui mnanielewa bandugu, yani kama sisi walimu wa...

𝐆𝐀𝐋𝐀𝐓𝐀𝐒𝐀𝐑𝐀𝐘 𝐌𝐀𝐊𝐄 𝐈𝐓 𝐅𝐈𝐕𝐄! ❤️💛🖐🏼  𝐖𝐇𝐀𝐓 𝐀 𝐆𝐀𝐌𝐄! 🍿 Post Mpya
𝐆𝐀𝐋𝐀𝐓𝐀𝐒𝐀𝐑𝐀𝐘 𝐌𝐀𝐊𝐄 𝐈𝐓 𝐅𝐈𝐕𝐄! ❤️💛🖐🏼 𝐖𝐇𝐀𝐓 𝐀 𝐆𝐀𝐌𝐄! 🍿
@majario LIVE

Juventus hoi huko kipogo Cha maana kabisaaa hichi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 65💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 65💘💘
@majario LIVE

Mmmhhh kwa hiyo hemed kumbe ni kamalaya😣😣 hebu ngoja nimpigie simu nimuulize yuko wapi😒😒 au niende nikamfumanie ili nipate sababu ya kuachana naye kaishaanza kuniudhi et bora niondoke kwake nimuache...

REALLY LOVE* Chapter 17 Post Mpya
REALLY LOVE* Chapter 17
@majario LIVE

alisema mama cathe kwa mama usiseme mimba mama huwenda homa tu alisema cathe huku analia sana kwakweli alijutia sana mpumbavu mkubwa wewe hivi unayaona hayo matapishi mjinga mkubwa wewe cathe unatutia aibu...

🚨 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: The Premier League is resuming its procedures for Ramadan. 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿🌙 Post Mpya
🚨 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: The Premier League is resuming its procedures for Ramadan. 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿🌙
@majario LIVE

Short pauses will be allowed during matches to enable Muslim players to break their fast. 𝑹𝒆𝒔𝒑𝒆𝒄𝒕 🤲✨

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 51 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 51
@majario LIVE

Daaah lemi akaja akanmbia relex. Ndo mala ya kwanza hawez kuelewa . Tulia mwanangu kila kitu kitakua sawa nikasema powa . Basi tukapanda gari tukaludi kwa lemi. Apo mm...

MY WANGU❤️ sehemu ya 100 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
@majario LIVE

Basi bwana . Mama akapika . Shoga yenu nilikula kidogo mnoo. Mama akamvuta mtot ndio akamlisha na rahul anawahi kuzoea watu . Anaanza kumuuliza mama . We nani . Sijuh...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 64💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 64💘💘
@majario LIVE

Baada ya paschal kuondoka pale Hemed alinichekiiii 😪😪 kisha nayeye akaondoka akaniacha pale bila kuniongelesha chochote🫣 au ndo nimeachwa na wote☺️☺️ sa mbona hivi😎😎 aah haya mambo ya kumiliki njemba...

Ramadhani 2026 huanza na masaa 12-15 ya kufunga; katika Kizio cha Kaskazini, siku hukua zaidi, huku katika Kizio cha Kusini, Post Mpya
Ramadhani 2026 huanza na masaa 12-15 ya kufunga; katika Kizio cha Kaskazini, siku hukua zaidi, huku katika Kizio cha Kusini,
@majario LIVE

hukua fupi Kufuatia mzunguko wa mwezi wa miaka 33, Ramadhani huhama siku 10-12 mapema kila mwaka - huzingatiwa mara mbili mnamo 2030, na kupindukia mnamo 2031 na 2047. Kupitia Shirika...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 49 na 50 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 49 na 50
@majario LIVE

49 MPAKA 50 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi nilimuacha kama mwez lemi anendeelee kumfatilia princess. Akanmbia kila j mosi anakuwa kunduchi beachi. Alafu anaishi kibaha. Na sehemu yake ya kazi ni mikocheni apo ni kutojana...

MALAIKA SEHEMU YA 2 Post Mpya
MALAIKA SEHEMU YA 2
@majario LIVE

ALIMJARIBU 'BOI' WA NDANI ILI KUHAKIKISHA KAMA NI TASA Hapo ndipo Malaika alipohisi dunia nzima imemuelekea yeye. Kila kona aliyopita ilikuwa ni masengenyo, dharau za ndugu, na minong’ono ya majirani iliyomchoma...

MALAIKA  SEHEMU YA 1 Post Mpya
MALAIKA SEHEMU YA 1
@majario LIVE

“Malaika! Malaika mwanangu!” “Naam mama... mbona unaniita kwa presha hivi, kuna nini tena?” Mama mkwe aliingia ndani huku uso umemshuka kama amekula ndimu, yaani kuanzia asubuhi alikuwa na jambo lake limekaa kooni....

YENYE KIRUNGU  💛 💚 ❤️   SEHEMU YA 09 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ SEHEMU YA 09
@majario LIVE

MR AB TULIPOISHIA “Ndio, baba yangu alinipa mbinu za kumrudisha mtu aliyechukuliwa msukule arudi duniani kwa mara nyingine......nilijaribu kufanya hivyo ila wao hawakurudi maana mtaalam alisema kwamba hawakuchukuliwa misukule” “Yesu.....” Nilipagawa huku nikiwaza...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest