Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY CRAZY BOSS 06
Gonga94 · Stories

MY CRAZY BOSS 06

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Majira ya saa saba yalifika ambapo mimi na boss tuliongozana wote hadi kwenye kikao

Kama ilivyodesturi boss wangu yupo smart kweli kweli, watu wote wanamwogopa na kumuheshimu hana masihars kabisa kwenye kazi yake.

Kikao kiliisha kisha tuliongozana na boss hadi nyumbani kwake kwaajili ya mapumziko

"Nahitaji kwenda na wewe kwenye sherehe nyumbani kwetu naomba uruhusu hilo". Boss alizungumza.

Mimi tena ile kusikia sherehe🤣🤣na vile napenda kula sikuona sababu ya kukataa nilikubali moja kwa moja.

Ni sawa boss nitaenda nawe. Nilijibu.

Sawa nifuate , boss alizungumza hayo na mimi nilimfuata na kuingia ndani ya gari

Safari yetu iliishia kwenye duka kubwa la nguo kwa ushamba wangu na mandhari ya mahali pale aikutambua ni wapi kabisa

Tuliingia wote kisha akanipa amri ya kumfuata yule dada, huku na yeye akielekea kwenye chumba ambacho kiliandikwa "MALE" kwa nnje.

Ilichukua lisaa limoja tu ambapo nilichaguliwa gauni zuri pamoja na kupambwa vizuri si haba nilipendeza sana🥰flat skini mimi nilinoga haswaa, mdomo wangu mweusi ulibadilika na kuwa mwekundu chezea wewe. Nikatoka nnje ya chumba kwa manjonjo yote kama sio mie


Nnje sasa🙌🙌😳😳nilishangazwa sana baada ya kumkuta boss akiwa kavalia suti yenye rangi nyekundu sawa na gauni langu, 🥰🥰🌹ukituangalia vema waweza sema ni romeo na julieth, japo julieth wa bei ya jioni😁🤣

Boss aliponiona aliniangalia kwa mwangalui wa oooooh waooo🥰ila ni vile tu alishindwa kusema

Tuliongozana hadi kwenye gari lake na safari ya shereheni ilianza

Ilichukuwa muda mfupi sawa kisha tukawasili mahali hapo, mwa mara ya kwanza boss alishuka na kuja kunifungulia mlango😳😳nilibaki nikiduwaa tu

Akanishika mkono tukaongozana hadi kwenye sherehe hio
Ndani sasa🙌🙌🙌so beatiful jamani khaaa hili si kasri jamani ni ikulu,tuliingia wote mimi na boss wangu huku tukiwa tumeshikana mikono,mwa pamoja tulikaa kwenye kiti ambapo tulizungukwa na watu wachache si zaidi ya saba kwa mahesabu yangu ya haraka haraka

Hello dad hello mom👋
Yes hello son.

Mmmh hawa na hii english yao ntaweza kweli,na hapa sijui ndo kwao sio akwa ushua huu nikipiga hesabu ya fasta hapa hili kochi ni zaidi ya milioni tano,hii taa ni milioni moja ,kichwa cha mama.wigi laki tano,hereni zake laki tatu😳😳🙌🙌🙌mmmh yesuuu ni ajabu hii mtu anavaa kiwanja sikioni 🙌🙌

Joyce joyce greet my parents,boss aliniongelesha

Ooooh hello everybody,nkatia udhungu kidogo😁

Yes hellowakanijibu mambo yakaendelea

Basi buana baada ya hapo tukaelekea mezani kwaajili ya kula ,tukiwa tumekaa tukisubiri msosi keki ililetwa mezani

Baada ya muda nilishangaa wazazi na watu wengine wakiimba Happy Birthday to you,happy biday to you,nikamgeukia boss kumwangalia ajabu alikuwa akishangaa kama mimi

"Happy birthday my son live long,".Mama erick alizungumza

What !!ni birthday yangu leo ina maana?boss aliuliza

Ndio ina maana hukumbuki??

Hapana mama kazi nyingi sana ,anyway asanteni sana wazazi na ndugu zangu lets celebrate

Basi keki ikakatwa hapo wakalishana kizungu na vistiki mie natamani wamalize niikombe icing niile maana mie ninyime keki sio icing jamani🙌🙌🙌

Mara naona Erick ananisogelea huku kaweka keki mdomoni😳😳khee huyu boss kichaa etii,kwanza nikarudi nyuma kwa kushangaa japo bahati haikuwa upande wangu,nikajikuta nimejikwaa ile nataka kudondoka boss akanidaka halafu akaniwekea keki mdomini kiulazima,mie tena amuu🥰🥰nyie kama kuchi kuchi hotahe😁😁

Papapapapa papapapa!!! Sauti za makofi zikasikika kutoka kwa ndugu na wazazi wa Erick ,mie tena aibuu ilinijaa hatari,japo nilipoona vyakula nilijikuta nachangamka gafla

Nilipakua mikuku minyama na kuanza kuifakamia,sijali kabisaa nilikuwa natafuna hadi mifupa

Boss ananiangalia tu huku anashushia wine sijui ni pombe ile ila hata sikujali kabisa😁nyie hata ungekuwa wewe ungeacha mfupa na kuku nyama adimu kwa mtu kama mie😁👌

Baada ya zoezi la chakula kukamilika ,tukatoka nnje kidogo hapo tukaanza kushushia kinywaji ,mie tena nikaidaka savanna na vile ni afu tano kwetu😁nilizifakamia haswaa🙌nafasi kuja mara mbili uongo aiii

Erick we Erick nipeleke chooni,hapo nishalewa tena sielewi kituu
😳Kwanza boss alishangaa na watu wote walibaki wakinitazama,haraka sana akaniziba mkono kisha akaniongoza hadi chumbani huku akiyumba yumba ishara ya kulewa

Niliingia hadi chooni nikakijia kisha nikawa narudi chumbani huku nayumba
Gafla nikaanguka chini puuh kama mzigoo,baada ya muda Erick akaja kunibeba

Akanikokota hadi kitandani ambapo akanilaza kisha akaniinamia kwa juu akawa ananiangalia
Kwa jicho la mahaba🥰🥰nyie🙌 sijui ni upwiru au ni pombe tukajikuta ndani ya sita kwa sita

Itaendelea

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY CRAZY BOSS 06


Majira ya saa saba yalifika ambapo mimi na boss tuliongozana wote hadi kwenye kikao

Kama ilivyodesturi boss wangu yupo smart kweli kweli, watu wote wanamwogopa na kumuheshimu hana masihars kabisa kwenye kazi yake.

Kikao kiliisha kisha tuliongozana na boss hadi nyumbani kwake kwaajili ya mapumziko

"Nahitaji kwenda na wewe kwenye sherehe nyumbani kwetu naomba uruhusu hilo". Boss alizungumza.

Mimi tena ile kusikia sherehe🤣🤣na vile napenda kula sikuona sababu ya kukataa nilikubali moja kwa moja.

Ni sawa boss nitaenda nawe. Nilijibu.

Sawa nifuate , boss alizungumza hayo na mimi nilimfuata na kuingia ndani ya gari

Safari yetu iliishia kwenye duka kubwa la nguo kwa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-crazy-boss-06

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-crazy-boss
MY CRAZY BOSS 1 - 5
MY CRAZY BOSS 1 - 5
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 103

MY WANGU❤️ sehemu ya 103

854
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

728
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102

MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102

695
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 54 na 55

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 54 na 55

591
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma

MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma

539
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 53

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 53

444
MIMI SIKUACHI🥰  SEHEMU YA 56...57

MIMI SIKUACHI🥰 SEHEMU YA 56...57

244
REALLY LOVE* Chapter 19

REALLY LOVE* Chapter 19

228
REALLY LOVE* Chapter 18

REALLY LOVE* Chapter 18

210
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 66...67💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 66...67💘💘

140

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.19K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.92K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.69K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.09K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.42K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.32K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.31K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.18K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIAKA 7 ya Ndoa Mke wangu ana ujauzito mwingine ambao si wangu! Post Mpya
MIAKA 7 ya Ndoa Mke wangu ana ujauzito mwingine ambao si wangu!
@majario LIVE

Mimi ni kijana wa miaka 36, nimeoa na ndoa yangu ina miaka 7 sasa, binafsi sijabahatika kupata mtoto. Kama kawaida huko mwanzoni nilijua kuwa matatizo ni ya mke wangu, akawa...

When Saif Ali Khan married Amrita Singh in 1991, it honestly felt like Bollywood didn’t see it coming. A 12-year age gap Post Mpya
When Saif Ali Khan married Amrita Singh in 1991, it honestly felt like Bollywood didn’t see it coming. A 12-year age gap
@majario LIVE

, totally different career phases, and zero interest in pleasing society—it was bold for that time. There was no big media circus, no flashy wedding photos splashed everywhere. Just a...

Sad news from the film fraternity 💔  Veteran actress Pravina Deshpande has passed away at the age of 60 Post Mpya
Sad news from the film fraternity 💔 Veteran actress Pravina Deshpande has passed away at the age of 60
@majario LIVE

. She was known for her performances in films like Ready, Jalebi, and Taskaree, leaving behind memorable moments on screen. An artist gone, but her work will continue to live on 🎬✨ May...

Boost Earnings from Your DE Traffic & Grab Your Bonus! Image #1 Post Mpya
Boost Earnings from Your DE Traffic & Grab Your Bonus! Image #1
@majario LIVE

This week, all eyes are on Germany! Why? Because you can earn a 10% bonus when you increase your Germany earnings by 25% or more compared to the previous week. What...

MY CRAZY BOSS 06 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 06
@majario LIVE

Majira ya saa saba yalifika ambapo mimi na boss tuliongozana wote hadi kwenye kikao Kama ilivyodesturi boss wangu yupo smart kweli kweli, watu wote wanamwogopa na kumuheshimu hana masihars kabisa kwenye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 66...67💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 66...67💘💘
@majario LIVE

Mmmhhhh namba ni ya nani hii😪😪 yani saizi huyu mwanaume simuachi hata kitokee kitu gani🌚🌚 yani nasemaje nitampenda yeye na hao mademu zake sina muda wa kuanza kutafuta mahusiano mapya...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 6 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 6
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Nikashangaa amepiga magoti chini akafungua chupa ya maji akamaliza akjimiminia mdomoni, mimi kwangu yalikuwa mageni kabisa sijawahi kuona mtu anakunywa maji kwa staili hiyo Basi alipomaliza kunywa maji akarudi kukaa...

MIMI SIKUACHI🥰  SEHEMU YA 56...57 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 SEHEMU YA 56...57
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi mwanaume nikawa nawaza tu haka katoto haka katakuja kupenda pesa kinoma na wivu kama wote😂😂😂kanasukuma wenzie kabisa hakataki wasogelee simu ila nilitokea kukapenda sana maana nakenyewe kalikuwa active sana...

MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
@majario LIVE

Nyieeeee nilinuka.na deraa tu ndani nilivaa chupi tu nilitoka peku peku. Dooh rahul ana balaa et alienda na wenzie kucheza kwenye bara bara kubwa jamni. Nilichanganikiwa mm. Nafika mpaka pale...

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
@majario LIVE

Mh. Mie nikajituliza zangu kimyaa. Nishaambiwa mie sio mtamu. Kuma imepanuka nafanyaje sasa . Ila kama ndo kupanuka labda nilivyozaa ila sikuwa na wanaume kabisaa mimi. Yani mpaka nafikia umri...

REALLY LOVE* Chapter 19 Post Mpya
REALLY LOVE* Chapter 19
@majario LIVE

muda ulisonga mbele hatimae jioni ya saa kumi ilifika seven akiwa ofisini alinza kujiandaa kitoka kisha akapitia ofisi ya john, aliingia na kumkuta yuko bize na compyuta ""nakuona upo bize jamaa...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 54 na 55 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 54 na 55
@majario LIVE

54 MPAKA 55 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee, nikaanza kuelezea mm. Akaja yeye. Ahaa akasema tu.mimi uyu sijazaa nae . Mh yupo serious. Akasema sijazaa nae kabisa. Kama alivyosema mwenyewe . Alinipa pesa nikatoe mimba...

MAMLAKA YAPIGA MARUFUKU MITANDAO YA KIJAMII NCHINI GABON Post Mpya
MAMLAKA YAPIGA MARUFUKU MITANDAO YA KIJAMII NCHINI GABON
@majario LIVE

Mamlaka ya mawasiliano ya Gabon (HAC), imepiga marufuku huduma za Mitandao ya kijamii kote nchini humo hadi ilani nyingine itakapotolewa. Uamuzi huo unalenga kuzuia unyanyasaji unaofuata na matumizi mabaya ya...

🇧🇷❤️‍🩹 Brazilian Federation release statement to support Vinicius Jr. Post Mpya
🇧🇷❤️‍🩹 Brazilian Federation release statement to support Vinicius Jr.
@majario LIVE

“The CBF stands in solidarity with Vinícius Júnior, victim of yet another act of racism this Tuesday, after scoring for Real Madrid against Benfica in Lisbon." "Racism is a CRIME. It...

Kwa karne nyingi, dunia iliitazama Milki ya OTTOMAN EMPIRE kama ngome kuu ya Uislamu.  Kutoka milima ya Anatolia Post Mpya
Kwa karne nyingi, dunia iliitazama Milki ya OTTOMAN EMPIRE kama ngome kuu ya Uislamu. Kutoka milima ya Anatolia
@majario LIVE

hadi milango ya Ulaya, kutoka Baghdad mpaka Cairo, bendera ya Uislamu ilipeperushwa juu ya majumba, masoko, na misikiti mikubwa iliyojengwa kwa fahari. Watu waliamini kuwa dola hii ingedumu milele...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest