Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

REALLY LOVE* Chapter 18
Gonga94 · Stories

REALLY LOVE* Chapter 18

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


huku sebleni walipo calor walisikia ugomvi wa

wazazi wao wanagomben sana chumbani, calor

alihisi kabisa itakuwa kuna tatizo tena sio dogo "kwani kun nini jaman cathe mbona kelel nyingi sielewi nimerudi hakuna aliyenifurahis yan hat siwaelewi nawewe unalia kwani kuna nini niambie alisema calor

kaka mimi ni mwanamke mjinga sana kaka mimi sina akili ndiyo maana wazazi wetu wanagombana alisem cathe huku akilia

kwanini unasem hivo hebu nyamanıza kwanza

alisema calor

kaka nimeiharibh ndoa yangu kwa mikono yangu mwili alisem cathe hukuakiliua sana kaka devi alinipanga mengi sana nikamsaliti

seven nakutembea na rafiki yake nipate kuwa mmiliki mall siku ya ndoa yangu ndipo nilipofumaniwa na seven naleo ndipo nimeachwa kaka nimemkosa mtu muhimu sana kaka sidhani kama devi ataweza kunihudumia kama seven tamaa yamali imeniponza na sasa nina mimba ya devi sijui devi atalipokeaje hill na mpaka sasa sijui devi yuko wapi nachanganyikiwa mimi kaka vipi kama devi atanikatao na ataikataa mimba? Kaka nitakufa mimi alisema cathe huku akilia kwelikweli, mpaka hapo calor alichoka hoi alichoka mwili

mzima na akili hakuamini anachokisikia alimuangalia sana cathe anavyolia kisha akatikisa kichwa msikitisha sana hakujuwa afanye nini na amsaidie vipi hakuelewa kabisa, haraka akatoka nje na kupanda gari kaondoka billa kumuaga yoyote yule

huku seven alifika alimuangalia sana devi juu

mpaka chini unataka nini alimtupia devi

swall hlio

hapa nimemfata john sio wewe alisema

devi, john alitaka kuongea lakini seven akamzuia

asiseme kitu

nakjona unavotapatapa masikini kama yatima

usiye wazazi, sasa unahangaika nini wakati wewe wewe ni jeuri tena umesomea si uonyeshe jeuri yako sasa, tafuta kampuni wekeza fanya kazi unakuja kupigana na wafanya kazi wangu kosa lao nirs, kama mke nishakuachia kaka endelea kumla maana mtamu sana nakama pesa mikono unayo tafuta alisema seven kwa kulamini sana

"mkeo alinifuata mwenyewe tena anashobo

sana sasa kama kajitongozesha mimi nifanyeje

7 alisema devi

hhahha upo kama imfarnaji sasa umeishiwa maneno mimi sijakwambia uniambie kama anashobo au la nimekwambia endelea kumla na katafute pesa sasa hapa unataka nini au unataka kwenda kuozea jela maana fujo

unazofanya hapa umepoteza muda watu kumbuka sahizi kila mtu alitakiwa afanye kazi yake lakini wewe umekuja kuharibu ratiba na kufanya fujo mfano nikikukamata nikakuweka

jela je nimekuonea alisema seven

lakon bro tungeyaongea tu tukayamaliza mambo madogo haya alisema devi huku aklengwa lengwa na machozi

mambo madogo ee hata mimi naona ila nakuonya uslje tena ukasubutu kuja hapa yani usije ukapita ndani ya lile geti hapa wewe sio mfanya kazi tena na barua yako utawekewa nje ya geti kule pori utaikuta hauruhusiwi tena kuingia hapa nikija kukuta hata nje ya geti umekaa basi jua utaozea jela maishani mwako

mtoeni nje alisema seven kwa ukali kidogo

walinzi wakamtoa nje haraka kumtupia

aiseee devi alilia sana siku hiyo jeuri yote

ilimuisha aljutia sana tena sana alipenda sana kazi yake kwakuwa alipata mshahara mzuri sana lakini ndohibo siku hiyo alljuwa sana kulla,

akaondoka kuelekea kwenye makazi yake

alipopanga ukiachana na ile hotel waliyokodi,

upande mwingine wa fahima alikuwa akiandaa

chakula cha mchana akiwa na mdada wa kazi

huku wakipiga story mara mlango uligongwa akaenda kufungua alimuona baba yake mzee fahad alifurahi sana alimpokea na kumkaribisha ndani karibu sana baba karibu alimkaribisha

asante fahima alijibu.

"mama huyu ni baba yangu mzazi anaitwa

mzee fahad alisema fahima kumtambulisha

baba yake kwa mama seven

ooh karibu sana baba karibu alisema mama.

seven baba huyu mama ndiye mama mzazi wa seven na hao ndio dada zake seven wamekuja kunisalimia na kujulia hali yangu alisema

fahima

oooh nashukuru sana jamani kwa kuja nashukuru karibuni sana alisema mzee fahad asante baba napole sana kipindi mko hospitari sisi seven hakutuambia kamal

anamgonjwa maana hata mimi hali yangu

Ilikuwa mbaya kidogo aliserna mama seven

nakumbuka

fahima

aliniambia alisema babal

"ndo hivo klukweli nilipitia kipindi kigumu sana kutokna na mwanangu seven aliyokuwa anayapitia hata kumgonga huyu binti haikuwa dhamira yake naamini hakuwa sawa hata kidogo ndipo ikapelekea mpaka ajali hiyo alisema

mama seven

duh poleni

aliuliza baba fahima

alipatwa nanini seven

alikuwa na mchumba yake ambaye alimpenda

sana na kuishi nae pamoja lakini alimtolea barua

mpaka mahallikuwa bado tu kumuoa nalengo

lake siku yandoa amsapraizi sasa siku ya ndoa

tushajipanga kila kitu akaenda kumfuata

mchumba wake ndipo alipomkuta na

mwanaume wakiwa tupu kabisa na mwanaume

huyo alikuwa ni rafiki wa seven ilisikitisha sana.

tangu hapo seven akili zilimruka kabisa

alisema mama seven kwa majonzi sana kiasi.

kwamba alitikisa hisia za watu mpaka fahima.

akadondosha machozi

alijisemea moyoni kumbe ndiyo maana alikuwa

anamtaja cathe cathe kumbe huyo cathe ndo

mnyama kiasi hiki duh kwa tukio hili kwakwell

simlaumu tena kunibaka kwakweli inaumiza

sana angefanya makusudi ingekuwa sawa lakini

mh kwahili hapana alijisemea fahima moyoni

akimuonea huruma sana seven

duh kwakweli inaumiza sana aiseeee polen

san kumbe kipindi anahangaika na binti yangu

kumbe alikuwa katika wakati mgumu sana

alisem baba fahima

tena sana tu na kwakweli nampa hongera san

maana alihangaika san na huyu binti ilhall

anamajonzi mazito moyoni pia nashukuru sana

maana asingemgonga huyu binti bes nahisi

mwanangu angekuwa chizi kabisa lakini kuja

kwa uyu binti kukamfanya awe na akili japo

kidogo na akawa bize kwahiya huyu binti ndiy

allyefanya awe katika hali nzuri alisema

mama seven

aiseeee nitazidi kumshukuru Mungu kwa hapa.

tulipogikia alisema mzee fahad, basi

wakaendelea kuzungumza fahima nae

akaelekea jikoni kuandaa chakula,

upande mwingine.

devi alikuwa anakunywa

bia chumbani kwake Il kupunguza mawazo huku

skimba nyimbo za kuhuzunisha afarijike. muda huohuo mlango wa chumbani kwake ukafunguliwa akaingia cathe, devi alikasirika sana baada ya kumuon cathe

"umefuata nini hapa we mwanamke alisem

devi

devi leo hii unaniambia nimefuata nini? yani

mimi mpenzi

kabla cathe hajamaliza

kuingea alikula kibao kimoja cha shavu kutoka

kwa devi

nisije nikasikia tena ukiniambia mimi mpenzi

wako ten ukomeeeee hayo mapenzi yameanza

In alisema devi

"unasemaje devi yani unauliza mapenzi

yameanza lini kha wewe unanichezea sio sasa

sikia devi usicheze na akili yangu tena nina

mimba yako na ole wako uikatae

cathe

alisema

"unasemaje wewe rudia tena alisem dev

devian nimekwambia nina mimba yako

alisema cathe kwa sauti

hahaha ama wewe mwendawazimu kweil yani

mimi nikutie mimba kinyago kam wewe shetan

alisema devi

shetani huongea na shetan mwenzie devtan

niite majina yote anayotaka ila neno langu ole wako uikatae hii mimba hapo ndipo utakaponijuwa mimi ni nani nadhani hujaujua upande wangu wa pili alisema cathe

"kwahiyo unanitishia sio sasa sikia sina muda

wa kulea hiyo mimba na kuanzia leo mimi

nawewe sio wapenzi mimi sina kazi nitakulisha nini kwanza unadhani sikujua kama unatembea na hakimu? sasa hiyo mimba sina imani nayo kwakuwa wewe malaya sana kwahiyo peleka

kwahakimu amabye ndiye alikutia mwishoni

mimi naomba unikome sawa alisema devi

maneno hayo yalimuuma sana cathe akamzaba

kibao devi kwa hasira sana

kwahiyo hakimu ndiye aliyenitia peke yake?

devi unajisahaulisja sio umesahau kama wewe

ndiye ulinilaghal na kuharibu maisha

yangu

umesahau kama ulinipa maneno mazur mpka

nikamsaliti seven" alisema cathe

sikia wewe mwanamke mjinga huaribu

mwenyewe ndoa yake usinilaumu mimi tamaa

yako imekuponza mwenyewe mimi nilikuwa

nashida nahizo mall sio wewe, tena naomba

ukome kuja hapa nitakuja siku kukulla ndani

usinivuruge nakwambia alisema devi

hahhahahaha ety nikome sikia wewe

unajifanya mjanja sio sasa hil mimba hulkwepi

hata kwa sekunde sifuri I swear nakuapia devi ni

moja nikuue au nikuweke jela milele huwezi

kuniharibia

malsha

kisha kuniacha

nahangaika alisema catherine kisha

skafungua mlango na kutoka akiubamiza kwa

hasira sana

devi alishusha pumzi nzito sana hakujua afanye

nini, kwao ni kijijini shamba kazi kafukuzwa na

cathe ndo anamimba yake na mali kakosa kazi kakosa ndugu zake wote wapo vijijini wanamtegemea yeye ni yeye tu ndiye aliyepata bahati ya kufanya kazi hapo baada ya kusaidiwa na seven, sio kwamba devi alisoma hapana. hakusoma kabisa alitoka kijijini tu kuja kutafuta

maisha ndipo amakutana na seven na kusaidiwa

mpaka alipofikia hapo, alijilaumu sana kwa

uzembe alioufanya alijutia sana

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

REALLY LOVE* Chapter 18



huku sebleni walipo calor walisikia ugomvi wa

wazazi wao wanagomben sana chumbani, calor

alihisi kabisa itakuwa kuna tatizo tena sio dogo "kwani kun nini jaman cathe mbona kelel nyingi sielewi nimerudi hakuna aliyenifurahis yan hat siwaelewi nawewe unalia kwani kuna nini niambie alisema calor

kaka mimi ni mwanamke mjinga sana kaka mimi sina akili ndiyo maana wazazi wetu wanagombana alisem cathe huku akilia

kwanini unasem hivo hebu nyamanıza kwanza

alisema calor

kaka nimeiharibh ndoa yangu kwa mikono yangu mwili alisem cathe hukuakiliua sana kaka devi alinipanga mengi sana nikamsaliti

seven nakutembea na rafiki yake nipate kuwa mmiliki mall siku ya ndoa yangu ndipo nilipofumaniwa na seven naleo...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/really-love-chapter-18

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi really-love-chapter
REALLY LOVE* Chapter 17
REALLY LOVE* Chapter 17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 100

MY WANGU❤️ sehemu ya 100

732
MY WANGU❤️ sehemu ya 103

MY WANGU❤️ sehemu ya 103

512
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102

MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102

498
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 65💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 65💘💘

444
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 51

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 51

410
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 53

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 53

317
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 54 na 55

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 54 na 55

254
REALLY LOVE* Chapter 17

REALLY LOVE* Chapter 17

169
REALLY LOVE* Chapter 18

REALLY LOVE* Chapter 18

104
MY CRAZY BOSS 1 - 5

MY CRAZY BOSS 1 - 5

103

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.19K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.92K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.69K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.09K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.42K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.32K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.31K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.17K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 54 na 55 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 54 na 55
@majario LIVE

54 MPAKA 55 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee, nikaanza kuelezea mm. Akaja yeye. Ahaa akasema tu.mimi uyu sijazaa nae . Mh yupo serious. Akasema sijazaa nae kabisa. Kama alivyosema mwenyewe . Alinipa pesa nikatoe mimba...

MAMLAKA YAPIGA MARUFUKU MITANDAO YA KIJAMII NCHINI GABON Post Mpya
MAMLAKA YAPIGA MARUFUKU MITANDAO YA KIJAMII NCHINI GABON
@majario LIVE

Mamlaka ya mawasiliano ya Gabon (HAC), imepiga marufuku huduma za Mitandao ya kijamii kote nchini humo hadi ilani nyingine itakapotolewa. Uamuzi huo unalenga kuzuia unyanyasaji unaofuata na matumizi mabaya ya...

🇧🇷❤️‍🩹 Brazilian Federation release statement to support Vinicius Jr. Post Mpya
🇧🇷❤️‍🩹 Brazilian Federation release statement to support Vinicius Jr.
@majario LIVE

“The CBF stands in solidarity with Vinícius Júnior, victim of yet another act of racism this Tuesday, after scoring for Real Madrid against Benfica in Lisbon." "Racism is a CRIME. It...

Kwa karne nyingi, dunia iliitazama Milki ya OTTOMAN EMPIRE kama ngome kuu ya Uislamu.  Kutoka milima ya Anatolia Post Mpya
Kwa karne nyingi, dunia iliitazama Milki ya OTTOMAN EMPIRE kama ngome kuu ya Uislamu. Kutoka milima ya Anatolia
@majario LIVE

hadi milango ya Ulaya, kutoka Baghdad mpaka Cairo, bendera ya Uislamu ilipeperushwa juu ya majumba, masoko, na misikiti mikubwa iliyojengwa kwa fahari. Watu waliamini kuwa dola hii ingedumu milele...

REALLY LOVE* Chapter 18 Post Mpya
REALLY LOVE* Chapter 18
@majario LIVE

huku sebleni walipo calor walisikia ugomvi wa wazazi wao wanagomben sana chumbani, calor alihisi kabisa itakuwa kuna tatizo tena sio dogo "kwani kun nini jaman cathe mbona kelel nyingi sielewi nimerudi hakuna...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 53 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 53
@majario LIVE

Basi bwana ikabidi nifate ushauri wa mzeee Kesho yake mapema sana .mimi niliamkia ustawi wa jamii posta. Makao makuu kabisa. Nilivyofika pale nikakuta na mwanamama pale . Anaitwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 103 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
@majario LIVE

Nimeingia natetemeka mnoo. Mh kulikuwa na taa ya chemli pale. Mlmi na yeye tulionana vizuri. Akanmbia njoo ukae apa nataka tuongee. Kweli mm nikasoge nikaenda kukaa pale. Akaningalia sana yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
@majario LIVE

Nikasema ni kweli yusta nimemfanyia mengi mabaya. Najutia na naumia . Ukipata mda mwambie anisamehe sana. Yusta akasema wee wala sitaki kumtibua mume wangu kipenzi. Yani mume wangu akisikia jina...

MY CRAZY BOSS 1 - 5 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 1 - 5
@majario LIVE

MWANZO "Nikiwa nimeketi kwenye benji mimi pamoja na wenzangu kama ishirini hivi nnje ya kampuni ya All Over iliyopo Mikocheni B , ikiwa ni majira ya saa moja kamili asubuhi ambapo...

🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Mechi ya Benfica dhidi ya Real Madrid IMESIMAMA kutokana na kisa cha kibaguzi dhidi ya Vinícius Júnior Post Mpya
🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Mechi ya Benfica dhidi ya Real Madrid IMESIMAMA kutokana na kisa cha kibaguzi dhidi ya Vinícius Júnior
@majario LIVE

AKIWA UWANJANI. ⚠️🚫 Mchezaji wa Benfica alimwita NYANI!!! ‼️ VINI AKATAA KUCHEZA!! 😤❌

WEWE NI WANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
WEWE NI WANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO....... Kazi ya ualimu inahitaji moyo sana jamani, msione kwamba watoto wenu wanafaulu vizuri tu lakini upande mwingine huwa wanapitishwa 😂 Sijui mnanielewa bandugu, yani kama sisi walimu wa...

𝐆𝐀𝐋𝐀𝐓𝐀𝐒𝐀𝐑𝐀𝐘 𝐌𝐀𝐊𝐄 𝐈𝐓 𝐅𝐈𝐕𝐄! ❤️💛🖐🏼  𝐖𝐇𝐀𝐓 𝐀 𝐆𝐀𝐌𝐄! 🍿 Post Mpya
𝐆𝐀𝐋𝐀𝐓𝐀𝐒𝐀𝐑𝐀𝐘 𝐌𝐀𝐊𝐄 𝐈𝐓 𝐅𝐈𝐕𝐄! ❤️💛🖐🏼 𝐖𝐇𝐀𝐓 𝐀 𝐆𝐀𝐌𝐄! 🍿
@majario LIVE

Juventus hoi huko kipogo Cha maana kabisaaa hichi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 65💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 65💘💘
@majario LIVE

Mmmhhh kwa hiyo hemed kumbe ni kamalaya😣😣 hebu ngoja nimpigie simu nimuulize yuko wapi😒😒 au niende nikamfumanie ili nipate sababu ya kuachana naye kaishaanza kuniudhi et bora niondoke kwake nimuache...

REALLY LOVE* Chapter 17 Post Mpya
REALLY LOVE* Chapter 17
@majario LIVE

alisema mama cathe kwa mama usiseme mimba mama huwenda homa tu alisema cathe huku analia sana kwakweli alijutia sana mpumbavu mkubwa wewe hivi unayaona hayo matapishi mjinga mkubwa wewe cathe unatutia aibu...

🚨 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: The Premier League is resuming its procedures for Ramadan. 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿🌙 Post Mpya
🚨 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: The Premier League is resuming its procedures for Ramadan. 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿🌙
@majario LIVE

Short pauses will be allowed during matches to enable Muslim players to break their fast. 𝑹𝒆𝒔𝒑𝒆𝒄𝒕 🤲✨

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest