Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
Gonga94 · Stories

MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Nikasema ni kweli yusta nimemfanyia mengi mabaya. Najutia na naumia . Ukipata mda mwambie anisamehe sana. Yusta akasema wee wala sitaki kumtibua mume wangu kipenzi. Yani mume wangu akisikia jina lako anapagawa . Anataamani kutapika. Na kama alikuwa anakula anasusa chakura. Na mm wala sitaki kumvuruga tu. Na apa mie nimekuja kukuomba sana ukae mbali na mume wangu. Mh nikasema yusta mm wala siwez kutembea na mlige tena . We kua na amani kabisa ya moyo. Mi nipo nyumbni najiangalizia tu. Nikikaaa powa naludi zangu dar wala sijaachikaaa. Mh akacheka akanmbia mh ila umefabaaa . Mrs tajeer mh na uhuu mwili ulikuwa unapigwa ama. Mie kimyaaa. Nikajua shoga kaja kunikashifu walaah. Akatoa simu yake kali nakwmabia kubwa kwenye screen kamuweka mlige . Akajifanya kuichezea nikajua ananirusha rohoo miee

Nikamuuliza nasikia una waroto 2 akanmbia yaa nnao wawili shoga wa kwanza aa mika 3 anayefata ana 2 mlige kanizalisha haraka haraka wala hataki masihara. Wamefanana sana na mlige. Yani ukiwaona wala huulizi na mlge navyowapenda wanae sikwambii. Acha tu. Nikamuuliza mh kwann ujawabeba sasa. Akanmbia wala siwabebi wapo na dada . Mi nna miangaiko sana. Mlige kanifungulia biashara kama zote ndo nipo napambana sna yani. Mh nikasema sawa umependeza shoga angu. Niachia ata elfu 50 basi shogaaa . Basi yusta akacheka. Akasema heeeee we si umesema hujaachikaa. Looh umeisha aya bwana apa mi sina pesa nyingi nna elfu 10 hii itakusaidia. Apo katoa pochi yake. Imejaa elfu 10 . Kama zote ..akanmbia usione nyingo zina mahesabu shoga .nikasema sawa asante wala usijali ata hii itanitoosha. Mh akaaga uyoo akondoka zake. Mh mdada mchoyo uyuu. Mie nilikuwa nmpa pesa zangu kama mwehu . Ye ndo hivi. Nikajishukulia tu miee.

Basi bwna zikapita week 3. Nipo ndani najifungia tu . Siku iyo mama akanmbia kwani ww kinachokufanya ujifungie ndani ni nn eeeh kwani we umeua au umeiba. Toka njee na fanya mambo yako. Ujaua mtuu. Asa utakaa ndani kila siku mpaka lini. Mie nikasema sawa mama. Ila wapi wala siendi mbali .bala balani siendi kabisaaa. Yani siendi naona aibu .na apo ndo week 3 nipo home kamwili kanaludi . Acheni kabisaaa. Basi siku iyo mama akanmbia twemde tukatembee bala balani tukaemeee . Mie nikagoma mama akanmbia ebu twende ukooo we una shida gani mjinga ww. Basi bibi mie ndo nikakubali nikavaa. Dela langu ma mtandio nikajifunika. Mama akambeba mwanangu. Tukaenda road . Na tukaemea. Tukaludi . Asa mam ndo akwa ananifanyia hivyo kila siku usiku tunaenda road najichangamshaaa kidogooo.

Basi apo road mlige alipashika. Alijenga maduka kama 3 . Na kaweka wanafunzi wake tulomaliza nao. Namjua mlige ana rohoo safi . Naona alifanya kama kuwapa ajira. Hivyoo. Nilikuwa namjutia sana .ila sikuwa natamani kukutana na mlige ata kidogooo. Yani sikuwa natamani kumuona . Naogopa sana na naona aibu mnoo ntamuangaliajee mimi. Basi ndo ikawa hivyoo mpaka ikakata miezi 3. Mk sijaonana kabisa na mlige. Ila yusta namuona na mbwe mbwe jamnk mhh. Nikimuomba pesa ananipa elfu 5 au elfu 10. Nabaki kuguna tu mana mengine niliyataka mwenyew ningetulia na mlige wala yasingenikuta mieeee

Basi bwanaaa . Siku iyoo sasa . Mama akanipigia simu kwamba nikachukue mchele dukani nipike kabisa mana yey yuko shamab. Basi mie nikasem sawa. Bibi mke nkachukua pesaa mpaka dukani . Nikanunua mchele na mafuta. Basi nikiwa pale napimiwa . Ikapaki gari pale. Tena kali mnoooo. Mh nageuka hivi. Na mligee ndo anashuka . Aseeee moyo wangu ulifanyaaa paaah. Mlige wal hakustuka kuniona. Aseee mi nikageuza sula yangu chapu pembeni . Alikuwa kavaa pensi nyeusi na t shrt ya kijani flani hivi kawakaa sana yani kama alitokea nyumbani vile . Hakuwa kavaa official .nyie uyu baba wala hazeeki.. ni amezidi kuwa handsome. Sikutamani kumuangalia tena naona aibu na nilivyojiishia mimi.

Yule kijana alokuwa nanaihudumia .aksema boss karibu. Mlige akasema thankss. Endelea kumuhudumia mteja. Mh kumbe na hili duka ni lake wala sikuwa nimejua mm. Yule mkaka akaniwekea . Nikataka kuondoka . Mlige akaniita faridaah. Nikasimama uku natetemeka ile ya wazi kabisa. Mlige akanisogelea akanmbia ndo hutaki ata kunisalimia sio. Nikasema hapana akanmbia nilikuwa mwalimu wako pia . Haitoshi ww kunipa salamu. Nikasema shikamooo. Aakaningalia kisha akatabasamu tu wala hakuniitikia salamu yangu. Akanmbia nenda. Mh mimi ata kugeuka sikutaka ni mbioo. Mungu wangu kwa nn kaniona sas. Na nilivyoishaa mimi doooh nimejitia aibu sana mbele yake. Basi nimeludi nyumbani na nikaandaa chakura ila mawzo .mlige kapendeza nyiee kwanza ata siendani ane tena nilivyojisshia . Mh

Basi usiku ndo mama kaludi na mambo mengine yakaendelea . Mwenzenu nilikuwa ni mtu wa nyumbani sana . Au siku niende shamba kumsaidia mama kulima baso nakuja kupumzika . Road sitokei aibu watu walikuwa wananisema sana jamani. Mh siku iyo bwna ilikuwa mida kama ya usiku sa 2. Nipo nyumbani na mama tunaongea. Ongea . Mana rahul alilala mda mrefu sana. Basi tukawa tunaongea ongea . Mala mlango ukagongwa .mie ndo nikaenda kufungua . Alikuwa ni mkaka flani nimesoma nae shule ya sekondari pamoja. Na ni kuna duk moja la mlige uyu kaka anaiuza anaitwa juma. Nikamshangaa kuja kwetu ule mda nikamsalimia nikamuukiza umekuja kumuona mama nikuitie. Akanmbia hapana nimekufata ww nataka tuongee kidogo jambo la siri. Mhh mie nikaludi ndani nikamwmabia mama nakuja kuna mtu anongea nae apoo. Mama akniukiza nanai. Nikasema juma yule alikuwa mwanafunzi mwenzangu. Mama aknmbia sawa

Basi mi nikatoka kwa pembeni kumsikiliza juma . Mh nashangaa ananmbia mlige anakuta yupo. Uku . Kanambia nikupelek. Nikapgopa sana mm. Nikasema hpana smi sitaki kwnda. Akanmbia unaogopa nn sasa anataka kuongea na ww tu na wal sio si lengine. Ebu plsss umsikilize. Mh nikamuuliza yupo wapi. Akanmbia kwangu kule bondeni chapu tu. Mh mume wa mtu sasa .mlige nikawa naogopa jamani. Juma akanambia twende bwana . Anahitaji sana kuongea na ww. Mh mie nikawa naogopa je akinipiga may be bado ana hasira na mimi kwa niliyomkosea . Mh nikawa naogopa ila juma akanibembeleza sana . Mie nikakubali tukaenda mpaka kwa juma . Ni kajumba cha udongo chumba kimoja tu.juma akanmbia ingia ndani yupo umoo nakungojaa mh nikawa naogopa ila nikajikaza nikaingia na kweli nikamkuta mlige ameekaa juu ya kitanda cha kamba.

🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Monday To Sunday
Monday To Sunday
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102



Nikasema ni kweli yusta nimemfanyia mengi mabaya. Najutia na naumia . Ukipata mda mwambie anisamehe sana. Yusta akasema wee wala sitaki kumtibua mume wangu kipenzi. Yani mume wangu akisikia jina lako anapagawa . Anataamani kutapika. Na kama alikuwa anakula anasusa chakura. Na mm wala sitaki kumvuruga tu. Na apa mie nimekuja kukuomba sana ukae mbali na mume wangu. Mh nikasema yusta mm wala siwez kutembea na mlige tena . We kua na amani kabisa ya moyo. Mi nipo nyumbni najiangalizia tu. Nikikaaa powa naludi zangu dar wala sijaachikaaa. Mh akacheka akanmbia mh ila umefabaaa . Mrs tajeer mh...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-101-na-102

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 100

MY WANGU❤️ sehemu ya 100

732
MY WANGU❤️ sehemu ya 103

MY WANGU❤️ sehemu ya 103

513
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102

MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102

499
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 65💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 65💘💘

444
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 51

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 51

410
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 53

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 53

318
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 54 na 55

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 54 na 55

258
REALLY LOVE* Chapter 17

REALLY LOVE* Chapter 17

169
REALLY LOVE* Chapter 18

REALLY LOVE* Chapter 18

105
MY CRAZY BOSS 1 - 5

MY CRAZY BOSS 1 - 5

103

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.19K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.92K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.69K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.09K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.42K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.32K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.31K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.17K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 54 na 55 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 54 na 55
@majario LIVE

54 MPAKA 55 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee, nikaanza kuelezea mm. Akaja yeye. Ahaa akasema tu.mimi uyu sijazaa nae . Mh yupo serious. Akasema sijazaa nae kabisa. Kama alivyosema mwenyewe . Alinipa pesa nikatoe mimba...

MAMLAKA YAPIGA MARUFUKU MITANDAO YA KIJAMII NCHINI GABON Post Mpya
MAMLAKA YAPIGA MARUFUKU MITANDAO YA KIJAMII NCHINI GABON
@majario LIVE

Mamlaka ya mawasiliano ya Gabon (HAC), imepiga marufuku huduma za Mitandao ya kijamii kote nchini humo hadi ilani nyingine itakapotolewa. Uamuzi huo unalenga kuzuia unyanyasaji unaofuata na matumizi mabaya ya...

🇧🇷❤️‍🩹 Brazilian Federation release statement to support Vinicius Jr. Post Mpya
🇧🇷❤️‍🩹 Brazilian Federation release statement to support Vinicius Jr.
@majario LIVE

“The CBF stands in solidarity with Vinícius Júnior, victim of yet another act of racism this Tuesday, after scoring for Real Madrid against Benfica in Lisbon." "Racism is a CRIME. It...

Kwa karne nyingi, dunia iliitazama Milki ya OTTOMAN EMPIRE kama ngome kuu ya Uislamu.  Kutoka milima ya Anatolia Post Mpya
Kwa karne nyingi, dunia iliitazama Milki ya OTTOMAN EMPIRE kama ngome kuu ya Uislamu. Kutoka milima ya Anatolia
@majario LIVE

hadi milango ya Ulaya, kutoka Baghdad mpaka Cairo, bendera ya Uislamu ilipeperushwa juu ya majumba, masoko, na misikiti mikubwa iliyojengwa kwa fahari. Watu waliamini kuwa dola hii ingedumu milele...

REALLY LOVE* Chapter 18 Post Mpya
REALLY LOVE* Chapter 18
@majario LIVE

huku sebleni walipo calor walisikia ugomvi wa wazazi wao wanagomben sana chumbani, calor alihisi kabisa itakuwa kuna tatizo tena sio dogo "kwani kun nini jaman cathe mbona kelel nyingi sielewi nimerudi hakuna...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 53 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 53
@majario LIVE

Basi bwana ikabidi nifate ushauri wa mzeee Kesho yake mapema sana .mimi niliamkia ustawi wa jamii posta. Makao makuu kabisa. Nilivyofika pale nikakuta na mwanamama pale . Anaitwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 103 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
@majario LIVE

Nimeingia natetemeka mnoo. Mh kulikuwa na taa ya chemli pale. Mlmi na yeye tulionana vizuri. Akanmbia njoo ukae apa nataka tuongee. Kweli mm nikasoge nikaenda kukaa pale. Akaningalia sana yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
@majario LIVE

Nikasema ni kweli yusta nimemfanyia mengi mabaya. Najutia na naumia . Ukipata mda mwambie anisamehe sana. Yusta akasema wee wala sitaki kumtibua mume wangu kipenzi. Yani mume wangu akisikia jina...

MY CRAZY BOSS 1 - 5 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 1 - 5
@majario LIVE

MWANZO "Nikiwa nimeketi kwenye benji mimi pamoja na wenzangu kama ishirini hivi nnje ya kampuni ya All Over iliyopo Mikocheni B , ikiwa ni majira ya saa moja kamili asubuhi ambapo...

🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Mechi ya Benfica dhidi ya Real Madrid IMESIMAMA kutokana na kisa cha kibaguzi dhidi ya Vinícius Júnior Post Mpya
🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Mechi ya Benfica dhidi ya Real Madrid IMESIMAMA kutokana na kisa cha kibaguzi dhidi ya Vinícius Júnior
@majario LIVE

AKIWA UWANJANI. ⚠️🚫 Mchezaji wa Benfica alimwita NYANI!!! ‼️ VINI AKATAA KUCHEZA!! 😤❌

WEWE NI WANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
WEWE NI WANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO....... Kazi ya ualimu inahitaji moyo sana jamani, msione kwamba watoto wenu wanafaulu vizuri tu lakini upande mwingine huwa wanapitishwa 😂 Sijui mnanielewa bandugu, yani kama sisi walimu wa...

𝐆𝐀𝐋𝐀𝐓𝐀𝐒𝐀𝐑𝐀𝐘 𝐌𝐀𝐊𝐄 𝐈𝐓 𝐅𝐈𝐕𝐄! ❤️💛🖐🏼  𝐖𝐇𝐀𝐓 𝐀 𝐆𝐀𝐌𝐄! 🍿 Post Mpya
𝐆𝐀𝐋𝐀𝐓𝐀𝐒𝐀𝐑𝐀𝐘 𝐌𝐀𝐊𝐄 𝐈𝐓 𝐅𝐈𝐕𝐄! ❤️💛🖐🏼 𝐖𝐇𝐀𝐓 𝐀 𝐆𝐀𝐌𝐄! 🍿
@majario LIVE

Juventus hoi huko kipogo Cha maana kabisaaa hichi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 65💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 65💘💘
@majario LIVE

Mmmhhh kwa hiyo hemed kumbe ni kamalaya😣😣 hebu ngoja nimpigie simu nimuulize yuko wapi😒😒 au niende nikamfumanie ili nipate sababu ya kuachana naye kaishaanza kuniudhi et bora niondoke kwake nimuache...

REALLY LOVE* Chapter 17 Post Mpya
REALLY LOVE* Chapter 17
@majario LIVE

alisema mama cathe kwa mama usiseme mimba mama huwenda homa tu alisema cathe huku analia sana kwakweli alijutia sana mpumbavu mkubwa wewe hivi unayaona hayo matapishi mjinga mkubwa wewe cathe unatutia aibu...

🚨 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: The Premier League is resuming its procedures for Ramadan. 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿🌙 Post Mpya
🚨 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: The Premier League is resuming its procedures for Ramadan. 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿🌙
@majario LIVE

Short pauses will be allowed during matches to enable Muslim players to break their fast. 𝑹𝒆𝒔𝒑𝒆𝒄𝒕 🤲✨

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest