AAAAH IMETOSHA BOSS ππ N0 66...67ππ
Mmmhhhh namba ni ya nani hiiπͺπͺ yani saizi huyu mwanaume simuachi hata kitokee kitu ganiππ yani nasemaje nitampenda yeye na hao mademu zake sina muda wa kuanza kutafuta mahusiano mapya tenaπ€¨π€¨ baada ya kuisoma ile msg iliniumiza sana nilipanic sana lakini niliyakumbuka maneno ya mamangu shangazi yangu pamoja na bibi yangu wametoka kunipa somo juzi tu tena leo hii wasikie kuwa ndoa yangu imeingia dosari natakiwa kuwa na akili pendo mimi tayari nilishakosea hapo nyuma.... kwa sasa natakiwa kujisimamia kama mke wa mtu na mama wa watoto wawili.....habari za kushindana na mwanaume niziache na huu utoto niliokuwa nao nyuma niuache nataka nimfanye mme wangu kuwa rafiki yangu nina imani nikifanya hivyo nitaua mahusiano yote ya nje mme wangu atakuwa huru kwangu na atanishirikisha kwa kila kitu anachokipitia endapo kama nikimfanya kuwa rafiki yangu.....nilibakia kuket pale kitandani huku nikiwa nawaza namna ya kuifanya ndoa yangu kuwa imara....nilinyanyuka na kuendelea na zoezi langu la kupanga nguo boo alitoka bafuni alf bahati nzuri vile anatoka tu bafuni na ile namba ndo ikawa inapiga kwa mara ya pili.....
Paschal aliiangalia ile simu then aliikata kwa haraka sana mmmhh mbona kakataππ alizima data akaiweka ile simu pembeni alinisogelea alinikiss aliniambia kuwa ananipenda na anatamani ndoa yetu iwe imara tuvishinde vikwazo nilimuitikia lakini kiwivu kilinishambulia sana nilitamani nimjue huyo anayemtafuta boo wangu ni naniπ£π£nilitulia nalo rohoni nikamaliza kupanga nguo nikaingia zangu bafuni kuoga nilivyotoka bafuni nilimkuta boo akiwa katika hali ya taharukiπ«£ vipi uko sawa nilimuuliza yani alionekana kuwaza sana....aliniambia niko sawa mke wangu nakuomba uvae ukimaliza twende tukale.... nilimuitikia nikamwambia sawa mme wangu nilivaa nikamaliza tukatoka..... alinishikilia mkono wangu aliniuliza tunaenda kula wapi?! Popote tu nilimjibu..... are you okay,!!?? Yes I'm okay hubby...
Tulienda kutafuta chakula cha usiku tulikula na baada ya hapo tulirudi kupumzika..... samahani mke wangu najua kuna msg uliifungua kwenye simu yangu naomba nikuelezee vizuri ili uweze kunielewa.....ni sawa mme wangu kama umechagua kuniweka wazi basi nitafurahi kuusikia ukweli kutoka kwako... boo aliniambia kuwa ile msg niliyoifungua ilitoka kwa lia na mimi nilipoingia bafuni aliiongea naye na alikuwa anampatia taarifa kuwa yeye ni mjamzito.....duh niliumia yani niliumia kupita kiasi adhabu gani hizi yarabii nilijihoji kimoyomoyo......nilijikaza ili paschal asigundue ni kwa ukubwa kiasi gani vile nilivyoumizwa na ile ishu... samahani mke wangu nakuahidi hakuna siku ambayo mimi nitaweza kurudisha mahusiano na lia naomba nikuondoe shaka juu ya hilo wife..... ni sawa boo lakini nakuomba ujisimamie sitopenda kushuhudia tukiwa tunarudi kule tulikotoka.....
Aliniondoa shaka aliniahidi ya kwamba sitosikia wala kuhisi au kuona chochote kati yake na lia paschal alimpigia lia alimtumia namba yangu akamwambia ukiwa na shida yoyote pitia kwa mke wangu yeye ndo atakuwa anakusikiliza shida zako.... lakini paschal nahitaji tuongee huwezi kunifanyia hivyo mimi siwezi kuongea na huyo mwanamke kwani hanipendi tafadhari nakuomba usinifanyie hivyo kumbuka nina kiumbe chako tumboni kwangu..... lia huwa ni kaongeaji sana kalianza kupiga kelele kule kwenye simu lakini paschal aliikata ile simu kisha aliziblock namba za lia baada ya lia kuwekwa black list alianza kunitirilishia mimi mvua ya matusi....alinichamba sana tu......
Sikumjibu kitu jamani mimi siyo pendo yule wa mashindano tena nopπ€ nilishaamua kuwa pendo mke wa Paschal Wife usipambane naye huyo wala hata sizani kama Ana ujauzito ni msumbufu tu take it easy mine....ni sawa hubby nimekuelewa ....tulilala na kesho yake tulianza safari ya kurudi USA baada ya kufika usa nilimtafuta lia nilipanga kikao nayy pamoja na paschal lia hakutaka kabisa kuja kuonana na mimi alitaka kuonana tu na paschal mme wangu alikataa akamwambia hawezi kwenda kuonana naye kama ishu ni huo huo ujauzito basi aulee tu then akishajifungua atamletea mtoto amlee...mme wangu naye alionyesha mabadiriko makubwa sana hakuwa yule paschal wa nyuma huyu wa sasa alikuwa kadhamiria kuijenga ndoa yake alibadiri hadi namba za simu kwa ajiri tu ya kumkwepa lia hii ilitokana na usumbufu wa lia kumtafuta paschal kila siku kwa kutumia namba mpya kwa sababu zile za kwake zilishawekwa blacklist .....
Siku zilisonga maisha yakaendelea ndoa yetu ilisimama mahala pake β₯οΈ hapakuwepo na drama za aina yoyote ilipita miezi kadhaa kila mtu yuko na amani zake upendo na heshima vilitusaidia kuilinda ndoa yetu..... siku moja usiku mme wangu alinipigia simu aliniambia kuwa hatoweza kurudi nyumbani alidai kuwa alimtembelea baba yake alijua kuwa atawahi kurudi lakini kwa bahati mbaya kachelewa hivyo itabidi alale huko then kesho yake ataanza safari kurudi nyumbani..... sikumaind kwa sababu baba mkwe wangu alikuwa anakaa jimbo tofauti na lile tunaloishi sisi na kuna umbali mrefu.... nilimwelewa mme wangu na nikamtakia usiku mwema.... nililala kesho yake mapema asubuhi nilipigiwa simu na rafiki yangu eve huyu ni nurse katika hospital kubwa nchini marekani urafiki wangu na eve ulianza siku nilipoenda hospitalini kwao kujifungua mtoto wangu ambaye ni shazil.... siku hiyo eve alinichangamkia sana kila muda alikuwa anakuja kwenye kitanda changu kunifanyia vipimo na kunijulia hali yangu hata uchungu uliponikamata yeye ndo aliyenizalisha nilipojifungua mtoto wa kiume alifurahi sana alisema nimepata mchumba basi tulicheka sana pale na alimpatia mwanangu zawadi na urafiki wetu ndipo ulipoanzia pale tulifahamiana kiasi cha kuelezeana kijujuu maisha ya kimahusiano eve ni mtu mzima kiasi..... nilimwambia kuhusiana na hawa wanaume wawili ambao ni paschal na hemed nayy aliniambia niangalie kule ambako moyo wangu unapenda zaidi..... nilishamuonyesha paschal na hemed wote anawajua eve ni mama siyo bint kama mimi..... mara nyingi alikuwa akinishauri pale nilipokuwa nikielemewa na shida inayohitaji ushauri....
Nilipokea simu yake wenyewe tunaitanaga bestie eve ni wale watu wazima wanaojipenda hawapendi kabisa kuzeeshwa....aliniuliza za siku nilimwambia ni nzuri uko wapi nilimwambia niko usa best ila nimekugaya ni majukumu tu ndo yamenitinga lakini nakupenda na ninakukumbuka kila siku bestie yangu mke wa kijana wangu shazilππ hahahaa ukimwambiaga hivyo anacheka aajisikia raha sana..... aliniuliza kati ya wale wanaume wawili unaishi na yupi?! Mmmmhh mbona kaniuliza swali hiliπͺπͺ mom kuna nini kwaniπ°π° aah nimeuliza tu kwa sababu nilimuona mmojawapo usiku hapa hospitalini kwetu alikuwa na mwanamke mwingine mjamzito tulimfanyia operation alijifungua mtoto wa kiume.... nilihisi kama pumzi yangu inaenda kukataπππͺ.....
Itaendeleaaaa.....
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni