*MY WANGU❤️* *sehemu ya 109 na 110*
Aseeeee ata nikifurah ndo sio wangu ni mume wa mtu. Basi nangalia missed calls mama kanipigia sana . Wee mimi wala sikutaka kumpigia mama nikamtumia tu sms.mama mi naludi keshi kutwa . Mama akapiga wee wala sijapokea nikajua ntachambwa. Nikakausha kimyaa. Mh nikawa namwangu tunaangalia tv na kuna tamthilia pale. Rahuk ananiuliza mma uyu ni baba. Eeeh. Namwambia ndio ni baba. Anambia sawa . Ana maswali nae . Basi tukaa pale mpaka mda wa mchana kama saa 9 ndo mlige anaingia . Mh yupo mtoto wala sikumuwow. Ila akaja pale akanisalimia nikamuitikia kisha akampaka rahul akaongea nae pale. Sijuh ujambo umekula nn na mama. Madwali kibao. Kisha akaingia chumbani
Mh nikamuekea kartoon rahul .kisha na mm nikamfata sasa ndani. Namkuta anavua shati lake .nikamsogelea nikamvua shati lake. Nikamujliza vp umefanya kazi vizuri. Akanmbia ndio. Nikamuukiza vp kichwa akanmbia kipo powa . Basi nikataka kuondoka . Eeeh akanivuta akanmbia unaenda wapi sasa mimi nataka kuwa na ww. Nikasema nipo naenda tu kupunguza sauti ya tv. Akanmbia ngoja niende mimi. Kweli akaenda akampunguzia rahul. Kisha akaja chumbani akafunga mlango na funguo. Akanifata sasa. Akanikumbatia akanmbia nimekumiss sana faridah mwenzio. Mh mi nikatuli tu. Akanzaa kunitoa t shirt yangu . Nikabaki maziwa wazi. Akaanza kuninyonya kwa hisia. Mh sasa hii siku ndo nilimuona mlige wangu. Wala sio hasira tena. Basi na mie taratibua nikawa napapasa mwili wake. Na nikamaliza kumtoa shati na singlend . Nikamfungua na mkanda wake taratibu. Nyieeeeeee mlige akanmbia mama nakupenda sana faridah..siwezi kukuacha mm. Mh basi bwana mie na mlige hii siku tukapeana penzi zito. Unajua zito. Yani mpaka mlige akawa ananibiinya mdomo nisitoe sauti.mana kuna mtoto . Baba alinifanya kwa rahaa mnoo. Hakuna hasira wala nn. Yeye anakojoa na mm nakojoa.nafikiri kwa hii siku kila mtu alimfurahia mwenzie hakukuwa na hasira kabisa wala ugomvii.
Baada ya kutombana sasa ndo namkumbuka rahul. Nikachukua taulo haraka nikavaa nikatoka namkuta kalala uku ananyonya vidole vyake. Ndo alivyo mwanangu anapenda kunyonya vidole. Basi nikaenda kumlaza vizuri nikaludi chumbani . Aaseee mlige akanivuta akanipakata akanmbia unakumbuka siku ya kwanza mm na wewe tunakutana. Mi nikacheka tu . Mana nakumbuka alinipiga nikakimbia nyumbani kumuita baba. Mlige akanmbia. Nakupenda sana faridah. Kama kunipatia maam umenipatia, Navurugwa kwa kila kitu chako . Natamani tuendeelee kuwa katika mahisiano. Ila sikuamini faridaha nakuogopa sana nahisi any time unaniacha tena. Si kisha unanambia mi mkubwa ndo mana hunitaki unataka wa umri wakk. Mh
Nikasema hapana mlige wala haipo hivyo kipenzi. Akanmbia kumbe ipo vp faridah . Mi naumia sana . Ni vile mi mwanaume najikaza tu. Naishi katika ndoa ambayo siifurahii . Unazani mi nampenda yusta hapana ila nilijikuta nimemuoa nikihisi moyo utatulia ila hakuna ata. Aseeee najutia maamuzi ila sina jinsi ishatokea . Ila mm kukuacha siwez. Kama vp ata kama kwa siri ni sawa tu tuwe pamoja . Kla siwezi kukuacha kabisa faridah..mh mi.nafanyaje jamani..nikasema sawa. Basi tukaenda kuoga kisha sasa tukaludi ndani asee. Mlige alikuwa na furaah mda wote ni kanishika mkono. Mala farida wangu. Mala farida we utaniacha tena..mala faridah daah mi najiona mjinga sana kwa jinsi nnavyokupenda nashindwa kufanya chochote juu yako. Yani maneno yalikuwa mengi. Na tulikaa pale siku 3 . Na bwana. Nabebika aswaa. Ila.sasa nilikuwa nashangaa sikumuona ata mala moja uyu bwana anaongea na mkewe. Yan hamna mpka nikashangaaa
Na baadaa ya siku ya 3. Mlige ndo akanmbia kesho tunaludi mie.nikasema.sawa. na kweli nikaludi na mlige mpaka runzewe akanishusha apo. Akanipa na pesa laki 3. Akanmbia tumia nakutafutia pesa upate ata kabiashara kidogo. Nilokuwa namshukuru acheni tu.kisha mwanaume uyo akasepa . Yani akaniacha nyuma yeye akatangulia na mie nikazug sana runzewe pale.jioni kabisa ndo bibi mie naludi homee . Nimefika nyumbani . Mama kaninunia akanmbia eeh ndo umekaa siku 3 uko. Ukikuwa unafanywa na uyo baba rahul tena.nikasema hapna jamani mama. Alinambia anataka kuwa na mwanae kwa skku 3. Mama akanmbia kwa iyo ajakufanya untaka kunidanganya apa . Eeh akamuliza et rahul baba alikuwa analala na mma eeh. Rahul akasema ndio wanalala wote bibi. Mimi naangalia katuni. Mh nikawa naogopa asije kutaja mlige uyu mtoto
Mama akasema mshenzi kabisa ww huna ata aibu. Kama ulikuwa unaenda kufanywa si ungemuacha mtoto . Eeeeh . Unaenda kukaa.na mtoto ansikiliza upumbavu wenu. Mama nae. Mh mi wala sikumjibu. Mama akanmbia yusta alikuja apa kukusalimia. Nimemwambia aupo siku ya 3 sasa . Nyieee moyo wangu ukfanya paah . Nilichanganikiwa . Ila nilijikaz na mda uo uo . Yusta ananipigia simu. Mie nikaingia chumbani kwangu. Ndo nikaipokea ile simu. Nikasema hallow. Yusta akanmbia we hizo siku 3 ulizokuwa kwenu haupo ulienda wapi. Mh ata salamu hakuna..nikasema mie nilikuwa na mishe zangu. Na nilienda kwa baba mtoto wangu.yusta akanmbia wewe kaa mbali na mume wangu nakwambia kabisaa mume wangu hataki ata kukuona anakuchukia sana kwa mambo yako ha kisenge ulomfanyia
Mh nikasema kwni mimi nimemfata mumeo. Mie wal niko busy na yangu na tangu nimeludi wala sijawahi kuonana na mlige. Akanmbia habari ndo hivyo mana naona sikuelwi. Mume wangu akisafiri na ww nasikia kwenu haupo. Yani usiwe karibi na mume wangu kabisa. Kwanza ana hasira sana na ww .atakuua. mh mie kimyaa. Akajiropokesha .mie nikakata simu yangu nageuka hivi namuona kweli mama. Akanmbia we uyo yusta mbona kama anakushutumu unatembea na mumewe. Nikasem sijuh tena mama ndo nilikuwa namuelezea kuwa sikuwa na mumewe mm
Mama akasema faridah .isije kuwa kweli ulikuwa na mlige. Mi najua sna mlige anavyojupenda ww. Isije kuwa umekuludia faridah..nikasema hapana sijuwa nae mm. Mama akamuita rahul . Eh akaja chapu nakwambia. Mama akamuuliza kwan uliienda kwa yule baba yako mwarabu.eeh rahul akasema ahaaa sio uyo bibi. Yule baba angu mweusi mzuri. Ananukia . Ana gari nzuri. Mh mama akamwambia wee anitwa nani . baba nani. Mwanagu akasema ahaaaa ahaaaaa ahaaaaa.yani ile kama hakumbuki. Anaambia et mama anaitwa baba nani yule. Mie kimya chizi nn🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌111 MPAKA 113
🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni