CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA NNE*
Mhh CEO alinitizama tuu maana, kisha akatabasamu hujafukuzwa kazi, ila ni vile tu hujaelewa nilikuwa naamaanisha nini hapo, binti sikusem kwa nia ya kukufukuza kazi basi nikisema pengine kuna siku utaacha kazi, na kwa jinsi nilivyokuona kwa huo uvivu wako siku ukiolewa usifanye kazi maan utakuwa unarepport kazini saa 5 asubuhi, mhhh unaweza kwenda", niliondoka huku nasema najiapiza yaani mimi nikirudia mimi kuchelew kuamka nibadilishwe jina jamni maana niliona mhh huku kunapoelekea ni kufukuzwa kazi kana siku ya kwanza hadi CEO wa kampuni niliyo ajiriwa kashajua udhaifu wangu ila mimi jamani niliondoka kumbe sir alikuwa ananitizama tu kwa jinsi naondoka kwa mwendo wangu wa maringoo kama twiga maaan nilikuwa nanata sio poa nairingia ardhi kwa mwendo wa cat walk , na nilikuwa sikosei kabisa, ila hata mlangoni sijafika naskia
"Kuhusu deni lako la kukanyagiwa viatu nitakuongezeaa kwenye mshahara wako wa mwisho wa mwezi sawa? Sikuitika nikajifanya sikuskiaa ila nilitabasamu nikaona hapa itakuja pesa ndefuu maaan hawezi niongezeaa 20k, maan inavyoonekan hanunui vitu hovyo hovyo. huwa ananunua sehemu maalumu kam shoppers na sehemu nyingine kama mall hivyoo, nilitoka nikamuacha pale officine kwake.
Nilitoka nikakutan na shem James aliniuliza nini kimetokeaa nilimjibu short nikajibu hakuna shida alionesh kunijali, na mimi nikajua ni kwa sababu ya Zakia tu asingekuwa shga angu nisingejaliwa hivi jamani
Hatimae muda ulifika wa kondoka na tulipewa 25k zet za nauli mimi kama kawaida yangu nikapit sehem kumtumiaa mperizi wangu Hussein pesa maaan nilikuwa. Nikipata kazi pesa nusu na robo ni ya Hussein na hapo Inayobaki huwa yangu na nilikuwa sitaki ushauri yaani dada yangu ananiambia mwanaume hapewi pesa ila mimi niliona ni sawa tu na sitaki kusumbuliwa kwenye mahusiano yangu kabisa. ukizingatia kashatoa na barua kabisa nyumban nilimuona yeye ni mtu wa maana san kwangu, hata hivyoo Hussein alinifany nimtegemeee kihisia jamani hili jambo sio zuri kabisaa yaani ukimtegema mtu kihisia inakuwa shida sana kumuacha na anakuwa anakumudu kila siku, hili jambo dada yangu alikuwa tu aniambia kila siku lakini mimi sikuwahi kumuelew kwanza nilikuwa namuona mzinguaji tu hana lolote
Nilimaliza kufanya mambo yangu nikawa natoka sasa nielekee stand maana kubolt sio kweli kabisa na hivi sina hela bora nichelewe kil siku nyumbani niliondoka nikapanda nauli nikaondoka zangu, nakuelekea nyumbani mimi niliwahi kufika kuliko dada nilifua suti zangu za kazini nikaanika, nikaoga nikavaa dera langu nikaona bora kwanza niende kwa Zakia nikapate. update za mtaani jamani hhh mie nae kwa umbeaa sijui nipojee napenda sana
"Hee shga bora umefika maaan nilikuwa nataka nikupigiee uje au kama umechoka nikufuate" alisema Zakia akiniambia mimi hata kabla sijakaaa, enhee kuna umbea gani shga angu maaan hizi taaarifa hadi za kunipigia simu sio buree umbea wa hadhi huoo We unavyooambiwa yuleee Hadija wa pale kwa Mama amina mshenzi kumbe yaani kawagoganisha wanaume wawili kumbe wote ndugu shga angu mhhh kuna watu hawana haya kabisa, halafu sasa huyo Hadija mwenyew mimi namuona ana haki ya kutembea nao wote wawili maaan yeye huyo mmoja hata alikuwa hamuhudumii ana kazi ya kumla tu, na saa nyingine huyo mwanamke ndio anampa pesa shgaa hee jamni ila yule nae hata kam ndio ndugu wawili enhee ndio hivyoo shga angu, "ila kakosea hapo tu kwenye ndugu wawili, Ingekuwa, watu wawili tofauti ningeonaa yupo sawa ila ndugu mwenzangu hii haijakaaa poa kabisa shga angu" heee kwahyo wanaume wawil Ingekuwa sawa jaman Mungu aniepushe kutembeea na wanaume wawili kwa muda mmoja" "mh ila wew nae mjini hapa kila nyumba ina namba, mh kwahyo boss wako akikutaka. humkubalii? Siez fanya huoo upumbavu mimi kwanza mimi sio wa hivyoo, me mtu wa heshma siwez kuwa na wanaume wawil mda mmoja na hata hivyoo Hussein wangu ananitosha" niliongea kwa msimamo na niliona pia Zakia alikuwa kashaniharibia siku yangu tayr maana nilikuwa sitaki kukerwaa kashaniingizia mambo meusi, nikaona niondoke tu tena hata bila kumuaga huyo Zakia mwenyew alibaki ananisindikiza na maneno ya kunitania" Sawa mam true love never die, one day yes utakuja tuu, hapa unaliaa maaana sio kwa tukio ambalo huyo Hussein wako atakufanyiaa maana unampenda sana, ila wewe haya kesho ukirud uje na zawadi alisem kwa mbali na sikumtiliia maanani mimi nilikuwa busy wala hata sikumpatiliza mee kwakweli
Nilifika nyumbani kwetu nikakaaa tu nimetuliaa, naona namba ngeni inanipigia nikapoke hallow mtu na yeye akajibu "hallow sasa kesho chelewa kazini sawa eeh, utaniambiaa vizurii sawa bintii? Kwan nani wee unanitishia maisha jaman wewe kijana wa hovyoo? We kazini kwangu unapajuaa auu ndioo shoboo? Nilijibu vibaya muda huo hata mtu anaongea simjui ni nani?" okay unaonekan hupendi namba ngeni ila me ni CEO wako Ellias" awee nilishgaa nusu niulize namba yangu katoa wapi? Ila kwa hili nilisita nilijibu tu Samahani mkuu sikufahamu hiloo. naahdi kwamba sitachelewa sir, kisha nikakata utafikiri me ndio nimepig ila mee jaman hapana
H
Nilimsubiri dada ngu tukala na kwenda kupumzika kwa ajili ya kesho ambayo kulikuwa, kuna kazi hususani mimi niwahi kazini maaana wazazi wangu wameambiwa wamefurahi utasem wameambiwa kwamba nina, fanya kazi. ikulu m, maana ntakuwa mtu wa kwanza kijijini kwetu kufanya kazi kwenye kampuni...
Itaendeleaaa...
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni