Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9
Gonga94 ยท Stories

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

SONGA NAYO......

"Uwiiiii mamaaa, sir nisamehe.."

Alilalamika yule mwanafunzi.

( yani unaongea hivyo na mtu ambaye ananifanya nikose usingizi, nishindwe kula harafu unaongea unavyojisikia na mimi nikiwa hapa kabisa, pokea na hicho..)

Nikamshushia kingine ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

"Sir samahani..."

"Nilikuruhusu uongee..??"

Nilimuuliza

"Hapana sir..."

"Hebu toka hapa, beba na kiti chako uondoke sitaki kukuona hapa na kwenye hili kundi uhame utafute kundi jingine mbwa wewe.."

Basi yule mwanafunzi akabeba kiti chake huku analia akaondoka zake, ili kujifanya nimesahau nikarudi kukaa ili wanafunzi wajue nimemsahau Lizy ila ukweli nilifanya makusudi kabisa

"Yani binti muongo muongo kama nini bana, sasa yeye yanamuhusu nini hapo aje na mzazi aseme nimemuonea kumbe wala binti ndio ana matatizo.."

Nilijongelesha ๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ๐Ÿพ

Basi nikaanza kufundisha na muda wote nafundisha hapo nilikuwa namuangalia sana huyu binti walah ๐Ÿ˜‚ kuna namna nilivutiwa nawe, kuna muda nilikuwa najisahau hata kufundisha nabaki nimemtazama tu aisee

Ilifika wakati mpaka wanafunzi wangu wakawa wangeuka kuona ni nani namtazama..๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ๐Ÿพ

Basi masomo yaliendelea na muda wa kurudi nyumbani uliwadia nikamfuata Lizy muda huo anatembea pole pole kuelekea nyumbani na mimi nikaongozana nae ๐Ÿ˜‚

Sikuwa naogopa chochote si ni mwanafunzi wangu lakini, hivyo sikuwa na wasiwasi kabisa

"Mambo..."

Kakiwa kanatembea taatibu nilikasalimia na sio kawaida yangu ๐Ÿ˜‚ akageuka na kuniangalia kisha akashtuka.

"Mh mbona umeogopa hivyo, au ninatisha..??"

Nilimuuliza

"Hapana siri, ni vile tu umenshtua yani.."

Akaongea, dah ngoja niwaambie kwanza, kumbe Lizy ni mzuri namna hii na hata kunishtua tu hamna mnaendelea kukaa kinya watu wangu, walah binti ni mzuri na hii siku bwana niliweza kumuona kwa ukaribu zaidi๐Ÿฅฐ

"OH pole kumbe nimekushtua, basi shika hii hapa pesa ukanunue Counter.."

Nilisema huku nikimpa elfu tano, akanianngalia tu bila kupokea huku akiiangalia hiyo pesa, ikabidi nimshikishe kabisa kenywe mkono wake

Na muda huo huo akaja madam Penina so hakuweza kabisa kunirudishia

"Kipenzi..."

Madam penina baada ya kufika hapo aliniita jina ambalo lilinifanya nimuangalie Lizy mara mbili mbili, ๐Ÿ˜‚ maana kwenye akili yangu nilijua huyu binti atakuwa amenielewa

Lakini nilishangaa ni baada ya kuguna kidogo kisha akatuaga na kuondoka zake nikabaki namtazama jamani niliumia ๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ๐Ÿพ

"Haya na wewe kipi cha kuniita mpenzi na huku mwanafunzi wangu alikuwa hapa...."

"Aaah Henry kwahiyo umesahau kabisa kama mimi sio mpenzi wako..??"

Aliniuliza

"Haikuwa na haja ya kuniita mbele ya mwanafunzi..."

Niliongea kwa hasira, jamani kuna kitu nawaficha mimi na huyu madam tuna mahusiano, lakini hayo mahusiano upande wangu siyachukulii serious ,yani mimi nakuwa na huyu dada pale ninapokuwa na ugwandu wa muda mrefu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ๐Ÿพ

Jamni mtanisamehe bure akina dada ila ukweli huyu dada ameyataka mwenyewe yeye ndie ambaye alinifuata na kuniambia ananipenda, na kibaya zaidi akaja mpaka geto kwangu

Kama ambavyo mnavyonijua kwa tabia zangu siwezi acha mzigo hovyo hovyo kabisa nilichofanya ni kupita nae shwaaa ๐Ÿ˜‚ mdada saivi ndio ananielewa kinoma

Ila upande wangu simpendi kabisa yani hata kumuona tu najihisi vibaya ๐Ÿ˜, basi madam penina, ohooo danga langu akawa ananibembeleza pale huku akinipa maneno matamu matamu

Nilijua tu anataka hakuna kingine, nilichofanya mimi ni kumwambia tu twende geto kwangu, bila ubishi akanifuata tukachukua boda mpaka geto

Wa kwanza kuaingia alikuwa yeye, basi mimi nilikuwa nafanya taratibu yani najivuta vuta kama sitaki nataka akafungua mlango na kuingia

Ile naingia tu sebleni akanidaka na kuanza kunipapasa paasasa, alooo๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ nilijua tu huyu kuna vitu vinamsumbua vimemkaba mpaka koo

Akanifungua shati langu akalitupa huko ๐Ÿ˜‚ akamaliza akashika surualia akairusha huko, muda ote me nimetulia tu huku namuwaza Lizy wangu

"Henry mbona hivyo lakini..??"

Aliniuliza baada ya kuona simpi ushirukiano, sikumjibu nikamuangalia tu, basi akaendelea akanivulisha bosex akashangaa jamaa bado amelala

Akanitazama machoni, me mkavu namuangalia tu huyu dada namna alivyokuwa anasumbuka kwa ugwandu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ๐Ÿพ

"Henry, unaumwa au mbona leo imegoma kusimama ...??"

Aliniuliza

"Sijui..."

Nilimjibu kikavu, akainama na kuishika lollipop na kuanza kunyonya hapo, jamaa wapi kitu kipo vile vile, alifanya kila anachojua ili mashine isimame lakini wapi kijana wenu alikuwa ametulia tuli

Mwisho akachoka na kukaa kwenye sofa, akawa ananitazama tu alikuwa na hasira yani hata kuongea hawezi akachukua nguo zake akavaa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ๐Ÿพ me naendelea kumcheki

Hata bila kuniaga akaondoka zake, nikaanyanyuka na kufunga mlango nikaanza kumuwaza Lizy sasa, mara kitu hiyo ikasimama nikashangaa

Itakuwa madam penina kaniwekea madawa sio bure, nikabaki natapatapa mule ndani huku nikiombea mzee wangu alale lakini wapi

Nikawa nataabika tu nikaona cha kufia nini nikaingia bafuni na kuvua nguo zote nikachukua sabuni ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ na kuanza kujisugua huku nikivuta taswira ya mtoto Lizy

Mwamba jasho lilikuwa linanitoka, nikiwa naendelea na mchezo nikasikia mlango unagongwa, nikastop kwanza

"Nani...??"

Niliuliza lakini palikuwa kimya, nikajua nmesikia vibaya nikaendelea muda huo huo ukagongwa tena nilichukia, nikachukua taulo na kujifunga huku nikiwaza kwenda kumtukana huyo ambaye alikuwa anagonga mlango

Nikatoka huyo mpaka sebuleni na kushika kitasa huku nikiwa na hasira jamani ile nafungua namuona Lizy mbele yangu......

ITAENDELEA........

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9


SONGA NAYO......

"Uwiiiii mamaaa, sir nisamehe.."

Alilalamika yule mwanafunzi.

( yani unaongea hivyo na mtu ambaye ananifanya nikose usingizi, nishindwe kula harafu unaongea unavyojisikia na mimi nikiwa hapa kabisa, pokea na hicho..)

Nikamshushia kingine ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

"Sir samahani..."

"Nilikuruhusu uongee..??"

Nilimuuliza

"Hapana sir..."

"Hebu toka hapa, beba na kiti chako uondoke sitaki kukuona hapa na kwenye hili kundi uhame utafute kundi jingine mbwa wewe.."

Basi yule mwanafunzi akabeba kiti chake huku analia akaondoka zake, ili kujifanya nimesahau nikarudi kukaa ili wanafunzi wajue nimemsahau Lizy ila ukweli nilifanya makusudi kabisa

"Yani binti muongo muongo kama nini bana, sasa yeye yanamuhusu nini hapo aje na mzazi aseme nimemuonea kumbe wala binti ndio ana matatizo.."

Nilijongelesha...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/wewe-ni-wangu-sehemu-ya-9

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi wewe-ni-wangu-sehemu-ya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 6
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 6
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*MY WANGUโค๏ธ*   *sehemu ya 109 na 110*

*MY WANGUโค๏ธ* *sehemu ya 109 na 110*

1.04K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 111 na 112

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 111 na 112

670
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 59 na 60

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 59 na 60

608
AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 70...71๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 70...71๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

377
*REALLY LOVE Chapter 20

*REALLY LOVE Chapter 20

222
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8

140
MY CRAZY BOSS 07

MY CRAZY BOSS 07

131
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

103
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA NNE*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA NNE*

79
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * 5 to 6

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * 5 to 6

78

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.21K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.94K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.7K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.11K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.49K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.43K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.33K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.32K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.19K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 7 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 7
@majario LIVE

Wale wadada wakanyamaza kidogo, wakaniangalia kuanzia kichwani mpaka miguuni. Mmoja akauliza โ€œHuyu ni nani tena?โ€ Nikavuta pumzi ndefu, nikajikaza. โ€œSikujua kama leo ni sherehe, , mie ni mke wakeโ€ nikasema kwa sauti ya...

mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu Post Mpya
mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu
@majario LIVE

Ukurasa wa kutazama wa YouTube unaangazia upakiaji wa kwanza kabisa unaoitwa "Me at the zoo," ikionyesha mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 6 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 6
@majario LIVE

Maneno ya Boda boda yalikuwa yananifikirisha sana, nikafika nyumbani sina hata rahaa, kila nikapiga sana simu ya D hakuwa anapokea nilipiga sanaaa hata hapokeii .. Usingizi hauji yaani kila nikikumbuka wale...

Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov Post Mpya
Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov
@majario LIVE

after talks with the Russian ambassador as it tries to extradite him back to face charges. โ€œWorking with the Ghana Police CID, we have activated international legal action through INTERPOL...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9
@majario LIVE

SONGA NAYO...... "Uwiiiii mamaaa, sir nisamehe.." Alilalamika yule mwanafunzi. ( yani unaongea hivyo na mtu ambaye ananifanya nikose usingizi, nishindwe kula harafu unaongea unavyojisikia na mimi nikiwa hapa kabisa, pokea na hicho..) Nikamshushia kingine...

AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo Post Mpya
AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo
@majario LIVE

utakaopigwa Machi 01, 2026 kuhamishiwa katika uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar badala ya Benjamin Mkapa kama ilivyopangwa awali na kubainisha kwamba kanuni zinaruhusu. Akizungumza na chombo kimoja cha Habari...

AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 70...71๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 70...71๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
@majario LIVE

Ucjali lia mimi tayari nimeshakusamehe na ninakuombea kwa mwenyezi mungu akuponye uweze kurudi kwenye hali yako ya kawaida.... lia aliomba msamaha kwa paschal kutokana na vishawishi alivyokuwa akimpatia na hivyo...

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 111 na 112 Post Mpya
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 111 na 112
@majario LIVE

Nikasem na mm pia simkumbuki. Rahul akasema unamkumbuka mma.si yule alikua nanibeba . Nikasema simjuh mbona unanilazimisha. Mwanangu si ndo akakumbuk akasema ni elly bibi. Anaitwa bab elly. Uzuri...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8
@majario LIVE

SONGA NAYO.... Basi kama mwalimu nikamwambia Lizy apite akae, kweli na yeye akaenda na kukaa, kisha nikawatazama hao wanafunzi sasa walikuwa wananiangalia hao na mimi nikatoa mimacho yangu yote nje na...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * 5 to 6 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * 5 to 6
@majario LIVE

Chapter 5 Kulikucha ila hata leo nilichelewa kuamka maaana dada pia inavyoonekana jana alichoka sana hivyoo na yeye pia alilala sana hakuamka pia nikajikuta nimeshtuka saaa moja ikabidi tu niwahi kujiandaa...

Baby Guddu, whose real name is Shahinda Baig, was one of the most loved child stars of her time. The daughter of filmmaker M. M. Baig Post Mpya
Baby Guddu, whose real name is Shahinda Baig, was one of the most loved child stars of her time. The daughter of filmmaker M. M. Baig
@majario LIVE

, she began acting when she was just three years old and quickly became a favorite among audiences for her innocent charm and natural expressions. During the 1970s and early...

Sad ๐Ÿ˜ข : Mtayarishaji mkongwe wa filamu Bollywood  M.M Baig, baba wa aliyekuwa msanii mtoto maarufu wa zamani Baby Guddu, Post Mpya
Sad ๐Ÿ˜ข : Mtayarishaji mkongwe wa filamu Bollywood M.M Baig, baba wa aliyekuwa msanii mtoto maarufu wa zamani Baby Guddu,
@majario LIVE

na aliyeshiriki katika kutayarisha filamu kama Razia Sultan pamoja na kuongoza filamu ya Chhoti Bahu, alikutwa akiwa amefariki nyumbani kwake, msemaji wake bwana Hanif Zaveri amethibitisha. Kwa mujibu wa taarifa Baig...

Nottingham Forest beat Fenerbahรงe 3-0 in the first leg of their UEL knockouts playoffs tie. Post Mpya
Nottingham Forest beat Fenerbahรงe 3-0 in the first leg of their UEL knockouts playoffs tie.
@majario LIVE

Nottingham Forest beat Fenerbahรงe 3-0 in the first leg of their UEL knockouts playoffs tie. The Vรญtor Pereira era is off to a winning start โœ…

Suniel Shetty has been married to Mana Shetty (born Monisha Kadri) since December 25, 1991, and their love story is truly old-school Post Mpya
Suniel Shetty has been married to Mana Shetty (born Monisha Kadri) since December 25, 1991, and their love story is truly old-school
@majario LIVE

. They met back in the 1980s and dated for almost nine years before getting married. Coming from different cultural backgrounds, their relationship did face resistance initially, but love and...

๐Ÿšจ Al Ahly climb to second place in the Egyptian Premier League table after securing a 1โ€“0 win over El Gouna. Post Mpya
๐Ÿšจ Al Ahly climb to second place in the Egyptian Premier League table after securing a 1โ€“0 win over El Gouna.
@majario LIVE

The decisive moment came through Emam Ashour, whose goal proved enough to seal all three points and keep the title race firmly alive. #AfricaSoccerZone #AfricanFootball

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest