Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
Gonga94 · Stories

MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Nikasem na mm pia simkumbuki. Rahul akasema unamkumbuka mma.si yule alikua nanibeba . Nikasema simjuh mbona unanilazimisha. Mwanangu si ndo akakumbuk akasema ni elly bibi. Anaitwa bab elly. Uzuri sasa mimi nikiwa na mlige. Nimezoea sana kumuita jina lake lenyewe elly.so mma ili jina halijui🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌. Mama akasema mtoto maraya wew. Umeshapata bwan mwengine anaitwa elly si ndio mie kimya. Mama aksema sawa umwambie waje nyumbani kukutole posa sio kukuchezea uko watakupanua harka. Mshenzi wewe. Mie kimyaaaa ila raul anakumbuka jaman. Khaaaa kama katumwa. Mama akanisema pale kisha uyo akatoka ndani. Asee nikamsogela rahul nikamfinyaa shavuni. Heee si kaanza kulia. Namsikia mam unampiga mtoto si ndio . Nikasema hapana mama kaanguka mimi wala sijamfanya kitu

Heee mwnagu nae et bibi ananifinyaaa.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌. Mama akaja kumchukua. Et twende uku mchumba wangu achana na hilo shetani. Akamchukua akaondoka nae. Akaenda kulala nae chumbani kwake. Basi na mie nikajipumzisha nikiwa na mawazo mengi. Kweli bwana nampenda na ata mlige aananipenda sana .ila kuwa pamoja itakuwa mtihani . Mh basi nikajilalia zangu asubuh nikaamka na kazi zangu. Mida ya saa 4 hivi naona mlige ananipigia . Nikaenda kupokelea chumbani kabisa. Akanmbia vp mchumba unaendeleaje.nikasema.niko powa vp ww. Akanmbia niko powa . Vp bi mkubwa hajazingua.nikasema hapana wala sio sana ila sasa rahul si kakutaja uku. Mlige akacheka akanmbia wee sure. Nikasema.ndio ila kakutaja kwa jina la elly mama ajajua. Mlige akasema ata kama atajua ni sawa tu mi sijali kiukweli. Nikasema.no mlige una mke wewe. Akanmbia nakumbuka sasa mbona unanikumbusha. Mh nikabaki kimya akanmbia uwe na siku njem nakupenda sana faridah..nikasema powa .kisha nikakata simu. Nyieeeeee achenii

Kuanzia apo shoga yenu penzi na mlige likaludi kama kanitia bikra jana. Yani lilijaaa aswaaaa. Baba kanipenda kanipenda kweli. Mahaba kama yotee. Na pesa ananipa sana. Nyieee na mimi nikaanza kuonekana mwanamke. Na mambo yake kama kwa ni mwanza ndo tunaenda kufanya yetu. Ikawa sasa namuacha mtoto naenda mwenyewe uko nakaaa ataa weeek . Ila sasa nikawa nazuga bwana akiludi mimi nabaki ata siku 3 ndo naludi. Kumfanya yusta asistuke. Ila mlige wee uyu baba kwa kunipenda sio siri. Kwanza akiwa na mm ni ana rahaa mnoo. Tunacheka na kufurahii. Namtania hivyo .japo ananambbia we skkuamini najua ukipata mwanaume wakunizidi unaniacha. Nakuwa naumia na ayo maneno ila sina cha kufanyaaaa. Shoga yenu nikawa mchepuko aswaaaaaa ikapita kama miez 2. Mie mchepuko wa mlige. Na pesa annipa. Apo mama anajua nna bwana anaitwa elly yupo mwanza . Ana gari . Kumbe ndo mlige🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌

Basi siju iyo sasa nipo nyumbani naosha vyombo. Mh najisikia kichefu chefu kweli kweli. Nyieeeeee nikajua apa mamb yashatiki mana kwanza sikuwa najielewa. Na mlige alikuwa nafosi kinoma kuzaa na mie. Yani alikuwa hataki kumwaga njee kabisa. Na mie wala sikuzuia. Niliona ata nimfurahishe kwa hili uyu baba. Kama kuzaa nae basi saw tu. Na kweli nilivyoona vile .mie niikaenda kujipima . Weeee mzigo umetiki. Dr akanmbia ina mwezi na week 1. Basi mie nikamtumia sms mlige nikamwambia mana nilikuwa na uwa kika kwa uo mda atakuwa kazini. Nikamwambia mimi nimepima leo ni mjamzto. Wee mlige akapiga simu mda uo uo. Natweta. Et faridaha plsss hakuna kutoa mimba nasema hakuna kutoa.mimba khaaa kwani mie nimemwambia nataka kutoa mimbe🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌. Nikasema sitoi mbona una presha elly. Akanmbia uko wapi. Nikasema home akanmbia sawa usizulule plss isije kutoka. Nyieee mpaka nikacheka yani nilijua uyu baba alikuwa na kiu ya kuzaa na mimi aswaaa.

Basi shiga yenu nikaanza kulea mimba ata mama sijamwambia . Nyiee baba anatuma pesa kama chizi. Sikua na shida ata. Nikanenepa na nikapendezaa. Mie wala sikuwa na shida kwanza nilikuwa na heshima. Namba ya mlige kwenye simu yangi sijasevu kabisa. Na nikichart nae nikimaliza nafuta. Sijuh yeye sasa uko. Ile mimba ilivyofika miez 3 .mama akanigundua. Nikamwambia ahaa mama. Ndio mimi mja mzito ila alonipa mimba anaitwa elly amesafiri tu . Ameenda Congo ila akiludi anakuja. Mama alinambia we nyots yako ya kuzaliswa nyumbani sawa sina cha kufanyaaa. Mh mie nikaanza kuangaika na mimba yangu. Hii mimba ilinipenda wala sikukonda na kuumwa kama rahul hii mimba nilipendeza. Niliwaka . Mtako ukaludi. Apo sasa ndo mlige ana shida kila week end anataka tukalale wote . Et anataka joto la mwanae. Mpaka nikawa namsema kwamba mkeo atajua ahaa wapi wala hataki ni mbishi jamnai.

Siku iyo sasa nimetoka road. Nikakutana na yusta naona alienda kuangalia maduka ya mumewe. Basi nakwambia alivyoniona akanambia we dada mbona umependeza hivyo na una mimba. Nikasema ndio nn mimba . Akanmbia wewe mbona umependeza sana . We hutembei na mume wangu kweli wewe. Nikasema kwani mumeo maraya. Mbona una muhisi vibaya kila ukiniona.kwanza nna mda sana sijaonana nae uyo mlige sijuh ata anafananaje. Na hii mimba shiga nataka kuzaa mtoto wa pili na baba rahul kaludi wala usijipe presha aknmbia ahaa kumbe sawa. Ila mie nikisikia unatembea na mume wangu nakwambia kutakucha yani ntakiwasha hautaamini. Mie wala.sikumjibu nikaondoka zangu mana sikutaka maneno mengi.

Nikapambana na kulea mimba mpka mimba ikafikisha miezi 4. Nyie apo mlige nikiguna tu . Ananipa nnacho kutaka. Yani mapenzi alinizidishai mpka nikawa namshangaa kwamba uyu ana moyo wa aina gani. Yani hajapungiza ata kunipendaa mimi uyu baba. Na hivi nma mimba yake ndo kabisa kachanganikiwa mnoo. Basi siku iyo nikampigia simu nikamwambia nataka ela ya saloon. Nilimjalibu tu .mana pesa ya matumizi alishanipa. Akanmbia sawa unataka sh ngapi mke wangu . Nikamwambia yoyote akanmbia sawa. Akata simu ikaingia laki 2. Et kasuke mke wangu upendeze zaidi. Mie nikamwambia asantee. Basi mie . Nikafanya kazi zangu . Nikajiandaa uyo nikaenda zangu sallon..nimefika pale . Namkuta yusta ndo anasukwa. Mh ikabidi mm nisubiri nikaaka kwa pembeni. Na wadada wengine . Mh akaanzaa yani mie mume wangu ananipemda jamanii . Yani apa kanipa laki 3 ya kuja kusuka tu. Sijuh anipa sna pesa. Sihuh kwangu apumui. Sijuh nimemkamata. Basi nakwambia menno kibao.na mwenye saloon ana msupport na kweli mtuuu wako hana bayaa. Anajua kukupendaa. Basi sindo kaniona mie . Anajua kujielezea. Mie niko pale pale .mumewe ananipigia. Wala sijuogopa nikapokea. Nikasema ndio baby. Akanmbia ushaanza kusuka..nikasema hapana akanmbia asa kama kuna foleni nikupeleke ukasukr nyakanazi basi. Usiumie kiuno kukaaa apo.

Nikasema hapana mpenzi . Ntasuka apo apo .akanmbia swwa mida nikasema powa .mh yust akanmbia weee baba rahul uyoo. Nikasema ndio .akanmbia aya bwana.naona kakutelekeza ata kukufata hataki mpaka umekuw mwanakijiji. Mie kimyaaaa.akanmabia naona na sasa hivi ndo kakulidia mana apa kati ulipauka. Mie kimoyoni nasema ungejua ww. Mumeo Mumeo ndo mwenye huu mtumbo wala usingeongea . Akasuka zake ananikashifu mpka kamaliza .uyoo akamlipa yule dada akaniaga akasepa zake.mie ndo nikaanza kusukwa .yule dada akanmbia pole shogaaa. Najua ulijuwa unapigwa vidongo wewe na shoga yako.nikasema nishayazoea ya dunia. Akanmbia uyu tushamzoea wenzio. Anapenda kujisifia na uyo mumewe . Wakati nasikia hapendwi ata kidogoo. Bwana hamtaki ata. Ila yeye ndo kajing'ang'aniza. Sijuh ndo kafata pesa. Mh kwani na wewe si umchukue uyo mlige . Umkomeshe uyu. Nikasema wala sitembei na waume za watu. Yule dada akanmbia ahaaa tunakoma wallah . Mh anajua kujisifia dada. Mpaka mambo ya ndani kuna siku anakuja anaanza kutwambia leo mume wangu kanitomba mpka nimechanganikiwa . Asa wapi na wapi jamani. Mh mie nikabaki kimya. Nikamwambia dada nisuke niondoke . Mana ata sijielewi. Sikutaka umbea wa masaloon nikaja kusutwa mie

🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴

Maoni

You're not logged in


profile
Said 20 Feb 2026 07:48
hatar kibend tumepat
Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112


Nikasem na mm pia simkumbuki. Rahul akasema unamkumbuka mma.si yule alikua nanibeba . Nikasema simjuh mbona unanilazimisha. Mwanangu si ndo akakumbuk akasema ni elly bibi. Anaitwa bab elly. Uzuri sasa mimi nikiwa na mlige. Nimezoea sana kumuita jina lake lenyewe elly.so mma ili jina halijui🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌. Mama akasema mtoto maraya wew. Umeshapata bwan mwengine anaitwa elly si ndio mie kimya. Mama aksema sawa umwambie waje nyumbani kukutole posa sio kukuchezea uko watakupanua harka. Mshenzi wewe. Mie kimyaaaa ila raul anakumbuka jaman. Khaaaa kama katumwa. Mama akanisema pale kisha uyo akatoka ndani. Asee nikamsogela rahul nikamfinyaa shavuni. Heee si kaanza kulia....

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-111-na-112

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 109 na 110*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 109 na 110*
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 98 na 99*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 109 na 110*

*MY WANGU❤️* *sehemu ya 109 na 110*

1.04K
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112

MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112

674
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 59 na 60

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 59 na 60

608
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 70...71💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 70...71💘💘

379
*REALLY LOVE Chapter 20

*REALLY LOVE Chapter 20

223
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8

141
MY CRAZY BOSS 07

MY CRAZY BOSS 07

131
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

104
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA NNE*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA NNE*

79
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * 5 to 6

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * 5 to 6

78

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.21K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.94K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.11K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.49K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.33K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.32K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.19K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7
@majario LIVE

Wale wadada wakanyamaza kidogo, wakaniangalia kuanzia kichwani mpaka miguuni. Mmoja akauliza “Huyu ni nani tena?” Nikavuta pumzi ndefu, nikajikaza. “Sikujua kama leo ni sherehe, , mie ni mke wake” nikasema kwa sauti ya...

mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu Post Mpya
mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu
@majario LIVE

Ukurasa wa kutazama wa YouTube unaangazia upakiaji wa kwanza kabisa unaoitwa "Me at the zoo," ikionyesha mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6
@majario LIVE

Maneno ya Boda boda yalikuwa yananifikirisha sana, nikafika nyumbani sina hata rahaa, kila nikapiga sana simu ya D hakuwa anapokea nilipiga sanaaa hata hapokeii .. Usingizi hauji yaani kila nikikumbuka wale...

Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov Post Mpya
Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov
@majario LIVE

after talks with the Russian ambassador as it tries to extradite him back to face charges. “Working with the Ghana Police CID, we have activated international legal action through INTERPOL...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9
@majario LIVE

SONGA NAYO...... "Uwiiiii mamaaa, sir nisamehe.." Alilalamika yule mwanafunzi. ( yani unaongea hivyo na mtu ambaye ananifanya nikose usingizi, nishindwe kula harafu unaongea unavyojisikia na mimi nikiwa hapa kabisa, pokea na hicho..) Nikamshushia kingine...

AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo Post Mpya
AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo
@majario LIVE

utakaopigwa Machi 01, 2026 kuhamishiwa katika uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar badala ya Benjamin Mkapa kama ilivyopangwa awali na kubainisha kwamba kanuni zinaruhusu. Akizungumza na chombo kimoja cha Habari...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 70...71💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 70...71💘💘
@majario LIVE

Ucjali lia mimi tayari nimeshakusamehe na ninakuombea kwa mwenyezi mungu akuponye uweze kurudi kwenye hali yako ya kawaida.... lia aliomba msamaha kwa paschal kutokana na vishawishi alivyokuwa akimpatia na hivyo...

MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
@majario LIVE

Nikasem na mm pia simkumbuki. Rahul akasema unamkumbuka mma.si yule alikua nanibeba . Nikasema simjuh mbona unanilazimisha. Mwanangu si ndo akakumbuk akasema ni elly bibi. Anaitwa bab elly. Uzuri...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8
@majario LIVE

SONGA NAYO.... Basi kama mwalimu nikamwambia Lizy apite akae, kweli na yeye akaenda na kukaa, kisha nikawatazama hao wanafunzi sasa walikuwa wananiangalia hao na mimi nikatoa mimacho yangu yote nje na...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * 5 to 6 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * 5 to 6
@majario LIVE

Chapter 5 Kulikucha ila hata leo nilichelewa kuamka maaana dada pia inavyoonekana jana alichoka sana hivyoo na yeye pia alilala sana hakuamka pia nikajikuta nimeshtuka saaa moja ikabidi tu niwahi kujiandaa...

Baby Guddu, whose real name is Shahinda Baig, was one of the most loved child stars of her time. The daughter of filmmaker M. M. Baig Post Mpya
Baby Guddu, whose real name is Shahinda Baig, was one of the most loved child stars of her time. The daughter of filmmaker M. M. Baig
@majario LIVE

, she began acting when she was just three years old and quickly became a favorite among audiences for her innocent charm and natural expressions. During the 1970s and early...

Sad 😢 : Mtayarishaji mkongwe wa filamu Bollywood  M.M Baig, baba wa aliyekuwa msanii mtoto maarufu wa zamani Baby Guddu, Post Mpya
Sad 😢 : Mtayarishaji mkongwe wa filamu Bollywood M.M Baig, baba wa aliyekuwa msanii mtoto maarufu wa zamani Baby Guddu,
@majario LIVE

na aliyeshiriki katika kutayarisha filamu kama Razia Sultan pamoja na kuongoza filamu ya Chhoti Bahu, alikutwa akiwa amefariki nyumbani kwake, msemaji wake bwana Hanif Zaveri amethibitisha. Kwa mujibu wa taarifa Baig...

Nottingham Forest beat Fenerbahçe 3-0 in the first leg of their UEL knockouts playoffs tie. Post Mpya
Nottingham Forest beat Fenerbahçe 3-0 in the first leg of their UEL knockouts playoffs tie.
@majario LIVE

Nottingham Forest beat Fenerbahçe 3-0 in the first leg of their UEL knockouts playoffs tie. The Vítor Pereira era is off to a winning start ✅

Suniel Shetty has been married to Mana Shetty (born Monisha Kadri) since December 25, 1991, and their love story is truly old-school Post Mpya
Suniel Shetty has been married to Mana Shetty (born Monisha Kadri) since December 25, 1991, and their love story is truly old-school
@majario LIVE

. They met back in the 1980s and dated for almost nine years before getting married. Coming from different cultural backgrounds, their relationship did face resistance initially, but love and...

🚨 Al Ahly climb to second place in the Egyptian Premier League table after securing a 1–0 win over El Gouna. Post Mpya
🚨 Al Ahly climb to second place in the Egyptian Premier League table after securing a 1–0 win over El Gouna.
@majario LIVE

The decisive moment came through Emam Ashour, whose goal proved enough to seal all three points and keep the title race firmly alive. #AfricaSoccerZone #AfricanFootball

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest