Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 17 - 18
Gonga94 Β· Stories

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 17 - 18

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

ENDELEA.........

Mipango yangu iliendelea kwenda vizuri. Nilifanikiwa kufungua duka langu la spea za magari mke wangu alikuwa nsimamizi mzuri. Japo hakuwa na elimu ila alikuwa na akili ya biashara sana na ni mwanamke mwenge uchungu wa pesa.

Basi asubuhi moja tukiwa mezani kwaajili ya kifungua kinywa. Ilikuwa chai ya maziwa, mkate na mayai ya kukaanga.

Gafla Mellisa alijisikia kichefu chefu. Alikimbilia jikoni kwenye sink la vyombo alianza kutapika.

"Ana nini huyu?" Mama yake aliuliza. Wote hatukuwa na majibu, nilipata hofu moyoni nilihisi labda Mellisa nibmjamzito.

"Mama yake alimfuata jikoni alimkuta bado anatapika. Alisimama pembeni yake. Alipomaliza kutapika swali la kwanza alimuuliza.

" Mellisa una mimba?"

Mellisa mwenyewe alishtuka kwanza.

"Unashangaa nini sasa. Nakuuliza una mimba?"

"Sijui mama"

"Okay, najua huwezi kuendelea kunywa chai maana ndiyo sababu ya wewe kujisikia kichefu chefu. Nenda chumbani kwako kapumzike nakuja muda si mrefu"

Mellisa alienda chumbani kupumzika, mama yake alitoka nje ya nyumba hatukujua ameelekea wapi.

"Inaweza kuwa ni mjamzito" Misha aliniambia tukiwa mezani tunakunywa chai. Hofu ilizidi kunitanda.

Madame aliludi na moja kwa moja alienda chumbani kwa binti yake.

"Shika hiki kipimo kapime mimba" Alimkabidhi Mellisa kipimo. Melisa alienda chooni baada ya muda akitoka akiwa na kipimo mkononi, alimkabidhi mama yake.

"Unaweza kuniambia hiyo mimba ni ya nani?" Mama yake alimuuliza. Mellisa alikaa mimya kama vile hajasikia.

"Leo kama utasubutu kujifanya kiburi nitakupiga kipigo cha mbwa koko, sikumbuki kama nimewai kukupiga ila leo nitakuzibua haswaaa! Niambie muhusika wa hiyo mimba.

"Mama nakwambia ukweli ila naomba umsamehe pia yeye hana kosa mwenye makosa ni mimi. Nampenda sana mama yangu" Melissa aliongea hayo huku analia.

"Sawa niambie ni ya nani?"

"Muhusika wa hii mimba ni Leo" Mellisa aliongea kwa sauti ya chini.

"Umesema ya nani?"

"Ya Leo mama"

"Leo Huyu wangu au Leo gani?" Mama yake aliuliza kwa uoga.

"Ndiyo Leo huyu mfanya kazi wetu"

"Uwiiiiiii! Nimekwisha mimi" Mama mtu alishika kichwa na kukaa chini kabisa.

"Mama naomba usimdhuru nampenda sana Leo nipo tayari kuwa mke wake.

"Mb...wa wewe unaongea ujinga gani. Unawezaje kushare du...du na mama yako"

"Sijakuelewa?" Mellisa aliuliza kwa mshangao.

"Hujaelewa nini. Hivi Mellisa muda wote tulioishi na Leo humu ndani kusoma hujui hata picha huoni, yaani wewe huyo nae umelikalia du....du la Leo mpaka mimba umebeba?, Uwiiiii! Aibu gani hii"

Basi ni vilio tu vilitawala humo chumbani. Ilibidi mimi na Misha tuwafuate huko chumbani ili kujua shida nini.

Ile naingia tu Madame Yustar alinikwida kisawa sawa. Alinitukana matusi kama yote huku ananishushia vibao vya maana.

Sikuwa na namna zaidi ya kuwa mpole tu.

"Unaweza kutembea na binti yangu mpaka kumbebesha mimba mimi sikutosh" Misha alibaki mdomo wazi.

"Mama Leo hana kosa. Mwenye makosa ni mimi, mimi ndiye niliyempenda kabda yake na nilimlaximisha kuwa na mimi kwa kumtishia nitamchongea afukuzwe kazi. Nampenda sana Leo tafadhali usimoige" Mellisa aliongea hayo huku akiwa analia.

Mama yake aliishiwa pawa. Alikaa chini kwa mala nyengine alianza kulia, alilia sana na hakuna aliyemsogelea kumbembeleza.

Baada ya kunyamaza alimwambia Misha atoke anataka maxungumzo ya watu watatu tu. Misha alitoka.

"Umesema wewe ndiye mwenye makosa maana ulimpa vitisho Leo yaani ulitumia ubabe ili akupende si ndiyo?" Madame alimuuliza mwanae. Mellisa hakujibu zaidi ya kuinamisha kichwa chini.

"Okay basi ni hivi, hiyo mimba itolewe tena kwa haraka leo hii hii kabda jua halijazama. Siwezi kuifuga hii laana mimi" Madame aliongea hayo kwa kumaanisha.........

ITAENDELEA...........

Maoni

You're not logged in


Tangazo - boss Enzo fully stories
boss Enzo fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 17 - 18


ENDELEA.........

Mipango yangu iliendelea kwenda vizuri. Nilifanikiwa kufungua duka langu la spea za magari mke wangu alikuwa nsimamizi mzuri. Japo hakuwa na elimu ila alikuwa na akili ya biashara sana na ni mwanamke mwenge uchungu wa pesa.

Basi asubuhi moja tukiwa mezani kwaajili ya kifungua kinywa. Ilikuwa chai ya maziwa, mkate na mayai ya kukaanga.

Gafla Mellisa alijisikia kichefu chefu. Alikimbilia jikoni kwenye sink la vyombo alianza kutapika.

"Ana nini huyu?" Mama yake aliuliza. Wote hatukuwa na majibu, nilipata hofu moyoni nilihisi labda Mellisa nibmjamzito.

"Mama yake alimfuata jikoni alimkuta bado anatapika. Alisimama pembeni yake. Alipomaliza kutapika swali la kwanza alimuuliza.

" Mellisa una mimba?"

Mellisa mwenyewe...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/utamu-wa-kula-kuku-na-mayai-yake-sehemu-ya-17-18

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi utamu-wa-kula-kuku-na-mayai-yake-sehemu-ya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 16
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 16
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE   SEHEMU YA 15
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 15
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 14
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 14
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 13
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 13
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 11
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 11
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 12
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 12
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE   SEHEMU YA 19 - 20
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 19 - 20
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37

1.13K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38

890
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39

686
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 16

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 16

270
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 16

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 16

249
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE   SEHEMU YA 15

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 15

214
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 14

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 14

204
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 13

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 13

190
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 12

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 12

140
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 17 - 18

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 17 - 18

133

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.62K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.37K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.8K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.28K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.86K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.77K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.66K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.62K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.61K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.55K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

ENDELEA....... Madame Yustar alitoa amri mimba itolewe ili kuepusha laana kwenye ukoo wao. "Hapana siwezi kutoa mimba hata iweje" Mellisa alimvimbia mama yake. Saa ngapi asilukiwe akaanza kutembezewa kichapo. Nae hakukubali apigwe kilahisi,...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

ENDELEA......... Mipango yangu iliendelea kwenda vizuri. Nilifanikiwa kufungua duka langu la spea za magari mke wangu alikuwa nsimamizi mzuri. Japo hakuwa na elimu ila alikuwa na akili ya biashara sana na...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14
@majario LIVE

SONGA NAYO.... Niliwaona mama na baba yangu wakiwa wanamshangaa sana yani walishangaa mpaka wakanisahau mtoto wao kama naumwa πŸ˜‚ Basi mimi niipomuona Anfrey nilinyanyuka na kwenda kumkumbatia " Nasrat wangu, yupo wapi mtoto...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹ Siku iliyofuata, Noela alipofika chuoni alihisi hali si ya kawaida. Watu walikuwa wanamuangalia kwa macho ya ajabu, wengine wakinong’ona pembeni yake. Alijaribu kupuuza lakini hali ilikuwa mbaya zaidi alipoingia darasani😭. Mwishowe,...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 16 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 16
@majario LIVE

πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹ Salmon alisimama pale akimtazama Noela na baba yake kwa macho yaliyojaa hasira na maumivu. Hakutegemea kabisa kumuona Noela akiwa kwenye dinner ya kimapenzi na baba yake mwenyewe. Iris yeye alisimama pembeni,...

Nadhani katika jitihada za kuhakikisha tunapeleka mbele kiwanda cha filamu Tanzania (Bongo Movie) Post Mpya
Nadhani katika jitihada za kuhakikisha tunapeleka mbele kiwanda cha filamu Tanzania (Bongo Movie)
@majario LIVE

lazima baadhi ya mambo tuambiane ukweli mchungu hili uwe tiba kwa vizazi vijavyo pamoja na wasanii chipukizi. Hili swala la Chado Masta kuzaa na Kidemu Jau kuna namna sio salama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39
@majario LIVE

Daaah unajua mtoto alibaki kashangaaa ,et akasogea nyuma yangu akajificha, aseeee zena akainuka kwa kwa hasira ,akaja akamvuta mtoto, akamipiga konde moja la mgongo zito kwei kweli ,yani hii siku...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38
@majario LIVE

Basi nikasema ummy upo mama, ummya kanmbia ndio baba nimekumiss, kila siku niktaka kuongea na wewe mama ananikatazia, nikasema ooh sawa mama ndo mana leo nimekuja kukuona mama sawa, basi...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi zena akanmbia ni sawa pia, nikasema powa ibraa twenzetu, ibra akanmbia mh millan usipanic bwana ,uyu mwanamke alafu sa hizi ana hasira, ebu tulia tuongee vizuri kaka, mbona...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 16 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 16
@majario LIVE

ENDELEA......... Tuliingia room tulifanya yetu baada ya hapo tulitoka mie nililudi kazini na Mellisa aliludi nyumbani. Majira ya jioni nilimpitia Madame Yustar kazini kwake. Aiseeee nae akataka yaani nilikuwa nachoka kinouma asikwambia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE   SEHEMU YA 15 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 15
@majario LIVE

ENDELEA.......... Ndani ya masaa kadhaaa niliingiza mkwanja wa milioni tatu na nusu kutoka kwa jimama la mjini. "Hata Madame Yustar hajawaibkunipa pesa nyingi hivi kwa muda mchache. Huyu nimkubalie nini?" Nilijiuliza mwenyewe....

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 14 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 14
@majario LIVE

ENDELEA.......... Mellisa nae alibana nje ya mlango wa chumbani kwa mama yake alitaka kujua nini kinaendelea. "Hapana mazingira ni hatarishi sana" "Unamuhofia nani na tupo nyumbani kwangu, kwanza nataka dunia yote ijue kuwa...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 13 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 13
@majario LIVE

ENDELEA........... Watu pombe ziliwakolea mie sio mnywaji wa pombe nilikuwa naangalia tu maujinga wanayoyafanya. Mkojo ulinibana nilienda chooni ile natoa tu dudu mlango ulifumguliwa aliingia mshangazi mmoja kati ya wale waliokuwa wananisifia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 12 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 12
@majario LIVE

ENDELEA......... Madame aliwapa taarifa Mellisa na Misha kuwa mimi sio mlinzi tena bali ni mfanya kazi wake kwenye biashara zake. Rasmi niliajiliwa kusimamia duka kubwa la spea. Huko ndo kulikuwa na pesa...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 11 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 11
@majario LIVE

ENDELEA.......... Madame Yustar alibaki mdomo wazi. "Ebu inuka kwanza" alininyanyua kwa mikono yake miwili. "Sina maana ninakufukuza kazi na wala sijasema kuwa una mahusiano na binti yangu. Naamini Mellisa unamtazama kama binti yako...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest