AFANDE MILLAN๐ Sehemu ya 38
Basi nikasema ummy upo mama, ummya kanmbia ndio baba nimekumiss, kila siku niktaka kuongea na wewe mama ananikatazia, nikasema ooh sawa mama ndo mana leo nimekuja kukuona mama sawa, basi ummy akanishika mkono akanmbia twende ukapaone kwetu kupya baba ,twende nyumbani kwetu, basi akawa ananivutaaa, nyieeee akawa anawambia watoto wenzake naona alikuwa anacheza nao ,et nyieee mnamuona baba yangua ananipenda sana leo kaja kuniona, mh nilijisikia vibaya mbele ya mtoto, sijaongea nae wala kuja kumuona mda sana, na wakati naelewa aka kabinti kananipenda sana , ila bado mtot alionesha kanimiss na bado ananipenda mnoo,basi kweli akaniiingiiza mpaka kwao na ilikuwa nyumba kubwa ila ina vyumba vya. Ndani na watu watu wanashare corrido, mpaka wapanganji wa mule wakawa wanashangaa, jinsi ummy alivyonishika mnoo, ummy akawa nanaitambulisha yani, uyu baba yangu leo kaja kuniona, yani ata sikupata shida y kujielezwa na akanikalibisha mpaka ndani, aseeeee nikaingizwa mpaka ndani, zena alikuwa kapanga chumba na sebule ila vile vya kawaida tu
Ila ndani kwake ni kusafi na kulipendeza sana, sababu bado alikuwa na vile vitu ambavyo nilimnunulia, basi sasa nikamuuliza mama.yuko wapi mboana simuoni, akanmbia yupo kule kwemyw biashara anauza biashara, nikamuuliza mama anauza biashaea wapi, aanmbia sio mbali nikupeleke kule anauza chapati nzuri mama yangu, mh nikamwambia sawa nipeleke nikamuone mam, nyie ummy akanishika tena mkonoo, akanitoa ndani tukaamza safari ya kuelekea kwa mama yake๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐๐๐๐๐๐, apo njiani anajulikana ummy nahisi ni katundu aka, basi watu wanamuuliza ummyy uyo nani kwani, ahaaa ni bba yangu uyu , baba yangu mzuri mzuri ananipemda sana ndo kaja kuniona, basi watu wanacheka na mimi naishia kucheka tu, apo ni yeye ndo kanishik mkono basi bwaana mtoto aknifikisha mpaka anapofanyia biashara mama yake, aseeeee hii siku niliumia sanaaaa nilimumoa mnooo
Ilikuwa ni fremu ndogo tua, iliwekwa mabechu mengi, na walijaaa wateja ila wanaume ndo sana, alafu apo kwa njeee ya baraza ndo nilimuona zena sasa, ana tumbao kubwa mnoo na miguu yake imemjaa kweli kweli, ila anasukuma chspati na anangaika na moto, aseeeee nilihisikia vibaya sanaa, na apo niliona kuna mdada ndo anamsaidia kutengea wateja na kupaakua maharageee, mi niliogopa ata kumsogelea zena, na nilimuonea huruma sana mana nilijua ana umia kwa hali yake ,ila anasukuma chapati ana kuchoma daaah, nyie ummye kanaivuta mpaka mbele ya mama yake. Kisha ummy akasema mama muone baba yangu mzuri kaja kuniona,
Apo ndo zena akainua sura yake tukaangaliana sasa, nyieeeeee , niliona aibu sijuh niseme, sijih nilionaje yani, zena akasema.ummy muachie mkono uyo mtu haraka, si mwanae alinishika mkono, ummy akasema mi nimmemis baba , niache nimshike mama, nyieeee mnajua tonge la chapati ambalo ndo linataka kusukumwa, zena akalichukua akampiga nalo mtoto kwa nguvu, paaaah akasema msenge wewe unamshika unamju , baba yako alikuzaa saa ngapi maraya mtoto wewe, nyoooooo, muachie mkono sasa hivi,daa ummy akaniachia akawa analia mtotoz mana lile tonge alimpiga nalo shavuni, alafu alitumia nguvu so nilijua limemuumiza ,nikaona kumekuacha apa leo,
๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni