UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 16
ENDELEA.........
Tuliingia room tulifanya yetu baada ya hapo tulitoka mie nililudi kazini na Mellisa aliludi nyumbani.
Majira ya jioni nilimpitia Madame Yustar kazini kwake. Aiseeee nae akataka yaani nilikuwa nachoka kinouma asikwambia mtu.
Nilishindwa kumkatalia nikasema wacha nikampeleke moto nae japo kinyonge.
Cha kushangaza alitaka twende hotel hiyo hiyo tuliyoenda mchana mimi na binti yake. Yaani tumetoka pale hotelini saa tisa mchana saa moja jioni naludi tena.
Tulifika hapo hotelini Madame Yustar aliagizia nyama choma na vinywaji. Tulianza kula taratibu baada ya hapo aliniambia nikachukue room huku nyuma kuna muhudumu shilawadu aliyetuona mchana hapo mimi na Mellisa alimfuata.
"Samahani Madame huyu kijana ni mtoto wako?"
"Mashwali ya nini nenda kwenye point"
"Nilimuona hapa masaaa mchache yaliyopita alikuwa na mwanamke"
"Mwanamke?" Aliuliza kwa hamaki.
"Siwezi kumsahau ni huyu huyu mpaka nguo ni hizo hizo. Na baada ya muda waliingia room"
Yule muhudumu akiwa anaendelea kunielezea nilifika hapo ilibidi aondoke.
Tuliingia room na Madame ila alikuwa amepoa.
"Kuna tatizo?" Nilimuuliza.
"Nasikia leo ulikuwepo hapa muda si mrefu. Unaweza kuniambia ulikuwa na mwanamkd gani?" Madame aliniuliza kwa sauti ya upole.
"Mimi!?" Nilijifanya sijui anazungumzia nani.
"Ni wewe kwa maelezo niliyopewa, kuna asilimia za ukweli kabisa. Ebu Leo usitake kunivulugha ninakupa kila kitu na nimeyabadilisha maisha yako kwa kiasi kukubwa. Kutoka kuwa muokota makopo mpaka kuwa hivi, nakulipa vizuri nakuhonga pesa nyingi tu sijui nitakufanyaje endapo nikigundua unanisaliti" madame Yustar aliongea hayo.
"Baby huenda wamenifananisha mie nimeshinda ofisini leo huku nimefika saaa ngapi, wala kuna mpango wa kutugombanisha mimi na wewe. Unajua kwenge part kuna mambo yalitokea sema sikutaka tu kukwambia ila acha nikwambie kabda mambo hayajaharibika.
"Mambo gani niambie" madame Yustar aliongea kwa paniki.
"Kuna rafiki yako mmoja alinitongoza nikamkataa baada ya kumkataa aliniambia atafanya juu chini kuniharibia"
"Ni nani?" Aliniuliza kwa hasira.
"Sijui anaitwa nae ila naweza namna alivyo na nguo alizovaa ukamfahamu" basi nilianza kumuelezea huyo rafiki yake.
Ukweli ni kwamba. Yule mwana mama aliyetuona hotelini mimi na Mellisa hata mimi pia nilimuona na usiku wa party alikuwepo, ila nilijikausha kama vile sijamuona na niliamini taarifa za kuniona mimi na Mellisa zitamfikia Madame Yustar.
Madame Yustar alifikilia kwa muda kidogo.
"Mbwa huyu alinipigia mchana akiniambia amemuona Melissa na mwanaume hapa hotelini sikutaka kumpa nafasi ya kumsikiliza naona saivi amemtuma muhudumu ili alivunje Penzi letu"
"Marafiki wengine ni nyoka kabisa. Achana nae baby" Nilifanya kumtuliza Madame Yustar.
"Kuanzia sasa mimi na yeye ushoga umevunjika. Yaani kumbe anataka kuupora utamu wamgu mpaka anatumia nguvu kiasi icho. Huyu anaweza kuniua kabisa she....nzi zake" Madame Yustar alichagukwa kweli kweli.
Mie moyoni kwatu. Nilijikuta mjanja balaaaa!.........
ITAENDELEA.............
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni