Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
09 Mar 2026
51 views
VYOTE NDANI GONGA94
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 11
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
ENDELEA..........
Madame Yustar alibaki mdomo wazi.
"Ebu inuka kwanza" alininyanyua kwa mikono yake miwili.
"Sina maana ninakufukuza kazi na wala sijasema kuwa una mahusiano na binti yangu. Naamini Mellisa unamtazama kama binti yako kwasababu mimi ni mpenzi wako, haijalishi hata kama malika yenu yapo sawa.
" maana yangu ni kwamba nataka nikukabidhi biashara yangu uisimamie wewe. Leo nimekupenda kweli kweli natamani hata uwe mume wangu tuache kujibana bana kama hivi. Muda huu kichupa kimejaa na mazingira ndo hivyo hayaruhusu kabisa kukulana"
Mwana mama huyu alidata vibaya mno kwaajili yangu. Hakika heshima ya mwanaume sio pesa. Pesa ni kinogesho tu.
Katika mazungumzo ya hapa na pale nilimuomba pia kesho kwenda kumtembelea rafiki yangu kabda sijaanza kazi.
Kesho iliwadia nilienda maeneo niliyokuwa naishi nikiwa sio Leo yule muokota makopo. Nilienda kama vile muheshimiwa flani hivi nikiwa na ndinga la kitajiri(gari)
Nilifika nje ya nyumba nilipokelewa na mtoto aliyenifanania kila kitu.
Niwaibie siri sasa wasomaji. Mie Leo nilikuwa na familia yaani mke na mtoto wa kike. Maisha magumu ndiyo yaliyonifanya niwe muokota makopp ili familia yangu ipate chochote kitu.
Niliamua kumdanganya madame kwa kuhofia anaweza kuninyima kazi kama akijua nina familia kutokana na kazi aliyotaka kunipa. Nilimuambia mke wangu hali halisi alielewa na aliniluhusu niende. Sikuisahau familia yangu. Pesa zangu zote za malipo nilillkuwa namtumia mke wangu yeye ndiye aliyeluwa anashililia kila kitu cha familia na wala sikuwai kuwa na mashaka nae.
Basi nilifika nyumbani kwa mke wangu. Kila mipango tuliyokuwa tunaipanga ilienda vizuri. Mke wangu aliniambia tayari ameshanunua kiwanja. Kila jambo tukilolipanga lilienda vizuri na yote ni kwasababu mke wangu alikuwa na uchungu wa maisha kutokana na hali duni tuliyopitia.
Nilishinda na familia yangu mpaka jioni huku nikimburudisha mke wangu vya kutosha,Mama Hinaya wangu.
Jioni niliondoka nikiwa nimeacha kila kitu kipo sawa. Nilifika kwa madame Yustar nilimkuta Mellisa kibarazana.
"Ebu inuka kwanza" alininyanyua kwa mikono yake miwili.
"Sina maana ninakufukuza kazi na wala sijasema kuwa una mahusiano na binti yangu. Naamini Mellisa unamtazama kama binti yako kwasababu mimi ni mpenzi wako, haijalishi hata kama malika yenu yapo sawa.
" maana yangu ni kwamba nataka nikukabidhi biashara yangu uisimamie wewe. Leo nimekupenda kweli kweli natamani hata uwe mume wangu tuache kujibana bana kama hivi. Muda huu kichupa kimejaa na mazingira ndo hivyo hayaruhusu kabisa kukulana"
Mwana mama huyu alidata vibaya mno kwaajili yangu. Hakika heshima ya mwanaume sio pesa. Pesa ni kinogesho tu.
Katika mazungumzo ya hapa na pale nilimuomba...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/utamu-wa-kula-kuku-na-mayai-yake-sehemu-ya-11
Maoni