SASA NAKUPENDA Sehemu ya 31 na 32.
๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ
Mwandishi; lissa wa huru media
Basi adrian akanipeleka mpaka chuo. Akanmbia kumbe upo apa.sinza nikasema ndio ndo nipo apa .akasema oooh sawa .vp lakini umenielewa na unayafikilia maneno yamgu.nikasema yaaa nimekuelewa na nakufikilia wala usijali. Akanmbia sawa nipe namba zako.nikasema sawa kisha nikampa namba zangu. Mwanaume akavuta pochi akanipa laki 2. Nikamshukuru akanmbia sawa shakira but nifikilie sana nakupenda mno. Nikacheka zangu tu.kisha uyo nikaingia zangu chuo.
Sasa apa chuo nilikuwa na mazoea na mdada mmoja ana umri kama wangu anaitwa gile . Yani gile kwa chuo apa alikuwa ndo shost yangu kweli kwrli. Kiukweli nilivyopata nafasi nilimshilikisha gile juu ya baraka na adrian. Akanmbia sikia achana na uyu barka kwanza ni kama ndugu yako .alafu mwanaume anayekupemda hawezi kuwa anajifanyia maamuzi yake tu. Alafu anazingua uo mda wote yye anapigia ndugu zake vp ww haoni muhimu wako achana nae .nikasema sawaaa.
Basi mda wa kutoka chuo. Ulipofika ile natoka na shoga yangu gile .heee namkuta adriana getini ananisubili mh kaka yupo serious uyu. Basi ikabidi nimtambulishe gile kwa adrian na adrian kwa gile. Basi adrian akaomba kututoa out . Na sikuona shinda kweli akatutoa bwana. Akatupeleka sehemu nzuri ya kupata chakura ipo ubungo tukala na shoga yangu kuku za kutosha. Full mbuzi za kuchoma. Tukala na kunywa pale. Basi adrian akasema..gile ongea na shost yako anisamehe basi nampenda sana . Yani nateseka kwa kuwa naye mbali mwambie anisamehee basi. Basi gile akasema wala usijali shemeji aya yashaisha mbona. Ila gile apo anaongea uku anamalizia kipaja cha kuku.nikabaki nacheka tu. Tulipomaliza kula. Mwanaume akalipia bill yoteee.
Kisha sasa tukingia ndani ya gari . Tukampeleka gile kwao tabata kwanza . Kisha ndo akaniludiaha kwetu ubungo. Basi alinifikisha mpaka mitaa ya nyumbani kabisa. Akanmbia aya bwana mi nakuaga nikamuangalia nikajikuta nimecheka tu. Kisha nikamsogelea nikambusu mdomoni. Nikatka kuchomoka akanishika mkono. Akasema nini sasa mbonaa unataka kunikimbia. Nikabaki nacheka tu. Akaniuliza umenisamehe mpenzi na yameisha sasa. Nikasema ndio adrian akanmbia asante shakira. Basi akanikamata akaanza kunisss serious. Woow niliinjoy mnoo. Nikajiachia akaanza kunichezea na maziwa . Mh na vile sijashikwa siku nyingii. Uwiii nikajiachia tayari nakwambiaaa. Nikapeleka mkono kwenye suluali yake .nikakuta kumevimba atari. Nikaingiza kabisa. Nikaanza kuchezea mboo yake. Kisha nikainamaaa nikaanza kumlambaaa sasa . Weee nikainyonya kweli kweli. Mpaka adrian akanikojelea mdomoni ndo nikamuacha sasa. Akanmbia nimekumiss sana .lini tunaonana plsss.nikasema keho ni week end hatuend chuo tutaonaa akanmbia sawa nakungoja kwa hamu sana . Mana nimekumiss sana. Nikasema powa kisha uyo nikashuka nikaongia zangu ndani.
Basi nilivyofika ndani nikakuta mzee anaongea nasimu kama na wajenzi hivi. Nikahisi mzeee anajenga nyumba nyengine .ila sikuumuuliza ata. Ila baadae sasa ndo nikamuuliza mama. Kwani bba anajenga nyumba nyenine mama akasema achana nae bwana. Ni baraka alimtumia pes amjomba yake amnunilie kiwanja sa hivi ndo kamtumia pesa tena anataka amjengeee. Nikasema ahaa basi sawa. Mimi wala sikuuliza tena ata anajenga wapi.nikaona kama hayanihusu hivi. Mana mwanaume tangu ameondoka hajawahi kunitafuta wala kuniulizia. Maana yake hanipendi wala hanitaki. Sikuona shida ataaaa.
Nikaingia chumbani kwangu. Na adrian nae ndo alikuwa ananipigia. Basi tukawa tunanongea pale akanmbia kwa sasa yeye amehama apa mitaa ya ubungo ila anaishi mbezi. Pale amepangisha nikasema sawa. Kanambia so kesho nakufata nakuleta uku kwangu mbezi. Nikasema sawa na hongera mpenzi sana. Basi tukapiga sana story . Na adrian alinambia kuwa ananihitaji sana katika mahusiano yetu ya mapenzi hivyo ananihitaji sana . Nikasema sawa hakuna shida nakupenda pia mume wangu . Basi nikaona acha tu niwe na adrian. Na kweli kesho yake. Mwanaume alinifata mitaa ya kwetu akanipeleka mbezi nikaenda kuukalia mimi. Na rasmi penzi langu na adrian likaludi nakwambia. Tena safari hiii lililudi kwa kasi mnoo. Si unajua now sisomi. So ata nikimdanganya mama naenda kwa rafiki zangu.kumbe naenda kwa adriani. Na uzuri mchumba vipesa pesa anavyo. Basi mambo yakawa yananyooka kweli kwrli nakwambia.
Sasa siku iyo nimeenda kwa baba mdogo bakari. Kule walipo ndugu zake na baraka dada zake yani. Uyu dada yake wa pili kuzaliwa . Yani akitoka baraka ndo yeye anitwa maua uyu ni makamu yangu kabisa. Kisha sasa ndo wananmdogo wao wa mwisho ambae ana kama mika 9 hivi. Basi nilipofika nikapiga sana story na mama mdogo lakini piah niliongea na maua. Nikamuuliza hivi kka yenu uwa anawapigia akasema sana tena mpaka pesa anatutumia . Nikasema ahaa kumbe . Akasema ndio tena kama jana kanitumia laki 7 naenda kumtumia wifi bahati. Mana yeye alikuwa hampati katika simu. Alafu kule kaka anapata mda mdogo wa kuongea na simu. Nyie nilimind sana. Nikasema pumbavu kabisa kumbe uyu mimi ndo anitaki mpka mwanamke wake bahati anampigia na wanaongea na pesa anamtumia .na nikajua uko anapata vipesa pesa. Mana nimesikia anajenga leo nayasikia aya . Nikasema ahaaaaa sawa . Kwani uyu bahati ndo nani wenu. Maua akasema ni wifi yetu bwana wa uko nyumbani. Yani ni mchumba wa kaka yetu. Ila usimwambie sasa siku ukikutana nae. Uyo bahati ni mchumba wa kaka baraka tangu wanasoma uko nasikiaga na kaka anasemaga ndo atamuoa uyo bahati daaah. Nyie kweli nipo na adrian ila baraka naendaaa. Yani zile habari kwangu zilikuwa mbaya na zenye kuuma sana. Na tukiwa tunaongea . Simu ya maua ikaanza kutita.akasema woow kaka anapiga. Nikasema naomba kuongea nae. Maua akasema ngoja nimsalime basi kisha nakupa. Niliona anajichelewesha.nikavuta ile simu nikaipokea. Nikasikia baraka anasema maua nishampata wifi yako naomba mtumie ile pesa. Nikasema msenge wewe.kuma la mama yako. Nyieeee apo nilishapanic.maua alibaki katoa macho tuuuuu
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni