Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35
Gonga94 · Stories

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.



Basi demu akaondoka zake na hasira zake, na mimi nikaludi zangu ndani, kisha sasa nikampigia mama ahmed, na kweli akapokea skmu , nikasema hivi we mwanmke unanizoea sanaaa, si nakuuliza wewe, unanizoe mimi sanaa, hivi we unapata wapi nguvu ha kuja nyumbani kwangu na unakuja kuongea usenge usenge wako, we ni nani kwanza ,kwani inakuwaje , yani kuzaa na wewe ndo imekuaa shida we demu jau nini, mama ahmed akawa anacheka akasema loooh wewe ndo jau kwa unavyechezea wanawake mpka kesho, na utapata laana za wanawake waote unaowaliza mshamba wewe ,mtu mzima ovyoo unashindwa kutafuta wa kuoa unaanza kuangaika na wanawake leo uyu kesho yule, na kazi yako kuzalisha kama paka, lione kwanza , na utakufa na ukimwi msenge wewe,nikasema we mjinga acha upumbavu wako, na ulichokifanya leo kimeniuzi sana na kukuonesha hilo, kuanzia leo mimi wewe sikupi ata mia, wewe si una mdomo sana, sasa pambana na umuhudumie mwanao, mi sikupi ata 100 wewe si jeuri na unajua sana kuongea ,na sinunajua sana kutukana sasa ntakuonesha, sikungoja jibu lake upande wa pili nikakata simu

Nikaona uyu mama.ahmed namuendekeza sana wakati mi ndo namuweka mjini, namlea msenge uyu, namtumia pesa kinoma kuliko wanawake zangu wote nilozaa nao, alafu nikikosa pesa siku moja tu nikawa sijamtumia dooh, inakuwa shida anakuja mpaka nyumbani kwangu, na hana adabu akimkuta mtu anaanza kelele zake, sasa nikasema nitamkomesha maraya uyu, simuhudumii manina zake kisha ndo atanijua mimi ndo nani, basi bwana ,mi apo sijumtafuta ata zena nikatulia zangu tuli, nikajua ata kwa mda huu nikimtafuta hawezi kunielewa, mi nikatulia zangu nikawa nacheki movueee, na hiis iku bwana kulikuwa na npira wa simba na yanga taifa na teali nilishkuwa na tiket, nikachek.movue mpak saa 7 hivi, ibra akanipigia simu kuwa mda sasa tukachek games taifa, mana na yye alikata tiketi,

Basi kweli ,nikajiandaaa zangu, na mm ni mshabiki sana wa timu ya simba ila ibraa ni yanga, basi bwana niliponaliza kujiandaaa mwanaume nikachukua bodaaa, mana sikutaka kwenda na gari yangu sehemu zenye pilika pilika za wtu wengi hapana ,na ata ibraaa nilikutana nae taifaaa ,ndo tukaingia sasa iwanjani, tulikuwa vvip kabisa, na kwa uo mdaa game bado ilikuwa haijaanza mi nikamuhadithia ibraaa kuhusu balaaa lililotokea leo home juu ya zena na mama ahmad, ibraa akanmbia daah pole sana kaka so unaamuaje, nikasema.sasa mimi naamua nini, apo wa kuaamua ni zena, kama kamaind anatoa mimba ni sawa, akinambia anazaa pia ni sawa yani ipo hivyo mwanangu, ibraa akanmbia daaah mwanangu shida we hujawahi kujali moyo wa mtu, hivi humfikilii zena atakuwa kaumia kwa kiasi gani, sikia usiwe hivyo kaka, tukitoka kuangalia hii game twend kwa zena tukaongeee nae mm na wewe, na ikiwezekena muombe msamaha, aseeeee millan unajua yule mwanamke umemkuta bikraa, so haelewi kuhsu mapenzi ukute aya maumivu unayompa wewe ndo ukawa wa kwanza alafu unchukulia powaaa,

Nikasema sasa nifanyaje mwanangu, tatizo zena ananiganda sana, all times anataka kuwa na mm na ndo mana yote yanatokea, unazani angekuwa anatulia kwake yangetkea ayaaa ahaa, mambo mengine ata sielewei inakuajee, aibraa kaanmbia tulia tunachek games kisha tunaenda kuonana na zena kwake usiku sawa, mi nikasema sawa ,na apo sababu ya ibraaa, ila mi ningeuchuna tu ,mpaka siku ambayo zena angejisikia kunicheki, na mimi ndo ningemjibu na tungeongea, basi kweli tukachek game na mpaka saa 2 ikawa ishaisha ,na uzuri simba tulishinda bwana, nikawa namtania tania mwanangu ibraaa sana kuwa tumewachambisha ibra ananmbia nyie mmetuotea tu, basi nikacheka sana na itani sana, mi bwana ibraaaa ni rafiki yangu kwrli kweli, kwanza hakuna siri yangu ambayo haijuh au siri yake ambayo mimi siijuh yani,

Basi kweli tulivyotoka kwemye mpira sie moja kwa moja tukaenda kwa zena, basi tulivyofika nikakuta zena yupo na shoga ake yule shey, alafu zena hakuwa sawa kabisaa, nikajua kazi ipo apa, basi shey yeye ndo alitukalibisha ,zena alikuwa kalala tu katika sofaa, shey akasema karibuni jamani ,mana mwenye nyumba anajisikia vibaya hyupo sawa, na nilipomuangalia zena aniliona kavimba macho kwa kulia, nikaona doooh asa mambo madogo tu yale ndo analia hvi, asa akikutana na mambo yangu makubwa makubwa yale atayaweza uyu 🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌, nikaona uyu ikiwezekana niacha kudate nae ,mana nikiendelea nae ntamuua kwa matukio yangu na presha bulee, basi ibraaa sasa akaomba kuongea na zena ,na kweli zena akakubali na ikainuka akaa kwenye sofaa, apo mie hataki ata kunitizama et , ndo ana hasira tena na mie, najari sasa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

Basi mie nikatilia zangu kwa pembeni kwenye sofa ata presha sina, basi ibraa akamwambia ahaa shemeji si tumekuja apa ,kukutaka radhi na kumuombea msamaha mshikaji kwa yale yaliyotokea leo asubuh nyumbani kwake, mh uyo nnaeombewa msamaha sasa sula ata haioneshi kwamba nimekubali kosa na nataka kusamehewa , sula hairefect kabisaa yani, basi ibraa akasema shemeji msamahe jamaaa, ni mambo ya kawida tu ila angekueleza tu kuwa ana watoto teali, ila bado anamtegemea anayekuja pia ,na anamuhitaji sana, so fanya yaishee zena , mana hali yako haikutaki wewe uwe na hasira wala mawazo kabisaa, unaweza kupata shida uko mbelee, zena akasema kwaiyo shemu wewe ndo unamuongelea uyu kwani hana mdomo, uyu haoneshi kuwa anataka kuniomba mimi msamah, kiukweli now naanz kumuelewa vizuri millan ni mwanaume wa aina gani, millan ni muongoo shemeji, millan ni katiri na hajali, na hawezi kujali mwanamke uyuu, ni vile nilifanya haraka tu ya kuwa nae katika mahusiano, na nazani unamjua sana rafiki yako shemeji

Nikasema ooh sawa so unaamuajee, mana mi complain nakuaga sipendi kabisaaa, aya nambie wewe unaamua nn juu ya hili suala mi nikimchoka demu nakuwag na kiburi, zena akaningalia kisha akmwambia ibraa shemeji uyu ndo ulokuwa unamuombea msamaha, ibraa akabaki kimyaaa ,zena aksema sikia siwezi kutoa mimba mimi, sijawahi kufundishwa hivyo kabisaa, ntakubali kuwa nimepata hasara na nimealibikiwa kama ao wengine alowafanyia kama mimi, na ukawazalisha na kuwacha but kuanzia leo mimi na wewe basi, yani siitaki mahusiano ya mapenzi na wewe kabisaaaaaaa tena sitaki serious, nitalea mimba na nitaazaa sawa ,ila mahusiano na wewe sitaki, na alafu kuanzia leo sitaki huduma yako ata ya mia, mm natajua naishije na naendeshaje maisha yangu, ibraaa aksema no shemu mbona imefika mbali sana aya mambo yanaongeleka , mi nikasema ibraa ebu tulia bwana si kashaamua hivyo fresh, kma mahusiano yamevunjiaka ni sawa na kama hutaki ata 100 yanguu juu ya kuhudumia mtoto wangu pia ni saw ,but at the end of the day atabaki kuwa ni mtoto wa millan, so kama wewe umeona unajimudu na unaweza kuendesha maisha yako bila ya mimi ni sawa piaa, nikaona zena machozi yanamtoka kweli kweli naona alikuwa haamini, mi kubembeleza mwanmke sipendi kwanzaa, alafu mwanamke akijafanya anajiweza mi naaachana nae, nilozaa nao wananijua vizuri kichwa changu, hawaniletei jeuri za kijinga kama hizi, mi nakuachia mtoto kweli ukijifanya unajiweza

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35




Basi demu akaondoka zake na hasira zake, na mimi nikaludi zangu ndani, kisha sasa nikampigia mama ahmed, na kweli akapokea skmu , nikasema hivi we mwanmke unanizoea sanaaa, si nakuuliza wewe, unanizoe mimi sanaa, hivi we unapata wapi nguvu ha kuja nyumbani kwangu na unakuja kuongea usenge usenge wako, we ni nani kwanza ,kwani inakuwaje , yani kuzaa na wewe ndo imekuaa shida we demu jau nini, mama ahmed akawa anacheka akasema loooh wewe ndo jau kwa unavyechezea wanawake mpka kesho, na utapata laana za wanawake waote unaowaliza mshamba wewe ,mtu mzima ovyoo unashindwa kutafuta wa kuoa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/afande-millan-sehemu-ya-34-na-35

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi afande-millan-sehemu-ya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 28 na 29
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 28 na 29
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35

978
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11

226
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26  na 27.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26 na 27.

202
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10

197
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28

193
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

178
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

143
ACHA NIKUPENDE ❤️1

ACHA NIKUPENDE ❤️1

127
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30

115
Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine

Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine

8

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.6K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.34K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.78K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.27K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.83K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.72K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.66K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.59K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.59K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.54K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Asubuh sasa . Mama aliniamsha niajiandae anataka kunitoa out. Basi nikajiandaaa nikatoka zangu sebleni. Nakutana na mzeee alinikata jicho hilo. Nikaona aibu jana si kasikia...

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13
@majario LIVE

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 12 SONGA NAYO....... Basi safari ilikuwa ndefu kidogo, kwa mara ya kwanza toka nifike Oman hii siku ndio niliigia supermarket bwana, hiviii kumbe waarabu wana pesa hivi na...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nimefika home nimenuna kweli kweli.nikaona yule adrian kama alikuwa anataka kunitia nuksi tu. Mtu kashanikaa mbele ya wazazi . Na yeye ndo kasababisha ata...

Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine Post Mpya
Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine
@majario LIVE

If you are Proud to be a woman: Share this post Meanwhile who is waiting for PART 5 of OSATO the Pure Water Seller? If you missed any part, Iink...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11
@majario LIVE

SONGA NAYO... Pale nje tulibaki wawili tu mimi na madam hao wengine waliingia ndani. Madam aliponiita nilimuangalia tu bila kumuitikia, huyu mama nikimuona nahisi kichefuchefu kabisa "Mira achana na hizi nguo, kesho...

ACHA NIKUPENDE ❤️1 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE ❤️1
@majario LIVE

MTUNZI uhuru media " Pink ujue hapa Ni mjini na maisha ni magumu Sana pesa zinapatikana kwa shida hivyo unatakiwa kujiongeza sio Ila siku Mimi ni nikeshe...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Muda ulienda majira ya saa nane nilitoka nje kwa lengo la kuanua nguo za mtoto, lakini nilipofika nilikuta nguo zote ambazo nilifua na kuanika zikiwa chini Tena zilionekana kabisa kuna...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kesho yake jioni sana ndo baraka alianza kujiandaa mana alikuwa anaondoka na basi la usiku. Nilijisikia unyongea sana. Ila alinambia nivumilie mana ni miezi...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35
@majario LIVE

Basi demu akaondoka zake na hasira zake, na mimi nikaludi zangu ndani, kisha sasa nikampigia mama ahmed, na kweli akapokea skmu , nikasema hivi we mwanmke unanizoea sanaaa, ...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26  na 27. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26 na 27.
@majario LIVE

🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Asa mimi ni nani nimnyimeee weeeee sio kweli. Nikamsogelea kisha nikamuangalia kwa jicho la kulegea sana. Akatabasamu kisha akanivuta zaidi. Akanipa mdomo. Tukaanza kukisss taratibu....

MIRANDA (Binti Yangu)     SEHEMU YA 9 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 9
@majario LIVE

SONGA NAYO.... Kisha kwa ujasiri mkubwa nikazungumza. "Madam kwanza nasema asante kwa kuniamini lakini pia kwa kunijali nikuambie kitu siwezi kuolewa na kijana wako ile hali mimi ni mfanyakazi wako, sina thamani...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6
@majario LIVE

ENDELEA....... "Jitahidi uwe na utu kuna maisha baada ya haya, kuna kupanda na kushuka. Kuishi na watu vizuri ni hadhina pia binti yangu. Nakupenda sana na najivunia wewe ila ubinafsi wako...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Basi zena akawa nataka kuingia ndani ,mama ahamd akasema we zena sijuh ndo nani tulia nikupashe shoga angu, apa bwana hakuna, kama umebeba mimba ukazani una bwana hapa hakuna....

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Khaaaaa mi nikamtumia sms, nikamwambia mm sipo nyumbani, naomba uondoke apoo, mambo yasiwe mengi, akaniuliza upo wapi saa 6 hii, nikamwambia nipo kazini akanmbia kazini ndo hupokei simu? Upo...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL.   SEHEMU YA 15 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 15
@majario LIVE

. 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Iris alipoingia ofisini, Mr. Marvel alikunja uso. Alijua Iris si mtu mzuri baada ya kile alichomfanyia Noela, lakini hakutaka kuonyesha kwamba anamjua vizuri. Akaamua kuwa mtulivu na kusubiri kusikia shida...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest