Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
10 Mar 2026
5 views
VYOTE NDANI GONGA94
Nadhani katika jitihada za kuhakikisha tunapeleka mbele kiwanda cha filamu Tanzania (Bongo Movie)
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
lazima baadhi ya mambo tuambiane ukweli mchungu hili uwe tiba kwa vizazi vijavyo pamoja na wasanii chipukizi. Hili swala la Chado Masta kuzaa na Kidemu Jau kuna namna sio salama sana kwa career yao ya uigizaji pamoja na jamii kwa ujumla.
Najaribu kuwaza kibinadamu tu hivi wazazi wa Kidemu Jau wanafikiriaje suala la mwanaye kuzaa na mtu ambaye ni mkubwa sana ki-umri dhidi ya binti yao.
Kuna namna kama pia naona ina madhara makubwa kwa Kidemu Jau mwenye ambaye bado mdogo kiumri hivyo anaiweka atarini career yake ya uigizaji kwa kuwa ni ngumu sana kwa msichana umri kama wake kulea mtoto vizuri huku anafanya kazi za sanaa hususa uigizaji.
Lakini naweza kusema Chado Masta na Kidemu Jau wanaendelea kuwaaminisha wazazi wachache waliokuwa wanaimani ya kuwa uigizaji ni uhuni kwa maana ya leo hil mzazi hasikie kuwa Chado Masta na Kidemu Jau wanamtoto lazima moja kwa moja itajenga picha ya hao wamepatana kwenye uigizaji. Hii itazidi kuwapa wakati mgumu watoto wa kike wenye hali na nia ya kuigiza kwa maana wataona na wao safari yao ni kuwai kupata mtoto.
Vipi wewe kwa upande wako, ni sawa Chado Masta kuzaa na Kidemu Jau?
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
ACHA NIKUPENDE ❤️ 2
MTUNZI uhuru media Nicky alishusha pumzi Kama ametua mzigo mzito alipokuwa kaubeba Kisha akasema . " Wewe Tena , umefua...
A rare and heartwarming moment with three generations of the Bachchan family in one frame — Harivansh Rai Bachchan, Amitabh Bachchan, and little Abhishek Bachchan. It’s the kind of picture that instantly feels special because it captures family, legacy, a
. Harivansh Rai Bachchan, one of India’s most respected Hindi poets, looks calm and dignified, while his son Amitabh sta...
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just...
Nadhani katika jitihada za kuhakikisha tunapeleka mbele kiwanda cha filamu Tanzania (Bongo Movie)
lazima baadhi ya mambo tuambiane ukweli mchungu hili uwe tiba kwa vizazi vijavyo pamoja na wasanii chipukizi. Hili swala la Chado Masta kuzaa na Kidemu Jau kuna namna sio salama sana kwa career yao ya uigizaji pamoja na jamii kwa ujumla.
Najaribu kuwaza kibinadamu tu hivi wazazi wa Kidemu Jau wanafikiriaje suala la mwanaye kuzaa na mtu ambaye ni mkubwa sana ki-umri dhidi ya binti yao.
Kuna namna kama pia naona ina madhara makubwa kwa Kidemu Jau mwenye ambaye bado mdogo kiumri hivyo anaiweka atarini career yake ya uigizaji kwa kuwa ni ngumu sana kwa msichana umri kama wake kulea mtoto...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nadhani-katika-jitihada-za-kuhakikisha-tunapeleka-mbele-kiwanda-cha-filamu-tanzania-bongo-movie
Maoni