Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14
Gonga94 Β· Stories

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

SONGA NAYO....

Niliwaona mama na baba yangu wakiwa wanamshangaa sana yani walishangaa mpaka wakanisahau mtoto wao kama naumwa πŸ˜‚

Basi mimi niipomuona Anfrey nilinyanyuka na kwenda kumkumbatia

" Nasrat wangu, yupo wapi mtoto wangu..??"

Nilimuuliza pale tu nilipojitoa kwenye kifua chake, upande wa wazazi wangu walikuwa hawaelewi chochote kilichokuwa kinaendelea hapo.

"Mtoto wako yupo kwenye hospital nyingine tofauti na hapa, maana kule yupo chini ya uangalizi mkubwa sana maana hali yake sio nzuri .."

"Sawa naweza kwenda kumuona..??"

"Kwa sasa hali yako sio nzuri ndio kwanza umeamka, unajua toka uzimie kule Oman ni week mbili sasa yani tumekusafirisha ukiwa hujitambui kabisa..."

Habari hizo nilikuwa ngeni kwangu, nilijua tu hakuna uwezekano wa kumuona Nasrat tena ikiwa kama nipo Tanzania na Mtoto yupo Oman nitafanya nini mimi eeeh

Nilipiga magoti chini na kukusanya mikono kwa pamoja kisha nikasema

"Ee mungu, ikiwa umeandika apitie kikombe hiki cha maumivu , ninakuomba bwana umuepushie mabaya yote yaliyo mbele yake na hata yajayo

Nakuomba bwana muinue yule malaika wako, muondoe katik roho ya umauti ambayo anaipitia kwa wakati huu najua bwana unaweza na hakuna jambo lolote lile lisiloshindikana kwako

Pleas Lord, 😭😭"

Niliomba sana mpaka mama akaja kuniinua lakini sikuacha kusali nikimuombea Nasrat, muda ulienda nikiwa sina furaha amani wala utulivu

Nilikuwa situlii kabisa mule wodini, na siku hiyo ikapita kwa mbinde sana hata usiku sikupata kabisa usingizi, kesho yake majira ya saa nne Anfrey alirudi akiwa ameongozana na swatii

Sikuwa mwenye amani kabisa ndani ya moyo wangu, basi nikasalimiana nao pale ki kavu tu huku moyo wangu ukiwa na hamu ya kuwauliza habari za Nasrat

"Mira, unatakiwa kunywa chai harafu twende ukamuone mwanao.."

Nilitabasamu, basi chai ikaletwa nilikunywa haraka haraka vitafunwa nilikuwa navitafuna mara moja au mbili kisha nameza yani chapu chap nikawa nimemaliza πŸ˜…πŸ˜…

Anfrey na swatii wakabaki wananishangaa tu, me sikujali nilichokuwa nawaza kwa muda huo ni mtoto tu basi hayo mengine hata hayanihusu kabisa.

Basi hawakuwa na muda wa kupoteza tuliingia kwenye gari, na safari ya kuelekea kumuona mtoto ilianza, safari niliiona ndefu sana basi tuliweza kufika

Kwa kuwa akili yangu haikuwa sawa sikuweza kutambua sehemu tulipokuwa, baada ya gari kusimama nilikuwa wa kwanza kushuka kwenye gari

Nilitembea kama vile me ndio mwenyeji yani nilikuwa sijielewi kabisa, ikabidi Anfrey na swatii waongeze mwendo wa kunikimbilia πŸ˜‚

"Mira hapa kuna itaratibu wake mama, so tafadhali sana kuwa makini tu usije kuleta vurugu.."

Anfrey alizungumza nikajibu tu sawa kisha tukaendelea na safari yetu, tulifika mapokezi tukaelekezwa vizuri tu huku kwa upande wangu nikijitahidi kutulia

Tulifuata maagizo yote ya mdada wa mapokezi kisha tukaondoka, chumba alichokuwa mtoto kilikuwa ni ghorfa ya tatu so tulitumia lift kufika huko

Kweli bana tulifika mpaka chumba alichokuwemo mtoto, nyie niliumia zaidi baada ya kumuona binti yangu akiwa bado hajazinduka na kibaya zaidi kitovu chake kilikuwa kimevimba na kutoa usaa ni vile tu walikuwa wanamsafisha kila muda πŸ₯Ή

Nilisogea na kuanza kumshika nywele zake huku nalia dah, yani kama ikitokea nikagundua ambaye amefanya hivi walah nitahakikisha na yeye anapitia maumivu ambayo anapitia huyu Malaika

Hata kama nitakuwa nimemkosea mungu kiiasi gani ila kwa hili niseme tu samahani yani siwezi kuvumilia kumuacha huyo mtu aishi kwa amani na ikiwa binti yangu anapambania uhai

Nitamtenda kitu kibaya ambacho atakaa akijutia maisha yake yote, nilikuwa nampapasa mtoto ila mawazo yalikuwa mbali mno, basi nilikaa mle wodini huku nikiwaomba wale wengkne watoke

Kwakuwa walikuwa wanajua mimi ndio mama mzazi wa Nasrat so hawakuwa na kipinganizi, walitoka mle wodini na kuniacha mimi na binti yangu

Nilimtazama binti yangu kisha nikapiga magoti mkono mmoja nilimuwekea Nasrat juu ya paji lake la uso harafu ule mwingine niliuinua juu ........

ITAENDELEA......

Maoni

You're not logged in


Tangazo - boss Enzo fully stories
boss Enzo fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14


SONGA NAYO....

Niliwaona mama na baba yangu wakiwa wanamshangaa sana yani walishangaa mpaka wakanisahau mtoto wao kama naumwa πŸ˜‚

Basi mimi niipomuona Anfrey nilinyanyuka na kwenda kumkumbatia

" Nasrat wangu, yupo wapi mtoto wangu..??"

Nilimuuliza pale tu nilipojitoa kwenye kifua chake, upande wa wazazi wangu walikuwa hawaelewi chochote kilichokuwa kinaendelea hapo.

"Mtoto wako yupo kwenye hospital nyingine tofauti na hapa, maana kule yupo chini ya uangalizi mkubwa sana maana hali yake sio nzuri .."

"Sawa naweza kwenda kumuona..??"

"Kwa sasa hali yako sio nzuri ndio kwanza umeamka, unajua toka uzimie kule Oman ni week mbili sasa yani tumekusafirisha ukiwa hujitambui kabisa..."

Habari hizo nilikuwa ngeni kwangu, nilijua tu...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miranda-binti-yangu-sehemu-ya-14

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miranda-binti-yangu-sehemu-ya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10
MIRANDA (Binti Yangu)     SEHEMU YA 9
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 9
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37

1.13K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38

889
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39

685
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 16

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 16

268
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 16

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 16

249
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE   SEHEMU YA 15

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 15

214
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 14

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 14

204
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 13

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 13

190
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 12

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 12

140
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 17 - 18

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 17 - 18

133

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.62K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.37K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.8K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.28K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.86K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.77K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.66K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.62K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.61K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.55K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

ENDELEA....... Madame Yustar alitoa amri mimba itolewe ili kuepusha laana kwenye ukoo wao. "Hapana siwezi kutoa mimba hata iweje" Mellisa alimvimbia mama yake. Saa ngapi asilukiwe akaanza kutembezewa kichapo. Nae hakukubali apigwe kilahisi,...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

ENDELEA......... Mipango yangu iliendelea kwenda vizuri. Nilifanikiwa kufungua duka langu la spea za magari mke wangu alikuwa nsimamizi mzuri. Japo hakuwa na elimu ila alikuwa na akili ya biashara sana na...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14
@majario LIVE

SONGA NAYO.... Niliwaona mama na baba yangu wakiwa wanamshangaa sana yani walishangaa mpaka wakanisahau mtoto wao kama naumwa πŸ˜‚ Basi mimi niipomuona Anfrey nilinyanyuka na kwenda kumkumbatia " Nasrat wangu, yupo wapi mtoto...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹ Siku iliyofuata, Noela alipofika chuoni alihisi hali si ya kawaida. Watu walikuwa wanamuangalia kwa macho ya ajabu, wengine wakinong’ona pembeni yake. Alijaribu kupuuza lakini hali ilikuwa mbaya zaidi alipoingia darasani😭. Mwishowe,...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 16 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 16
@majario LIVE

πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹ Salmon alisimama pale akimtazama Noela na baba yake kwa macho yaliyojaa hasira na maumivu. Hakutegemea kabisa kumuona Noela akiwa kwenye dinner ya kimapenzi na baba yake mwenyewe. Iris yeye alisimama pembeni,...

Nadhani katika jitihada za kuhakikisha tunapeleka mbele kiwanda cha filamu Tanzania (Bongo Movie) Post Mpya
Nadhani katika jitihada za kuhakikisha tunapeleka mbele kiwanda cha filamu Tanzania (Bongo Movie)
@majario LIVE

lazima baadhi ya mambo tuambiane ukweli mchungu hili uwe tiba kwa vizazi vijavyo pamoja na wasanii chipukizi. Hili swala la Chado Masta kuzaa na Kidemu Jau kuna namna sio salama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39
@majario LIVE

Daaah unajua mtoto alibaki kashangaaa ,et akasogea nyuma yangu akajificha, aseeee zena akainuka kwa kwa hasira ,akaja akamvuta mtoto, akamipiga konde moja la mgongo zito kwei kweli ,yani hii siku...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38
@majario LIVE

Basi nikasema ummy upo mama, ummya kanmbia ndio baba nimekumiss, kila siku niktaka kuongea na wewe mama ananikatazia, nikasema ooh sawa mama ndo mana leo nimekuja kukuona mama sawa, basi...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi zena akanmbia ni sawa pia, nikasema powa ibraa twenzetu, ibra akanmbia mh millan usipanic bwana ,uyu mwanamke alafu sa hizi ana hasira, ebu tulia tuongee vizuri kaka, mbona...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 16 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 16
@majario LIVE

ENDELEA......... Tuliingia room tulifanya yetu baada ya hapo tulitoka mie nililudi kazini na Mellisa aliludi nyumbani. Majira ya jioni nilimpitia Madame Yustar kazini kwake. Aiseeee nae akataka yaani nilikuwa nachoka kinouma asikwambia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE   SEHEMU YA 15 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 15
@majario LIVE

ENDELEA.......... Ndani ya masaa kadhaaa niliingiza mkwanja wa milioni tatu na nusu kutoka kwa jimama la mjini. "Hata Madame Yustar hajawaibkunipa pesa nyingi hivi kwa muda mchache. Huyu nimkubalie nini?" Nilijiuliza mwenyewe....

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 14 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 14
@majario LIVE

ENDELEA.......... Mellisa nae alibana nje ya mlango wa chumbani kwa mama yake alitaka kujua nini kinaendelea. "Hapana mazingira ni hatarishi sana" "Unamuhofia nani na tupo nyumbani kwangu, kwanza nataka dunia yote ijue kuwa...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 13 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 13
@majario LIVE

ENDELEA........... Watu pombe ziliwakolea mie sio mnywaji wa pombe nilikuwa naangalia tu maujinga wanayoyafanya. Mkojo ulinibana nilienda chooni ile natoa tu dudu mlango ulifumguliwa aliingia mshangazi mmoja kati ya wale waliokuwa wananisifia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 12 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 12
@majario LIVE

ENDELEA......... Madame aliwapa taarifa Mellisa na Misha kuwa mimi sio mlinzi tena bali ni mfanya kazi wake kwenye biashara zake. Rasmi niliajiliwa kusimamia duka kubwa la spea. Huko ndo kulikuwa na pesa...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 11 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 11
@majario LIVE

ENDELEA.......... Madame Yustar alibaki mdomo wazi. "Ebu inuka kwanza" alininyanyua kwa mikono yake miwili. "Sina maana ninakufukuza kazi na wala sijasema kuwa una mahusiano na binti yangu. Naamini Mellisa unamtazama kama binti yako...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest