Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15
Gonga94 · Stories

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


SONGA NAYO.......

Mira mie nikaanza kupiga maombi ya kuteketeza roho ya umauti niliomba sana, jasho lilikuwa likinitililika na kulowanisha kifua Changu

Nilikuwa nimezama kwenye ulimwengu wa roho nikifanya maombi, ni sauti ya mtoto ndì iliyonirudisha kwenye ulimwengu wa mwili

Nikafumbua macho na kutazama, nilifirahi baada ya kumuona Nasrat akiwa amefumbua macho akinitazama kwa furaha niliyokuwa nayo nikamkumbatia ila kwa tahadhari kubwa

Kuepeuka kutonesha jeraha lake, kilichofuata hapo ni asante yesu, ambazo zilitawalla karibia chumba kizima

"Nasra binti yangu kuanzia leo hutaitwa tena Nasra nakubadili hili jina kwa sababu mungu amejidhihirisha kwako na kuonyesha nguvu zake kwahiyo kuanzia sasa utaitwa Bless..."

Nilitamka hayo basi Nasrat au Bless akatabasamu, kitendo kilichonifanya na mimi nitabasamu eeh kuashiria hili jina binti yangu amelipokea...🙏🙏

Kwa uwezo wa mungu binti yangu aliendelea kuimarika siku mpaka siku, hata kile kitovu chake kiliacha kabisa kutoa usaha, amani ilirudi tena kwenye moyo wangu

"Bless niachie jamani uwiiiiiii..."

Ni kelele ambazo nilikuwa nikipiga ni baada ya Bless kunivuta nywele wakati nikiwa nimembeba mabegani, 😂 binti yangu ni mkorofi nyie huu ukorofi ameupata baada ya kufika bongo yani kabadilika ile mbaya

Bless ni mtoto mtundu sana, amepata watu wa kucheza nae nakwambia kamechangamka muda ote kanatabasamu tu na uso wake ulionekana kuwa na nuru 🥰

Nilikuwa niko zangu ndani na ka binti kangu tena nyumbani kabisa huku buza 😅 ndio makao makuu ya Mira na nimecheza sana hiyo mitaa hata miguu na utumbo wa kuku nimeula sana

So huku ni nyumbani nimecheza sana rede nakwambia..😅

"Da Mira kuna mtu anakuita huko nje.."

Basi mdogo wangu Eliudi, alikuja kuniita, Eliudi ni mdogo wangu na ndie rast born wa familia ya mama Mira. Basi nilitoka huku mikononi nikiwa nimempakata Bless

Kweli nipotoka nje nilikuta kuna gari nzuri sana tena ile ya gharama achana na hizi za million moja, ile gari ilikuwa ikiwaka waka balaa

Nilitembea mpaka kwenye hilo gari nikajaribu kuita lakini hakukuwa na mtu.

"We Eli, huyo mtu ambaye ananiita yupo wapi..??"

Nilimuuliza Eliud huku nikipiga hatua za kuondoka maeneo yale, sasa bana sijui huyo mtu alitaka kunishtua maana alikuja nyuma angu na kuniziba macho

"Otea nani..."

Nilisikia sauti ya mdogo wangu mwingine huyu ni wa tatu kuzaliwa na bado anaishi hapa hapa nyumbani sasa kitendo cha kumsikia anaongea nikajua ni yeye tu huyu dogo

"Hakim si uniache basi we nae, yani hutaki kuniona nikuwa na amani..."

Nikawa naendelea kulalamika lakini sikuachiwa

"Hakim nitakupiga ujue, harafu mikono yako inanuka umeshika nini..??"

Niliposema mikono yake inanuka akaniachia nikageuka ili kumpiga kofi lakini nilistop hii ni baada ya kumuona Anfrey ndie aliekuwa nyuma yangu

Na kibaya zaidi alikuwa akijinusa mikono hii ni baada ya kusema mikono yake inanuka 😆 maskin kaka wa watu alikuwa anajinusa tu😂😂🙌🏾

Niliona aibu hatari nikageuka kuangalia pembeni nikamuona hakim ananichekea, watoto wa mama Mira hasara tupu kijana amekuwa yule lakini ana mambo ya kitoto sana

Ikabidi nigeuke nimuombe radhi Anfrey lakini nilishangaa akinikabizi fungo za gari, macho yalinitoka nikajua labda huu mkaka ananitania bwana

"Aah ni yangu..??"

Niliuliza huku nikiwa natetemeka nyie, yani kumiliki gari sio mchezo wengine huwa wanazimia kabisa kwa furaha, nilishangaa zaidi ni baada ya ndugu zangu wakiniimbia wimbo wa happy birthday ndio nikajua kuwa leo ndio siku yangu ya kuzaliwa

Kwanza nilimuangaliaa Anfrey kisha nikawaangalia kaka zangu, katika maisha yangu sijawahi kifannyiwa surprise nzuri kama hii ambayo kwa namna moja au nyingine

Ilinifanya nijisikie furaha sana lakini pia na kujiona kuwa hata mimi ninapendwa bwana.

"Happy birthday my sis.."

Kaka zangu wwaliniambia, nilifurahi balaa nikasogea na kuwakumbatia huku Bless nae yumo humo humo 😂, basi baada ya kukumbatiana na hawa ndugu ambao tunashea damu ya kunguni

Nikamgeukia Anfrey maana wakati yote yanendelea alikuwa akitutazama tu, kitendo cha kugeuka tuliangaliana sana ndio tukaja kushtuka ni baada ya mimi kumwagiwa maji 😂

Makaka zangu walikuja na ndoo zilizojaa maji na kunimwagia hawakujali kama Bless nilikuwa nae, Bless alinifanya nicheke maana wakati namwagiwa na yeye alikuwa anchekelea yani furaha yake ni kuona anamwagiwa maji..

"Jamani imetosha sasa khaaa.."

Ni sauti ya mama ilisikika hata sijui alitokea wapi maana aliaga anatoka kwenda kwenye vikoba vyake huko, sasa sijui alifika sangapi.....

ITAENDELEA......

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15



SONGA NAYO.......

Mira mie nikaanza kupiga maombi ya kuteketeza roho ya umauti niliomba sana, jasho lilikuwa likinitililika na kulowanisha kifua Changu

Nilikuwa nimezama kwenye ulimwengu wa roho nikifanya maombi, ni sauti ya mtoto ndì iliyonirudisha kwenye ulimwengu wa mwili

Nikafumbua macho na kutazama, nilifirahi baada ya kumuona Nasrat akiwa amefumbua macho akinitazama kwa furaha niliyokuwa nayo nikamkumbatia ila kwa tahadhari kubwa

Kuepeuka kutonesha jeraha lake, kilichofuata hapo ni asante yesu, ambazo zilitawalla karibia chumba kizima

"Nasra binti yangu kuanzia leo hutaitwa tena Nasra nakubadili hili jina kwa sababu mungu amejidhihirisha kwako na kuonyesha nguvu zake kwahiyo kuanzia sasa utaitwa Bless..."

Nilitamka hayo basi Nasrat au Bless...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miranda-binti-yangu-sehemu-ya-15

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miranda-binti-yangu-sehemu-ya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11
MIRANDA (Binti Yangu)     SEHEMU YA 9
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 9
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 41 to 42

AFANDE MILLAN😎 41 to 42

912
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43

551
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final

369
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15

113
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

75
Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi..  FOOTBALL ⚽.

Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi.. FOOTBALL ⚽.

3
🚩Rais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali

🚩Rais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali

2
ACHA NIKUPENDE ❤️ 3  to 5

ACHA NIKUPENDE ❤️ 3 to 5

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.65K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.38K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.81K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.29K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.89K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.8K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.68K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.66K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.62K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.56K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
ACHA NIKUPENDE ❤️ 3  to 5 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE ❤️ 3 to 5
@majario LIVE

ACHA NIKUPENDE ❤️ 3 MTUNZI uhuru media Karibu WhatsApp 0794810082 Kwa jicho aliloangaliwa na Nicky ilimbidi aondoke haraka haraka akaenda jikoni huku akiwa kachukia na machozi yalimtoka bila kutegemea. Alipofika...

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4* Post Mpya
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*
@majario LIVE

*_________________________________________* *Sehemu Ya 1* Ndani Ya hospital Moja kubwa wanaonekana Vijana wawili Wakiwa Wanasubiri Majibu Ya vipimo ambavyo Tayari walikuwa wamepima. "Hivi Sindele kwa mfano ikatokea Mimi nimekutwa nimeathirika utanioa au utaniacha!?" "Uuuuu...

🚩Rais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali Post Mpya
🚩Rais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali
@majario LIVE

ili kujaribu kubadilisha mwenendo wa timu katika Ligi ya Misri na CAF Champions League. 🔴 Maamuzi yaliyotangazwa: 💵 Kupunguzwa mishahara: Wachezaji wote wa kikosi cha kwanza watakatwa 30% ya mishahara yao,...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Mira mie nikaanza kupiga maombi ya kuteketeza roho ya umauti niliomba sana, jasho lilikuwa likinitililika na kulowanisha kifua Changu Nilikuwa nimezama kwenye ulimwengu wa roho nikifanya maombi, ni sauti ya...

Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi..  FOOTBALL ⚽. Post Mpya
Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi.. FOOTBALL ⚽.
@majario LIVE

Napoli walimchukulia kama takataka na kumfanyia ubaguzi, lakini Galatasaray wanamchukulia kama familia yao .. Hadithi ipi ni yenye huzuni kwa Victor Osimhen kwenye maisha yake , hadithi yenye huzuni ni kuhusu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43
@majario LIVE

Mi sikufanya ajizi, nikamuuliza kwani apa majirani zako hawapo, akanmbia mmoja alisafiri na mwengine kaenda kwao leo, wote hawapo, nikaona kazi leo, nisingekuja sijuh ingekuajee, ni mungu tu aliniongoza nije...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final
@majario LIVE

SEHEMU YA 19 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Asubuhi Mr Marvel alipoenda chumbani kwa Noela kama kawaida yake ili kumuamsha, anakuta chumba kipo kimya, hakuna mtu wala baadhi ya vitu vya Noela havipo😳. Anadhani labda ameenda chuo...

AFANDE MILLAN😎 41 to 42 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 41 to 42
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Sehemu ya 41 Basi bwana , zena alivyoniona mnazani alisimama,hapana bali ndo kwanza akaongeza speed ya kuelekea kwake ,na mm nikawa namfata kwa haraka ili asije akajifungia, basi zena akaingia...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 18 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 18
@majario LIVE

“Dad, Ninakupa masaa 24 Uchague. Ukimchagua Noela, huta niona tena. Lakini Ukinichagua mimi, utaachana na Noela then tutaendelea na maisha yetu kama zamani” Baada ya kusema hivyo, Salmon na mama yake...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 40 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 40
@majario LIVE

Basi mimi nikaludi nyumbani nipo stressed kinoma , yani mawazo yamenijaa mnoo, nawaza inakuwaje sasa demu ndo kashanikazia ,ila naumia mnoo kwa ile hali yake na bado anaendelea kufanya biashara...

AINA ZA MIZUNGUKO YA HEDHI KWA MWANAMKE NA SIKU ZAKE ZA HATARI.👇 Post Mpya
AINA ZA MIZUNGUKO YA HEDHI KWA MWANAMKE NA SIKU ZAKE ZA HATARI.👇
@majario LIVE

Kila mwanamke ana mzunguko wake lakini hii ndiyo mizunguko ambayo kila mwanamke lazima awe na mzunguko mmoja kati ya hizi:👇 1. MZUNGUKO WA SIKU 22. Huu ndo mzunguko mfupi kuliko mizunguko yote...

Mashabiki wa Kaizer Chiefs waumizwa na Kitendo Cha Rushine kusalia Simba SC Post Mpya
Mashabiki wa Kaizer Chiefs waumizwa na Kitendo Cha Rushine kusalia Simba SC
@majario LIVE

Baada ya jana klabu ya Simba kutangaza kumuongezea mkataba mpya wa mwaka mmoja beki wao kitasa Rushine De Reuck, baadhi ya mashabiki wa soka nchini 🇿🇦Afrika Kusini haswa wa Kaizer...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

ENDELEA....... Madame Yustar alitoa amri mimba itolewe ili kuepusha laana kwenye ukoo wao. "Hapana siwezi kutoa mimba hata iweje" Mellisa alimvimbia mama yake. Saa ngapi asilukiwe akaanza kutembezewa kichapo. Nae hakukubali apigwe kilahisi,...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

ENDELEA......... Mipango yangu iliendelea kwenda vizuri. Nilifanikiwa kufungua duka langu la spea za magari mke wangu alikuwa nsimamizi mzuri. Japo hakuwa na elimu ila alikuwa na akili ya biashara sana na...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14
@majario LIVE

SONGA NAYO.... Niliwaona mama na baba yangu wakiwa wanamshangaa sana yani walishangaa mpaka wakanisahau mtoto wao kama naumwa 😂 Basi mimi niipomuona Anfrey nilinyanyuka na kwenda kumkumbatia " Nasrat wangu, yupo wapi mtoto...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest