Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
12 Mar 2026
2 views
VYOTE NDANI GONGA94
Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi.. FOOTBALL ⚽.
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Napoli walimchukulia kama takataka na kumfanyia ubaguzi, lakini Galatasaray wanamchukulia kama familia yao ..
Hadithi ipi ni yenye huzuni kwa Victor Osimhen kwenye maisha yake , hadithi yenye huzuni ni kuhusu kifo cha mama yake ..
Osimhen alimpoteza mama yake mzazi akiwa na umri wa miaka mitatu .
Osimhen aliwahi kusema " mama yangu alikufa pindi nikiwa mdogo, kaka yangu aliniambia mama alilala na hakuamka tena"..
Kwenye mchezo wa Galatasaray dhidi ya Liverpool, mashabiki wa Galatasaray wameonesha bango lenye maandishii ya " WE ARE THE FAMILY AND FAMILY IS EVERYTHING"..
Alafu kwenye bango hilo aliwekwa Victor Osimhen na hayati mama yake mzazi kama heshima kwa mchezaji wao ...
Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi..
FOOTBALL ⚽.
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
Leo Messi 🆚 Diego Maradona ❓🇦🇷🐐 🗣️Ricardo Bochini (Argentine Former Footballer):
“I Don’t Choose Between Diego Maradona And Leo Messi Because They Played In Different Eras. But For Me, The Era In Whic...
Chombezo....Oooh anko Mudy usichomoe.. Dar es salaam SEHEMU YA KUMI NA TISA ENDELEA. . . Akiwa ndani ya chumba cha binti yake mama ashura alikuwa akitoa machozi
tu alijiuliza maswali mengi yaliyokosa majibu hakujua nini afanye baada ya tafakari ya masaa karibuni mawili mwishowe a...
Chombezo : Khadija Mtanuko Sehemu Ya 9 IMEANDIKWA NA : JOE MARICK ILIPOISHIA... Nilishindwa kujizuia kwani tayari hata Chupi yangu ilianza kulowa kwa zile nyeg*
,? nikajikuta natulia kama maji mtungini, na hapo nikajiachia ili Suley anichezee vizuri, na kwa kumpa nafasi huko?, ali...
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI SEHEMU YA 15* Na 17 Mr's Martin aliniambia I know how you feel sweetheart sorry🥹🫂❤️akaendelea kunihug na kunifuta machozi..
Muda huo Hemed alikuwa ameinamisha kichwa chake chini kaziba uso wake kwa mikono yake🥹🥹wala sikujua kama analia mpaka p...
Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi.. FOOTBALL ⚽.
Napoli walimchukulia kama takataka na kumfanyia ubaguzi, lakini Galatasaray wanamchukulia kama familia yao ..
Hadithi ipi ni yenye huzuni kwa Victor Osimhen kwenye maisha yake , hadithi yenye huzuni ni kuhusu kifo cha mama yake ..
Osimhen alimpoteza mama yake mzazi akiwa na umri wa miaka mitatu .
Osimhen aliwahi kusema " mama yangu alikufa pindi nikiwa mdogo, kaka yangu aliniambia mama alilala na hakuamka tena"..
Kwenye mchezo wa Galatasaray dhidi ya Liverpool, mashabiki wa Galatasaray wameonesha bango lenye maandishii ya " WE ARE THE FAMILY AND FAMILY IS EVERYTHING"..
Alafu kwenye bango hilo aliwekwa Victor Osimhen na hayati mama yake mzazi kama...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/victor-osimhen-alishindwa-kujizuia-na-kutoa-machozi-football
Maoni