Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
10 Nov 2025
321 views
VYOTE NDANI GONGA94
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 6 Nilitoa macho mimi hadi machozi yalinitiririka jamani mimi nilijikuta nalia ila kwa sauti ya chini chini
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
muda huo kaka ni anatizama tu "Kaka kwani wewe wifi ulichaguliwa kwani mpaka mimi mnichaguliee kweli kaka?" Niliuliza kwa uchungu sijawahi kuuliza hili swali "mhh kwahyo unataka nikuzibe banzi sasa hivi si ndio Bilqis si ndio nakuuliza sasa endeleaa utakula hyoo jeuri yako mjinga nini , tena koma maswali yako ya kijinga" nilimkata jicho kaka hii siku nilikuwa namjibu jamni niliona kama sasa kila kitu kwenye maisha yangu anataka kunipangiaa sasa hee anipishe amri zake ampe mkewe mimi mwenyewe jeuri kama nini ,huwa namuheshimu tu " kwanza nimesema mimi siolewi nasema , yaani labda muolewe nyinyi ila sio mimi Bilqis Ayoub , nasema " weee hat kabla sijameza mate nilizibwa ubao huoo mhhh jamni nilihisi kufa kufa "sasa wewe mjinga naona kama unataka kunipanda kichwani yaani labda niolewe mimi sasa nasema hivi utake usitake utaolewa wee mjinga nini , na kam kuna mpuuzi anakudanganya atakuoaa sahau mwambie mchumba ushampata tena wewe koma kabisa" aliniambia kaka kwa ukali kweli nilizidi kulia nilikuwa sitaki kuolewa na yule mwanasheria Kabil "tena nasema kwa mara ya mwisho tena inapasa ufungiwe ndani chumbani na hakuna kutoka mjinga wewe" haya maneno aliyasema kaka na kunichukua kunipeleka chumbani akanifungiaa na kuchukua simu yangu akakaa nayo yey labda alikuwa anadhani nitatoroka kumbe sina hata huo mpango mimi Bilqis wa watu
Kesho ilifika na barua ililetwa mapema mno muda huo hata walioleta barua sikuwaona nilikuwa ndani chumbani, na majira kama ya saa 10 ndio nilisikia mlango unafunguliwa nikajua ni wifi labda kumbe alikuwa ni mama "Bilqis mwanangu utalia mpaka lini wakati na ndoa yako ni wiki ijayo?" Alisema mama alijua kam nalia baada ya kuona macho yangu ni meupe mnoo nilimkumbatia mama kwa nguvu yeye pekee labda ndio angenielewa jinsi ninahisi kwenye hili " Mama nalazimishwa mimihuyo mwanaume sijui chochote kuhusu yeye kwakweli mama yangu hii inanipa shida san mama mimi nashindwa kuelewa mama yangu , kwanini kaka kalazimisha " mama alinitizam akanifuta choozi " usijali mwanangu mahali inaletwa kesho ni mtu ambae kaonesha kujali na kukuelewa ndio maan akaja direct kwa familia yako elewa hilo mwanangu" alinambia mama " sio kila mwanamke anaolewa akiwa anamfaham mwanaume wake ila wengi huwa wanaolewa hawawafahamu wame zao tafadhali binti yangu utaenda kumfahamu huko huko mwanangu mimi naamini ni kijana mzuri mwanangu ana malengo" alisema mama at least maneno yake yalinipa moyo sana , nilimkumbatiaa na nikampa maelekezo kuhusu vitu vyangu kule nilipokuwa nimepanga anaweza kuvileta hata kwa kaka alikubali
Na ndoa ilipita salama ya mimi na Mwanasheriaa , walinisindikiza ndugu zangu mpaka kwa mume ila tulifikia hotelini na muda huo hatujui baba wala mama wa mume wangu,, namuita mume wangu kwasababu sasa ndio ashakuwa mume wangu sina jinsi , hii siku ilikuwa mbaya sana baada ya wazazi wangu kuniacha na mimi kubaki hapa kwenye chumba na huyu mwanaume hapa hotelini nilikuwa sina jinsi zaidi ya kukubali kubaki nae , maan hyo wiki kabla ya ndoaa nilifundwa ujeuri wote nahisi niliuacha kabisa mimi Bilqis wa watu , basi hii siku ilizidi kuwa mbaya baada ya kabil kuniomba tendo , niligoma ila ni haki yake nikikumbuka nilivyoambiwa mume akitaka hata upo jikoni unampa jamni hii siku nilijua kutaabika mimi binti wa Ayoub jaman π
Nilitoka kuoga sikuvaa hata hloo taulo wala hyo night dress niliyoandaliwa maana ilikuwa inaniacha u**i nilikuwa naaaibu sana nilivaa dela langu nililopangiwa kwenye begi la nguo , nilikuwa naona aibu kukaa nae kitandani ila nikakaa tu sikuwa na namna yoyote "kuwa na Amani mke wangu , mimi ni mmeo sasa π" nilimtizama tu sikumjibu nikainama chini akanisogeleaa karibu akaanza kunipa juice sikuwa na jinsi ya kumkatalia ni mme wangu haina jinsi kwenye hili , aliendeleaa kunipa juicee vilivyoo alinipaa ila kiukweli ni kwamba sijawahi kufanya hivi nikajikuta hadi kwenye kurespond nakasemaa " mume wangu mimi sijui hata jinsi ya kufanya hivi" nilisema kistaarabu sana alinitizam hakunijibu akaendelea kunipaa juicee huku akipandisha kale kadela taratibu yaani
Itaendelea.....π₯
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MIMI SIKUACHIπ₯° 19 MPAKA 20
π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fat...
π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. ...
π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona j...
7 MPAKA 9 π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani i...
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 6 Nilitoa macho mimi hadi machozi yalinitiririka jamani mimi nilijikuta nalia ila kwa sauti ya chini chini
muda huo kaka ni anatizama tu "Kaka kwani wewe wifi ulichaguliwa kwani mpaka mimi mnichaguliee kweli kaka?" Niliuliza kwa uchungu sijawahi kuuliza hili swali "mhh kwahyo unataka nikuzibe banzi sasa hivi si ndio Bilqis si ndio nakuuliza sasa endeleaa utakula hyoo jeuri yako mjinga nini , tena koma maswali yako ya kijinga" nilimkata jicho kaka hii siku nilikuwa namjibu jamni niliona kama sasa kila kitu kwenye maisha yangu anataka kunipangiaa sasa hee anipishe amri zake ampe mkewe mimi mwenyewe jeuri kama nini ,huwa namuheshimu tu " kwanza nimesema mimi siolewi nasema , yaani labda muolewe nyinyi ila sio mimi...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/lawyer-naumia-mwenzio-sehemu-ya-6-nilitoa-macho-mimi-hadi-machozi-yalinitiririka-jamani-mimi-nilijik
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi lawyer-naumia-mwenzio-sehemu-ya
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 16 Siku iliisha na mume wangu hakurudi na kesho yake mama wakwe
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 17 - 18 Mama alifurahi sana maana na yeye alikuwa amekuja kwa kaka
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 19 - 20 Tuliendelea na shughuli yetu hakupata shida
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 14 Asubuhi ilifika pia sikumuuliza chochote hii ilimpa mawazo
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 12 Aliendeleaa kunipa juicee ila kuna muda aliacha afu mwenzenu nishanogewa
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 7 Aliendeleaa kunishikilia kwa nguvu huku akinipa juice na mimi nilikuwa sitoi
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 10 Nilikuwa nimejikalia zangu chumbani sina tena maumivu
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 11 Tukiwa tumelala kuna simu ikawa inaitaa alikuwa anapiga
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 13 "Kabil wewe ni wakuniolea mwanamke kisiri siri? , mpaka naambiwa na ndugu
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 8 "Mke wangu usinichukiee sasa nisamehe ika , mimi ndio mmeo wa kufa na kuzikana sawa mke wangu"
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ SEHEMU YA 9 "Wee jamni hata kam ndio umefukuzwa kazi ndio hupatikani shoga