Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18
Gonga94 · Stories

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

SONGA NAYO......

Mdada mie nikaanza kupiga ukelele wa furaha na bila kujigikiria mara mbili mbili nilimkumbatia Anfrey mwamba naye ni kama alitegemea hivyo maana alinipokea tena kwa hamu kubwa

"Anfrey asante asante ansante, sijui hata nikupe nini Anfrey ..."

Niliongea huku tukiwa bado tumekumbatiana pale, machozi yalikuwa. Yanatoka kama mvua, yani mimi ni mwepesi wa kutoa machozi kuna yale ya furaha, huzuni na njaaa 😂

Basi mimi ni shwaaa michozi hiyo 😂 niliwahi kuambiwa eti natumia machozi vibaya siku nikipata msiba wa baba au mama yangu nikilia machozi hayatatoka ng'o 😂 sasa sijui ni ukweli au uongo 😁

"Mira mama, we kuwa na amani nimekupa hii zawadi kubwa kwa sababu wewe ni mfano wa kuigwa yani sijui hata niseme nini tu ili unielewe.."

Alivyoongea hivyo nikajitoa kifuani kisha nikamtazama usoni, akakwepesha macho na kupeleka pembeni.

"Vipi unaonekana kama hauko sawa..??"

Nilimuuliza, akageuza shingo na kuniangalia kishaakazungumza

"Mira niambie ukweli Bless ni mtoto wako..??"

Nikashtuka kidogo kisha nikamuuliza

"Wewe ni nani aliekwambia..??"

"Aaaah nijibu kwanza, Bless ni mtoto wako..??"

"Hapana.."

"Kwahiyo ni mdogo wangu sio..??"

"Ndio.."

"Mira sijui hata nikupe nini kwa shukrani, maana naona kama gari ni zawadi ndogo sana ila usijali mungu akinijalia nitafanya kubwa zaidi ya hili.."

"Aaah basi bwana inatosha.."

Nilisema huku nikitaka kugeuza mazungumzo

"Hivi Mira wewe ni binti wa aina agani ambaye unaweza kukaa na kitu kizito kiasi hiki, yani najiuliza toka jana nimefahamu kuwa Bless sio mtoto wako huwezi amini siku nzima nimekaa nakuwaza.."

( 🙄 uniwaze kwani nimekuwa mpenzi wako au.?? )

"Kawaida tu si unajua tena me nilikuwa kule kama mdada wa kazi tu so haviingiliani na hayo.."

"Haviingiliani kivipi Mira, kumbe siku zote hizo hujawahi kuniambia kama Nasrat oooh Bless ni mdogo wangu na unakaa kimya kabisa hiviiii my God.. "

Anfrey alikuwa anaongea kwa uchungu sana, ikabidi nimtulize kidogo maana mwamba alikuwa anaumia sana kumuona mdogo wake namna ambavyo aliteseka sana

"Lawama zote hizi zinatakiwa ziende kwa madam maana yeye ndie chanzo, mimi sio kama nilikuwa sitaki kukwambia hapana Anfrey me nilikuwa naogopa mno kumpoteza Bless maana nilikuwa nampenda

Lakini pia Bless alikuwa mdogo sana so ikabidi nifanye hivyo kwa ajiri ya kumlinda maana madam alikuwa akinipa vitisho.."

Nilisema huku machozi yakinitoka dah, basi mwamba akanikumbatia pale huku akinipiga piga mgongoni 😂 nicheke kwanza mimi mtoto wa mama Mira

Kumbe kumbato lenye hisia ndani yake huwa ni zuri sana na hamniambii mpaka kumkataa mkaka wa watu 😊 lile kumbato lake lilikuwa zuri sana iseee 🥰

Msinione maraya ila ukweli huyu mkaka alinivutia toka ile siku ya kwanza kabisa ninamuona kwenye laptop, so mdada mie naweza kusema huyu mkaka nilikuwa namtamani mda sana

😂 Sasa nimewaambia ukweli kuna wengine mnafurahi kimoyo moyo my zangu niambieni kama nimepatia kuchagua au niachane nae tu nitafute mtanzania mwenzangu..

Basi siku hiyo ikapita siku nyingine ikashika nafasi niliamka na kujikuta juu ya kifua cha mwamba 🥰 nilishtuka walah kidogo nikimbie ila nilishangaa zaidi baada ya kujikuta ndani ya gari

Inamaa usiku wa jana huba lilituzidia sana mpaka tukajikuta tukalala ndani ya gari, kuna namna nilifurahi ila nilipokumbuka kuwa huyu mkaka anapendwa na wadada wengi

Nikamsukuma huko kwa kumkanyaga na teke kwenye kifua 😅, aaah niseme tu ukweli huyu kaka akitoka kuamka anakuwa mzuri hatari 🥰, badala ya kuendelea kumkanyaga nikajikuta nabaki kumshangaa

Kile kifua chake sasa na zile Sixpack zilinipagawisha mimi 🥰

"Mbona unanishangaa hivyo..??"

Aliniuliza, ndio nikakurupuka sasa baada ya pepo la uzinzi kunitoka,, ndio hapo kidogo fikra zikanijia kuhusu usiku wa jana bwana

Yani usiku wa jana ulikuwa usiku wa malove love, hamuwezi amini ndugu zangu usiku huo ndio usiku ambao mimi na Anfrey tulivunja amri ya sita tena kwennye gari wazinifu sie

Mira mimi nilichakazwa haswa😅 sema tu kilichonisaidia ni kwammba sikuwa bikra, mnashangaa nini bikra yangu ilitolewa kitambo sana na ex wangu

Huyu mwanaume popote ulipo ulaaniwe wewe na ukoo wako wote maana ulikuja kwenye maisha yangu na kuchukua bikra yangu, haya sasa nitamwambia nini huyu mwarabu

Unajua kiasi gani huyu mwarabu ataniona mimi matako yake 😅 popote ulipo wewe Gerald nakuapia nikikushika natoka na .......

Basi siku hiyo bwana ndio siku ambayo sitaisahau kabisa kwenye maisha yangu maana maisha yangu yalibadilika kwa kiasi kikubwa sana

Hamuwezi amini ndugu zangu, yale ambayo nilikuwa nikimuomba mungu kwa mida mrefu sana aliyatimiza, amini tu yale ambayo unamuomba mungu wako na mungu anakufanyia siku ambayo hitegemei kabisa

Yani anafanya kitu kuwa kama surprise kwako, ninachokuambia ndugu yangu mtumaini mungu kwa kila hatua unayoipiga na pia usache kumshukuru kwa kile kidogo unachokipata

Hamuwezi amini jamani maisha yangu yalibadilika, maisha yangu yalikuwa yenye furaha tele pamoja na mume wangu kipenzi ANFREY ambaye mwanzo nilimkataa

Hii ni kali walahi, yani mwanaume nilimkataa lakini leo hii anakuja kuwa baba watoto wangu nyiee....

ITAENDELEA........

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18


SONGA NAYO......

Mdada mie nikaanza kupiga ukelele wa furaha na bila kujigikiria mara mbili mbili nilimkumbatia Anfrey mwamba naye ni kama alitegemea hivyo maana alinipokea tena kwa hamu kubwa

"Anfrey asante asante ansante, sijui hata nikupe nini Anfrey ..."

Niliongea huku tukiwa bado tumekumbatiana pale, machozi yalikuwa. Yanatoka kama mvua, yani mimi ni mwepesi wa kutoa machozi kuna yale ya furaha, huzuni na njaaa 😂

Basi mimi ni shwaaa michozi hiyo 😂 niliwahi kuambiwa eti natumia machozi vibaya siku nikipata msiba wa baba au mama yangu nikilia machozi hayatatoka ng'o 😂 sasa sijui ni ukweli au uongo 😁

"Mira mama, we kuwa na amani nimekupa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miranda-binti-yangu-sehemu-ya-17-18

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miranda-binti-yangu-sehemu-ya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11
MIRANDA (Binti Yangu)     SEHEMU YA 9
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 9
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 41 to 42

AFANDE MILLAN😎 41 to 42

1.03K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43

824
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45

564
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final

414
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15

162
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

115
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

94
mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu

mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu

86
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

85
ACHA NIKUPENDE ❤️ 3  to 5

ACHA NIKUPENDE ❤️ 3 to 5

83

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.66K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.38K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.81K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.3K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.89K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.81K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.68K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.66K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.62K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.56K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

SONGA NAYO......... miezi kama miwili ilipita huku nikiishi Tanzania pamoja na wifi yangu kipenzi BLESS 🥰 yes amekuwa wifi yangu badala ya mtoto wangu lakini nimemfanya kama bjnti yangu nampenda huyu...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Mdada mie nikaanza kupiga ukelele wa furaha na bila kujigikiria mara mbili mbili nilimkumbatia Anfrey mwamba naye ni kama alitegemea hivyo maana alinipokea tena kwa hamu kubwa "Anfrey asante asante...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Basi ikabidi waniache, nikaingia ndani nikawa nimeloa chepechepe na binti angu nae vile vile hakunibanduka kabisa mikononi mwangu "Karibu sana baba karibi, jisikie upo nyumbani.." Nikiwa chumbani navaa niliweza kumsikia mama...

mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu Post Mpya
mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu
@majario LIVE

Mimi naitwa Baba Derick, Leo asubuhi mapema sana, kama kawaida yangu niliamka kwenda kutafuta riziki. Kabla sijaondoka nyumbani, niliweka shilingi elfu mbili mezani. Nilimwambia mke wangu wazi kabisa kwamba pesa...

Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown), Post Mpya
Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown),
@majario LIVE

mitaa ipo tupu hakuna watu nje kutokana na hali ya hofu ya mashambulizi ya Iran, maduka yamefungwa na hali inazidi kuwa ngumu kuvumilika kwa watu" "Hata makombora makubwa ya Hezbollah yanaanguka...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45
@majario LIVE

Basi bwana tumefika kwake, ikabidi niwaache kisha nikatoka nikaenda super market kuwachukulia mahitaji, aseee nikawabebea kila kitu cha kula, sijuh unga ,mchele, kuku , nyama, maziwa ya mtoto mana bado...

Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU! Post Mpya
Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU!
@majario LIVE

Wataalamu wanahofia kuwa Kim Jong Un anaweza kutumia tukio hilo kama kisingizio cha kupanua uungaji mkono wake kwa Tehran, jambo litakaloleta tafarani kubwa duniani. Korea Kaskazini ina ubalozi wake jijini Tehran,...

ACHA NIKUPENDE ❤️ 3  to 5 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE ❤️ 3 to 5
@majario LIVE

ACHA NIKUPENDE ❤️ 3 MTUNZI uhuru media Karibu WhatsApp 0794810082 Kwa jicho aliloangaliwa na Nicky ilimbidi aondoke haraka haraka akaenda jikoni huku akiwa kachukia na machozi yalimtoka bila kutegemea. Alipofika...

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4* Post Mpya
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*
@majario LIVE

*_________________________________________* *Sehemu Ya 1* Ndani Ya hospital Moja kubwa wanaonekana Vijana wawili Wakiwa Wanasubiri Majibu Ya vipimo ambavyo Tayari walikuwa wamepima. "Hivi Sindele kwa mfano ikatokea Mimi nimekutwa nimeathirika utanioa au utaniacha!?" "Uuuuu...

🚩Rais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali Post Mpya
🚩Rais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali
@majario LIVE

ili kujaribu kubadilisha mwenendo wa timu katika Ligi ya Misri na CAF Champions League. 🔴 Maamuzi yaliyotangazwa: 💵 Kupunguzwa mishahara: Wachezaji wote wa kikosi cha kwanza watakatwa 30% ya mishahara yao,...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Mira mie nikaanza kupiga maombi ya kuteketeza roho ya umauti niliomba sana, jasho lilikuwa likinitililika na kulowanisha kifua Changu Nilikuwa nimezama kwenye ulimwengu wa roho nikifanya maombi, ni sauti ya...

Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi..  FOOTBALL ⚽. Post Mpya
Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi.. FOOTBALL ⚽.
@majario LIVE

Napoli walimchukulia kama takataka na kumfanyia ubaguzi, lakini Galatasaray wanamchukulia kama familia yao .. Hadithi ipi ni yenye huzuni kwa Victor Osimhen kwenye maisha yake , hadithi yenye huzuni ni kuhusu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43
@majario LIVE

Mi sikufanya ajizi, nikamuuliza kwani apa majirani zako hawapo, akanmbia mmoja alisafiri na mwengine kaenda kwao leo, wote hawapo, nikaona kazi leo, nisingekuja sijuh ingekuajee, ni mungu tu aliniongoza nije...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final
@majario LIVE

SEHEMU YA 19 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Asubuhi Mr Marvel alipoenda chumbani kwa Noela kama kawaida yake ili kumuamsha, anakuta chumba kipo kimya, hakuna mtu wala baadhi ya vitu vya Noela havipo😳. Anadhani labda ameenda chuo...

AFANDE MILLAN😎 41 to 42 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 41 to 42
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Sehemu ya 41 Basi bwana , zena alivyoniona mnazani alisimama,hapana bali ndo kwanza akaongeza speed ya kuelekea kwake ,na mm nikawa namfata kwa haraka ili asije akajifungia, basi zena akaingia...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest