Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

SHAMIRA 44 kwa 45
Gonga94 Β· Stories

SHAMIRA 44 kwa 45

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€

Sehemu ya 44
Mwandishi; lissa wa huru media
Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake na hausiki nayo. Mh kazi ipo. Aisha wala hakuona aibu akainama akaziokota zile pesa zote . Akanambia twende shoga tuatajua tunafanya nini tukifika nyumbani.Basi shoga akaanikokota tu mpka stand. tukapanda gali la mbagala. Na tulivyofika mbagala tukapanda gari mpka kwetu saku. Aseeee sikuwa sawa kabisa . Yani nilikuwa na mawazo sana.na chengine kilichoniumiza ile kumkuta hamadi ana mwanamke mwengine.nikawa na waza yani mda uhuu mchache tu awe ameshapata mwanamke hapana itakuwa alikuwa anacheat.mbona mapema sana jamani. Nilijikuta ata sijielewi mpka machozi yakawa yananitoka sasa. Aisha akaniuliza unalia .aah shamira usiniangushe bwana usilie. Wewe ni mwanamke shipavu unayejua kupamabania changamoto zako plsss acha
Nikasema aisha yule ni mwanamke wake eeeh. ni mwanamke wake si ndio. Yani nilishachanganikiwa nafanya kumuuliza aisha wakati nilikuwa nae na hana analolijua ata. Akasema tulia kwanza nini bwana unataka kujipandisha mapresha shamira. Nikasema plssss kwanini anikatae vile ina maana anaona mimi nambambikia mtoto. Aisha si unaelewa kuwa sijawahi kutembea na mwanaume mwengine tangu niende kwake si unajua aisha. Akasema ndio naelewa tulia basi.nikasema sasa kwa nini anakataa mimba na wakati allinambia anataka tuzae. Kwa nini ananisusia sasa. Nauliza kwa nini mimi ntaishije mwenyewe jamani. Nililia hii siku kwa uchungu mkubwa na aswa wivu ilinikaba mno.ile kumuona ana mwanamke mzuri ndo alinivuruga mimi wallah .mh nikaona kabisa nitakuwa chizi
Basi aisha alinisogelea akanikumbatia akanambia tulia achana nae yule. Mshamba tu alafu shamira ww ni mzuri kama kaondoka yye wewe utapata mwengime na maisha yataenda shida nini acha kulia bwana.nikasema lakini mimi nampemda sana hamadi yani sana .namuhitaji mno asa katika iki kipindi. Aisha akanmbia upo na mimi achana nae bwana na asikupe mapresha ata.
Basi ilikuwa ngumu kumuelewa aisha .kuhusu hamadi. Mana nampemda sana uyu mwanaume.basi akanibembeleza sana shoga yangu mpka nikalala kabisa
Nikaja kustuka mchana mchana hivi nakuta shoga kapika ugari na dagaa . Nikavuta chakura nikala vizur mana njaa iΔΊikuwa inanuma sna. Nilivyomaliza kula nikaenda kuoga kisha nikaludi kitandani nikasema napumzika akanmbia powa shoga yangu lala kidogo na pole kwa majanga.nikasema ya dunianai ayo wala usijali. akanambia sawa
Basi niliamka usiku sana .nikawa chumbani peke yangu nikajua aisha kaenda dukani kwake. Mana ile pesa nilimpaga milioni tatu aisha alifungua fremu na akaweka vipodozi vya wadada na rosheni na chupi na taiti.yani urembo wa wanawake ule. Basi bwana nikavuta simu nikajalibu kupiga namba ya hamadi ikawa haipatikani bado.nikabaki nimechoka nawaza sana .nafanyaje na hii mimba mimi. Niliwaza mno ila sikufikilia kutoa kabisa. Mana maremu shangazi alishawahi kunambia usije ukajalibu kutoa mimba ata siku moja. Nikawa za au nizae na mtoto akishakua namwambia baba yako alikukataa au vp 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€
SHAMIRA
Sehemu ya 45
Wassap; 0742443214
Mwandishi; lissa wa huru media
Niliwaza sana .na mawazo yalikuwa mengi sana .ila nikawaza nikasema mimi shamira siwezi kushindwa na maisha mpka nikashindwa kumuhudumia mtoto. Nikaona lakini pia nimezingua ndo mana hamadi kachukia sana na kawa mkari sana kwangu. Ila ninaweza nikaenda tena nikaongee na hamadi vizuri alielewe ili suala jamani mh. Mimi sikuuwa nataka kabisa kuwa single mother jamani. Basi nikiwa pale nawanza mno aisha akanipigia simu. Akasema shost nataka nikununuliee chipsi nikubebee chipsi yai au kavu.akasema leta kavu tu na soda akasema sawa shost
Basi kweli akaniletea ila sikuwa sawa kabisa. Sio kwamba nilikuwa najisikia kichefu hapana .ila mawazo yalikuwa .engi sana kichwani nilikula kidogo sana. Sikuwa sawa kabisa. Aisha akasema shamira ebu kula basi. Unamuwazia mwanaume kiasi iko na alivyonichamaba mimi ata hamu naye sina. Ahaaa kajua kutuumbua yule kaka jamani. Alafu kwa nini ulikuwa hufuti sms shamira.mpaka naonekana mnafiki pale. nikasema aisha kwa sasa sitaki lawama. Naomba nipumzike niliona anaichanganya tu. Nikapanda kitandani nikawa navuata usingizi. Aseee nilipata usingizi kwa shida sana. Mawazo jamani kila nikimuwaza mwanaume nahisi kuumwa mimi. Nawaza nakuwaa single mama mimi daaah. Basi mawazo yalikuwa mengi mpka nikapitiwa na usingizi na sikujua ata nimelela saaa ngapi mimi.

Asubuh niliamka nimechoka mno.ila kidogo akri ilitulia nilienda kuoga nikaludi chumbani. Nikakuta aisha nae kashaamka anaaandaa chai. Akanmbia vp shoga yangu wa kuteswa na mapenzi unaendeleaje.nikatabasamu tu .nikasema wewe tena mimi nipo powa kidogo leo. Aisha akanambia aya ebu njoo kwanza apa tuongeee kitu. Badi nikasogea nikaaa kwenye sofa .nikasema aya nipe mchapo shoga nakusikiliza.akanambia kwanza naomba ujikaze shamira. Wewe ni mwanamke usiwe unalia lia bwana. Tuna biashara teali na umenipa msingi ile ni biashara yetu hatuwezi kushindwa kuendesha maisha yetu. plssss ebu acha kuwaza na kujikondea .halafu kitu kengine mwanaume ameshakataaa mimba na hii mimba ni ndogo shamira kwa nini usiitoe hii mimba. Mh moyo wangu ulifanya paaah. Kutoa tena kisa nini kwanza

Nikasema wewe aisha mbona umefika mbali sana sijaplan kutoa mimba ata kidogo. Kwa nini nitoe .akasema sikia kwiyo unataka kuwa single mama. Mana mwanaume kama ulivyomuona katuchamba atari na kasema hakutaki na kashapata mwanamke. Unazani ataa atamuwaza uyo mtoto. Ebu utazeeka shamira toa mimba tuludi sokoni maisha yaendelee. Na mimba kama iyo kuna mwanaume atakutamani sasa. Acha ushamba bwana katoe. Nikasema aisha mimi mimba sitoi kabisa na sina mpango wa kutoa mimba. Akasema unaogopa nini mimba changa iyo . Mimi apa nimeshatoa mimba 3 na mbona sijafa na nalipa sina mpango .na labda nikwambie shamira kuzaa sio kazi .ila kazi kulea mzigo utaweza kuulea mtoto. Nikasema niweze ama nisiweze mimba sitoi shoga yangu. Na ata kama kakataa sio mbaya kanipa zawadi ya mimba nitalea mwenyewe. Mwisho napaga mtoto wangu atanilea baadae ila kutoa mimba hapana


Ayaaa mzigoooo uoooo njoooni tuendleeeeeeeeee mambo ji motroooooooòoo❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️

Maoni

You're not logged in


Tangazo - from bangi to baby fully stories 1 to 21
from bangi to baby fully stories 1 to 21
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

SHAMIRA 44 kwa 45

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€

Sehemu ya 44
Mwandishi; lissa wa huru media
Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake na hausiki nayo. Mh kazi ipo. Aisha wala hakuona aibu akainama akaziokota zile pesa zote . Akanambia twende shoga tuatajua tunafanya nini tukifika nyumbani.Basi shoga akaanikokota tu mpka stand. tukapanda gali la mbagala. Na tulivyofika mbagala tukapanda gari mpka kwetu saku. Aseeee sikuwa sawa kabisa . Yani nilikuwa na mawazo sana.na chengine kilichoniumiza ile kumkuta hamadi ana mwanamke mwengine.nikawa na waza yani mda uhuu mchache tu awe ameshapata mwanamke hapana...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/shamira-44-kwa-45

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi shamira
SHAMIRA sehemu ya 40&41
SHAMIRA sehemu ya 40&41
SHAMIRA sehemu ya 38&39
SHAMIRA sehemu ya 38&39
SHAMIRA  πŸ€ sehemu ya 32&33
SHAMIRA πŸ€ sehemu ya 32&33
SHAMIRA sehemu ya 34&35
SHAMIRA sehemu ya 34&35
SHAMIRA sehemu ya 27&28
SHAMIRA sehemu ya 27&28
SHAMIRA 1 mpk 7.
SHAMIRA 1 mpk 7.
SHAMIRA Sehemu ya 25&26
SHAMIRA Sehemu ya 25&26
SHAMIRA sehemu ya 36&37
SHAMIRA sehemu ya 36&37
SHAMIRA sehemu ya 29&30
SHAMIRA sehemu ya 29&30
SHAMIRA 21,22,23,24
SHAMIRA 21,22,23,24
SHAMIRA 8   MPK  12
SHAMIRA 8 MPK 12
SHAMIRA 17,18,19,20
SHAMIRA 17,18,19,20
SHAMIRA sehemu ya 15&16
SHAMIRA sehemu ya 15&16
SHAMIRA sehemu ya 30&31
SHAMIRA sehemu ya 30&31
SHAMIRA sehemu ya 13&14
SHAMIRA sehemu ya 13&14
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45

1.09K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43

1.06K
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*

*AFANDE MILLAN😎* *46&47*

459
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15

242
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20

230
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

229
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

224
SHAMIRA 44 kwa 45

SHAMIRA 44 kwa 45

126
ACHA NIKUPENDE ❀️ 3  to 5

ACHA NIKUPENDE ❀️ 3 to 5

110
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

102

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.67K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.39K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.81K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.3K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.9K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.82K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.68K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.67K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.63K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

SONGA NAYO......... miezi kama miwili ilipita huku nikiishi Tanzania pamoja na wifi yangu kipenzi BLESS πŸ₯° yes amekuwa wifi yangu badala ya mtoto wangu lakini nimemfanya kama bjnti yangu nampenda huyu...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Mdada mie nikaanza kupiga ukelele wa furaha na bila kujigikiria mara mbili mbili nilimkumbatia Anfrey mwamba naye ni kama alitegemea hivyo maana alinipokea tena kwa hamu kubwa "Anfrey asante asante...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Basi ikabidi waniache, nikaingia ndani nikawa nimeloa chepechepe na binti angu nae vile vile hakunibanduka kabisa mikononi mwangu "Karibu sana baba karibi, jisikie upo nyumbani.." Nikiwa chumbani navaa niliweza kumsikia mama...

mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu Post Mpya
mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu
@majario LIVE

Mimi naitwa Baba Derick, Leo asubuhi mapema sana, kama kawaida yangu niliamka kwenda kutafuta riziki. Kabla sijaondoka nyumbani, niliweka shilingi elfu mbili mezani. Nilimwambia mke wangu wazi kabisa kwamba pesa...

Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown), Post Mpya
Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown),
@majario LIVE

mitaa ipo tupu hakuna watu nje kutokana na hali ya hofu ya mashambulizi ya Iran, maduka yamefungwa na hali inazidi kuwa ngumu kuvumilika kwa watu" "Hata makombora makubwa ya Hezbollah yanaanguka...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45
@majario LIVE

Basi bwana tumefika kwake, ikabidi niwaache kisha nikatoka nikaenda super market kuwachukulia mahitaji, aseee nikawabebea kila kitu cha kula, sijuh unga ,mchele, kuku , nyama, maziwa ya mtoto mana bado...

Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU! Post Mpya
Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU!
@majario LIVE

Wataalamu wanahofia kuwa Kim Jong Un anaweza kutumia tukio hilo kama kisingizio cha kupanua uungaji mkono wake kwa Tehran, jambo litakaloleta tafarani kubwa duniani. Korea Kaskazini ina ubalozi wake jijini Tehran,...

ACHA NIKUPENDE ❀️ 3  to 5 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE ❀️ 3 to 5
@majario LIVE

ACHA NIKUPENDE ❀️ 3 MTUNZI uhuru media Karibu WhatsApp 0794810082 Kwa jicho aliloangaliwa na Nicky ilimbidi aondoke haraka haraka akaenda jikoni huku akiwa kachukia na machozi yalimtoka bila kutegemea. Alipofika...

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4* Post Mpya
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*
@majario LIVE

*_________________________________________* *Sehemu Ya 1* Ndani Ya hospital Moja kubwa wanaonekana Vijana wawili Wakiwa Wanasubiri Majibu Ya vipimo ambavyo Tayari walikuwa wamepima. "Hivi Sindele kwa mfano ikatokea Mimi nimekutwa nimeathirika utanioa au utaniacha!?" "Uuuuu...

🚩Rais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali Post Mpya
🚩Rais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali
@majario LIVE

ili kujaribu kubadilisha mwenendo wa timu katika Ligi ya Misri na CAF Champions League. πŸ”΄ Maamuzi yaliyotangazwa: πŸ’΅ Kupunguzwa mishahara: Wachezaji wote wa kikosi cha kwanza watakatwa 30% ya mishahara yao,...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Mira mie nikaanza kupiga maombi ya kuteketeza roho ya umauti niliomba sana, jasho lilikuwa likinitililika na kulowanisha kifua Changu Nilikuwa nimezama kwenye ulimwengu wa roho nikifanya maombi, ni sauti ya...

Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi..  FOOTBALL ⚽. Post Mpya
Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi.. FOOTBALL ⚽.
@majario LIVE

Napoli walimchukulia kama takataka na kumfanyia ubaguzi, lakini Galatasaray wanamchukulia kama familia yao .. Hadithi ipi ni yenye huzuni kwa Victor Osimhen kwenye maisha yake , hadithi yenye huzuni ni kuhusu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43
@majario LIVE

Mi sikufanya ajizi, nikamuuliza kwani apa majirani zako hawapo, akanmbia mmoja alisafiri na mwengine kaenda kwao leo, wote hawapo, nikaona kazi leo, nisingekuja sijuh ingekuajee, ni mungu tu aliniongoza nije...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest