SHAMIRA π sehemu ya 32&33
Wassap:0742443214
Mwandishi; lissa wa huru media
Bai tumefika nyumbani akanishusha mwenye gari. akanikokota mpaka chumbani moja kwamoja akanipeleka bafuni nilichafuka na mapombe kama yote. Mwanaume akaniweka kwanza chini akaanza kunimwagia maji ya baridi .yani sijuh mapombe yalinizidia kish akainitoa nguo zote akaniogesha vizuri kabisa.akanibeba akanipeleka kitandani. Nikaona kaingia tena bafuni kwa jinsi nilikuwa hoi ata sikuchelewa kupata usingizi nikajilalia zangu nikajaa kustuka asubuh sana mwili unauma mno.namuona mwanaume ananainglia kwa hasira. Nikakumbuka niliyoyafanya jana nikaoma tobaaa kazi ipo apa.
Akanambia umeamka sio. Nikasema ndio ila bado nilikuwa sipo sawa nikawa najisikia kutapika halaka nikaenda bafuni nilitapika uko atari.hizi pombe zilinikataa wakati mimi ndo konki wa kunywa na haziniteteleshi ila hizi zilijua kunidhalilisha niilivyomaliza kutapika nikaludi chumbani . Nikakuta hamadi kanileta juice ya chungwa na anainiwekea malimao mule.kisha akanipa nikapokea nikawa nakunywa uku namuangalia mana nilijua apa kutachimbika kwanza nimeondoka sijamuaga .na alinikataza kwenda nimeenda bado nimemtapikia yani nna kesi kama zote
Nilivyomaliza akasema umemaliza eeeh .nikasema ndio akasema sawa.sasa nataka kujua unataka kuishi na mimi or not. Nikasema nataka kuishi na wewe. Akasema unataka kuishi na mimi na hutaki kufaya ambacho mimi nasema unanichukuliaje kwanza mimi ebu nambie wewe mwanamke. Mh nikaona kazi ipo. Nikasema nisamehe jamani. Akasema nakusamehe nn ulikuja kubebwa apa. Ila unajifanya wewe ni jeuri sana sio. Sasa ntakuonesha kuwa mimi ni mwanaume.nyanyuka tupigane apo .mh asa mimi naweza kupigana nae jamani
Akasema hujanisikia ama vp nimesema nyanyuka tupigane . Atakaye mpiga mwenzio ndo atafatwa kwa amri zake .mh nikasema nisamehe sikumaliza akanipiga ngumi ya mgongo iyo weeee kisha akasema kwa hasira nyanyuka nikasimama uku nalia .aseee kumbe mwanaume alificha bakora zake mbichi chini ya kitanda weee mbona nilieleza alinitandika jamani. Nililia kama mtoto. Mnajua bakora za maana mpka za kichwa haangalii ata anaipiga wapi alafu nilivaa kigauni chepesi cha kulalia. Akawa anasema unaniona mimi mpumbavu si ndio kukupenda imekuwa kosa sasa ntakuonesha mpumbavu wewe nasema ntakuaonesha kukuacha sikuachi na utaonyooka shamira utanyooka nakwambia alinitandika kweli kwrli. Kisha akasema twende uku akanishika mkono akanikokota mpka nje . Akanmbia osha gari ulilotapikoa oyaaa niliosha uku nachapwa mimi.nilisafisha kweli kweli uku napigwa . Alinifahidi hiii siku alinitandika kweli kweli
Niliosha gari ikawa nyeupe na safi haina ata harufu akanmbia sasa mimi na wewe tutasoma ntakuua nakwambia.na hukuna kuondoka mimi nataka tupimane ujeuri na utanyooka wewe.apo mwili umevimba vimba.basi nikarudi ndani nipo hoi mwili unauma sana akanambia kaoge ukapike .nikaingia bafuni uku nalia. Nikaoga nikiwa na hasira sana niliona kama nabanwa alafu kama naonewa hivi. Yani kama ananifanya mkewe wakati wala hajanioa ila nikikumbuka ananipeda nikaona acha nikaushe basi tukala mimi nilinunua mno mwanaume tunakula na fimbo zake mkononi. Nikajifanya apa nikisema nasusa nitatandikwa tena basi nikala tu.
Nilivyomaliza nikaingia chumbani nikapanda kitandani mwili unauma kila kona nikajikunyata nikalala .mana nilikuwa hoi .nikaja kustuka jioni kabisa hii siku ata simu yangu sikuishika.nikakuta mwanaume kanikumbatia nyuma.nikichukia nikamsukuma. Akanmbia vp nikasema sitaki tu unikumbatie.akasema kwaiyo unahisi kukupiga mimi sikutaki ama.nilitaka kukufundisha adabu na ujua mimi ni mwanaume wako ambaye soon tunaenda kuoana utakuwa mke wangu shamira. Ndo kwenye ndoa utaendeleza hizi tabia zako ama.nikabaki nimenuna akanmbia okey nuna ukicheka tutaongea . Akageuka upande mwengine akavuta shuka lake.
Mimi ndo nikashika simu.nikakuta sms nyingi sana za aisha .ananiuliza vp jana ilikuwaje. Nikamtumia sms nikasema aisha bwana uyu mwanume ataniua anapiga sana ataniua bwana.aisha akasema vumilia bdo malengo hatujayatimiza ngoja kwanza uchume pesa uko usiniangushe bwana shamira .nikasema sawa hamna shida. Basi nami nikaludi kitandani nikajilaza mpka usiku sana saa 2. Mwanaume akanisogelea kwa mahaba akasema shamira amka basi tukaoge tutoke kidogo mke wangu. Nami nikaludisha moyo nyuma nikasema ebu ngoja kwanza nisije nikatupa fuko la pesa bule
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni