Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

THE SECRET MESSAGE 💬05
Gonga94 · Stories

THE SECRET MESSAGE 💬05

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Alinitazama akiuma midomo yake akisema “Chiddy unaweza acha pikipiki mahali, ukaingia kwa gari unisindikize mahali?”
Niliona tayari fursa hii, nilitabasamu na kusema “bila shaka dada yangu mzuri.”

Alitabasamu, basi kidume sikuwawia. Haraka haraka nilienda kuacha sehemu pikipiki yangu, nikahakikisha kila kitu kipo sawa kwa makubaliano ya kulipia nikirudi na kuingia zangu kwa gari.

Tulipoingia kwa gari, huyu dada ndiyo alikuwa anaendesha. Kila muda alikuwa ananitazama na kutabasamu. Kisha aliniuliza “Chiddy, una mpenzi?”

Nilimtazama na kutabasamu kisha nikameza mate na kujibu “mwanamke nani ananitaka bodaboda mimi dada, sisi ni watu wa kuumizwa tu. Sina mpenzi kwasasa.”

Huyu dada alitabasamu na kusema “mmh Chiddy, ulivyo handsome hivyo, mwili wa mapenzi kabisa huo inakuaje huna mpenzi.”

Nilitabasamu na kusema “dada yangu, mapenzi ni kitu kikubwa sana cha kuheshimu sana. Sio kwasababu tu unataka mpenzi unakuwa naye. Sio kwasababu tu unajua mapenzi uyafanye.

Binafsi naheshimu sana mwanamke, natamani kupata mwanamke mmoja mzuri sana ambaye atanipenda, atanijali na mimi nimpe muda wangu wote, nitampenda sana huyo mwanamke na kumjali sana. Hivyo ndiyo maana ya mapenzi. Kuhakikisha mwenza wako anapata furaha.”

Huyu dada mke wa mtu alitabasamu akisema “atafaidi sana huyo mwanamke, namuonea wivu.”

Mimi huku moyoni nasema “usidanganyike dada sina lolote ni mdomo wangu tu una maneno matamu. Hayafanani hata kidogo na mimi, hayafanani kabisa.”

Huyu dada alifika mahali na kusimamisha gari. Alinitazama kwa mapenzi akisema “Chiddy, samahani, lakini, unajua Chiddy.”

THE SECRET MESSAGE 💬06
Mkono wake akawa anauleta juu ya paja langu. Huku akinipapasa. Nilimtazama na kusema kwa sauti tulivu sana “lakini dada, wewe ni mke wa mtu mimi naogopa. Bado kijana natamani kupata mwanamke!!”

Huyu dada aliniambia “shhhhhh!!!, nakuelewa Chiddy. Ni kweli mimi ni mke wa mtu, napata kila kitu, kila kitu chiddy, kasoro furaha ya tendo tu. Nisikilize mwenzio.”

Mimi nilitazama chini huku nikisema “lakini mnaweza!!, mnaweza!!”
Huyu dada aliniambia “Chiddy please, hatuwezi. Naomba unifurahishe tafadhali.”

Nilimtazama kwa upole, wakati huo ukimuangalia huyi dada ni tayari ameshapagawa. Alinitazama kwa uchu, huku akifunua gauni yake ya kumwaga, na kuchukua mkono wangu akinifanya nimpapase. Tena huku akilalamika, nikamuuliza “hapahapa!!!”

Huyu dada alinitazama huku akiongea sauti ya mahaba akisema “Chiddy siwezi kusubiri zaidi, please usifanye hivyo.”

Niliona huyu dada asinitanie, niliamua kuanza kuchangamka, nilimvuta karibu yangu kwa kumpokea na mdomo wangu.

Dada alikuwa vizuri, alijiachia ni kama ananifahamu vile. Baada ya hapo alilaza siti ya gari, na yeye alikuja kunikalia kwa juu. Nilimpokea kwa kumshikilia vizuri sana. Huyu dada alianza kunikatia mauno kama ya Shakira, tena akijiachia na kelele juu.

Huyu ni mke wa mtu, mke wa mtu wa ndoa, mume wake yupo kazini anatafuta kwaajili yake. Ila alishiriki tendo na mimi tena kirahisi sana halafu bado mama anasema nioe nitulie. Hainiingii akilini.

Nilimtazama na kutabasamu, na yeye alicheka akijitengeneza na kusema “una balaa Chiddy, kumbe sio msafi wa nje tu mpaka ndani.”
Nilitabasamu na kusema “nashukuru sana. Umefurahia lakini?”

Alinitazama na kunijibu “kuna mtu atakutana na wewe na asifurahie. Upo vizuri. Nikuombe kitu?”

Niliitikia kwa kichwa nikisema “kuwa huru.”
Ndipo huyu dada alisema “naomba nafasi ya huyo mwanamke unayemtafuta niishike mimi mpaka utakapopata.”

Nilimtazama na kutabasamu kisha nikauliza “una hakika hutong’ang’ania?”

THE SECRET MESSAGE 💬07
Alicheka akisema “kwa hizi raha Chiddy sijui, ila natamani tupate muda zaidi. hotel nzuri tushinde siku nzima.”

Nilimtazama na kusema “nakushikiliza wewe chibaby wangu.”
Huyu dada alifurahia akisema “waaao!!, umeniita Chibaby jamani zuri sana.”

Nilitabasamu na kusema “karibu sana.”
Ndipo huyu mke wa wenyewe alinipa laki moja, na vile sikuwa na hata shilingi. Nilimshukuru sana na kufanya yeye azidi kuniona mimi ni mtu wa maana.
Alinitazama na kusema “kuna mahali natakiwa kwenda Chiddy, ila huwezi kuamini natamani twende Hotel.”

Nilitabasamu na kusema “usijali, tutapata muda zaidi. Kwasasa hata mimi nina ratiba nyingi leo, si unajua umenishtukiza.”

Huyu dada mke wa mtu alicheka tu. Kisha aliniambia “basi nikusindikize mpaka ulipoacha pikipiki, tutawasiliana zaidi.”

Nilisema kwa tabasamu “nashukuru sana Tajiri, nashukuru.”
Moyoni namchora tu maana kichaa changu nakijua, hapa labda nipige hela tu ila hakuna maajabu, sioni kitu kipya kwake hakuna kabisa.

Barabarani ananitazama kwa mapozi mwenyewe natabasamu tu. Unajua wale wanaume wenye muonekano mzuri, eenh mwenyewe kijiweni naitwa Chiddy Bwoooy, lover Boy, ndiyo mimi sasa.

Kweli aliniacha mpaka sehemu ambayo niliacha pikipiki. Tena kwa mabusu kedekede huyu dada anajiamini sana. Basi mwanaume na nilivyopendeza utaniambia nini mfukoni nina laki.

Mwanaume mdogo mdogo nikachukua zangu pikipiki yangu mpaka kijiweni. Nimefika kijiweni nakutana na wenzangu, nilianza na kelele zangu nikisema “Oyyyy oyyy!!, wanangu niaje niaje!!”

Tulisalimiana pale wakinipambana “Chiddy Bwooooy, mtoto wa mama Chiddy, Lover Boy, niaje.”
Nilianza kwa kusema “fresh kabisa, kijiwe kimenuna leo kwema?”

Jamaa wa karibu aliniambia “leo pamenuna sana. Vipi mbona umechelewa sana leo, uliopoa nini?”

Nikaanza kucheka nikisema “eenh bwana eemh, leo siku ilikuwa mbaya kinoma. Jana nimelala na mtoto fulani hivi mkali, asubuhi ile anaondoka mother house si kamuona akaja kunisema vibaya mno. Ile niondoke si kuna dada akanipigia. Mke wa mtu huyo, aisee dada mkali.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

THE SECRET MESSAGE 💬05


Alinitazama akiuma midomo yake akisema “Chiddy unaweza acha pikipiki mahali, ukaingia kwa gari unisindikize mahali?”
Niliona tayari fursa hii, nilitabasamu na kusema “bila shaka dada yangu mzuri.”

Alitabasamu, basi kidume sikuwawia. Haraka haraka nilienda kuacha sehemu pikipiki yangu, nikahakikisha kila kitu kipo sawa kwa makubaliano ya kulipia nikirudi na kuingia zangu kwa gari.

Tulipoingia kwa gari, huyu dada ndiyo alikuwa anaendesha. Kila muda alikuwa ananitazama na kutabasamu. Kisha aliniuliza “Chiddy, una mpenzi?”

Nilimtazama na kutabasamu kisha nikameza mate na kujibu “mwanamke nani ananitaka bodaboda mimi dada, sisi ni watu wa kuumizwa tu. Sina mpenzi kwasasa.”

Huyu dada alitabasamu na kusema “mmh Chiddy, ulivyo handsome hivyo,...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/the-secret-message-05

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi the-secret-message
THE SECRET MESSAGE 💬 1,2
THE SECRET MESSAGE 💬 1,2
THE SECRET MESSAGE  3 to 4
THE SECRET MESSAGE 3 to 4
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA NNE*

724
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TANO*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TANO*

458
REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA SITA*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA SITA*

345
REALLY LOVE*   *SEHEMU YA 37*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA 37*

248
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 15

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 15

223
AFANDE MILLAN😎 1 na 5

AFANDE MILLAN😎 1 na 5

133
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 19   na 20.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 19 na 20.

102
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 14

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 14

57
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  Chapter 13

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 13

47
THE SECRET MESSAGE 💬05

THE SECRET MESSAGE 💬05

45

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.36K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.12K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.73K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.17K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.57K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.36K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.3K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.21K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
Mother India (1957) is not just a film, it’s an emotion for Indian cinema lovers. Directed by Mehboob Khan, the movie starred Nargis in one of the most powerful performances ever seen on screen, along with Sunil Dutt, Rajendra Kumar and Raaj Kumar Post Mpya
Mother India (1957) is not just a film, it’s an emotion for Indian cinema lovers. Directed by Mehboob Khan, the movie starred Nargis in one of the most powerful performances ever seen on screen, along with Sunil Dutt, Rajendra Kumar and Raaj Kumar
@majario LIVE

. It was actually a remake of Khan’s earlier film Aurat (1940), but Mother India became much bigger in scale and impact. The story revolves around Radha, a poor village woman...

THE SECRET MESSAGE 💬05 Post Mpya
THE SECRET MESSAGE 💬05
@majario LIVE

Alinitazama akiuma midomo yake akisema “Chiddy unaweza acha pikipiki mahali, ukaingia kwa gari unisindikize mahali?” Niliona tayari fursa hii, nilitabasamu na kusema “bila shaka dada yangu mzuri.” Alitabasamu, basi kidume sikuwawia. Haraka...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  Chapter 13 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 13
@majario LIVE

"Wee nae nilikuwa nakwambia kila siku yule sio mwanaume, unaanza kusema ooh amenitolea barua, mimi nilijua tu hili litakuja litokee siku tuu yaani huyoo mkaaka ni mpuuzi sana kha! Mh...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 19   na 20. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 19 na 20.
@majario LIVE

19 MPAKA 20 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Mama akasema mungu wangu hajafanikiwa eewh hajafanikiwa. Nikasema ndio mama. Baraka akasema sio kweli shangazi . Mimi siwez kumfanyia hivyo shakira. Apo mimi...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TANO* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TANO*
@majario LIVE

"Habari za hapa?" Aliuliza Suzy baada ya kutufikia Mimi na pili. "Salama" Alijibu pili na Mimi Nikabaki nikimuangalia Suzy kwa dharau sana Maana huyu msichana amejua kuninyanyasa sana NYUMBANI kwao. "Nikusaidie nini Nilimuuliza Hapo pili akaniangalia...

So excited to see Akshay Kumar and Saif Ali Khan coming back together on screen! Post Mpya
So excited to see Akshay Kumar and Saif Ali Khan coming back together on screen!
@majario LIVE

If you grew up in the 90s, you know this duo was pure entertainment. From Main Khiladi Tu Anari to Yeh Dillagi, Tu Chor Main Sipahi, and Keemat, they gave...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 15 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 15
@majario LIVE

D alitoka hukoo kasi akataka kumpiga Veda Tinner akazuiaaa nae alitoka .. "Veda wewe kumbe ni mshenziii eeeh!!" Veda yupo kimyaa ananikata jichoo kaliii yaani hamtazami D anaembwatukia jicho lote lipo...

AFANDE MILLAN😎 1 na 5 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 1 na 5
@majario LIVE

Sehemu ya 1 Aseeee bwana.. mie nilipozi kwanza . Nikaamuangalia uyu demu mkari kisenge. Yani mtoto mzuri mzuri kwli. Sio masihara. Kisha sasa ana vitu. Vyaangu. Bwana mi sjawaahi kumuangalia mwanamke...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 14 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 14
@majario LIVE

Nikasogea hadi karibu na Geti yeye alikuwa kwa nje akanifanya na mie nivuke geti kidogo yaani mguu mmoja ukawa nje ya Geti mwingine ndani "Enhee" yaani nilikuwa makini nae mno "Aunt, Unaitwa...

REALLY LOVE*   *SEHEMU YA 37* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA 37*
@majario LIVE

basi ikabidi mzee fahad awaeleze wote juu ya taarifa za msiba huo, kwakuwa harusi ilikuwa Imeisha haraka watu walijiandaa kwenda hospitari, familia ya cathe ilikuwa na majonzi sana haikuamini kama...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA NNE*
@majario LIVE

Nilipanda kwenye gari ya Enzo, nikiwa na hasira ya usoni tu lakini nilikuwa Nina Furaha sana moyoni kwangu, my zangu huyu kaka nampenda na sio utani, Yaani nampenda kutoka moyoni,...

IF THIS WAS THE PART TWO YOU ARE A PARTHOLOGICAL LIAR BRING PROOFS Post Mpya
IF THIS WAS THE PART TWO YOU ARE A PARTHOLOGICAL LIAR BRING PROOFS
@majario LIVE

First and foremost, this collaboration hurt many Kenyans. They didn’t see me coming. No one from Kenya or Tanzania pulled this project together. The entire thing was organized by...

🚨 OFFICIAL Timu zilizofuzu 16 Bora UEFA Champions League Post Mpya
🚨 OFFICIAL Timu zilizofuzu 16 Bora UEFA Champions League
@majario LIVE

🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Arsenal 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Chelsea FC 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Liverpool FC 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Manchester City 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Newcastle United 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Tottenham Hotspur 🇪🇸 Barcelona 🇪🇸 Real Madrid 🇪🇸 Atletico Madrid 🇩🇪 Bayern Munich 🇩🇪 Bayer...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA SITA* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA SITA*
@majario LIVE

biharusi wetu alitulizwa kwa staili tamu sana basi akajitoa kisha akashika shavu la fahima huku ameikamata vizuri maiki yani apo wambea wanapiga vigelegele vibaya mno tena john ndo kajiweka mbele...

THE SECRET MESSAGE  3 to 4 Post Mpya
THE SECRET MESSAGE 3 to 4
@majario LIVE

💬03 Sina sababu ya kukuficha lolote. Lazima nikuambie ukweli. Rashid wewe Mungu anakupenda sana, mwenyezi Mungu anakupenda mno. Unafanya kazi zako vizuri kabisa mwanangu, lakini cha ajabu mwanangu kila nguo mpya...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest