Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA NNE*
Gonga94 ยท Stories

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA NNE*

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Nilipanda kwenye gari ya Enzo, nikiwa na hasira ya usoni tu lakini nilikuwa Nina Furaha sana moyoni kwangu, my zangu huyu kaka nampenda na sio utani, Yaani nampenda kutoka moyoni, imagine, kitendo cha kumuona tu najikuta nasahau shida zangu zote.

"Funga mkanda"

Alizungumza Enzo pale tu alipoanza kuendesha gart

"Sitaki

Nilijibu kwa SAUTI ya kudeka uku nikijifanya Kuwa bize sana, masikini Enzo wa watu, akasimamisha gari na kunisaidia kufunga

mkanda na safari ikaanza.

Kiukweli safari ilikuwa ni yenye ukimya sana, Enzo hakuwa akiongea kitu chochote kile na Mimi nilikuwa kimya nikimuangalia kwa kuibia

Ibla tu

Ila Nyleeeh Enzo amepungua sana, uso wake haukuwa na Nuru Kama ambavyo alikuwa mwanzo, Yaani Sijui niseme kitu gani lakini

daaaah Enzo wangu hayuko Sawa kabisa.

Enzo akaniangalia kwa muda uku akifocus na kuendesha gari kisha akavunja ukimya na

kuniuliza.

"Uku umetoka wapi San Hizi 7"

"Ndio Maana nilikuwa sitaki kupanda hii gari yako Walahi, kwani nilipotoka Mimi wewe panakuhusu nini?"

Nilimuuliza nikionesha Kuwa sitaki kabis shobo

na yeye.

"ISHANI Saa hivi ni usiku sana, Angalia muda vizuri ni Saa 5 inaenda Saa Sita, usisahau Kuwa wewe ni Mtoto wa kike"

Nikamuangalia na kumjibu.

"Usisahau Kuwa nilikuwa nikilala nje kila siku na sikuwai kudhurika na kitu chochote, by the way. Unaendeleaje wewe na Mke wako ?"

Hapo kwanza Enzo akashusha Pumzika nzito kisha akajibu.

"Sijui amesafiri ameenda Kenya na mama yake, ishani usitake kubadilisha mada nataka kujua umetoka wapi muda huu?"

"Kwani wewe nikitembea usiku huu unaumia nini Matembezi yangu yanakuhusu nini kwa mfano

? Enzo nishushe hapa panatosha"

Nilijifanya kuwa na hasira sana lakini moyoni kulikuwa na Furaha isiyokuwa na kifani.

Baada ya mwendo wa Kama nusu Saa hivi, Hatimaye nikafika NYUMBANI kwangu, haraka nikafungua mlango wa gari na kushuka.

"Ooooh Asante Mungu umerudi

Alizungumza pili ambaye nilimkuta hapo nje akizunguka zunguka tu

"Pili kuna nini Mbona Kama umepaniki?"

Nilimuuliza

"Nakupigia simu upatikani na muda unayoyoma tu ndugu yangu umenipa wasiwasi sana ujawai kuchelewa kurudi Kama hivi

Alizungumza pili akionesha kujali sana kuhusu Mimi, Yaani Kama ni Rafiki tu, Walahi Mungu amenibariki na huyu pili, huyu msichana ananijali na kunipenda sana sana

"Simu yangu imekufa chaji, lakini pia kulikuwa na kazi nyingi sana Leo na foleni Basi weeh"

Nilimjibu pili wangu kwajili ya kumtoa wasiwasi

tu

Pili sasa kwa umbea, akasimama na kuangalia gari kisha akaniuliza.

"Ushapata Bwana mwingine tena Mwenye gari 7"

Nikacheka na kumjibu.

"Amna Bwana, huyu ni kaka wa boss wangu tu kwakuwa tumechelewa kutoka Ndio ameambiwa.anilete NYUMBANI

Niliamua tu kumdanganya pili mama akili yake naijua vizuri sana, Yaani angejua Kuwa ni Enzo angemuwashia moto wa hatari sana.

Kwa hatua za haraka haraka nikasogea mpaka kwenye gari ya Enzo na kufungua mlango.

"Kwahiyo ulitaka niondoke ikiwa ujaniaga ?"

Enzo aliniuliza

"Wewe sikiliza Ebu nendaga Uko"

Nilijibu kisha kwa hasira nikabamiza mlango wa gari na moja kwa moja Mimi na shoga yangu tukaingia Ndani na Enzo nae akaondoka.

Siku iliyofuata Kiukweli nilikuwa ninauchovu wa kutosha, lakini pia miwili uliniuma sana kutokana na kufanya kazi mfululizo pasi na kupumzika.

Nikajikongoja zangu na kwenda kazini, kwa

Mara nyingine Tena nikachelewa kazini na kumkuta mama amina akiwa na Binti yake wanaendelea na kazi zao

"Naona sasa ofisi umeifanya Kama ya baba yako

Alizungumza mama amina pale tu nilipofika kazini.

Nikamuangalia kisha kwa SAUTI ya upole na

utulivu nikajibu.

"Kwa Leo sijusikii vizuri kabisa na nilikuwa naitaji kwenda hospital"

"Kwahiyo hapa Ndio hospital au Mimi ni ness?"

Mama amina aliniuliza akiwa amenishikia kiuno.

"Hapana mama, Nimekuja kukuomba ruhusa

lakini pia kuchukua Pesa ya Jana, na nilijaribu kukupigia simu lakini ujapokea

Mama amina akasimama kidedea na kuanza

kunifokea mbele ya wateja, na ukizingatia ni asubuhi, wateja wa chai na supu uwa ni wengi

sana kwakwell.

"We Binti sikia, Nafikili Mimi na wewe tumefika mwisho sasa Sawa, kila siku unakisingizio kipya

Binti yangu yupo atanisaidia kazi zangu"

Gafla pully au kwa Jina lingine amina akadakia.

"Weeeh mama akuuuuh Mimi na Hizi kazi wapi na wapi? Unataka nikomae na kubabuka na huu

moto au ?"

Hapo mama amina akanywea Kuwa mpole sana, kisha akanigeukia Mimi na kunifokea.

"Ebu kabadilishe nguo zako upeleke chai kule site

Kwakuwa Nina shida na kazi naitaka, nikajikaza na kwenda kubadilisha mavazi yangu na moja Ka moja nikaanza kuhudumia wateja uku na uku.

KI AFYA sikua vizuri kabisa na ile zunguka ya uku na uku, nikajikuta nikianguka chini Kamal Mzigo kutokana na kizumguzungu kikali ambacho nilikipata.

"Ndio nini kuanguka kwenye biashara yangu? Unataka ufie hapa niambiwe nimekutoa kafara si Ndio

Yaani mama amina amebadilika sana, Yaani amekuwa na Mdomo mchafu sana dhidi yangu

na ameanza hivi baada ya Binti yake kuja na vile

Ndio Binti yake ana hela Basi weeeeeh, walala hoi Kama Mimi ni kunyanyasika tu

Kwakuwa nilionekana Kuwa mgonjwa sana, nikapatiwa muda wa kupumzika na nilipokaa Sawa tu nikaruhusiwa kwenda NYUMBANI

Kama kawaida, Rafiki yangu pilli Ndio alikuwa

kila kitu, pili alinisaidia kwenye kila hatua Yaani mpaka kuniogesha alliniogesha shoga yangu.

"Asante sana pili Mungu akubariki mno Nilimwambia pili nikiwa Namaanisha, waswahili usema akufahaye kwa dhiki ndiye Rafiki.

Siku hiyo pili alilala na Mimi hakutaka kuniacha ata kidogo.

Hatimaye siku MBILI zilipita nikiwa bado naendelea kujiuguza

Ikiwa ni Majila ya jioni nikiwa nimekaa nje

napigwa na jua la kuzama, muda huo huo ikaja gari nyingine nzuri sana na kupaki mbele ya

Nyumba hiyo, Mimi na shoga yangu pili tukabaki tuklishangaa tu, kisha baada ya muda mfupi tu akashuka Suzy, huyu Suzy Bwana Sijui Kama

mnamkumbuka, huyo ni Mtoto wa mwisho wa madan groly, na Kama mnakumbuka vizuri, huyu Ndio alikuwa ataki kuniona pale NYUMBANI kwao.

"Huyu Nani Tena?"

Aliuliza pili kisha Mimi na yeye tukasimama na kubaki tukimtazama Suzy, ambaye aliposhuka tu

kwenye gari akaanza kutusogelea.

Je Suzy amekuja kufanya nini? Amekuja kwa wema au Shari? Tukutane sehemu

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA NNE*



Nilipanda kwenye gari ya Enzo, nikiwa na hasira ya usoni tu lakini nilikuwa Nina Furaha sana moyoni kwangu, my zangu huyu kaka nampenda na sio utani, Yaani nampenda kutoka moyoni, imagine, kitendo cha kumuona tu najikuta nasahau shida zangu zote.

"Funga mkanda"

Alizungumza Enzo pale tu alipoanza kuendesha gart

"Sitaki

Nilijibu kwa SAUTI ya kudeka uku nikijifanya Kuwa bize sana, masikini Enzo wa watu, akasimamisha gari na kunisaidia kufunga

mkanda na safari ikaanza.

Kiukweli safari ilikuwa ni yenye ukimya sana, Enzo hakuwa akiongea kitu chochote kile na Mimi nilikuwa kimya nikimuangalia kwa kuibia

Ibla tu

Ila Nyleeeh Enzo amepungua sana, uso wake haukuwa na Nuru Kama ambavyo alikuwa...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/aaaaaash-boss-enzo-season-two-sehemu-ya-nne

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi aaaaaash-boss-enzo-season-two-sehemu-ya-nne
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TATU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TATU*

759
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA NNE*

359
REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA SITA*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA SITA*

295
REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA TANO*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA TANO*

258
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 13

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 13

192
REALLY LOVE*   *SEHEMU YA 37*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA 37*

118
THE SECRET MESSAGE  3 to 4

THE SECRET MESSAGE 3 to 4

87
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 1 na 5

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 1 na 5

73
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 14

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 14

19
IF THIS WAS THE PART TWO YOU ARE A PARTHOLOGICAL LIAR BRING PROOFS

IF THIS WAS THE PART TWO YOU ARE A PARTHOLOGICAL LIAR BRING PROOFS

11

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.35K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.1K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.73K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.17K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.57K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.44K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.4K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.36K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.21K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 1 na 5 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 1 na 5
@majario LIVE

Sehemu ya 1 Aseeee bwana.. mie nilipozi kwanza . Nikaamuangalia uyu demu mkari kisenge. Yani mtoto mzuri mzuri kwli. Sio masihara. Kisha sasa ana vitu. Vyaangu. Bwana mi sjawaahi kumuangalia mwanamke...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 14 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 14
@majario LIVE

Nikasogea hadi karibu na Geti yeye alikuwa kwa nje akanifanya na mie nivuke geti kidogo yaani mguu mmoja ukawa nje ya Geti mwingine ndani "Enhee" yaani nilikuwa makini nae mno "Aunt, Unaitwa...

REALLY LOVE*   *SEHEMU YA 37* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA 37*
@majario LIVE

basi ikabidi mzee fahad awaeleze wote juu ya taarifa za msiba huo, kwakuwa harusi ilikuwa Imeisha haraka watu walijiandaa kwenda hospitari, familia ya cathe ilikuwa na majonzi sana haikuamini kama...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA NNE*
@majario LIVE

Nilipanda kwenye gari ya Enzo, nikiwa na hasira ya usoni tu lakini nilikuwa Nina Furaha sana moyoni kwangu, my zangu huyu kaka nampenda na sio utani, Yaani nampenda kutoka moyoni,...

IF THIS WAS THE PART TWO YOU ARE A PARTHOLOGICAL LIAR BRING PROOFS Post Mpya
IF THIS WAS THE PART TWO YOU ARE A PARTHOLOGICAL LIAR BRING PROOFS
@majario LIVE

First and foremost, this collaboration hurt many Kenyans. They didnโ€™t see me coming. No one from Kenya or Tanzania pulled this project together. The entire thing was organized by...

๐Ÿšจ OFFICIAL Timu zilizofuzu 16 Bora UEFA Champions League Post Mpya
๐Ÿšจ OFFICIAL Timu zilizofuzu 16 Bora UEFA Champions League
@majario LIVE

๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Arsenal ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Chelsea FC ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Liverpool FC ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Manchester City ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Newcastle United ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Tottenham Hotspur ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ Barcelona ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ Real Madrid ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ Atletico Madrid ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช Bayern Munich ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช Bayer...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA SITA* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA SITA*
@majario LIVE

biharusi wetu alitulizwa kwa staili tamu sana basi akajitoa kisha akashika shavu la fahima huku ameikamata vizuri maiki yani apo wambea wanapiga vigelegele vibaya mno tena john ndo kajiweka mbele...

THE SECRET MESSAGE  3 to 4 Post Mpya
THE SECRET MESSAGE 3 to 4
@majario LIVE

๐Ÿ’ฌ03 Sina sababu ya kukuficha lolote. Lazima nikuambie ukweli. Rashid wewe Mungu anakupenda sana, mwenyezi Mungu anakupenda mno. Unafanya kazi zako vizuri kabisa mwanangu, lakini cha ajabu mwanangu kila nguo mpya...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TATU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TATU*
@majario LIVE

Pully alishtuka sana baada ya kuniona akabaki akinitolea macho akiwa na wasiwasi sana, macho yake tu yaliweza kueleza Kuwa kuna kitu akiko Sawa kabisa. "ISHANI umemuona amina wangu?" Mama amina aliniuliza kwa...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA TANO* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA TANO*
@majario LIVE

alishangaa mno ikabidi amuulize maswali mengi mpambaji hii ni harusi ya shemeji sasa mbona unanipamba kama biharusฤฑ?": aliuliza fahima usijari maana nimepeewa maelekezo kuwa wewe utakuwa kama mlinzi wa bibi harusi hiva utapambwa kama...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 13 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 13
@majario LIVE

Nikasikia kuna nini hapoo???" Halafu muda huo Veda alikuwa ananitazama machoni na mie nimtazama yaani tunatazamana nina uhakima mioyo yetu ilikuwa inaongea maana kwa yale macho ya veda daah achaaaa Nikageuka...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA PILI* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA PILI*
@majario LIVE

Nilijikuta nikishtuka sana baada ya kukutana na madam groly Tena NYUMBANI kwangu. "Amepajuaje hapa ? Au amekuja na pully?" Nilijiuliza kimoyamoyo uku nikimuangalla madam Groly kwa wasiwasi uku nikiwaza amekuja kufanya nini...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KWANZA* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KWANZA*
@majario LIVE

SONGA NAYO Kwanza nilishtuka sana, nilimuangalia Enzo kwa makini sana lakini enzo hakuwa na uwezo ata wa kuniangalia, muda wote alipepesa macho akiangalia pembeni tu wakati akizungumza. Maneno makali sana juu...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 12 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 12
@majario LIVE

Nilijitetea kwelii japo nilikwangua ka_akiba kangu ila niliona aibu sana kurudishiwa ile pesa aah nikasema acha nilipwe na Mungu tu .. Akanibembeleza sanaa nikakataa wakati naondoka akaniomba namba ya simu nikawaachia...

SASA NAKUPENDA 16 MPAKA 18 Post Mpya
SASA NAKUPENDA 16 MPAKA 18
@majario LIVE

๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Sehemu ya 16 na 17. Mwandishi; lissa wa huru media kijana . Nakuuliza si unajifanya mjanja .basi tutasomana . Ata mimi ni mjanja wa zamani. Baba yangu alimuangalia sana adrian....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest