Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KWANZA*
Gonga94 Β· Stories

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KWANZA*

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


SONGA NAYO

Kwanza nilishtuka sana, nilimuangalia Enzo kwa makini sana lakini enzo hakuwa na uwezo ata wa kuniangalia, muda wote alipepesa macho akiangalia pembeni tu wakati akizungumza. Maneno makali sana juu yangu.

"Enzo huyu sio wewe, Enzo wangu me nakujua umepatwa na nini jamani"

Niliendelea kulia nikimshikilia kwa nguvu ili asiweze kupanda gari na kuondoka bure

"Enzo, usinifanyle hivyo Mwenzio, nakupenda sana mume wangu mtalajiwa, nakupenda mno, please usinitese moyo wangu"

Nilikuwa nikizungumza uku nikilia kwa uchungu sana Tena mbele za watu, kwenye kupambania penzi langu sikuona albu ata kidogo zaidi nilitamani Enzo anielewe.

"Ishani Ebu niachie unanichafua Mimi"

Alizungumza Enzo na alipoona Kuwa naendelea kumng'ang'ania, haraka akanichapa kibao kimoja matata na kwa SAUTI ya hasira akafoka.

"Nimesema sikupendi, Sikultaji Mbona uelewe wewe"

Nilibaki nikiwa nimepigwa na bumbuwazi uku akili yangu ikikataa kabisa juu ya Maneno makali ambayo Enzo ananipatia.

Muda huo huo mlango wa gari ya Enzo ulifunguliwa na Pully akashuka kwa mwendo wa Madaha akiwa na tabasamu pana sana.

Polepole pully akamsogelea Enzo na mbele za watu akamkiss mdomoni na kuzungumza.

"Nakupenda mume wangu kipenzi

Enzo akatabasamu na kumkumbatia Pully vizuri kabisa, Yaani walikuwa ni Kama wananitambia hivi Binti wa watu mwaya.

Nilibaki nikiwaangalia uku machozi yakinitililika kutokana na maumivu makali ambayo nilikuwa nayo

"Huyu ndiye mwanamke wa maisha yangu, Ishani sahau kuhusu Mimi"

Alizungumza enzo kisha akanishika mkono Pully na moja kwa moja wakapanda gari Yao ya na kuondoka.

Siku hiyo Bwana nilikuwa kituko cha mtaa. mzima, Yaani Sijui niwaambie nini lakini ndugu. yenu nimejua kuzalilika, shoga yenu nimejua

kuaibika Tena mbele ya kila mtu Mpaka

wajumbe wa Nyumba kumi.

"Twende Ndani kipenzi

Alizungumza shoga yangu Pili na kuangaika kuninyanyua pale chini ambapo nilikuwa nimekaa.

"Pili Niache tu, nimeumbuka mimi

Nilijibu na kuendelea kulia tu.

Mashoga zangu wengine nao wakasogea na kunisaidia kunyanyuka kisha moja kwa moja wakanipeleka Ndani kwangu.

Siku ilikuwa nguvu sana na nzito kwangu, nilikuwa ni mtu Mwenye huzuni kuliko maelezo, nilikuwa ni mtu wa kulia tu Kama nimepatwa na

msiba

Nimepoteza vitu na watu muhimu kwenye maisha yangu lakini Mbona Kama Enzo

ameniuma zaidi au kwakuwa Ndio mwanaume wangu wa kwanza ? Au kwa Kuwa nimempenda sana kuliko nilivyojipenda Mimi Mwenyewe

Week nzima ilipita uku nikiwa ni mtu wa kujitenga tu peke yangu na kulia, chumbani kwangu kulikuwa Kama dampo Yaani, nguo

chafu kuzikuta kitandani ni kawaida, kukuta vyombo kwenye kabati la nguo ni kitu cha kawaida sana aiseeeh

"Hivi Ndio nimejisusa ikiwa Enzo anaendelea na maisha yake ?"

Nilijiuliza kimoyomoyo nikiwa nimesimama mbele ya kioo nikijitazama jinsi ambayo nimebadilika na Kuwa hovyo Ndani ya week

moja tu.

"Lakini Kwanini Enzo ? Kwanini ulinionesha kunijali sana? Kwanini ulinifanya niamini Kuwa unanipenda sana, nakuchukia Enzo, nakuchukia mno, sikupendi

Nilizungumza kwa SAUTI uku nikilia tu.

Baada ya muda nikaangalia chumba changu na kila kitu, Walahi sikupendezwa na kila kitu kilivyokuwa kimekaa.

Nikachukua mtandao wangu nikafunga tumboni kwa nguvu kabisa kisha nikaanza kufanya usafi uku na uku

Kuna Namna niliona Kama sifaidi hivi,

nikawasha sabufa langu na kuweka SAUTI ya juu kabisa, nikaweka taarabu zangu pambe tu Maana kipindi iko pia uswahili nilikuwa nauweza kuliko maelezo ni vile tu, Enzo alikuwa sio mtu

wa uswahili

Hapo nikafanya usafi wangu kwa raha mustarehe na nilipomaliza tu nikaenda nje nikaoga na kurudi Ndani kwajili ya kuvaa,

"Khaaaaaah week moja tu tayali mshape wangu. wote umepululuka aaaaah, mapenzi kubabako

Nilizungumza uku nikijiangalia kwenye kioo.

"Lazima nijikaze na life iendelee, Enzo hakuwa wangu"

Niliendelea kujipa moyo tu Maana sikuwa na chagua ikiwa mwanaume Mwenyewe Ndio ameshachagua njia yake.

Nikavaa mavazi yangu mazuri na kutoka nje

amsha ya hatari

"Wewe iko kigoma wapi Maana kimenipa amsha.

Nilimuuliza mpangaji mwenzangu ambaye yeye. ni mlokole

"Ni birthday ya Pili, Ndio wameenda kukipokea kigoma hapo stendi

Alijibu msichana huyo wa kilokole kisha akaingia zake Ndani Maana haya mambo ya kidunia na yeye ni vitu Sita tofauti.

Haikuchukua muda mrefu kigoma kikafika,

kwanza Ishani Mimi nikakipokea na sarakasi moja ya nguvu, hapo kwiza kila mtu akaganda. akinishanga maana hawakutalajia kabisa. kwamba Ishani Mimi naweza kufanya kitu Kama

iko kwa wakati huo

Siku hiyo Bwana nilikuwa Kama nimevulugwa vile, imagine sikulewa ata Pombe sikunywa lakini nilikuwa na vibe la hatari, Yaani Nilicheza

mpaka nikawa najiambia iki nini jamani

Hatimaye Giza likaingia na kigoma kikaondoka,

Walahi nilikuwa nimechoka, mwili uliniuma sana kutokana na misalakasi ambayo nilikuwa

naipiga kwenye kigoma.

Ila nyie maumivu ya mapenzi Yaacheni tu, imagine, nje nilikuwa nimechangamka sana,

lakini nilivyoingia tu chumbani kwangu, nikajikuta nikipata huzuni Tena na nikajikuta nikianza kulia upya.

Hatimaye week nyingine Tena ikapita uku nikiwa single, singula, singwengwella nyieeeh upweke unatesa Sana.

Kwa upande wa Enzo Sijui ata alikuwa na hali gani, lakini hakuwai kunitafuta ata siku moja na online namuona kila siku.

"Kwahiyo ni kweli Enzo unitaki Tena?"

Nilijiuliza nikiwa nimekaa kitandani na muda huo Ilikuwa ni Saa 4 asubuhi.

"Ishani, Ishani kuna mgeni wako"

Ilikuwa ni SAUTI ya shoga yangu pambe Yaani pili

"Nakuja"

Nilijibu, kisha nikajiuliza.

"Moeni? Mgeni gani Tena? Au shemeji nick? Itakuwa katumwa na Enzo mwaya

Nilijikuta nikifurahi sana uku imani yangu kubwa.

ikiamini Kuwa ni nick Ndio amekuja. kunitembelea.

Kwa shauku na Furaha Kama yote, nikashuka kitandani na kusogelea mlango, ile nafungua tu, mtumeeeeeeh uso kwa uso na mama mzazi wa

Enzo, Yaani madam groly.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Monday To Sunday
Monday To Sunday
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KWANZA*



SONGA NAYO

Kwanza nilishtuka sana, nilimuangalia Enzo kwa makini sana lakini enzo hakuwa na uwezo ata wa kuniangalia, muda wote alipepesa macho akiangalia pembeni tu wakati akizungumza. Maneno makali sana juu yangu.

"Enzo huyu sio wewe, Enzo wangu me nakujua umepatwa na nini jamani"

Niliendelea kulia nikimshikilia kwa nguvu ili asiweze kupanda gari na kuondoka bure

"Enzo, usinifanyle hivyo Mwenzio, nakupenda sana mume wangu mtalajiwa, nakupenda mno, please usinitese moyo wangu"

Nilikuwa nikizungumza uku nikilia kwa uchungu sana Tena mbele za watu, kwenye kupambania penzi langu sikuona albu ata kidogo zaidi nilitamani Enzo anielewe.

"Ishani Ebu niachie unanichafua Mimi"

Alizungumza Enzo na alipoona Kuwa naendelea kumng'ang'ania, haraka...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/aaaaaash-boss-enzo-season-two-sehemu-ya-kwanza

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi aaaaaash-boss-enzo-season-two-sehemu-ya-kwanza
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU Y ishirini*

*AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU Y ishirini*

766
REALLY LOVE*  *   *SEHEMU YA 34*

REALLY LOVE* * *SEHEMU YA 34*

288
REALLY LOVE* *31&32*

REALLY LOVE* *31&32*

285
MY CRAZY BOSS 12,13,14

MY CRAZY BOSS 12,13,14

267
REALLY LOVE*   *SEHEMU YA 33*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA 33*

248
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KWANZA*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KWANZA*

241
MY CRAZY BOSS 11

MY CRAZY BOSS 11

190
SHAMIRA Sehemu ya 25&26

SHAMIRA Sehemu ya 25&26

178
SHAMIRA sehemu ya 27&28

SHAMIRA sehemu ya 27&28

150
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 11

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 11

117

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.32K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.07K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.73K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.16K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.56K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.44K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.38K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.36K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.21K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KWANZA* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KWANZA*
@majario LIVE

SONGA NAYO Kwanza nilishtuka sana, nilimuangalia Enzo kwa makini sana lakini enzo hakuwa na uwezo ata wa kuniangalia, muda wote alipepesa macho akiangalia pembeni tu wakati akizungumza. Maneno makali sana juu...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 12 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 12
@majario LIVE

Nilijitetea kwelii japo nilikwangua ka_akiba kangu ila niliona aibu sana kurudishiwa ile pesa aah nikasema acha nilipwe na Mungu tu .. Akanibembeleza sanaa nikakataa wakati naondoka akaniomba namba ya simu nikawaachia...

SASA NAKUPENDA 16 MPAKA 18 Post Mpya
SASA NAKUPENDA 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Sehemu ya 16 na 17. Mwandishi; lissa wa huru media kijana . Nakuuliza si unajifanya mjanja .basi tutasomana . Ata mimi ni mjanja wa zamani. Baba yangu alimuangalia sana adrian....

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 11 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 11
@majario LIVE

Ikabidi tu nikubali kinyongee ila roho iliniuma sanaaa yaani mpaka chozi lilinitoka aiseee... Tinner akabaki kunibembeleza na hapo hata sijui atakuja linii mjinga kweli huyu kakaa gari yangu tena aah roho...

Congratulations to Linda Walker from the Province of Brookshire Post Mpya
Congratulations to Linda Walker from the Province of Brookshire
@majario LIVE

for achieving the highest score of 719 and earning Rank 1 in the examination! πŸŽ‰πŸ‘ Your outstanding achievement brings pride not only to your province but also to your Isabelino...

Rafiki yangu John alikuwa na ndoto ya kufanya kazi kampuni fulani, kila siku hakuacha kunielezea kuhusu ndoto Post Mpya
Rafiki yangu John alikuwa na ndoto ya kufanya kazi kampuni fulani, kila siku hakuacha kunielezea kuhusu ndoto
@majario LIVE

yake kweli Mungu alisikia maombi yake akapata kazi kwenye hiyo Kampuni. Baada ya kupata kazi John safari yake ya kwanza tu akiwa na ile kampuni akapata ajali na kufarika hapo...

THE SECRET MESSAGE πŸ’¬ 1,2 Post Mpya
THE SECRET MESSAGE πŸ’¬ 1,2
@majario LIVE

01 Ninatamani kama isiwe ni kweli kwenye hili ambalo mimi leo hii nataka niwaweke wazi. Lakini hii sio ndoto, sijaota mimi, ni kweli nimeyaishi na yamenitokea kwenye maisha yangu. Maisha yangu...

MY CRAZY BOSS 15 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 15
@majario LIVE

"Watu wote waliohudhuria kikao waliondoka , chumbanai humo tulibaki mimi pamoja na Boss Erick, macho yake muda wote yaliangaza kwangu ." "Nimekumiss sana mrembo wangu, nimemiss sura yako, tabasamu lako,...

MY CRAZY BOSS 12,13,14 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 12,13,14
@majario LIVE

MY CRAZY BOSS 12 Kama ofisini hapafai naomba twende nyumbani,yaani twende sasa hivi,boss alizungumza. Hapana ,sio sasa hivi,nilijibu. "Sawa kama ni baadae,boss aliitikia" Nilitoka na kuagiza lunch kisha nikampelekea boss nakuendelea...

REALLY LOVE*  *   *SEHEMU YA 34* Post Mpya
REALLY LOVE* * *SEHEMU YA 34*
@majario LIVE

upande mwingine calor na mama yake walifika na kumkuta cathe akiwa anaosha vyombo, mama cathe alishangaa sana kuona mwanae anafanya kazi, cathe alipomuona mama yake alinyanyuka na kwenda kumkumbatia huku analia cathe...

SHAMIRA sehemu ya 27&28 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 27&28
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi bwana shoga akanishukuru mno. Bado nikamtoa lunch mimi sindo tajiri tena alikula alichokitaka nakwambia. Basi baada ya yote tukaenda charambe sasa .nikapita kwa...

SASA NAKUPENDA 11 MPAKA 15 Post Mpya
SASA NAKUPENDA 11 MPAKA 15
@majario LIVE

🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Sehemu ya 11 na 12. Mwandishi; lissa wa huru media Basi nilivyotoka pale nikaeenda kutulia sebleni rohooo yangu kwatu. Sijuh ata alimalizanaje na mwanamke wake uko. Mida ya mchana mama akaniuliza...

REALLY LOVE*   *SEHEMU YA 33* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA 33*
@majario LIVE

kwahiyo baba unanikataza mimi nisiende kwa dada yangu? wewe baba gani mbaguzi yani unamjali sana dada kuliko mimi? vipi kuhusi namimi hali yangu mbona hunijali alisema cathe kwa kumfokea baba...

SHAMIRA Sehemu ya 25&26 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 25&26
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi apo ndo maisha ya mimi na hamadi yakaanza. mwanzo nilikua simpendi sana ila siku zilivyooenda nikaanza kumpenda hamadi .mana nilikua naona anvyonipenda zile...

SIRI YA NABII YONA KUISHI NDANI YA TUMBO LA NYANGUMI SIKU TATU Post Mpya
SIRI YA NABII YONA KUISHI NDANI YA TUMBO LA NYANGUMI SIKU TATU
@majario LIVE

Nabii Yona (au Yunus) alipewa agizo na Mwenyezi Mungu kwenda mji wa Ninawi (Iraq ya sasa) kuonya watu waache maovu. Lakini Yona, akiona watu wale ni wakaidi sana, aliamua kukimbia...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest