Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 11
Gonga94 Β· Stories

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 11

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Ikabidi tu nikubali kinyongee ila roho iliniuma sanaaa yaani mpaka chozi lilinitoka aiseee...

Tinner akabaki kunibembeleza na hapo hata sijui atakuja linii mjinga kweli huyu kakaa gari yangu tena aah roho iliniuma nilipo kumbuka gari yangu mana ndo kitu changu cha thamani nacholinga nachoo mweeh ..

Ikabidi nibaki kwa Tinner hapo akanipa nguo zake ambazo mara nyingi huwa hazitumii tumii, Nikaanza kutokea hapo, Kama wiki hivi nikipita pale kijiweni hata simuoni Veda naoma tu wanaume wengine wengine, Nikipita na Boda naangaza macho kila kona simuoni ..

Siku enyewe nimerudi kazini hapo nilikuwa natamani kweli nimwambia Tinner siku hizi Veda haonekani ila utani wake ndo unanifanya napata kigugumizi kuongea, Sa hiyo siku nimerudi akanambia kumbe Shem hayupo ndo mana hata simuoni pale
Mmmh nikasema shem gani tena nawewe??"

"Si Veda Bonge la bwana" nikajikuta nacheeekaaaa yaani nilichekaa hata cha kunichekesha hakipo sijui kwanini Baada tu ya Tinner kutaja hilo jina nikapata amani

"We mwehu shemeji yako kwa nani??"

"Unajitoa ufaham au sio.... We akija mie nafanya mambo muwe pamoja bwana weeh"

"Tinner sitakiiii ... tena sitaki kabisaaaa"

"Ndo utataka " lakini mie hapo moyoni ka roho kwatuuuu

Siku enyewe usiku woteee ndoto ni Veda tuuu Veda tuu yaani mpaka nilichelewa kuamka Tinner ndio akaja kuniamsha nachelewa kazini ohoo nilikurupukaaa mbio mbiooo nikajiandaa kwenda kazini

Sasa tena kazini nakutana na kisanga kingine tena nje tu ya geti jamani kuna watoto wawili wa kike na wa kiume walikuwa wanalia lia hapo hata sikuwaelewa wala sikutaka kuwafatilia mie nikapita mana nilikuwa nimechelewa sanaaa

Nikachukua koti langu haraka nikaenda moja kwa moja wodini maana kuna wagonjwa walio kuwa wanatakiwa kupewa Ruhusa asubuhi hiyo na ndio hivyo nimechelewa kuingia tena

Hivi sikusema kazi yaangu Eeh Ooh Mungu wangu yaani ndo nakumbuka hapaaa akili yote imeishia kwa Veda mjinga kweli huyu kaka hahaha yaani mpaka nachanganyikiwa, Okay mie bwana ni Doctor kabisaaaa nipo kwenye Hospital ya serikali ni mwaka wa tatu huu tangu nimeajiriwa ....

Nikakuta kuna mgonjwa mpya naambiwa ameletwa tangu jana usiku ila hakuwa amepatiwa matibabu yeyotee zaidi ya dawa za maumivu tu na hali yake ilikuwa mbaya sana...

Nikawauliza kwanini sasa hajapatiwa huduma majibu niliyopewa ni kwamba hawajalipia chochote ndugu zake, jamanii yaani mpaka roho iliniuma huyu mama ana hali mbaya sana halafu et mpaka walipie daah

Nikauliza ndugu zake wako wapi nijaribu kuongea nao nikaambiwa wapo nje basi ile natoka nikakutana na vitoto yaani miaka kama 10 au 11 hivi wakike nawakiume ndo naambiwa hao ndio ndugu zake duuh nilichokaa

Ikabidi niwaite ofisini kwanza nikawauliza "Enhee nyie mkubwa wenu yupo wapi??"

"Kaka amesafiri na hapatikani tangu juzi " eeh nikashusha pumzi

"Kwahiyo nyie mnaishi na kaka yenu tu"

"Ndio..."

"Hakua akiba yeyote aliyowaachia??"

"Kaka anatuachia hela nyingi tu lakini mama aliumwa gafla tukampeleka hospital ya karibu na nyumbani hela zote zimeishia hapo jana usiku ndio wakatuambia tumuhamishe dada tusaidir kaka akija tu anakulipa pesa zako zote" hapo watoto wanaongea wanalia hadi mafua tena wote haswa wa kiume ndio alikuwa anaongoza kuombe daah nikashusha pumzi kwanza nikaegamia kiti

"Nyie ni mapacha??" Badala ya kuwajibu msaada wao mie niliamua kujilidhisha kwanza maana nilikuwa naumia kichwa kujiuliza hawa mapacha.? Walikuwa wanamfanano wa kila kitu hadi vimo

"Ndio dadaaa"

"Waooh, Hongereni, Okay ngoja kwanza tuchukue vipimo vya mama msilie sasaa" walinishukuru haoo afu vitoto vinaadabu mpaka rahaa yaani ...

Basi ilibidi nitoe hela yangu nilipie vipimo vya huyo mama ili aanze kupatiwa matibabu, kumpima bwana alikuwa na kisukari mwenyewe majibu hakuyapokea kwa kukubali yaani yalimshtua hadi ikapelekea plesha kupanda sana na hali yake kuzidi kuwa mbayaa, Huyo kaka yao na hao watoto sasa hata hapatikani we mbona nilikoma miee ..

Zilikuwa siku mbili ila za motoo jashoo linavuja hatari maana kula ilikuwa kwangu kila kitu yaani ilibidi tu nibebe jukumu la kila kitu, mpaka akawa sawa

Ile siku ya tatu nakumbuka alikuwa na hali nzuri kidogo analidhisha, Jioni wakati natoka nikaenda kumuaga maana asubuhi anaweza kupewa ruhusa nikawa labda sijafika

Nikamkuta amekaa kitandani na watoto wake pembeni ", vipi hali yako mamaa" nikamsalimia hukuu najichekesha chekesha na yeye akaachia kicheko

"Asante sana mwanangu asante sanaa mie naendelea vizuri"

Nikasema "usijali mama utakuuwa sawa, mie naondoka kama mtaruhusiwa kabla sijafika basi hakikisha unatumia dawa na kufata vizuri maelezo ya Doctor hautapata shida kabisaaa" niliongea huku nainuka wakati nimesimama nikawatizama wale watoto yaani niliwapenda sana ni wadogo lakini wanabusara mnoo

"Hayaa watoto wazurii, Mtunzeni mama eeh" nikapiga hatua kama mbili hivi akaniita

"Dadaa...." aliniita kwa sauti ya chini nikageuka

β€œMungu akubariki. Sijui ningekuwaje bila wewe.
Nikatabasamu kidogo, nikajaribu kuficha uchovu uliokuwa umejikusanya mwilini mwangu.
β€œUsijali mama, muhimu umeanza kuimarika. Hilo ndilo la kwanza.”

Akanishika mkono " moyo wa mtu haupimwi kwa hela. Umefanya zaidi ya daktari… umefanya kama binti.” nikacheka maana maneno ya huyu mama kidogo yalikuwa yahuzuni

"Usijali mama pumzika mama"

"Mwanagu anakuja leo yupo njiani anaweza kufika usiku nilikuwa naomba sana ukutane nae akurejeshee pesa zote mwanangu"

"Aah mamaaa, Mungu wangu hakuna haja ya kurudisha pesa hakuna hajaaa bwana hahah mie nimetoa nimesahau nataka fadhira kwa mungu, kwahiyo hata usijali mama angu"

Itaendelea....

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 11


Ikabidi tu nikubali kinyongee ila roho iliniuma sanaaa yaani mpaka chozi lilinitoka aiseee...

Tinner akabaki kunibembeleza na hapo hata sijui atakuja linii mjinga kweli huyu kakaa gari yangu tena aah roho iliniuma nilipo kumbuka gari yangu mana ndo kitu changu cha thamani nacholinga nachoo mweeh ..

Ikabidi nibaki kwa Tinner hapo akanipa nguo zake ambazo mara nyingi huwa hazitumii tumii, Nikaanza kutokea hapo, Kama wiki hivi nikipita pale kijiweni hata simuoni Veda naoma tu wanaume wengine wengine, Nikipita na Boda naangaza macho kila kona simuoni ..

Siku enyewe nimerudi kazini hapo nilikuwa natamani kweli nimwambia Tinner siku hizi Veda haonekani ila utani wake...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/from-bangi-to-baby-sehemu-ya-11

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi from-bangi-to-baby-sehemu-ya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 1
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 1
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 4
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 4
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 3
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 3
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 2
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 2
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 7
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 7
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 6
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 6
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 5
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 5
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 8
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 8
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 10
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 10
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜   SEHEMU YA 9
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 9
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU Y ishirini*

*AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU Y ishirini*

627
REALLY LOVE* *31&32*

REALLY LOVE* *31&32*

264
REALLY LOVE*   *SEHEMU YA 33*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA 33*

219
REALLY LOVE*  *   *SEHEMU YA 34*

REALLY LOVE* * *SEHEMU YA 34*

218
MY CRAZY BOSS 12,13,14

MY CRAZY BOSS 12,13,14

198
MY CRAZY BOSS 11

MY CRAZY BOSS 11

165
SHAMIRA 21,22,23,24

SHAMIRA 21,22,23,24

163
SHAMIRA Sehemu ya 25&26

SHAMIRA Sehemu ya 25&26

152
SHAMIRA sehemu ya 27&28

SHAMIRA sehemu ya 27&28

115
SASA NAKUPENDA 11 MPAKA 15

SASA NAKUPENDA 11 MPAKA 15

86

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.32K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.07K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.72K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.16K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.56K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.44K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.38K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.35K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.21K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SASA NAKUPENDA 16 MPAKA 18 Post Mpya
SASA NAKUPENDA 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Sehemu ya 16 na 17. Mwandishi; lissa wa huru media kijana . Nakuuliza si unajifanya mjanja .basi tutasomana . Ata mimi ni mjanja wa zamani. Baba yangu alimuangalia sana adrian....

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 11 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 11
@majario LIVE

Ikabidi tu nikubali kinyongee ila roho iliniuma sanaaa yaani mpaka chozi lilinitoka aiseee... Tinner akabaki kunibembeleza na hapo hata sijui atakuja linii mjinga kweli huyu kakaa gari yangu tena aah roho...

Congratulations to Linda Walker from the Province of Brookshire Post Mpya
Congratulations to Linda Walker from the Province of Brookshire
@majario LIVE

for achieving the highest score of 719 and earning Rank 1 in the examination! πŸŽ‰πŸ‘ Your outstanding achievement brings pride not only to your province but also to your Isabelino...

Rafiki yangu John alikuwa na ndoto ya kufanya kazi kampuni fulani, kila siku hakuacha kunielezea kuhusu ndoto Post Mpya
Rafiki yangu John alikuwa na ndoto ya kufanya kazi kampuni fulani, kila siku hakuacha kunielezea kuhusu ndoto
@majario LIVE

yake kweli Mungu alisikia maombi yake akapata kazi kwenye hiyo Kampuni. Baada ya kupata kazi John safari yake ya kwanza tu akiwa na ile kampuni akapata ajali na kufarika hapo...

THE SECRET MESSAGE πŸ’¬ 1,2 Post Mpya
THE SECRET MESSAGE πŸ’¬ 1,2
@majario LIVE

01 Ninatamani kama isiwe ni kweli kwenye hili ambalo mimi leo hii nataka niwaweke wazi. Lakini hii sio ndoto, sijaota mimi, ni kweli nimeyaishi na yamenitokea kwenye maisha yangu. Maisha yangu...

MY CRAZY BOSS 15 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 15
@majario LIVE

"Watu wote waliohudhuria kikao waliondoka , chumbanai humo tulibaki mimi pamoja na Boss Erick, macho yake muda wote yaliangaza kwangu ." "Nimekumiss sana mrembo wangu, nimemiss sura yako, tabasamu lako,...

MY CRAZY BOSS 12,13,14 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 12,13,14
@majario LIVE

MY CRAZY BOSS 12 Kama ofisini hapafai naomba twende nyumbani,yaani twende sasa hivi,boss alizungumza. Hapana ,sio sasa hivi,nilijibu. "Sawa kama ni baadae,boss aliitikia" Nilitoka na kuagiza lunch kisha nikampelekea boss nakuendelea...

REALLY LOVE*  *   *SEHEMU YA 34* Post Mpya
REALLY LOVE* * *SEHEMU YA 34*
@majario LIVE

upande mwingine calor na mama yake walifika na kumkuta cathe akiwa anaosha vyombo, mama cathe alishangaa sana kuona mwanae anafanya kazi, cathe alipomuona mama yake alinyanyuka na kwenda kumkumbatia huku analia cathe...

SHAMIRA sehemu ya 27&28 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 27&28
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi bwana shoga akanishukuru mno. Bado nikamtoa lunch mimi sindo tajiri tena alikula alichokitaka nakwambia. Basi baada ya yote tukaenda charambe sasa .nikapita kwa...

SASA NAKUPENDA 11 MPAKA 15 Post Mpya
SASA NAKUPENDA 11 MPAKA 15
@majario LIVE

🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Sehemu ya 11 na 12. Mwandishi; lissa wa huru media Basi nilivyotoka pale nikaeenda kutulia sebleni rohooo yangu kwatu. Sijuh ata alimalizanaje na mwanamke wake uko. Mida ya mchana mama akaniuliza...

REALLY LOVE*   *SEHEMU YA 33* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA 33*
@majario LIVE

kwahiyo baba unanikataza mimi nisiende kwa dada yangu? wewe baba gani mbaguzi yani unamjali sana dada kuliko mimi? vipi kuhusi namimi hali yangu mbona hunijali alisema cathe kwa kumfokea baba...

SHAMIRA Sehemu ya 25&26 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 25&26
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi apo ndo maisha ya mimi na hamadi yakaanza. mwanzo nilikua simpendi sana ila siku zilivyooenda nikaanza kumpenda hamadi .mana nilikua naona anvyonipenda zile...

SIRI YA NABII YONA KUISHI NDANI YA TUMBO LA NYANGUMI SIKU TATU Post Mpya
SIRI YA NABII YONA KUISHI NDANI YA TUMBO LA NYANGUMI SIKU TATU
@majario LIVE

Nabii Yona (au Yunus) alipewa agizo na Mwenyezi Mungu kwenda mji wa Ninawi (Iraq ya sasa) kuonya watu waache maovu. Lakini Yona, akiona watu wale ni wakaidi sana, aliamua kukimbia...

MY CRAZY BOSS 11 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 11
@majario LIVE

"Asante sana Joy kwa kunikubalia kuwa wangu nakuahidi maisha bora kuliko unavyodhania, nitakupa maisha bora sana 😘😘😘". Nikamuangalia boss palee anavyojimalizaa ntafanyaje sasa ndo nsharopokaa mie acha tu niyakoge sina budi...

BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 2 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 2
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEA Camilla alipotoka palee alikwenda moja kwa moja kwa aliyekuwa rafiki yakee muhimu sana kuna mambo alitakiwa kuyaweka Sawaa β€œ Karibu Camilla..” Alikaribishwaa ndani β€œ Asant sana ..”...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest