Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 09
Gonga94 · Stories

PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 09

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


KIUKWELI nilishangaa sana, kwa maana sikujua ni kitu gani kilikuwa kimempa hasira shureymu kiasi chote kile, kuna muda nikawa nahisi labda simtendei anayoyataka vizuri, sijui hata nilikuwa na wasiwasi wa nini…

Kwenye majira ya kama saa nne usiku nikaona sms kutoka kwa shureymub inasema “ hivi kutengengeneza dimpos siinawezekana?...
“ kiukweli sijui ila naamin hakuna kitu kinachoshindikana chini ya jua, kwa maana kama kutengeneza shepu inawezena na kinaonekana ni kitu kikubwa sana, sasa sidhan kama kutengeneza dsimpos kitakuwa kitu kigumu sana, nikajibu na mimi kwa sms….

“ ila mwanaume kuwa na dimpos ni sawa kweli au ndio anageuka piss kali, akatuma sms nyingine shureym…

“ weee sio kweli, kuna wanaume wakiwa wanadimpos unajikuta unataman kuwaona wakiongea kila wakat, unataman uwaone wanacheka kila dakika, maana hizo dimpos zake zinamfanya anazidi kuwa handsome kama huyu shemeji yako muswaabu, yaan akicheka tu mimi hoi, nikajibu sms nyingine hivyo….

Nikashangaa shureym hajibu tena sms yoyote ile, alikuwa kama amekasirika, ila kwaakili zangu nikajua labda atakuwa kalala, hivyo nikaachana nae, kisha nikampigia my wangu kwaajili ya kumtakia usiku mwema, na kweli baada ya sekunde kadhaa akapokea, na badala ya kutakiana usikun mwema tukajikuta tunaanza kupiga sory, kwa maana ndjo penzi jipya tena, yaan mnataman kuongea kila wakat, yaan mkifanya mchezo mnaweza mkajikuta mnakesha kila siku kwa sababu ya kuongea na simu usiku….

Tukapiga story weee, mwisho mm nikaanza kusinzia, ikabidi nimaage muswaabu, ila kitendo cha kukata simu, nikashangaa sms zinaingia mfululizo kwenye simu yangu kutoka kwa shureymu, ya kwanza inasema, “ badala ulale unakaa kukesha kuongea na wanaume..
“ yaan sijui unataka mwanao awe mtoto wa aina gani kwa kukubali kuongea ujinga na huyo mpuuzi wako usiku kucha, sms nyingine ilikuwa inasema hivyo…
“ huyo my wako jaribu kumuambiaq unapotoka, ili akupende kama ulivyo, sms nyingine ikawa inasema hivyo,…
“ ila shemeji yangu anadimpos nzuri, atakuwa amefanana sana na mama yake, maana kwa ninavyojua mwanaume hasifiwi uhandsome anasifiwa pochi, sms nyinine ikawa inasema hivyo, ila hata sikutaka kuzijibu, mkwa maana sikujibu sms hata moja, kwa maana niliona kama nikijibu sms yoyote ile, nitaanza kusababisha ligi na shureymu, hivyo nikaamua kulala zangu…

Kulipopambazuka, nikaamka nikamuandaa mwanangu ilikuwa ni mapema sana, na kwenda nyumban kwa shureymu, kwa maana nilihisi huenda anakasirika kuona kama yeye anatoa kila kitua alafu mm nipikie kwangu, nikaona bora nikafanye kila kitu nyumban kwake, basi nikaingia ndani nikamkuta bado amelala, nikampigia na kumuambia kuwa nipo hapa ukumbin kwako, kwa maana nilifunguliwa na mlinzi, nikashangaa shureymu anatoka na kiboksa, nilishtuka kwa maana nilimuona kama yupo uchi vile…

“ habar za asubuh salha, akasema ..
“ habar za asubuh, nikajibu, mara katoto kakasema baba…
“ owww mama yako ndio hataki kuniita baba saidi ata kiutani, sijui atakuwa ameshakutafutia baba mwingine, akasema shureymu, kisha akamchukua mtoto na kwenda nae chumban, basi na mm nikaona bora nianze kupika, basi nikapika pale, na mara baada ya kumaliza kupika nikafanyab usaf kidogo kisha nikaenda kumuita shureymu aje kula kifungua kinywa,. Safar hii alitoka kifua wazi, na vile alivyojazia, alikuwa ni kama ananifanyia makusudi, ila hata sikujal kabisa, nikaenda kuchukua maji jikon, kwa maana nilipasha maji ya moto kwaajili ya kumnawisha mikono, kwa maana niliamin kuwa nikimuhudumia vzr zaidi huenda asiwe na kisirani, nikahisi labda anakisiran kwa sababu kuna baadhi ya vitu sikuwa navifanya, kumbe ndio nilikuw nazidi kulikoroga, alafu kulinywa siwezi….

Basi nikamchukua mtoto na kumuweka mgongoni, na kwenda mpaka alipo shureymu nikaanza kumnawsha mikono, ila sijui hata nani aliniambia nishike mikono yake nianza kumsaidia kuiosha, kumbe namsisimua jamaa na sijui, nikashangaa wakati naishika mikono yake kumsaidia kuiosha naona abdala kichwa wazi kama anataka kuleta shida, ila sikuwa hata nawaza, na kwaakili zangu nikahisi ni hali ya kawaida kwa mwanaume, kwa sababu kuna muda nikiwa nimekaa na muswaabu nilikuwa naona kichwa wazi wake analeta tabu, ila nikashangaa shureymu ameleea, akawa ananiangalia kwa macho malegevu, hapo mimi sina habari, ila sijui ndio ushamba wa mapenzi au nini, kwa maana nilihisi kama ninayoyafanya ni sawa, kumbe nilikuwa nazidi kumvuruga kijana wa watu, na baada ya hapo nikamiminia chai, nikamuwekea na vitafunwa kisha nikawa naondoka zangu, kwa sababu mimi nilikuwa nimeshakula…

Nikashangaa navutwa kisha shureymu akaniulia “ embu nambie unataka kwenda wapi?...
“ naenda kumaliza usafi jikoni, nikajibu, kaniangalia kisha akasema “ embu kaaa ule, nitaenda kusafisha hata mwenyewe, haso nikakaa nikawa nakula, ila wakat wote alikuwa ananitazama kwa macho flani hivi, ila sikumjali maana kila nikiwaza kumpenda nakumbuka maneno yake, ya kuwa anataka mm nay eye tuwe dada na kaka, sasa moyo wangu nilishauambia upunguze kiherehere, tukawa tukula pale, ila alikuwa ananiangalia sana mwisho akaniuliza…

“ eheee embu nambie kuhusu jana ilikuwaje na bwana shemu kwa maana nimesikia anamadimpose na ni mweupe kama mama yake, akasema shureymu nikaona kama anataka kuanza kumdhalilisha mwenzake kimtindo hivi…..

“ yaan unavyomuongelea kana kwamba unamuongelea mwanamke flani hivi, ila ka macho yangu namuona muswaabu ni bonge la handsome nikajibu, nikashangaa amepaliwa, akaanza kukohoa mfululizo….
Nikaenda kumchukulia glass ya maji kisha nikampatia, ila wakat naondoka nikashangaa navutwa, akamshusha mtoto chini taratibu kwa maana alikuwa ameshaanza kutembea na kunishushia kiss la maana, na kila nilipokuwa najaribu kujitioa, nashangaa mtu ananing’ang’ania anaendelea kunikiss, ikabidi nimuache anikiss kwa tani yake, amemaliza akaniambia ety, lile busu halina maana yoyote ile, alikuwa ananiambia kuwa chakula cha leo ni kitamu sana, asante…

Nikashangaa, yaan kuambia asante ndio mpaka mkiss, na anaonekana kabisa nakiss kwa hisia, alafu anakuja kuniambia sijui mambo gani, ety ni busu la asante…
“ usijal naelewa, nyie matajiri mkimkiss mtu ni kwasababu unataka kumuambia huypo mtu asante, na nashkuru sana kwa kushkuru, nikasema na shureymu akatabasamu, mara simu yangu ikaanza kuita na aliekuwa ananipigia alikuwa ni muswaabu, nikashangaa shureymu amezima simu kisha akasema “ leo ni zamu yangu….

JE NINI KITAENDELEAAA!! "

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 09



KIUKWELI nilishangaa sana, kwa maana sikujua ni kitu gani kilikuwa kimempa hasira shureymu kiasi chote kile, kuna muda nikawa nahisi labda simtendei anayoyataka vizuri, sijui hata nilikuwa na wasiwasi wa nini…

Kwenye majira ya kama saa nne usiku nikaona sms kutoka kwa shureymub inasema “ hivi kutengengeneza dimpos siinawezekana?...
“ kiukweli sijui ila naamin hakuna kitu kinachoshindikana chini ya jua, kwa maana kama kutengeneza shepu inawezena na kinaonekana ni kitu kikubwa sana, sasa sidhan kama kutengeneza dsimpos kitakuwa kitu kigumu sana, nikajibu na mimi kwa sms….

“ ila mwanaume kuwa na dimpos ni sawa kweli au ndio anageuka...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-omba-omba-sehemu-ya-09

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-omba-omba-sehemu-ya
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 08
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 08
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 11
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 11
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

577
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

502
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

251
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

232
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

231
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

230
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

224
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

143
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

112
WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21

90

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.05K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.72K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.15K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.55K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.36K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.35K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 11 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 11
@majario LIVE

“hivi una shida gani wewe, kwanin I hutaki kuniona na mm ninafuraha, kwann hutaki mimi niwe na mahusiano lakin shureymu, nikaanza kulalamika… “ mm sijakuzuia kuwa na mahusiano ila Yule...

PENZI LA OMBA OMBA 10 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA 10
@majario LIVE

“ zamu yako kufanya nini, maana siku hizi umekuja na tabia sizielewi kabisa, nikasema, akaniangalia kisha akacheka na kusema “ najua wewe huelewag ila usijal mdogo mdogo utaelewa...

PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 09 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 09
@majario LIVE

KIUKWELI nilishangaa sana, kwa maana sikujua ni kitu gani kilikuwa kimempa hasira shureymu kiasi chote kile, kuna muda nikawa nahisi labda simtendei anayoyataka vizuri, sijui hata nilikuwa na wasiwasi...

PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 08 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 08
@majario LIVE

Nilishangaa sana anashida gani, kwa maana alishasema mara kadhaa kuwa hawez kuwa na mahusiano na mimi na kila dakika ni warda, warda, sasa mbona yuko kama ananionea wivu hivi…. Bsikutaka kuendelea...

*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7* Post Mpya
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*
@majario LIVE

*__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Sio kila unaemkuta anaomba amependa, na sio kila omba omba ni mvivu na hataki kufanya kazi, muda mwingine huwa tunakosa namna ya kufanya ndio maana tunaomba, ni...

SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, 🥰 nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest