Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

REALLY LOVE* *29&30*
Gonga94 · Stories

REALLY LOVE* *29&30*

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea

sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima

ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu" alisema seven huku akaitizama simu, fahima akaichukua simu na kuipokea kisha akaweka. laud spika

seven seven pis baba yangu nakuomba unisamehe baba tuongee yaishe baba yangu nimekosa mimi seven nimejifunza nihurumie nateseka mimi naumiaaaa ona nimekukosa wewe nimemkosa devi nimekosa ndoa jamani mimi nitaenda wapi na devi hanitaki kaniacha wakati na mimba yake seven nisidie hata kidogo tu hata ukiniambia nitoe mimba mimi naltoal wallah hata sasahivi seven nakupenda ***

baada tu yakupokea simu maneno mfululizo yalisikika kutoka kwa cathe alizungumza huku akiwa analia kwelikweli, fahima hakutaka tena kuyasikia maneno hayo alifyonyaaaaa kisha. akaikata simu

et seven nisamehe nycoo wakati unamuumiza mbona hukumuhurumia ety nakupenda pumbavu ungempenda ungemchiti nyau wewe alisema fahima kwa mtindo wa kubana pua akionesha amekerekwa sana na maneni ya cathe, seven alicheka kimya kimya kitokana na namna anavyofanya fahima

nawewe unacheka nini unamtaka au kama unamtaka mfate shika funquo hij alisema fahima kwa hasira tayari akakasirika hapo hapo haraka seven akamuwahi na kumkumbatia

noooo babyy i love you nakupenda wewe tu sitaki mwingine wewe ndo hisia zangu usirudie tena kusema hivo my unaniumiza alisema seven kwa hisia nyie kwakweli alimpenda sana binti fahima, nae akajituliza chezea maneno matamu tena, basi seven. akambeba kipenzi chake na kumpeleka

kitandani

afu nimekumbuka inatakiwa nimuongeze mtoto mikono maana hana alisema seven nakufanya fahima acheke sana

hebu niache huko alikwambia anataka mikono alisema fahima

jamani sasa atazaliwa bila viungo kama hujui sasa baba ndio muwekaji wa viungo nipe kidogo bhanaaaa" alisema seven na kuanza kumtekenye fahima huku akicheka hatimae waliingia mchezoni yani binti muda mwingi sana. alikuwa anapata dozi si unajuwa ujauzito tena

upande mwingine calor aliondoka uku ndani cathe alikuwa ni mtu wa kulia tu muda wote alilia tu, maa fatuma na fatuma hawakuelew chochote wakawa wanabaki kumuangalia tu,

maisha yaliendelea ilipita wiki moja sasa kidogo cathe alikuwa kashazoea maisha ya uswahilini huku siku moja moja calor akija kumuona, siku hiyo mzee fahad alipewa taarifa na seven kuwa fahima ni mjamzito hivo anataka afanye haraka taratibu za ndoa haraka iwezekanavyo kabla hajajifungua, aliwataarifu mzee fahad na mama yake mzazi hivo wakashauriana wote wakutane nyumbani kwa seven ili waweke kikao na waweze kujadili vizuri

nae mzee fahad akakata shauri bora ampeleke cathe kabisa ili kumtambulisha mbele za watu wote, kipindi chote hiko cathe alipata habari nyingi kuhusi fahima maana alikuwa akizungumziwa sana tu na mama fatuma,

kwahiyo mambo mengi kuhusu fahima allyajuwa akatamani aje kumuona ili ajue anaishi maisha. gani maana amesikia tu alitoroka nyumbani na kwenda kutembea na mume wa mtu kisha ndo akawa mama mjengo hizo ndio taarifa alizozijua

cathe,

sasa siku hiyo wakajiandaa vema kutoka, cathe alikuwa na shauku sana ya kumjua huyo ndugu yaje ambaye wamechangia baba tu, basi wakatoka na mzee fahad had nyumbani kwa seven, walifika na kuingia ndani wakakuta familia nzima iko sebleni wakisubiriwa wao tu

ebwan eee kila mmoja alipomuona cathe alishangaa sana na cathe alipowaona ndugu wa seven na seven alishangaa sana hakuamini macho yake, haraka akachomoka kutaka kwenda kumkumbatia seven lakini akazuiliwa na

mama seven kwa sauti moja kali

ishia hapo hapo alisema mama seven kwa ukali sana

wewe shetani umefuata nini hapa mbwa koko wewe muuwaji mkubwa alisema mama seven, mzee fahad hakuwaelewa ikabidi amtambulishe ili wamfahamu

jamani samahani kwa kuja na huyu mgeni wangu bila kuwaambia, huyu ni binti yangu nadhani fahima nilishawahi kukuhadisia juu ya mdogo wako sasa ndio huyu nimempata juzi na hivi sasa naishi nae nyumbani nilipotezan nae kwa muda mrefu sana jamani mtanisamehe kw kuwashtukiaza alisema mzee fahad kwa

wasiwasi sana akijuwa huwenda wameksirika kwakuwa hakusema kama anakuja na mgeni,

mzeeee wangu nadhani ulisikia story nzima. kuhusi kumfumania mchumba wangu sasa mchumba mwenyewe ndio alikuwa huyo catherin cyrton sasa nashangaa unavosema ni mwanao alisema swwwn kwa mshanhao sana

hata mimi baba nachanganyikiwa nilivomuona huyu binti nilichukia sana maana sikuile alinitukana na kunisukuma mbele za watu kumbe ni mdogo wangu cathe?? kumbe wewe ndo ulimdhalilisha seven? alisema. fahima kwa masikitiko sana.

cathe hakuwa na chakujibu ianza kulia tu alijiona ni mtu mwenye mikosi sana muda wote matatizo tu alilia sana

yani katika shetani ninaye mchukia ni huyu apa yani cathe wew ni zaidi ya ibilisi ulitakal kuniua mimi hadi wanangu wewe mnyama sana cathe nakuchukia wewe mtoto sana hata kama ni ndugu wa fahima mtanisamehe siwezi

kumsamehe huyu shetani mkubwa aliyetutia

hasara mimi na familia yangu alituaibisha sana uyu alisema mama seven kwa uchungu mkubwa sana

haraka cathe akapiga magoti chini huku akiomba msamaha alilia sana

nisameheni jamani mimi sio mkamilifu nawaomba mnisamehe nimejuwa makosa yangu mama jisamehe namtaka seven mimi mama nampenda nimejua mimi siwezi bila yeye nateseka tangu aniache mama nisamehe alisema cathe jwa uchungu sana

kelele mbwa wewe tena nyamanza tena ole wako uingilie kati maisha ya mwanangu cathe safari hii nitakuua nitakusambaratisha cathe seven ni mume wa mtu na baba mtarajiwa na mke wake ni fahima ambay dada yako wewe si

ulipata dhahabu ukaichezea ukaiona mavi sasa walioljua thamani yake washalokota tena nakuonyaaa endapo utayasogelea maisha ya mwanangu nitakuua cathe endapo ukaivuruga furaha ya mwanangu nitakusambaratisha vibaya aiseeeeee mama cathe alitoa maneno

makali sana tena makali mnoa,

cathe alipiga magoti na kutambaa hadi miguuni kwa seven alitaka kuigusa lakini seven. akaikwepa na kurudi nyuma, cathe akamgeukia. fahima huku analia

dada yangu ada ee niwewe tu pekee uliyebaki. kunisaidia nionee huruma nisamehe mimi dada najuta sana mimi pls niachie seven wangu pls. dada alisema cathe kwa uchungu sana hukua analia, maneno hayo yalimkera sna fahima, hakuweza kumjibu kwasbabu hakupenda sana kuongea haraka akageuka nyuma na kuondoka,

seven akajuwa tayari kimenuka haraka akamfuata nyuma fahima huku anamuita.

wife wife wife

Itaendelea

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

REALLY LOVE* *29&30*



*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea

sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima

ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu" alisema seven huku akaitizama simu, fahima akaichukua simu na kuipokea kisha akaweka. laud spika

seven seven pis baba yangu nakuomba unisamehe baba tuongee yaishe baba yangu nimekosa mimi seven nimejifunza nihurumie nateseka mimi naumiaaaa ona nimekukosa wewe nimemkosa devi nimekosa ndoa jamani mimi nitaenda wapi na devi hanitaki kaniacha wakati na mimba yake seven nisidie hata kidogo tu hata ukiniambia nitoe mimba mimi naltoal wallah hata sasahivi seven nakupenda ***

baada tu...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/really-love-29-30

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi really-love
REALLY LOVE* Chapter 19
REALLY LOVE* Chapter 19
*REALLY LOVE Chapter 20
*REALLY LOVE Chapter 20
REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*
REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*
REALLY LOVE* 16
REALLY LOVE* 16
REALLY LOVE* Chapter 18
REALLY LOVE* Chapter 18
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*
REALLY LOVE* *22&23*
REALLY LOVE* *22&23*
REALLY LOVE* Chapter 17
REALLY LOVE* Chapter 17
REALLY LOVE* *26&27*
REALLY LOVE* *26&27*
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO*
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO*
*REALLY LOVE  💕💕💕* *1-5*
*REALLY LOVE 💕💕💕* *1-5*
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

570
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

487
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

249
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

229
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

223
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

218
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

185
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

125
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

109
SASA. NAKUPENDA One to sex

SASA. NAKUPENDA One to sex

80

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.04K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.72K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.54K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.36K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.34K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.28K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, 🥰 nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Kwa mahesabu yangu ya haraka haraka mwezi August aweza kuitwa baba 🥰😆 yaaah hakuna kitu kitamu kama kuitwa baba walah hii feeling wanaijua wale ambao wanatamani kuwa na watoto Basi ndio...

FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 9 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 9
@majario LIVE

Nikamuona D anatoka kwenye geti nikamwambia Boda tuondoke Boda akatimka hata hajui naenda wapi, sikuwa tena hata na mood ya kwenda kazini . Nikanyoosha mpaka kwa Tinner, alishangaa kuniona asubuhi asubuhi...

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*
@majario LIVE

Nilishtuka na moyo wangu uliumia sana Kana kwamba msumari wenye moto uligongewa kifuani mwangu Sikutaka kuleta drama yoyote, nikajikaza na kumuangalia Enzo kwa utulivu sana na kumuuliza. "Lakini ulisema Kuwa Utazungumza na mama...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9  Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9
@majario LIVE

kipande cha 9 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema ww kama.nani ebu niache uko we vp. Akanmbia sasa umekuja kufata nni chumbani kwangu au ndo umeniletea hii pesa alokupa mwanaume wako...

SHAMIRA 8   MPK  12 Post Mpya
SHAMIRA 8 MPK 12
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 sehemu ya 8 Mwandishi; lissa wa huru media Sikuwa na habar na kushangaa kwake mm nilikuwa na mkatikia sio powa. watu wanashangalia sio powa nikaona yule kaka kajitoa chapu, kabaki ananishangaaaa yule...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest