SHAMIRA sehemu ya 13&14
Mwandishi; lissa wa huru media
Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo ndogo kabisaaaa , kwenye mashughur sasa mm ndo mama mitunzano kumtunza mtu laki 5 sio shida zangu baby si ananipa, na unazani nimeacha kudanga bwana pesa ananipa na ikitokea danga limenitafuta naendaa vzur siachi pesa mie akaaaaa
Na apo natumia uzazi wa mpango mkononi kwangu nilieka kijiti sikutaka masiara kabisa mieee. nizae akaaa nitazeeeka mie buleee .sikutaka kuzaa kabisa.ila sasa kila siku zinavyozidi kwemda niliona hamadi anazidi kunipemda yani anataka mda wote tuwe wote. Anapenda kuongea sana na mimi. Akikuta simu yangu inatumika anakuwa mkari kidogo japo sio sana ila anakuwa anamind . Maisha yanenda na mnazani nilikuwa na mda ata wa kumwambia nipelek kwako .aka uo mda mie sina jamani. Akijisikia mwenyewe atanipeleka. Na kama li mume la mtu litajijua .muhimu ananipa pesa mambo ya ngu nyanenda sina habari mie...
Siku iyo tupo hotel tumekulana vizurr na baby wangu akanmbia sweet leo nimekuletea zawadi .nikasema mh ipi mpenzi akanipa simu nzur mno ile simu ya bei kwa kile kipindi imaweza kufika ata mil 1 na laki 5 , nilifurah akanmbia naomba utulie basi mpenzi nataka niongee na wazazi kama vpi nikupeleke. Alafu naweka mambo sawa nataka tuisho wote. Mimi sikuamini sana shamira we mjanja mjanja sana alafu mimi nna plan za maisha na wewe mana nakupemda sana yani nakupemda mno .nikaona kweli mwanaume nimemkamata. Nikasema sawa amna shida ni wewe tu mimu nipo teali kwa kila kitu unachokitaka. Akanivuta aknikumbatia kwa nguvu tukaanza kuuutafutafuta usingizi na mchumba. Huwa anapenda sana akilala anikumbatie ndo furahaa yake.aseee mwanaume nilimkamata bwana.yani nilikuwa nikitaka pesa kwake siombi mala 2 mimi bapewa . Basi asubuh akaniludisha mpka kwangu . Akaniaga akasepa kwake mimi nikaingia mdani nipo hoi. Mana hamadi nae hana shughuri ndogo
Basi bwana penzi lilinoga aswaaa shoga yenu nilipendwa mpka nilipendwa tena yani nilokuwa napewa huba zito na uyu kaka. Mapka tukakata miezi 2 tupo katika mahisiano yetu.
Siku iyoo sasa nipo home baby nimeongea nae akanmbia yupo job na yuko busy sana mana alinipigia mida kama ya mchana.basi nilivyomaliza kuongea nae. nikaoga kisha nikauramba vizuri nikamuaga aisha nikaenda kudanga zangu mm, mana nilipata bwana alinambia ana 50k .nikaona wala siiachi.na bwana mwenyewe namjua shughuri ata hana kimoja chri sasa naachaje elfu 50 mimi.
Basi nikaenda kudanga sana na uyo bwana . mpka saa 4 ndo naludi sasa nyumbani nimekodi boda yangu, mala nikiwa katika bodaaa simu ikaita nachek hamadi anapiga .nikasem khaa uyu anataka nn sasa .nikmwambia boda simamisha kwanza.na boda wala hakuwa na neno akasimama mimi nikaipokea ile simu. , akasema baby upo wap nikasema nipo nyumbani mpenzi nimelala .mpka boda kaniangali na nilivyo mkavu sasa ata aibu sinaπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
ππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππ
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni