Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 10
Gonga94 Β· Stories

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 10

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii
"Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani
"Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu midomo inatetemeka nikajikaza kweli nisimtazame Veda na ndo tukaw tumefika usawa wake .

Shingo iko ngaa inataka kugeuka kumtazama mie naikaza ile nampita tu kidogo nikajikuta nimegeukaa ..
Tukagongana macho, sijui nae alikuwa ananiangalia au bahati mbaya tu, akatabasamu lile tabasamu lake la pembeni, akanitikisia kichwa taratibu kama salamu sijui au alikuwa anamanisha nini mie sijui ila Sikujua nifanye nini shingo ikagoma kugeuka kunipa support natembea kiwili wili mbele uso wenye macho nimeacha nyuma, ikabidi nikaitikia kwa kichwa pia kisha.

Ndo akazidi kuachia tabasam mpaka nikaona vi meno kwa mbalii vyeupeee, Nyie hii nini tenaaa mie mjukuu wa babu na bibi yanguuu Huyu kijana ni nani hasa? Mbona moyo wangu unanichokoza hivi? Na umri huu jamani lakini nimekuwa kama mtoto wa form one alieanza kumendewa mendewa hajui mapenzi mie ama kweli mapenzi hayana umri haki tenaaa ..

"Shoga angalia mbele basi piki piki hiyo!!!!" Tinner akanishtua kwa kunisutaa, nikajikuta naona aibuu achaa, basi nikakaza mwendo nusu nijikwaee ...

Tukanunua mboga, Muda wa kurudi nikamwambia Tinner tubadilishe njia aisee akasema kisa nini sasa ???"
Nikamwambia "Sitaki kupita pale kila nikimuona huyo kaka nakumbuka tu alivyonibaka najisikia aibu kama alinidhalilisha "

"We naee, Sa ulibakwa hivi wakiitwa walio bakwa utaenda embu twende"

"Sitaki kuonana na huyo mjinga Tinner nielewe"

"Mh hayaa... njia ingine niya kuzunguka sana hapa mpaka boda ni mbali sana "

Bora tupite hiyo sitaki kabisaaaa kumuona huyo kakaa kama aliweza kunitumia mie bila ridhaa yangu ina maana anawatumia wengi halafu kwa Akili yangu tu ndogo niitumie kama anaongozana na Veda sehemu kama zile anashindwa vipi kununua wanawake inamaana yeye na Veda wote lao ni moja sa sitakiiii kashanitumia basi hasara kwangu, Tukachukua usafiri wa Boda tukarudi kwa njia ingine kabisaa ....

Usiku ulipofika, nikajikuta namuwaza tena, Lile tabasamu ule muda akanitikisia kichwa alikuwa anamaaisha niniii ...

Jamani huyu kakaaa nilikuwa nagala gala tu hukuu mpaka hukoo nikaanza kujuta kwanini nilibadilisha njia et haha si ningepita tu pale nikamuona Duh nikajukuta naongea mwenyewe
"Kutoka bangi… hadi baby? Dadeek" Nikacheka mwenyewe kitandani, nikajifunika shuka mpaka puani.

Mapenzi shikamooooo mtu mzima miee yamenirudisha utoto kabisaa ile unatamani kujipitisha mbele ya kijana hahaha wote tumepita huko eeh tumepita bwanaa .....

Basi asubuhi nikajiandaa zangu kuingia kazini na sikuwa hata na nguo maana niliondoka mwenyewe tu bila kujiandaa, nikachukua nguo za Tinner, Mwenzangu mbaba wake amemkataza kufanya kazi mwenzangu nae kweli kaacha, hayaa ngoja yamkute kama yangu atajijua mwenyewe..

Kwakua sina tena gari, Tinner akaniitia tu Boda, Basi tumefika pale chini wanakaaga wale wakaka si nikamwambia apunguze mwendo macho kupu kupuu namtafuta Veda hata hakuwepo kulikuwa na wakaka na wababa wanabishanaaa kuhusu mpira asubuhi asubuhi tu jamani sijui wanawaza nini mmh

Mie nikaenda zangu kazini, Ila ile kutokumuona Veda pale nikajikuta siku nzimaa namfikiria yeye tuu najuta kwanini sikurudia ile njiaa ...

Muda wa kutoka kazini nikaona ngoja tu niende kwangu maana D hakuwa amenitafuuta tangu ile jana nikaona amepotezea kuhusu mie, Nikarudi nyumbani ajabu nakuta Geti limefungwa mmh , funguo ninazo mie sasa nani amefunga geti, ikabidi nimpigie mwenye nyumba kumuuliza huenda ana funguo za dharula akasema mume wangu ndio kamwambia afunge na asifungue mpaka yeye atakapo sema kama nina shida ya kuishi humo ndani nimtafute yeyee duuh nilichokaaa ...

Kwa muda huo akili yangu ilikuwa imevurugika kweli kweli kwa hili swala kufungiwa nyumba, ikabidi tu nichukue Boda mpaka kwa Tinner , nimechanganyikiwa
Tinner akanishauri tumpigie tu ili nimsikilize anataka ninii kama vipi aniache nichukue vitu vyangu nimuachie nyumba yake, nikampigia kawaida hapatikani ikabidi nimpigie wasp call akapokea, tena kapokea anacheka kweliii yaani kama vile anaona ameniweza sanaa ..

Nikamwambia mie wala simuhitaji tena naomba tu nichukue vitu vyangu nikuachie nyumba yako akanambia Kwasasa nimesafiri nipo kenya ila nikija nitakutafuta sasa ole wako usipokee simu yangu, kinyonge na hasira nikasema sawa ...

Itaendelea.....

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 10



Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii
"Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani
"Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu midomo inatetemeka nikajikaza kweli nisimtazame Veda na ndo tukaw tumefika usawa wake .

Shingo iko ngaa inataka kugeuka kumtazama mie naikaza ile nampita tu kidogo nikajikuta nimegeukaa ..
Tukagongana macho, sijui nae alikuwa ananiangalia au bahati mbaya tu, akatabasamu lile tabasamu lake la pembeni, akanitikisia kichwa taratibu kama salamu sijui au alikuwa anamanisha nini mie sijui ila Sikujua nifanye nini shingo ikagoma kugeuka kunipa support natembea kiwili wili mbele uso wenye macho...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/from-bangi-to-baby-sehemu-ya-10

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi from-bangi-to-baby-sehemu-ya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 1
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 1
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 4
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 4
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 3
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 3
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 2
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 2
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 7
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 7
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 5
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 5
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 8
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 8
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 6
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 6
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜   SEHEMU YA 9
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 9
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

575
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

495
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

250
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

230
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

224
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

221
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

205
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

131
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

111
SASA. NAKUPENDA One to sex

SASA. NAKUPENDA One to sex

81

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.04K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.72K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.55K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.43K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.36K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.34K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.28K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, πŸ₯° nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Kwa mahesabu yangu ya haraka haraka mwezi August aweza kuitwa baba πŸ₯°πŸ˜† yaaah hakuna kitu kitamu kama kuitwa baba walah hii feeling wanaijua wale ambao wanatamani kuwa na watoto Basi ndio...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜   SEHEMU YA 9 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 9
@majario LIVE

Nikamuona D anatoka kwenye geti nikamwambia Boda tuondoke Boda akatimka hata hajui naenda wapi, sikuwa tena hata na mood ya kwenda kazini . Nikanyoosha mpaka kwa Tinner, alishangaa kuniona asubuhi asubuhi...

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*
@majario LIVE

Nilishtuka na moyo wangu uliumia sana Kana kwamba msumari wenye moto uligongewa kifuani mwangu Sikutaka kuleta drama yoyote, nikajikaza na kumuangalia Enzo kwa utulivu sana na kumuuliza. "Lakini ulisema Kuwa Utazungumza na mama...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9  Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9
@majario LIVE

kipande cha 9 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema ww kama.nani ebu niache uko we vp. Akanmbia sasa umekuja kufata nni chumbani kwangu au ndo umeniletea hii pesa alokupa mwanaume wako...

SHAMIRA 8   MPK  12 Post Mpya
SHAMIRA 8 MPK 12
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ sehemu ya 8 Mwandishi; lissa wa huru media Sikuwa na habar na kushangaa kwake mm nilikuwa na mkatikia sio powa. watu wanashangalia sio powa nikaona yule kaka kajitoa chapu, kabaki ananishangaaaa yule...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest