Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19
Gonga94 Β· Stories

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

SONGA NAYO......

Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu

Hatiame muda wa dada kurudi nyumbani ulifika, nilimsubiri kwa hamu sana baada ya muda kweli dada aliweza kurudi huku akiwa amechua na dawa za mama

Dada baada ya kufika alishangaa sana kuniona namna nilivyobadilika usoni

"Yani nilitegea kukuona ukirudi ukiwa handsome, lakini nashangaa unarudi na makovu, usiniambie ulifumaniwa na mke wa mtu ...??"

Dada aliniuliza

"Aah dada ni misunderstand tu imetokea kwa bahati mbaya kule kazini kwangu ndio ikapelekea kuwa hivi, lakini ukweli hizo tabia nilishaacha..."

Nilijieleza

"Mh, sawa sawa na huyu ndio wifi...??"

Dah dada alinifanya nitabasamu walah πŸ₯° ewaaa hivi ndio vitu navitaka kusikia kutoka kwa ndugu zangu

"Dada wewe umejuaje...??"

Nilimuuliza

"Anaonekana tu maana ni mama kijacho tayari tujiandae kuitwa aunt..."

"Dada kumbe unajua kutazama wewe yan dah..."

"Kwa hii kazi nishindwe kujua tu, kwanza nilipoingia tu nikajua hapa tayari Henry kashafanya yake.."

Nyiee nilifurahi balaa

"Dada naomba ukazungumze na mama, mama hataki kabisa kunielewa anasema nimrudishe binti wa watu lakini dada ukweli me nataka mtoto na unavyotuona hapa tumetoroka ili kuokoa maisha ya mtoto wetu maana kaka yake alikuwa ameshinikiza atoe ujauzito..."

Nilijieleza huku nikiwa nimejitilisha uso wa huruma kabisa πŸ˜‚πŸ™ŒπŸΎ acheni tu ndugu zangu.

"Kwahiyo huyu ni mwanafunzi wako..??"

"Ndio dada lakini naweza kusema kuwa haikuwa dhamira yangu kabisa naapia kwa mungu sikudhamilia kumuingilia kwa nguvu ni vile tu yani dah...."

Nilikuwa nashindwa hata nielezeeje jamani maana kama maji yamenizidi kimo walah πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸΎ

"Henry sio rahisi kabisa mama kukubali ukiangalia huyu ni mwanafunzi na tena yupo form four kweli, si ungesubiri akamalizia hilo darasa ndio mkafanya sasa ety we binti kwanini ulikubali kumpanunlia huyu ...??"

Dada alimuuliza Lizy huku akinichoma choma na kidole kichwani, nilikubali kupokea lawama zote maana makosa ni yangu

Lizy wa watu yeye alikuwa kimya tu anawaza yake.

"Basi subiri naenda kuongea na mama kama atakubali.."

Nikamjibu tu sawa huku nikiwa nimejikatia tamaa kabisa, baada ya dada kuondoka Lizy nae akapandisha mashetani yake sasa πŸ˜‚πŸ™ŒπŸΎ

"Usiniambie kwamba haya yote ninayoyasikia ni kweli ulikuwa hutulii enhee...??"

Aliniuliza, eeeh aisee yani natoka hili linaingia hili walah nachoka

"Liz...."

"Usinishike yani bora ningekubali tu kubaki kule na kutoa ujauzito kuliko kubaki na mwanaume kama wewe ambaye huwezi kabisa kutulia..."

SEHEMU YA 20
Maneno yake yalikuwa makali sana kuna namna nilikuwa naona. Kabisa nimekosea kweli na kujutia kabisa kutotulia na mwanamke mmoja

"Lizy mke wangu, nisikilize.."

Nilisema huku nikimshika nikasukumwa hukoπŸ™„

"Nimsema niache we vipi..?"

Eeh mungu, kama umeruhusu nipitie haya basi naomba niasmehe maana naumia mno, kweli ndio najua umalaya sio mzuri kabisa maana nashidwa kuaminiwa na kuthamiwa

Nisamehe sana nahaaidi baada ya hapa nitajirejebisha kabisa yani naahidi sitafanya uzinzi wa aina yoyote ile

"Lizy..."

Nilimuita baada ya kumuona anaondoka, nikamuwahi na kumshika mkono na muda huo huo mama na dada wakawa wamefika sebleni

"Lizy nisamehe sana ukweli ni kwamba nilikuwa na hao wakati sijakutana na wewe nakuhaidi upo peke yako, wewe ni wangu kuanzia sasa, wewe ndie ambaye unatembea na moyo wangu tafadhali mama yangu usiondoke

Tambua bila wewe siwezi kuishi, siwezi kabisa Lizy wangu nakuomba mke wangu kubali ubaki tulee mtoto wetu..."

Nilikuwa naongea huku machozi yananitoka kamasi ndio kabisa kama zote, mwanaume nilikuwa sina ujanja, pamoja na kupangilia maneno matamu matamu ila wapi binti hakunielewa kabisa

"Mama, dada niombeeni msamaha kwa mke wangu hata na nyie si mashahidi kabisa ilikiwa zamani ndio nilikuwa situlii mama si unajua kabisa eèhh.??"

Nilimuuliza mama walau anaiitete

"Hizo sio shida zangu..."

Eeh mama ne khaa, πŸ˜‚πŸ™ŒπŸΎ kwahiyo hata kunitetea tu hamna, kwa kweli ndio nimeamini kila mtu apambane na msalaba wake..

"Lakin mama...."

"Binti unaitwa nani...??"

Mama alimuuliza Lizy

"Naitwa Lizy.."

"Lizy vitunguu au dagaaa...??"

Eeeh huu msemo mama amesababisha kuniambukiza mpaka mimi, na huu msemo umemkaa sana kinywani

"Naitwa Elizabeth Nestory.."

"Mh ndio maana mmeamua kupeana na mimba kabisa.."

Nikadakia

"Aaah mama Lakin..."

"Lakini nini mimi nimewaruhusu tu mkae hapa, ila yakikutokea tusijuane kabisa.."

Mama alizungumza kisha akaondoka mahali pale nikabaki mimi dada na Lizy

"Karibu sana wifi, jisikie upo nyumbani..."

Da Helen alimkaribisha Lizy upande wangu nikatabasamu mpaka jino la mwisho, yani nilikuwa nafuraha sana...

Basi rasmi maisha yakaanza tukiwa nyumbani, namshukuru mungu nilipona kabisa yale makovu yote na uso wangu ukawa na nuru ile mbaya pia ule uhandsome ote ukarudi upya πŸ₯°

Nyie nilikuwa natamba mtaani kwangu, kwani mke wangu alikuwa mzuri na ile mimba yake sasa wee alinawiri sana, basi maisha yaliendelea na nilikuwa nikifanya kazi ndogo ndogo za kusukuma maisha mbele

Nilifanikiwa kununua vifaa vya kujifungulia kwa mke wangu, basi miezi nayo ilikatika, ni usiku wa manane siku hii nilikuwa nimemkumbatia mke wangu na tulikuwa tumelala mara gafla uchungu ukaanza kumuuma

Na siku hii dada alikuwepo nyumbani so kwake hayo mambo yalikuwa mepesi, alihakikisha anammzalisha mke wangu vizuri kabisa, eeh acheni nimuite mke wangu kwa sababu ndie ambaye yupo kwenye mpiango yangu yote ya kuwa mke

Japokuwa umri wake ni mdogo hiyo sio shida yangu bwana, kifupi kwa huyu mimetulia kabisa sina papara na wanawake wengine πŸ₯°....

ITAENDELEA......

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19


SONGA NAYO......

Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu

Hatiame muda wa dada kurudi nyumbani ulifika, nilimsubiri kwa hamu sana baada ya muda kweli dada aliweza kurudi huku akiwa amechua na dawa za mama

Dada baada ya kufika alishangaa sana kuniona namna nilivyobadilika usoni

"Yani nilitegea kukuona ukirudi ukiwa handsome, lakini nashangaa unarudi na makovu, usiniambie ulifumaniwa na mke wa mtu ...??"

Dada aliniuliza

"Aah dada ni misunderstand tu imetokea kwa bahati mbaya kule kazini kwangu ndio ikapelekea kuwa hivi, lakini ukweli hizo tabia nilishaacha..."

Nilijieleza

"Mh, sawa sawa...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/wewe-ni-wangu-sehemu-ya-19

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi wewe-ni-wangu-sehemu-ya
WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 11
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 11
WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 6
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 6
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

 AAAAAASH BOSS ENZOO*    *14&15*

AAAAAASH BOSS ENZOO* *14&15*

678
AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

490
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

320
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15

236
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14

214
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

205
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 12

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 12

175
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

148
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

105
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

105

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.04K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.72K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.54K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.43K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.36K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.34K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.28K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Kwa mahesabu yangu ya haraka haraka mwezi August aweza kuitwa baba πŸ₯°πŸ˜† yaaah hakuna kitu kitamu kama kuitwa baba walah hii feeling wanaijua wale ambao wanatamani kuwa na watoto Basi ndio...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜   SEHEMU YA 9 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 9
@majario LIVE

Nikamuona D anatoka kwenye geti nikamwambia Boda tuondoke Boda akatimka hata hajui naenda wapi, sikuwa tena hata na mood ya kwenda kazini . Nikanyoosha mpaka kwa Tinner, alishangaa kuniona asubuhi asubuhi...

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*
@majario LIVE

Nilishtuka na moyo wangu uliumia sana Kana kwamba msumari wenye moto uligongewa kifuani mwangu Sikutaka kuleta drama yoyote, nikajikaza na kumuangalia Enzo kwa utulivu sana na kumuuliza. "Lakini ulisema Kuwa Utazungumza na mama...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9  Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9
@majario LIVE

kipande cha 9 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema ww kama.nani ebu niache uko we vp. Akanmbia sasa umekuja kufata nni chumbani kwangu au ndo umeniletea hii pesa alokupa mwanaume wako...

SHAMIRA 8   MPK  12 Post Mpya
SHAMIRA 8 MPK 12
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ sehemu ya 8 Mwandishi; lissa wa huru media Sikuwa na habar na kushangaa kwake mm nilikuwa na mkatikia sio powa. watu wanashangalia sio powa nikaona yule kaka kajitoa chapu, kabaki ananishangaaaa yule...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 7 na 8. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 7 na 8.
@majario LIVE

7 MPAKA 8 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mie iyo jioni ndo nilikuwa wa kwanza kulejea home. Mana nilikuta baraka wala hajaludi. Nikaenda kubadili fomu za shule. Kisha nikatoka kumsaidia...

SASA. NAKUPENDA One to sex Post Mpya
SASA. NAKUPENDA One to sex
@majario LIVE

MPYA MPYA ( 1 MPK 6 ) 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi lissa wa huru media Sehemu ya 1 na 2 Mwandishi; lissa wa huru media Hellow...

SHAMIRA 1 mpk 7. Post Mpya
SHAMIRA 1 mpk 7.
@majario LIVE

MPYA MPYA πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Mwandishi; lissa wa huru media sehemu ya 01 "Nakwambiaje unajikuta mtoto wa mjini , mm ww sikuogopi wanakuogopa hao hao ,yani bwana angu unichukulie...

Shahnaz Lalarukh Khan, born in 1960, is Shah Rukh Khan’s elder sister and one of the most important people in his life. She’s about six years older than him and lives with SRK and his family at their beautiful Mumbai home, Mannat Post Mpya
Shahnaz Lalarukh Khan, born in 1960, is Shah Rukh Khan’s elder sister and one of the most important people in his life. She’s about six years older than him and lives with SRK and his family at their beautiful Mumbai home, Mannat
@majario LIVE

. After their father passed away in 1981 and later their mother in 1991, Shahnaz was deeply affected. Their father’s sudden death hit her especially hard and she went through severe...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17
@majario LIVE

SONGA NAYO.......... Baada ya mimi kupoteza fahamu, haraka Jose alikimbia na kwenda kumuita doctor na matibabu yalianza mara moja, upande wa Lizy alikuwa hatulii kabisa yani kila muda anachungulia ndani ya...

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*
@majario LIVE

SONGA NAYO... Moyo wangu ulishtuka sana baada ya kumuona. Enzo akilia kwa uchungu wa hali ya juu, Walahi niliogopa mno na nikibaki nikimtuliza Ingawa nilikuwa Nina butwaa ya hali ya juu. "Usiku Mwema...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest