Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 12
Gonga94 · Stories

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 12

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Kilichoniashtuaa sio kwamba nilifika nje nikashtuka hapana, yaani nilishtukaa baada ya kuingia ndani maan nilimkuta Hussein na Zakia wapo ndani tena kitandani na kwa mkao. waliokaa kwanza wanaonekana kuchoka kana kwamba kuna kitu walitoka kufanya na kiliwachosha sana hii ilinivunja nguvu jamani nilijihisi kuzimia maan nguvu za kutoka sikuwa nazo wala za kubaki hazikuwepo pia hiii iliniogopesha mno

Zakia alishtuka sana, ila Hussein hakuonekana kutetereka hata kidgo Zakia kwahyo ndio uliniitia huu ujinga hapa? yaani umeniita nije nione umelala na mchumba wangu sio?" Zakia alikuwa anakataa kwa kutikisa kichwa tu, "lakini Salma mimi sijakutumia sms na hili ulilolionaa ......... kabla hajamaliza sentensi alidakia Hussein

"Kwani unabishana na huyu mshamba wa nini? kwani mimi na wewe tumeanza kudate leo, alikuwa akiongeaa akiimaanisha akimwambia Zakia kisha akanigeukia mimi Afu wee sikia mimi siwezi kuwa na demu afu hanipi mzigoo mimi ni mwanaume sawa eeh kwahyoo sitaki kabisa kuingiliwa, na bora umeona kabisa leo livee maaana, nilikuwa natafuta jinsi ya kukwambia ili tubwagane, wewe uliona wapi mchumba wa barua ya miaka miwili, afu kingine kilinifanya nibaki na wewe ni vile vipesa pesa vyako maan vilikuwa vinanisave maaan pesa yangu ya mshahara ndio nimeamua kumfungulia mpenzi wangu duka" nilichoka leo ndio najua kama Hussein anakazi tena inamlipa vizuri ila mimi ni anachukua tu pesa yangu kwa ajili tu ya kunifurahisha mimi maana ni kweli nilikuwa nikimla mimi nafurahi sana ndio akili ikaja kumbe hat lile duka ambalo Zakia kafunguliwa nikamuuliza kafunguliwa na nani hakunambiaa kumbe ni Hussein, sikujizuia nilianza kulia pale pale ndani walipokuwepo

"Wee sikia toka bhana peleka uchuroo wako huko kwenu sio hap kwahyo ulitegemeaa kwamba mimi naweza kukuoa shtuka mwanamke wangu hata nyumbani kwangu hupajuli wee vipi?" Maneno ya Hussein yaniumiza sanna hata kama ndio utembee na rafiki yangu? Hussein?" Nilimwambia Hussein, alicheka kwa dharau kweli akanitizama akanambia sasa wewe unahisi nani kanionganisha nae kam sio wewe ulinipa namba mwenyew mimi kwenye kuongea nae nikampenda kwanza ni kisu zaidi yako" hayo maneno aliyasema Hussein akinambia bila hata huruma, moyoni nilithibitisha lile neno kwamba Zakia ndio alikuw kipaumbele kwake na sio mimi Salma mtoto wa kijijini, hii iliniumiza sana kwakweli nililia kwa sauti lakini ndani kwa watu nipo muda huoo

"ila shga angu, nakuomba usimwambie James kuhusu hili nakumba sana utakuwa umeniumbua yaani nilikasirika zaidi yaani kumbe bado anamchezea akili mkaka wa watu jaman roho yangu iliniuma na nikajikuta namuhurumia sana James, kumbe hata hyo kazi Zakia alinitafutia ili awe huru na mchumba wangu, nafsi yangu ilisononeka sana jamani niliumia sana nikaondoka kwa hasira ila nakumbuka Hussein alinisindikiza na maneno haya nenda mdada mwenye mikosi yake mjini, usie kuwa na bahati ya kuwa na mwanaume, mtu mwenye gundu" kisha akamgeukia Zakia akamwambia tulia babe huyoo mjinga mpotezee, hawezi fanya lolote, kwanza huyo bwege wako fanya uachane nae sawa?" Mengine sikuyasikia niliondoka nikiwa mnyongee, ingawa nilikuja mchangamfu...

Nilirudi nikalala nikiwa na mawazo sana kwanza niliblock huyo Hussein na huyo mdada wake Zakia ila nikawa nawaza maan alonitumia sms inavyoonekana sio Zakia ni nan huyo alokuwa anataka kunijulisha ukweli kuhusu mwanaume wangu?

Nilimsubiri dada, maaa yeye pekee ndio nilobaki nae upande wangu na ambae inabidi nimuamin kwasas dada alifika tu nikamkumbatia kwa furaha sana, huku nikilia sikusubili aniulize nilimuadithia kila kitu....

Itaendeleaa.....

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 12



Kilichoniashtuaa sio kwamba nilifika nje nikashtuka hapana, yaani nilishtukaa baada ya kuingia ndani maan nilimkuta Hussein na Zakia wapo ndani tena kitandani na kwa mkao. waliokaa kwanza wanaonekana kuchoka kana kwamba kuna kitu walitoka kufanya na kiliwachosha sana hii ilinivunja nguvu jamani nilijihisi kuzimia maan nguvu za kutoka sikuwa nazo wala za kubaki hazikuwepo pia hiii iliniogopesha mno

Zakia alishtuka sana, ila Hussein hakuonekana kutetereka hata kidgo Zakia kwahyo ndio uliniitia huu ujinga hapa? yaani umeniita nije nione umelala na mchumba wangu sio?" Zakia alikuwa anakataa kwa kutikisa kichwa tu, "lakini Salma mimi sijakutumia sms na hili ulilolionaa ......... kabla hajamaliza...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/ceo-usinivue-mi-mchumba-wa-mtu-chapter-12

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi ceo-usinivue-mi-mchumba-wa-mtu-chapter
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 9
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 9
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *      Chapter 10
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZOO* *12&13*

AAAAAASH BOSS ENZOO* *12&13*

737
 AAAAAASH BOSS ENZOO*    *14&15*

AAAAAASH BOSS ENZOO* *14&15*

545
AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA 11*

AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA 11*

217
REALLY LOVE* *26&27*

REALLY LOVE* *26&27*

217
MY CRAZY BOSS 10

MY CRAZY BOSS 10

170
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15

163
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14

162
*NDOA YA MCHONGO BIBI NA MAMKWE🙌* *1-5* * Facebook

*NDOA YA MCHONGO BIBI NA MAMKWE🙌* *1-5* * Facebook

33
*ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO* *1-5* *

*ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO* *1-5* *

31
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 12

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 12

28

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.29K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.03K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.72K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.54K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.35K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.34K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.28K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
HOW TO BUILD A LIFE YOU DON’T NEED  ESCAPE FROM... Post Mpya
HOW TO BUILD A LIFE YOU DON’T NEED ESCAPE FROM...
@majario LIVE

Most people don’t actually hate their life. They hate how their days feel. The constant mental noise unfinished tasks waiting for texts living for the weekend scrolling to decompress from a day they barely chose So they...

This cute moment from Pyaar To Hona Hi Tha perfectly captures the magic between Kajol and Ajay Devgn. Back in 1998 Post Mpya
This cute moment from Pyaar To Hona Hi Tha perfectly captures the magic between Kajol and Ajay Devgn. Back in 1998
@majario LIVE

, this film gave us one of the most loved on-screen jodis of the 90s, and their chemistry felt so natural and effortless. Kajol was full of life, emotional, expressive —...

THEY DIDN’T JUST KILL A DRUG LORD.  THEY KILLED A DEEP STATE GENERAL.  “El Mencho Post Mpya
THEY DIDN’T JUST KILL A DRUG LORD. THEY KILLED A DEEP STATE GENERAL. “El Mencho
@majario LIVE

” was untouchable for 30 years. He had drones. Armored vehicles. Land mines. He shot down a military helicopter. The CIA looked the other way. Why? Because he wasn’t just moving drugs....

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 12 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 12
@majario LIVE

Kilichoniashtuaa sio kwamba nilifika nje nikashtuka hapana, yaani nilishtukaa baada ya kuingia ndani maan nilimkuta Hussein na Zakia wapo ndani tena kitandani na kwa mkao. waliokaa kwanza wanaonekana kuchoka kana...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

Siku ile ilikuwa ndefu sana kwangu sikuwa najua nafanyaje maaa nilikuwa na mawazo sana yaaani hadi usiku unafika sijui kam ni usiku maaan nilikua nimevurugwa sana, hadi nikawa nalinganisha kati...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *      Chapter 10 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 10
@majario LIVE

Tulifanikiwa kupata lile fremu lilikuwa kubwa zuri lina hewa na pia lilikuwa lipo barabarani hivyoo ni rahisi watu kuona lile bango pale la officine, ambalo tutaweka tukatoka hapo tukaenda sehemu...

*ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO* *1-5* * Post Mpya
*ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO* *1-5* *
@majario LIVE

__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Naitwa Nelly ni mtoto wa kwanza kwa baba yangu wazazi wangu hawakuwahi kuishi pamoja hivyo niliishi na mzazi mmoja tu ambaye ni mama . Niliishi na mama yangu...

*NDOA YA MCHONGO BIBI NA MAMKWE🙌* *1-5* * Facebook Post Mpya
*NDOA YA MCHONGO BIBI NA MAMKWE🙌* *1-5* * Facebook
@majario LIVE

* *SEHEMU YA KWANZA* Huyu aliyegundua cabbage ni mboga, jamani jamani, nikimkamata uko kiama patachimbika 🤨, nikiwa nawaza kwa sauti, na hasiraa, bibi yangu akanipa za uso uku ananisogelea, "hio mboga imekukuza...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15
@majario LIVE

SONGA NAYO......... Baada ya yule dada kuondoka akaiingia sir Joseph huyu ni mshkaji wangu sana yani huyu kaka nilivyo mimi ndivyo na yeye alivyo, anapenda mademu huyu na kibaya zaidi ametongoza...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14
@majario LIVE

"Hapana sir, lakini mbona sielewi chochote..." "Utaelewa tu shika viatu.." Nilisema huku nikichukua fimbo, basi kijana wa watu akashika viatu nikamchapa pale viboko kama vitano na kumwambia aende, na sirudie tena 😂 Mtoto...

 AAAAAASH BOSS ENZOO*    *14&15* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *14&15*
@majario LIVE

Kwanza Mimi na Enzo tukaangaliana, na Mimi Ndio nilikuwa na wasiwasi sana kuliko ata huyo Enzo, Walahi niliogopa sana, madam Groly alionekana kuchukia Sana na niliona hasira yake kupitia uso wake. "Shikamoo...

 AAAAAASH BOSS ENZOO*    *14&15* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *14&15*
@majario LIVE

Kwanza Mimi na Enzo tukaangaliana, na Mimi Ndio nilikuwa na wasiwasi sana kuliko ata huyo Enzo, Walahi niliogopa sana, madam Groly alionekana kuchukia Sana na niliona hasira yake kupitia uso wake. "Shikamoo...

REALLY LOVE* *26&27* Post Mpya
REALLY LOVE* *26&27*
@majario LIVE

walimpeleka katika bahari iliyopo kigamboni na kumtupa katika bahari hiyo kisha wakaondoka walifanya hivo ili kupoteza ushahidi, upande mwingine fahima alikuwa anabembelezwa na mpenzi wake ili ale chakula maana hakutaka kabisa...

AAAAAASH BOSS ENZOO* *12&13* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *12&13*
@majario LIVE

Kwanza nikashtuka na kumgeukia pully na kisha Nikamuangalia Enzo, kuna Namna ni Kama moyo wangu ulikubaliana na shida zote tu ninazozipitia, kabía Enzo ajajibu kitu chochote kile nikazungumza. "Naona mambo ni...

AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA 11* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA 11*
@majario LIVE

Nilijikuta nikishtuka sana na muda huo huo moyo wangu ulingia ganzi kutokana na jinsi ambavyo namchukia sana enzo, Huyu kaka Walahi namchukia kuliko maelezo yangu. Niliamua ata kuachana na hiyo Pesa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest