CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 10
Tulifanikiwa kupata lile fremu lilikuwa kubwa zuri lina hewa na pia lilikuwa lipo barabarani hivyoo ni rahisi watu kuona lile bango pale la officine, ambalo tutaweka tukatoka hapo tukaenda sehemu ya mabango tukampa maelekezo na kuacha pale picha ya dada nakumbuka alipigaga kwenye graduation yangu ya chuoo hhhh alikiwa kapakwa make up akaona Ile inafaaa kuwekwa pale dukani tukampa na jina la saloon, tulitaka iitwe Mam classic saloon na kweli tulitaka iwe classic haswa maan tumeweka mtaji wa ml 4, kwanini isiwe pambe maan ile 1 ml, tuliiitoa pembeni kwa ajili labda ya mambo madogo madogo just kike usafiri, hayo mabango, wallpapers na mengineyoo, yaani sikumwambia hata Zakia kuhusu hili maan nilikiwa nataka nimfanyie suprise baada ya kila kitu, na nimueleze hadi pesa nilipoitoaa.
Tulirudi nyumbani sasa, tulikuwa tumechoka sana muda huoo Hussein hajanipigia bado ila kwa upande wa CEO alikuwa ananitumia text kila mara kunijulia hali ila nilikuwa nampotezea maana nilikuwa naona ananisumbua vilee, huku dada nae kapigiwa simu kwahyo we mam huji kazini? Mbona unakuwa mvivu wee sijui upoje wewe mwanamke hujui kwamba hapa ndio kula kwako, ishi kwako, vaa yako na unaleta ujeuri nakuoneaa huruma tu nitakufukuza kazi mshenzi wew yure mwajiri wa dada alikuwa anafoka sana dada anamsikiliza tu anamuona kam sijui kama mtu gani vile "saw ila mimi nishaaacha kwahyo, wafokeee hao wafanyakazi wako, siio mimi mimi mwenyew nakuheshimu tu kwasababu ni mtu mzima, maana ntakuja nikutukane saa hiz, afu hizo hela ninazokudai unaweza ukaongeza lasta saloon kwako usinichoshe mee saaa hizi nina mambo yangu alisema dada angu na akakata simu yake akaanza kucheka,
"Ila we dada hivyoo hujajipata hivi siku ukijipata itakuaje dada alicheka tuhzi ndio dalili za kujipata kwan bahresa aliaanza moja kwa moja kumiliki kiwanda cha ngano wee vipi? Shutka, halafu pokea hiyo simu mimi nina maji mkononi, ni mama huyo anapiga niliipokea na kuweka loud
Huyo mdogo wako yupo hapo?" Ilikiwa hata kabla ya salaam mama akaaanza kuongeaa alikuwa na shida na mimi, mama hata bila salaamu jamani? Haya binti yako huyu hap aliongea dada angu huku akinipatia simu niongee na mama" hallo mama shikamoo, "
"Marhaba hujambo binti yangu?" Mama alisema sijambo mama, vipo unaendeleaje kwani na hali? na huyoo mtoto wako wa kiume hajambo?" Nilimuuliza mama utampata saa hizi shgaa, yupo huko shambani na baba yako, me nimekuja nyumbani kupika" alisema mama yani mama huyo baba na hiyo miguu yake mibovuu anaweza kweli kustahimili kulima jaman mhhh mbona hivyoo jamani" nilikuwa nalalamika kwa Mama, yani mimi ni wa pili na jina mdgo wang mkubwa tu ila mimi ndio nadeka jamani hhhh sasa tutafanyaje binti yangu? tuna mtu wa kulima zaidi yetu, tunakuwa tu tunapeana likizo leo baba yako kesho mimi, huyo mdgo wako ataweza basi mikimikiki shga angu alisema mama mh nambie mbona umenipigia kuna nini?" Nilimuuliza mama Aah sijui ni boss wako sijui ni nani alikuwepo hapa, tumekaa nae hapa toka juzi, alikuepo nikakupigia simu kupitia simu yake haupokeii, nikajua upo mbali na simu shga angu, si unajua salio sinaga hapa ndio katoka kuondoka kurudi hukoo, maana kampa mdgo wako smartphone hapa yupo shambani anajishauaa, pia katuwekeaa umeme na katuvutia maji ....pia kabla hajamalizia
nikamdaka
mh akasemaje huyoo?" Niliiuliza Aaah kasema tu kuwa kuna fomu uliijaza kwenye kampuni yake, ili kuwasaidia wazazi wako ndio amekuja kushuhudia hili na hii nyumba yetu ipo inawekwa bati, mwanangu mhhh asante kwa hi tu umejitahidi kam usingefanya kazi hapo yasingetokeaa mhh asante, haya mimi nilipiga kukushukuru kisha akakkata simu jaman nilishangaa mbona mimi hakuna form niliyojaza. pale officine afu etyy hapana huu msaada sasa kwangu ulizidi jamani mhhh hata kam ndio kupendwa ni ni hiki jamani mhhh mbona kazid nikasahau hata sio kwamba kazid ni vile tu sijawahi pata mwanaume anaenihudumia ndio maana nilikuwa nashaangaa sana lililotokea
"Heee kumbe na nyumbani pia wameenda kampuni yenu ipk vizuri na hyoo boss wenu anaupendo kweli, haya mimi hadi nimeshindwa kumwambia mama. Habari njema ila jaman, hapana dada alikuwa anazungumza mimi sikutaka kumtilia maanani maana nilikuwa na stress zangu afu na yeye ananiingizia weusi nikaona bora tu nikalale ila hili la huyu CEO liliniwazisha sanaa, maaan sio rahis jaman mtu kukusaidiaa sana hivii hadi nikawaza au ndio
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni