Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY CRAZY BOSS 10
Gonga94 · Stories

MY CRAZY BOSS 10

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


ENDELEA

Nilirejea ndani huku nikiwa na bashasha ya kuangalia ni nguo za aina gani zilizopo ndani ya mfuko huo

"Khaa!!! Kumbe sina taa jamani , hata siwezi kuona ni za rangi gani, acha tu nilale pakikucha nitaziangalia na vile kesho ni weekend itakuwa poa sana, nilizungumza, kisha nikaweka mfuko pembeni na kulala."

Asubuhi iliwadia kama kawaida ya uswazi saa kumi na moja asubuhi huku ni saa sita mchana, nilijiamkia zangu nikafagai fagia😁chumba chenyewe cha kufagia nnacho sasa🙌🙌ni huzuni kweli.

"Mama ashrafu shikamoo".

"Mqrhaba ". Mbona wanikodolea macho ?? Sema kilichokuleta na kama ushalitibua huko utajua weye mie hata vyombo huvigusi leo.

😁😁Kheee we mama wewe!!!! Alokwambia ninekuja kuosha vyombo nani?? Kwanza sio shida zangu , em nipe mapupu mie na chapati.

Halooo👌👌kweli watu mmepanda hadhi hehehe hya panua miguu panuu nikuwekee supu ujinywee.

Sikujali wala nini , uswazi ndo nilipokulia maneno nimeyazoea, nilijinywea supu halafu huyo nikarudi zangu geto , tumbo ndi.

Halafu nimekumbuka kwanza🙌🙌em ngoja nijaribu hizi nguo kabla usiku hujaingia , mie sasa🥰🥰japo kioo sina lakini sikuacha kujisifia, japo hazikuwa nyingii za kushangaz ni kagauñi na viblauzi viwili ila si haba vilinitoa.

Nikiwa sina hili wala lile simu yangu ilianza kuita, niliiangalia kwa mbali ndipo nilipogundua ni boss aliyekuwa akipiga.
Haraka niliipokea .

"Haloo boss".
"Yes joy upo powa."
Nipo powa kabisa boss. Nilijibu.

Oooh okay samahani kwa kukusumbua najua ni weekend , nilikua naomba tukutane leo usiku kuna mambo nahitaji kuyaweka sawa kwako, boss alizungumza.

Nilikaa kimya na kuwaza kwa muda mfupi , akili yangu iliwaza nini boss angehitaji kuniambia

"Ni sawa,haina shida. Nilijibu.

Asante sana Joy , nitakupitia Saa mbili usiku naomba ujiandae.

" Sawa . "Niliitika misha nikakata simu

" Hivi boss anataka kuongea nini na mimi leo?? Mmmmh sijui ni kwanini huu moyo unaenda mbio ? Mmmh joy wewe embu sanuka🤣sijui nna nini mimi au mnahisi nna nini??

Masaa yalizidi kwenda hatimae saa mbili iliwadia, nikiwa nimevalia gauni jipya jeusi nililoletewa na boss pamoja na raba nyeupe, kwa muda huo nikiwa nimekaa juu ya kitanda akili na macho yote yakiwa simuni, ni wazi nilikuwa nikisubiri simu ya boss Erick. Kwa mara ya kwanza kwenye maisha yangu natolewa out ukiachilie zile mbwa ex outing za vichochoroni hii inaonekana ya bei kali😜😜

"We joy wewe!!!! Joy!!!!!!" Nilisikia nikiitwa.

Nini tena mama ashrafu usikuu huu vipi???

"We acha tu mwenzangu , nna ubuyu hadi roho yataka kutoka".

Khe !!!mama ashrafu wewe ubuyu gani huo?? Ebu nipashe.

" Si yule bwana anaekufataga , kaja yupo hapo nnje leo kawanunulia chakula watu wote hapo nnje na mie kanipa afu hamsini, eti kasema niishi vizuri na weye".Shoga usiliache danga lile danga haswa🙌🙌🙌we shoga angu wa maana nakupenda mwaa😘😘

" Makubwa haya , leo hii mama ashrafu unanipenda mie? Sio wewe ulonfukuza juzi sijui jana?? Anyway tuachane na hayo acha niwahi".Niliongea hayo huku nikitoka nnje

Baada ya muda nilifika hadi alipopaki gari boss.

" Umependeza sana Joy".

" Asante boss🤣huku nikichekacheka mwenyewe".

" Ingia twende mrembo".
Boss alizungumza.

" Asante boss"

Basi safari ilifana , hadi nnje ya hoteli kubwa ya kifahari ipo huko masaki, jina silijui nahisi ni la kichina lile kama sio la kijapani.

Kwa mara ya kwanza boss alinishika mkono kisha tukaelekea hadi hotelini humo.

🙌🙌🙌Nyie nilijihisi kama nipo Shangai China huko🤣🤣.Baada ya kukodoa kodoa na ushanba wangu , muhudumu alikuja sikuelewa hata nini alionhea na boss zaidi ya kusikia " Shishoshungu shwi shwa shwo".Si mnajua kichina tena.

Haikuchukua muda mrefu, chakula kililetwa, jamani🙌🙌tambi si tambi na mimaji maji , na bakuli lenye mchuzi mwekundu na kijiko🤣
Nikabaki nakodoa😳😳😳kheee nini hiii ??? Anhaaa buanaa sitaki kuonekana mshamba miee acha nijikaze🤣🤣

Nikavuta bakuli la mchuzi waaah nikamix na tambi nikajiweka sawa mtoto wa kike na kuanza kula😁😁.

"Kho khokho khokho". Pilipili si pili pili jamani🙌🙌na ushamba wangu nilidhani ni mchuzi kumbe ni pilipili acha nianze kukohoa kama mwizi .

"Upo sawa Joyce?? Boss aliuliza

Nipo sawa tu, Nilijibu huku nikishushia maji macho mekundu jamani ushamba huu🙌🙌🙌

Basi tukamaliza kula pale mie nipo hoi tumbo lipo moto sana jamani🙌.

" Joy kuna jambo nahitaji kukwambia naomba unisikilize".Boss alizungumza.

" Ni sawa, nakuskiliza boss".Nilijibu.

" Nimetokea kuvutiwa sana na wewe Joyce, ukubwa wa masikio yako kama ungo, rangi nyeusi ya mdomo wako, pamoja na udogo wa miguu yako imenivutia sana Joyce".Boss alizungumza.

😁😁😁Kheee🙌🙌🙌jamani mbona sikuelewi unachokiongeleaa, ko umeniita hapa kunitusi sio?.

" Hapana Joyce, nachomaanisha nakupenda sana,nimevutiwa na wewe kwa muda mfupi tu, si wewe tu bali na kila kiungo cha mwili wako nimevutiwa nacho".

" Upo sawa kweli boss Erick? Nahisi haupo sawa em ngoja nikakutafutie dawa, pharmacy bado zipo wazi niliongea huku nikinyanyuka kuelekea nnje".


Gafla nilishikwa mkono na kuvutwa, kwa kasi iliyonifanya nifunge macho kwa uoga😔.
Midomo ya boss iligusana na yangu pumzi yake niliisikiaa

" Nakupenda sana Joyce usinifanyie hivyo tafadhali, boss alizungumza".

" Nakupenda pia ni muda tu,nilijibu."

" Unasema kweli??".Eti Joyce ??

Hapo ndipo nikashtuka na kujitoa kwenye mikono ya boss" hivi nimesema nini mimi lakini??"ila mbona kama sijutii nilichokisema kabisa??

Itaendelea

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY CRAZY BOSS 10



ENDELEA

Nilirejea ndani huku nikiwa na bashasha ya kuangalia ni nguo za aina gani zilizopo ndani ya mfuko huo

"Khaa!!! Kumbe sina taa jamani , hata siwezi kuona ni za rangi gani, acha tu nilale pakikucha nitaziangalia na vile kesho ni weekend itakuwa poa sana, nilizungumza, kisha nikaweka mfuko pembeni na kulala."

Asubuhi iliwadia kama kawaida ya uswazi saa kumi na moja asubuhi huku ni saa sita mchana, nilijiamkia zangu nikafagai fagia😁chumba chenyewe cha kufagia nnacho sasa🙌🙌ni huzuni kweli.

"Mama ashrafu shikamoo".

"Mqrhaba ". Mbona wanikodolea macho ?? Sema kilichokuleta na kama ushalitibua huko utajua weye mie hata vyombo huvigusi leo.

😁😁Kheee...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-crazy-boss-10

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-crazy-boss
MY CRAZY BOSS 1 - 5
MY CRAZY BOSS 1 - 5
MY CRAZY BOSS 06
MY CRAZY BOSS 06
MY CRAZY BOSS 08
MY CRAZY BOSS 08
MY CRAZY BOSS 07
MY CRAZY BOSS 07
MY CRAZY BOSS 09
MY CRAZY BOSS 09
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

1.13K
AAAAAASH BOSS ENZOO* *12&13*

AAAAAASH BOSS ENZOO* *12&13*

309
WEWE NI WANGU 12 na 13

WEWE NI WANGU 12 na 13

211
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO*

160
AAAAAASH BOSS ENZOO* *7&8*

AAAAAASH BOSS ENZOO* *7&8*

128
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 9

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 9

124
AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA 11*

AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA 11*

117
AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA SITA*

AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA SITA*

114
Aaaaaah Boss Enzo Chapter 10

Aaaaaah Boss Enzo Chapter 10

96
MY CRAZY BOSS 09

MY CRAZY BOSS 09

83

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.27K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.02K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.71K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.12K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.53K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.35K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.34K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.28K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAAASH BOSS ENZOO* *12&13* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *12&13*
@majario LIVE

Kwanza nikashtuka na kumgeukia pully na kisha Nikamuangalia Enzo, kuna Namna ni Kama moyo wangu ulikubaliana na shida zote tu ninazozipitia, kabía Enzo ajajibu kitu chochote kile nikazungumza. "Naona mambo ni...

AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA 11* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA 11*
@majario LIVE

Nilijikuta nikishtuka sana na muda huo huo moyo wangu ulingia ganzi kutokana na jinsi ambavyo namchukia sana enzo, Huyu kaka Walahi namchukia kuliko maelezo yangu. Niliamua ata kuachana na hiyo Pesa...

MY CRAZY BOSS 10 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 10
@majario LIVE

ENDELEA Nilirejea ndani huku nikiwa na bashasha ya kuangalia ni nguo za aina gani zilizopo ndani ya mfuko huo "Khaa!!! Kumbe sina taa jamani , hata siwezi kuona ni za rangi gani,...

(BARSISA....!)  Inasimuliwa kuwa Barsisa alikuwa mtawa miongoni mwa Wana wa Israeli. Post Mpya
(BARSISA....!) Inasimuliwa kuwa Barsisa alikuwa mtawa miongoni mwa Wana wa Israeli.
@majario LIVE

Alijijengea kibanda cha ibada mlimani, mbali na watu, akaamua kutoa maisha yake yote kwa ibada ya Mwenyezi Mungu peke yake...! Alijinyima starehe zote za dunia, akaishi maisha ya kujitenga na watu, maisha ya...

Aaaaaah Boss Enzo Chapter 10 Post Mpya
Aaaaaah Boss Enzo Chapter 10
@majario LIVE

Asubuhi na mapema, nilidamka na kuingia mtaani ili niweze kupata chochote kitu Maana nilikuwa Nina njaa sana kwa wakati huo. Najua wengi mtaniuliza nilipeleka wapi Pesa ambazo nililipwa kwa kina enzo...

AAAAAASH BOSS ENZOO*    *Chapter 9* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *Chapter 9*
@majario LIVE

Nilijikuta nikipata mshtuko na wasiwasi wa hali ya juu. "Ina Maana ma Mdogo amemlipa Enzo kuja kunirudisha hapa?" Nilijiuliza kimoyomoyo. Baada ya kimya cha muda mfupi kidogo, enzo akaniambia. "Haya Shuka tumefika" Nilimuangalia kwa macho...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO*
@majario LIVE

seven alifurahi sana hata fahima nae alifurahi pia, seven alimsogeza fahima na kumkumbatia. asante sana mke wangu kwa kuniheshimisha akambusu fahima alisema seven kisha hongera sana mr seven sasa unatakiwa uwe sana...

MY CRAZY BOSS 09 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 09
@majario LIVE

SONGA NAYO Niliingia ndani , sikuwa na usingizi kabisa , ni ajabu sana kwani nilijikuta nikiwaza sana kuhusu Boss Erick muda wote. Kwenye maisha yangu yote nimewahi kukosewa na wanaume...

AAAAAASH BOSS ENZOO* *7&8* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *7&8*
@majario LIVE

Baada ya kuzunguka sana na kuchoka nikajikuta nikkaa tu chini kuanza kulia, najua mtanicheka lakini ni Kama akili yangu ilifika mwisho kwenye kufikilia lakini pia kuangaika Muda huo huo kapita...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 9 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 9
@majario LIVE

Nilikaaa nikimsubiri dada kwa hamu kweli na alifika, tulikuwa hyo siku nilikuwa nacheka cheka sana maan nilikuwa nina wazo ambalo nikimpa dada angu cha mdomo atalikubali, bika kunichamba enhe mwenzetu vipi?,...

WEWE NI WANGU 12 na 13 Post Mpya
WEWE NI WANGU 12 na 13
@majario LIVE

SEHEMU YA 12 Hii wanaelewa wanaume wenzangu jamani😂 sio mpaka niwaeleweshe akina dada mtaniua bure, basi baada ya kumaliza kula akanibusu shavuni kisha akaniaga kuwa anondoka nikamjibu poa Akaita boda boda baada...

AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA SITA* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA SITA*
@majario LIVE

Kwanza kila mtu akashtuka na kuniangalia Mimi ambaye nilikuwa nikitetemeka sana. Kuna Namna niliharibu moment nzuri ya Furaha ya mama na Mtoto. Kwa upande wa mkaka buyo aliganda akinishanga na kujiuliza kimoyomoyo Kuwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120. Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
@majario LIVE

🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴 🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴 Nikasusa chakura chakeee. Basi kaanza kujiombesha msamaha pale nisamehe mke wangu . Nisamhe basi. Mh namjua uyu . Nikaona asije akalia bule baba wa watu. Nikamwambia sawa nimekusamehe ila sitaki...

WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 11 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 11
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Japokuwa nilimfukuza lakini ukweli huyu binti nimetokea kumpenda jamani, Leo ndio naweka hisia zangu wazi maana siku zote nilikuwa nawaficha mnisamehe sana 🥹 Basi somo liliendelea na hatimaye kipindi changu...

AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*  *Chapter 5* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *Chapter 5*
@majario LIVE

ANZA NAYO..... Kitendo cha kusikia Jina langu nilijikuta tu nikisimama niweze kusikia na kujua Kuwa hawa watu ni Kwanini wananiongelea Mimi. "Kwahiyo mama Unataka huyu binti akae na sisi hapa NYUMBANI?" Ilikuwa ni...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest