Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

MY CRAZY BOSS 09
Gonga94 ยท Stories

MY CRAZY BOSS 09

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

SONGA NAYO

Niliingia ndani , sikuwa na usingizi kabisa , ni ajabu sana kwani nilijikuta nikiwaza sana kuhusu Boss Erick muda wote. Kwenye maisha yangu yote nimewahi kukosewa na wanaume lakini hakuna hata mmoja aliyewahi kuinesha juhudi ya kuimba msamaha kama Boss Erick.

Nilijikuta nikikumbuka jinsi alivyonihandle na kunikumbatia ule usiku kwa mahaba, ๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐnikawa najikuta nacheka cheka mwenyewe hata sijui cheko linatokea wapi jamani๐Ÿคฃ๐Ÿคฃmuda wote khaa๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ

Siku iliisha nikiwa mwingi wa furaha na hatimae asubuhi iliwadia , siku hio niliamka mwepesi nikaanza kujiandaa huku nikihakikisha sirudii kachumbari yangu kabisa. Nilivaa zangu kagauni keupe na raba nyeusi na kamkoba kangu.

Ikiwa ni majira ya saa kumi na moja na nusu asubuhi niliwasili nyumbani kwa boss Mikocheni B. Sikuwa mgeni hivyo nilizama moja kwa moja hadi ndani, nilisubiri kwa nusu saa na sikuona dalili ya utokaji wake hivyo niliamua kumguata.

"Hodi boss, hodi boss". Niligonga lakini hakukuwa na majibu hivyo nilikata shauri na kuingia ndani.

Gafla nikamuona Erick akitoka bafuni akiwa amevalia taulo kiunoni kwa chini huku akiwa na majimaji kifuani๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ,moyo ulidunda puuh puuuh puuuuh !!!!!!!, miguu ilitaka niondoke japo macho yalitaka nibaki niendelee kumtazama .

Nilikata shauri la kutoka nnje hivyo nikaanza kurudi nyuma taratibu kwa uoga huku macho yote yakiwa kwa boss๐Ÿฅฐsio siri ana body hatari๐Ÿ‘Œ.

Nikiwa narudi nyuma nikajikuta nimeteleza bahati haikuwa upande wangu kabisa,nilianguka kama mzigo puuuh!!!!!!!!!,muda huo boss alikuwa akijifuta maji ,alishtushwa na mlio wa kuanguka kwangu.Moja kwa moja alinifuata hadi nilipokuwa na kuninyanyua.kwa namna moyo ulivyokuwa ukipiga kwa kasi kama unataka kuchomoza kwenyw kifua,huku boss akiwa ananiangalia machoni wakati ananinyanyua najikuta naishiwa pawa๐Ÿ˜œ,haikuwa kawaida nilianza kuhisi vitu vinashuka miguuni mwangu vengine vinasambaa mwilini mwangu.

"Upo sawa,Joy?.Boss aliuliza.

Nipo sawa boss.Nilijibu kisha nikatoka nnje huku nikiwaza kilichojiri.Baada ya dakika kadhaa boss Erick alitoka nnje akiwa amejiandaa safi kabisa na kwa pamoja tuliongozana hadi kazini.
Tuliingia hadi ofisini kwake kisha nikamuandalia kahawa pamoja na ratiba yake ya siku nzima

"Hodi boss".
"Karibu".

Boss nimekuja kukuuliza utatumia chakula gani kwa lunch?

Ntakula wewe.Alijibu.

What boss?

Sitakula mchana kuwa free,halafu jitahidi kubadili nguo ili uendane na hadhi yangu.

Kwanini unanambia hivyo boss?niliuliza.

Kuna blauzi nyeupe huwa unavaa kila alhamisi na jumatatu nyingine ya bluu huwa unavaa kila jumanne na alhamisi na kila ijumaa huvaa gauni,hivyo jitahidi .Boss aliweka nukta

Mie nilitoka nnje kwa aibu jamani๐Ÿ˜”ni kweli sina nguo kabisa ila sio kwa kunidhalilisha hivi jamani.

"Mbona mnyonge kimeumana nini?".Si mwengine bali leila mwanadada alieonesha kunichukia toka siku ya kwanza kabisa nilipoanza kazi.

"Unawashwa wewe?,kazi yako huitaki sio?".Nilimuuliza kwa kifupi.

Mmmh basi unajifanya una jeuri ama kweli masikini akipata........kabla hajamaliza boss akatokea...alimuangalia sana leila.mdada mwenye weusi wa Kenya,shape ya kihindi pamoja na miguu ya kiethiopia.

"Twende lunch joy,boss alizungumza".Nilibaki nikiduwaa kwani haikuwa kwenye mpango kabisa,ila ilinilazimu kumfuata.

"Hivi Joyce kwanini unawaachia watu wakunyanyapae kama nzi kwenye biriani?".Boss aliniuliza.

"Sikila mtu wa kumjibu ,wengine ni busara kuwanyamazia na kuendelea na mambo yako".

"Sahihi najivunia secretary kama wewe,boss alijibu".

Safari yetu ilitia nanga nnje ya restaurant kubwa iitwayo VYNN Cafe iliyopo Kisiwa Kawe.

"Shuka tuingie humo,usishangazwe na menu za chakula wala usitetemeke ni vyakula vya kawaida japo bei ni ghali hilo ni moja,mbili usitumie mkono kula tumia uma na kijiko na ukitumia mkono basi punguza ukubwa wa matonge yako".

Ila boss ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ˜๐Ÿ˜,niliitikia kiunyonge tu,sawa boss nimekuelewa kisha tukashuka hao hadi kwenye hio Cafe,si haba ni nzuri na vyakula ni vizuri pia

Mie niliagiza chipsi na kuku ,boss yeye akaagiza sijui salad sijui manini hata sikumuelewa,Tulikaa tukinywa juisi huku tukiangalia angalia mazingira maana hakukuwa na story kabisa .


Baada ya muda mfupi vyakula vililetwa,jamani jamani๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜,hio kula yangu sasa sijui ndo ushamba wa matumizi ya umma na kisu ama vipi nilijikuta siinjoy chakula nakula kama konokono,nikimuangalia boss yeye anakalibia kumaliza weeeh๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œnikajikaza kula hivyohivyoo akili ilinijia nilipoona amenyanyuka na kwenda kulipa.bill

Buana we kwani ananiona ,nikafakamia ile chipsi yai kama sina akili nzuri,kuku sasa nilitafuna hadi mifupa mbwa mimi๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œacheni tu ushambaa huu,kuku inameremeta hatari inaonesha imepikiwa mafuta safi ukiachana na zile nyeusi za uswazi(kuku petrol).

"Tuondoke nadhani umefakamia vya kutosha niliponyanyuka,siku nyingine tutaoda sio kuja hapa huwezi kunidhalilisha".Boss alizungumza

Tuliongozana na kupanda kwenye gari ,baada ya muda tulifika mchikichini ambapo boss alinishusha kisha akaondoka.

Mie sasa๐Ÿ˜๐Ÿ˜naingia ndani huku najinusa nusa mikono nyie naona raha kula msosi adimu๐Ÿ˜๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œhatarii na nusu.

Buana mie ndo nshakula hapo ratiba sikuwa nayo tena,nikajilaza zangu pwaa

Titlitili tilitili๐Ÿ“ž๐Ÿ“ž๐Ÿ“žnikiwa nimelala nilishtushwa na mlio wa simu ,"Hee boss anashisa gani saa tano hii?" Nilijiuliza kabla sijapokea.

"Haloo nipo nnje naomba uje mara moja".

"Sawa nakuja,niliitikia."

Nilijikongoja hadi sehemu aliposimama boss,haikuwa mbali sana na chumba changu,nilimkuta akiwa amesimama kichwani mwake kukiwa na kofia nyeupe kwa kifupi rangi nyeupe ilitawala mwilini mwake.

"Nakuskiliza boss kuna shida yeyote?".Niliuliza.

Hapana.Nimekuletea nguo baadhi natumaini sitakufaa,boss aliongea hayo kisha akanikabidhi nguo zile .

"Shukran boss,japo hakukuwa na haja kabisa ya kuninulia ningenunua mwenyewr kwa mshahara wangu".Nilijibu.

"Ukifanikiwa kutoka huku chooni na kuhamia panapoeleweka ntaamini kweli mshahara unasaidia๐Ÿ˜๐Ÿ˜".Boss alijibu hivyo.

"Chooni ??ina maana kwangu ni chooni?Hata hivyo watoto wa kishua ndo mlivyo".Boss hakujibu kitu aliniangalia kisha akapanda gari na kuondoka.

Itaendelea

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY CRAZY BOSS 09


SONGA NAYO

Niliingia ndani , sikuwa na usingizi kabisa , ni ajabu sana kwani nilijikuta nikiwaza sana kuhusu Boss Erick muda wote. Kwenye maisha yangu yote nimewahi kukosewa na wanaume lakini hakuna hata mmoja aliyewahi kuinesha juhudi ya kuimba msamaha kama Boss Erick.

Nilijikuta nikikumbuka jinsi alivyonihandle na kunikumbatia ule usiku kwa mahaba, ๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐnikawa najikuta nacheka cheka mwenyewe hata sijui cheko linatokea wapi jamani๐Ÿคฃ๐Ÿคฃmuda wote khaa๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ

Siku iliisha nikiwa mwingi wa furaha na hatimae asubuhi iliwadia , siku hio niliamka mwepesi nikaanza kujiandaa huku nikihakikisha sirudii kachumbari yangu kabisa. Nilivaa zangu kagauni keupe na raba nyeusi na kamkoba kangu.

Ikiwa ni...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-crazy-boss-09

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-crazy-boss
MY CRAZY BOSS 1 - 5
MY CRAZY BOSS 1 - 5
MY CRAZY BOSS 06
MY CRAZY BOSS 06
MY CRAZY BOSS 07
MY CRAZY BOSS 07
MY CRAZY BOSS 08
MY CRAZY BOSS 08
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

1.06K
WEWE NI WANGU 12 na 13

WEWE NI WANGU 12 na 13

177
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 9

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 9

99
AAAAAASH BOSS ENZOO* *7&8*

AAAAAASH BOSS ENZOO* *7&8*

89
AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA SITA*

AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA SITA*

80
MY CRAZY BOSS 09

MY CRAZY BOSS 09

39
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO*

35
AAAAAASH BOSS ENZOO*    *Chapter 9*

AAAAAASH BOSS ENZOO* *Chapter 9*

16
Aaaaaah Boss Enzo Chapter 10

Aaaaaah Boss Enzo Chapter 10

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.27K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.01K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.71K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.12K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.53K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.43K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.35K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.33K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.28K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
Aaaaaah Boss Enzo Chapter 10 Post Mpya
Aaaaaah Boss Enzo Chapter 10
@majario LIVE

Asubuhi na mapema, nilidamka na kuingia mtaani ili niweze kupata chochote kitu Maana nilikuwa Nina njaa sana kwa wakati huo. Najua wengi mtaniuliza nilipeleka wapi Pesa ambazo nililipwa kwa kina enzo...

AAAAAASH BOSS ENZOO*    *Chapter 9* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *Chapter 9*
@majario LIVE

Nilijikuta nikipata mshtuko na wasiwasi wa hali ya juu. "Ina Maana ma Mdogo amemlipa Enzo kuja kunirudisha hapa?" Nilijiuliza kimoyomoyo. Baada ya kimya cha muda mfupi kidogo, enzo akaniambia. "Haya Shuka tumefika" Nilimuangalia kwa macho...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO*
@majario LIVE

seven alifurahi sana hata fahima nae alifurahi pia, seven alimsogeza fahima na kumkumbatia. asante sana mke wangu kwa kuniheshimisha akambusu fahima alisema seven kisha hongera sana mr seven sasa unatakiwa uwe sana...

MY CRAZY BOSS 09 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 09
@majario LIVE

SONGA NAYO Niliingia ndani , sikuwa na usingizi kabisa , ni ajabu sana kwani nilijikuta nikiwaza sana kuhusu Boss Erick muda wote. Kwenye maisha yangu yote nimewahi kukosewa na wanaume...

AAAAAASH BOSS ENZOO* *7&8* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *7&8*
@majario LIVE

Baada ya kuzunguka sana na kuchoka nikajikuta nikkaa tu chini kuanza kulia, najua mtanicheka lakini ni Kama akili yangu ilifika mwisho kwenye kufikilia lakini pia kuangaika Muda huo huo kapita...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 9 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 9
@majario LIVE

Nilikaaa nikimsubiri dada kwa hamu kweli na alifika, tulikuwa hyo siku nilikuwa nacheka cheka sana maan nilikuwa nina wazo ambalo nikimpa dada angu cha mdomo atalikubali, bika kunichamba enhe mwenzetu vipi?,...

WEWE NI WANGU 12 na 13 Post Mpya
WEWE NI WANGU 12 na 13
@majario LIVE

SEHEMU YA 12 Hii wanaelewa wanaume wenzangu jamani๐Ÿ˜‚ sio mpaka niwaeleweshe akina dada mtaniua bure, basi baada ya kumaliza kula akanibusu shavuni kisha akaniaga kuwa anondoka nikamjibu poa Akaita boda boda baada...

AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA SITA* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA SITA*
@majario LIVE

Kwanza kila mtu akashtuka na kuniangalia Mimi ambaye nilikuwa nikitetemeka sana. Kuna Namna niliharibu moment nzuri ya Furaha ya mama na Mtoto. Kwa upande wa mkaka buyo aliganda akinishanga na kujiuliza kimoyomoyo Kuwa...

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120. Post Mpya
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.
@majario LIVE

๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด ๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด๐Ÿ”ด Nikasusa chakura chakeee. Basi kaanza kujiombesha msamaha pale nisamehe mke wangu . Nisamhe basi. Mh namjua uyu . Nikaona asije akalia bule baba wa watu. Nikamwambia sawa nimekusamehe ila sitaki...

WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 11 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 11
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Japokuwa nilimfukuza lakini ukweli huyu binti nimetokea kumpenda jamani, Leo ndio naweka hisia zangu wazi maana siku zote nilikuwa nawaficha mnisamehe sana ๐Ÿฅน Basi somo liliendelea na hatimaye kipindi changu...

AAAAAASH BOSS ENZO ๐Ÿ’โค๏ธ*  *Chapter 5* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO ๐Ÿ’โค๏ธ* *Chapter 5*
@majario LIVE

ANZA NAYO..... Kitendo cha kusikia Jina langu nilijikuta tu nikisimama niweze kusikia na kujua Kuwa hawa watu ni Kwanini wananiongelea Mimi. "Kwahiyo mama Unataka huyu binti akae na sisi hapa NYUMBANI?" Ilikuwa ni...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8
@majario LIVE

Asubuhi ilifika sasa ila leo nilichelewa sana, japo huwa nachelewa ila leo ilijulikana dhahiri kwamba siendi kazini, naaamka hivi ilikiwa saa 4 inaelekea saa tano namuona dada bado yupo pale...

MY CRAZY BOSS 08 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 08
@majario LIVE

SONGA NAYO Usiku haukuwa usiku kwangu, kila dakika nilijigeuza nikiamini boss muharibifu atakuja muda wowote kwaajili yangu Muda ulienda hatimae nami nilipitiwa na usingizi , nilikuja kushtuka asubuhi ikiwa ni majira ya...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*
@majario LIVE

baba cathe haraka akaichukua picha ile ili kuangalia mtoto mwenyewe aiseeeeeeee alikodoa macho hayo kama kaba roho hakuamini kabisa baada ya kuona mtoto mwenyewe ni catherini ambaye alimlea tangu mdogo yani...

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 118 Post Mpya
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 118
@majario LIVE

Zayd akasema.si mwanagu unanipangia kwa kumpeleka muache mtoto wangu. Mlige akasema muachie uyo mtoto. Akasema simuachii. Oyaaaa we mwanamke ongea na mshikaji wako. Mi ntakukanda wewe na bwana ako. Mlige...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest