AAAAH IMETOSHA BOSSππ N0 74...75ππ
Hongereni sana kwa jinsi mlivyokaa nahisi nyie ni wapenzi eh aliongea doctor ππ ndiyo doctor wala hata hujakosea huyu ni mke wangu.... paschal alimjibu yule dactari.... jina langu ni paschal..... oh karibu sana mr paschal mimi ni doctor Leonard..... mke wako ana ujauzito huo ndio uliomfanya apatwe na hali ya sintofahamu katika mwili wake..... wow ni jambo jema hilo dactari nimefurahi kusikia kuwa mke wangu ni mjamzitoππ congratulations dear wifeπ₯°π₯° I'm happy for you π π paschal alinikumbatia kisha akanitia makiss kama yote mie sasaπππ nilihisi kama kufa kufa hiviπ€¨π zile shoo za kila muda kipindi namlea junior zisingeniacha salamaππ si mnajua nilikuwa najishindia zangu tu nyumbani mme wangu alikuwa akija nyumbani ile saa nne kunywa chai tunasexππ akija mchana kula lunch tunaduuππ na usiku sasa ndo ilikuwa fungulia dogπ₯π₯baby kwa hiyo mimi nitakuwa mlezi wa wana tu kila kukichaππ cjapendaππ.....
Tulia chimama wangu mimi niko tayari kuwa baba tena nizalie tu mamanguππ katakuwa ka kike karembo kama nice inabidi nice nayy apate rafiki yake shazil yuko na Junior mzalie nice best yake then sasa tutatia kufuri mamanguβ€οΈβ€οΈ ndo ishaingia nafanyaje sasa ilinibidi kukubaliana na yoteπ€£π€£ nilipumzishwa pale hospital kuna vidawa Fulani hivi nilivipewa kwa ajiri ya kuniweka sawa baada ya kuzinywa ile hali ya ovyo niliyokuwa naisikia ilipungua kidogo.....niliambiwa niendelee kupumzika masaa kama 3 hivi then baada ya hapo tutaruhusiwa basi mwenzenu mzee baba alifurahi sana kutokana na zile taarifa za ujauzito wangu nililala katika kile kitanda cha kule hospital huku mme wangu akiwa ananipa maneno matamu alikuwa analipapasa tumbo langu huku akiwa anatabasamu mdomoni kwake....mimi kichwani kwangu nilikuwa naiwazia hali ya mzazi mwenzangu ambaye ni hemed πͺπͺ ilifikia muda tukaruhusiwa kutoka kule hospital niliwaza niondoke kweli bila kumuona hemedπͺπͺ......
Ilinibidi kumuweka paschal wazi kwa kile kilichotokea hadi mimi nikafika kule hospital alinielewa wanasemaga ukweli siku zote humuweka mtu huru namm nilimwelezea paschal kuhusiana na hemed ili nipate ruhusa yake juu ya kwenda kumuona alikubali hakukataa et .......tuliomba kumuona hemed ule usiku kabla hatujaondoka pale hospital tuliruhusiwa tukaenda kumuona alikuwa kapata majeraha ya ndani kwa ndani sehemu za ubavuni.... mgongoni na miguuni alichanika chanika kidogo baadhi ya maeneo lakini hakuwa na hali mbaya sana...... tyr alikuwa kaisharudiwa na fahamu zake tulisalimiana alisalimiana pia na paschal vizuri tu bila kinyongo paschal huwa ni mtu poa sana alf ukiwa muwazi kwake anakuwaga mwelewa zaidi anatambua kuwa yule ni mzazi mwenzangu hakuwa na noma naye japo kuna kipindi walishawahi kuzinguana paschal alimjulia hali hemed alimpa pole hemed alidai tu ya kwamba yeye alitaka tu tusalimiane na pia kama kuna uwezekano aweze kuwa anamhudumia mtoto wake na kumuona pia hiyo ndo sababu iliyomfanya yeye kuniita kule katika ile sehemu alidai kuwa amekuwa akinitafuta bila mafanikio lakini alivyoniona kule hakutaka kabisa nimpotee bila kuongea ndiyo maana mawazo yote yaliishia kuangalia kule nitakapoelekea na wala hakujali kama barabara aliyokuwa anaingia ni barabara kuu yenye magari mengi.....
Tulimpa pole..... paschal aliniruhusu kumpa ratiba ya namna ya kuwa anamhudumia mtoto wake na ratiba ya kumuona mtoto wake pia.....tulipanga kila kitu pale tukakiweka sawa tofauti zetu tulimaliza baada ya hapo mimi na mme wangu tuliondoka kuelekea nyumbani..... zikiwa zimepita kama wiki nne tangu niambiwe kuwa nina ujauzito tumboni kwangu..... siku hiyo nikiwa niko ofisini kwangu nilianza kuhisi kama hali ya kuingia period ππ nilinyanyuka kwenye kiti changu nikaelekea washing room nilijichungulia kweli nilikutana na damu katika sehemu zangu za siri ile hali ilinishangaza sanaπ°π° niliogopa sana nilijisafisha kisha nikajiwekea pad baada ya hapo nilimpigia dactari wangu nikamtaarifu juu ya ile hali aliniomba nifike hospital haraka sana nilimtafuta mme wangu nikamwelezea alikuja haraka akanichukua na kuniwahisha hospital......nilifanyiwa uchunguzi uliobaini ya kwamba ule ujauzito ulitunga nje ya kizazi na pale ulikuwa unatishia kutokaπ°π°...... machaguo yalikuwa ni mawili kuwekwa bed rest au kutolewa ule ujauzito na nilitishiwa ya kwamba kadri utakavyokuwa unakua ndivyo hali yangu itakavyokuwa katika hatari zaidi....... haikuwa salama kwangu wala kwa mtoto aliyekuwa tumboni.....
Sikuwa tayari kutolewa kile kiumbeπͺπͺ niliwaomba tu waniweke bed rest..... niliwekwa bed rest chini ya uangalizi wa madactari..... niliendelea kubrid kama kawaida hali yangu ilizidi kuzorota damu mwilini kwangu zilipungua kwa kiasi kikubwa sana nilidhoofu sana tumbo lilikuwa linaniuma sana mgongo na kiuno ndo usiulize ilifikia hatua madactari waliamua kunitolea ule ujauzito kwa ajiri ya usalama wangu......baada ya kusafishwa nilibakia hospital kwa siku kadhaa nikaruhusiwa kutoka hali yangu haikuendelea kuwa mbaya namshukuru mungu niliweza kurudi kazini na afya yangu ilikuwa inaimalika siku hadi sikuπ kule nyumbani Tanzania mika alimaliza matibabu yake ya saikolojia akawa amekuja nchini marekani kupumzika kwa miezi kadhaa alibadirika sana.... mika huyu wa sasa ni kijana mucha mungu ana heshima na adabu kwa wakubwa na hata wadogo pia.... baada ya mapumziko ya muda wa miezi kadhaa huku usa mika na paschal waliplan kufungua kampuni nchini Tanzania ni kampuni ya kifamilia inayosimamiwa na mika....
Walipanga bajeti ya mahitaji na vifaa vyote vinavyohitajika katika ujenzi na ufunguzi wa hiyo kampuni baada ya hapo walitafuta jina zuri la kampuni then walinunua mahitaji yote kutokea huku usa bada ya hapo walisafiri kuelekea nchini Tanzania kwa ajiri ya kwenda kuhangaikia hiyo biashara waliohitaji kuifungua...... tunamshukuru mungu kila kitu kilienda sawa kama kilivyopangwa..... hatimaye mika alipata pango lake la kutulia na alijua kufocus katika biashara kama tulivyotarajia.......
Ilikuwa ni asubuhi siku ya Jmosi mzazi mwenzangu ambaye ni Hemed alimpigia simu mme wangu paschal akamuomba ruhusa wa kuja kututembelea pale nyumbani alitamani kuwa na moment ya pamoja na mtoto wake pamoja na mama yake ambaye ni mimi hapa alitamani tu mtoto apate muda wa kutuona wazazi wake wote tukiwa katika sehemu moja..... pia kuna maongezi mengine alihitaji kuongea na sisi sote mimi pamoja na mme wangu..... kwa kuwa ilikuwa weekend paschal yuko nyumbani alimkubalia Hemed alimkaribisha..... mida ya mchana Hemed alifika pale nyumbani akiwa amefungasha vitu vya kutosha kwa ajiri ya watoto..... alikuwaga akija kumuona mtoto wake hanunui tu vitu vya mtoto mmoja alikuwa ananunua vya watoto wote wa pale nyumbani..... siku hiyo Hemed hakuja peke yake alikuja pamoja na mercy nilifurahi sana kumuona mercy nilimkumbatia alikuwa ni mjamzito etπ₯°π₯° tulisaliamna pale Hemed alishangaa kutuona tukiwa tumechangamkianaπ€£π€£π€£ hee nyie wawili kwani mnafahamiana?! Aliuliza hemed...... hajui kama yeye kuwa na mercy ulikuwa ni mpango wangu mimiπ€£π€£ ndiyo tunafahamiana tulishawahi kufanya kazi katika kampuni moja nilijibu kiufupi tu kisha niliwakaribisha ndani.....
Maongezi ya hapa na pale yaliendelea yalikuwa ni mazungumzo ya kifamilia furaha upendo na amani vilitawala kati yetuπ₯°π₯° lilikuwa ni jambo la kheri pale ambapo Hemed alisimama na kumtambulisha mercy kwetu kama mkewe mtarajiwa na alituomba sisi ndo tuwe bestie wao katika harusi yao ambayo tyr ilikuwa imeshapangwa na walikuja na card zetu pale tuliwapongeza sana lilikuwa ni jambo jema sana mimi na mme wangu paschal tulikubali kuwa bestie wa bwana harusi na bibi harusi ambao ni hemed na mercy katika siku ya ndoa yao....tuliwapongeza kwa uamuzi mzuri walioufikia kwa pamoja tuligonga cheers π» π tulikula tulikunywa tulifurahia kwa pamoja na jioni hemed na mercy waliaga wakaondoka ilishakuwa kama family friends π«Άπ«Ά maandalizi ya ndoa ya hemed na mercy yalianza kufanyika ikiwemo kuchagua sare, kuhudhuria katika mazoezi, na mengineyo meeengi kabisaa mzazi mwenzangu aligeuka kuwa rafiki yanguπ₯°π₯° siyo mimi tu alikuwa ni rafiki hata kwa mme wangu.... hayawi hayawi hatimaye yakawa bwanaππ mercy na hemed walifunga ndoa takatifu ya kiislam visiwani zanzibar.....
Baada ya kumalizana na ndoa ya Hemed ambaye ni mzazi mwenzangu tulipata muda wa kuvinjali visiwani zanzibar mimi na mme wangu a.k.a Boss paschal ππ tulitumia muda wa siku 31 kula raha visiwani humo na baada ya hapo tulipita jijini dar es salaam kusalimia wana familia baada ya hayo yote tulirudi zetu USA ambako ndiko tunakoishi hadi leo hii mimi na mme wangu pamoja na watoto wetu...Asanteni
*MWISHO*
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni