CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7
Asubuhi ilifika maana nilikuwa naisubiri kwa hamu kubwa sana maan sikulala na niliona hapakuchi nilikuwa na mawazo sana niliinuka kitandani saa 12 kamili nikajiandaa nikahakikisha nampikia hadi dada angu chakula na kukiacha kiko mezani na mimi nikaondoka kazini
Nilifika mapema sana nilifika saaa 1 kamili, ujue hadi mlinzi alinishangaa Miss kuna nini?" Aliuliza mlinzi usijali hamna shida sio kwamba alishangaa tu mimikuwahi na sio kawaida yangu bali alishangaa pia niliwahi kabla hat ya muda uliowekwa pale kazini maana kazi zinaanza saa 1 na nusu mimi nimefika saa 1 kamili, hili ndilo lilikuwa linamshangaza na nilikuwa serious sana hyo siku sikuwa nacheka hata mlinzi alinishangaa wakati kawaida yangu ni kucheka, kucheka kama vile kachiz flani lakin leo aliponichangamkiaa nilimkalia kimya tu sikuwa na kitu cha kumwambiaa
Niliingia officine kwangu nikawa nimetulia tuli sikutaka mtu yoyote ajihusishe na mimi maana nilikuwa nina stress sana sikutaka mchangamano kati yangu na watu wengine nilijitahidi kujiweka very busy, kuna muda yale maneno ya CEO yaliniingiaa san hadi nikaanza kuwaza yawezekana mimi ndio nampenda sana yule kijana na sio yeye hadi nikajikuta nawaza kwanini mimi ndio namuhudumia yeye kan kwamba mimi ndie mwanaume niliemuoaa niliona kama kuna sehemu nilijinyima mimi kama mwanaume, mimi sina ninachotegemea kwake ila yeye ni kila siku kwenye 25k yangu ninayopewa kam posho kwenye kampuni yangu, nampa 15k na kam angekuwa ana akili sio leo nimeanza kumpa pesa yaani toka tupo chuoo nilikiwa pesa ya boom namgeaa yeye, kwaa ajili ya kufungua biashara na mwisho wa siku alikuja kusema aliibiwa na nilichukulia sawa kwa maana nilikuwa namuamini sana, pia kingine kikubwa nacho kumbuka kuna sehem nishawahi kufanya kazi, siku napokea mshahara wangu wa kwanza akasema kapat tatizo ilibidi nimpe pesa yote, lakin nilikuwa sijuil Hussein anafanya kazi gani? na nilikuwa najua hana kazi hivyoo nilikuwa nampatia vipesaa vyangu ili afanye biashara ila yeye kila siku analeta sababu nyinginee....niliwaza sana mpaka ikabidi nilie maan sikuwa na uamuzi tena zaidi ya kuliaa maan kumuacha Hussein nilikuwa siwezi jamni nilijihisi anyone sana
Ila nikafuta chozi ili kazi zingine ziendelee, maan naweza kulia siku tatu mfululizo, bila kunyamaza hivyo ilinibidi nifute machozi niendelee na kazi yangu, inayonipa amani ya kuishi maan kwa sasa hivi nilikuwa hata me namsaidia kwenye swala la kodi na mengineyoo madogo madogo nilikuwa namsaidia hivyoo nisipo kuwa makini na hili kwakwel kitanilamba maan dada nae huko alipokuwa ameajiliwa kwa huyo mmama kuna siku anamlipa, kuna siku anamzinguaa na bado baba na mama wanatutegemea muda huo Hussein nae anataka kupitia hapo hapo kwahyo lazma nitafutee kwa hali na mali, hii siku nakumbuka sikutoka nje kabisa
Mara aliingia shemeji James "Salma upo sawa? Mimi sijakuzoeaa hivyoo ujuee? najua wewe ni mchangamfu sana sasa kwanini unakuwa hivyo aliuliza shem James "Mhh nipo poa kabisa shem usijali kuhusu mimi, mimi nipo saw shem" nikajichekesha kinafki kuepusha maswali mengine kama unahisi kuna kitu hakipo sawa unaweza kuomba ruhusa hata ya wiki moja ili ukakae sawa mimi nakuona haupo saw kabisa binti nilicheka tu wala sikujibu, shem alinisogeleaa akaja akaketi kwenye kiti cha pale mbele yangu
"Usijali naelewa unavyojihisi unaonekan una mawazo sana, na kam una wasi wasi na pesa yako kwenye hayo mapumziko utakayoomba utakuwa unalipwa kila siku kam vile upo kazini, hata hivi haina haja ya kwenda mpaka kwa CEO wa hapaa kwasababu hayupo kasafiri kidgo kuna miradi yake mingine anafuatilia na hapa ameshakaaa sana hua anaenda kwa siku tatu anarudi, hivyoo kuhusu ruhusa wewe rudi tu nyumbani get pass nitakupa mimi hapa alisema shemeji James
"Sawa ila leo naomba nimalizie hii siku nitaondoka shem usijali siwez kurud nyumbani kwa sasa nielewe" nilimwambia shem na yeye aliondoka kuelekeaa kwenye mambo mengine maan pale yeye alikuwa ni manager na mtu wa karibu sana na CEO wa ile kampuni, ili niliwaza kuna kitu atakuwa anakijua huyuu sio buree tu mtu aje officine kwako aseme etty anakuomba akupe ruhusaa mhh niliwaza na hili bichwa langu bovuu
Jioni ilifika na nilienda nyumbani salama tu, ila leoo nilisema namtumia tu halafu tuone kam atanipigia kuniambia at least asante, maana ilikuwa kila siku nikituma me ndio nampigia na bado anasema poa, yaani kuna namna Fulani maneno ya CEO wangu yaliniingiaa hasa, nikabidi nianze na experiment kwanza, lakin ni kwel hata kupiga hakupiga nikaanza kuyaamin sasa maneno ya CEO kwamba mimi namtegemea sana Hussein kihisia, hili lilikuwa la kwanza kulinotice
Nilifika nyumbani sikutaka kuonana na dada uso kwa uso, maana nilikuwa najua atanambia kwamba nimwambie nini kinanisumbua na sikuwa tayar kumueleza kwa huo wakati nilikuwa nipo silent sana, niliamua tu kupika mapema kuepusha sababu za kuamshwa usingizini kula, nikalala zangu mapema, sikuwa nataka kumwambia dada angu chochote....
Itaendelea......
Chapter 7
Asubuhi ilifika maana nilikuwa naisubiri kwa hamu kubwa sana maan sikulala na niliona hapakuchi nilikuwa na mawazo sana niliinuka kitandani saa 12 kamili nikajiandaa nikahakikisha nampikia hadi dada angu chakula na kukiacha kiko mezani na mimi nikaondoka kazini
Nilifika mapema sana nilifika saaa 1 kamili, ujue hadi mlinzi alinishangaa Miss kuna nini?" Aliuliza mlinzi usijali hamna shida sio kwamba alishangaa tu mimikuwahi na sio kawaida yangu bali alishangaa pia niliwahi kabla hat ya muda uliowekwa pale kazini maana kazi zinaanza saa 1 na nusu mimi nimefika saa 1 kamili, hili ndilo lilikuwa linamshangaza na nilikuwa serious sana hyo siku sikuwa nacheka hata mlinzi alinishangaa wakati kawaida yangu ni kucheka, kucheka kama vile kachiz flani lakin leo aliponichangamkiaa nilimkalia kimya tu sikuwa na kitu cha kumwambiaa
Niliingia officine kwangu nikawa nimetulia tuli sikutaka mtu yoyote ajihusishe na mimi maana nilikuwa nina stress sana sikutaka mchangamano kati yangu na watu wengine nilijitahidi kujiweka very busy, kuna muda yale maneno ya CEO yaliniingiaa san hadi nikaanza kuwaza yawezekana mimi ndio nampenda sana yule kijana na sio yeye hadi nikajikuta nawaza kwanini mimi ndio namuhudumia yeye kan kwamba mimi ndie mwanaume niliemuoaa niliona kama kuna sehemu nilijinyima mimi kama mwanaume, mimi sina ninachotegemea kwake ila yeye ni kila siku kwenye 25k yangu ninayopewa kam posho kwenye kampuni yangu, nampa 15k na kam angekuwa ana akili sio leo nimeanza kumpa pesa yaani toka tupo chuoo nilikiwa pesa ya boom namgeaa yeye, kwaa ajili ya kufungua biashara na mwisho wa siku alikuja kusema aliibiwa na nilichukulia sawa kwa maana nilikuwa namuamini sana, pia kingine kikubwa nacho kumbuka kuna sehem nishawahi kufanya kazi, siku napokea mshahara wangu wa kwanza akasema kapat tatizo ilibidi nimpe pesa yote, lakin nilikuwa sijuil Hussein anafanya kazi gani? na nilikuwa najua hana kazi hivyoo nilikuwa nampatia vipesaa vyangu ili afanye biashara ila yeye kila siku analeta sababu nyinginee....niliwaza sana mpaka ikabidi nilie maan sikuwa na uamuzi tena zaidi ya kuliaa maan kumuacha Hussein nilikuwa siwezi jamni nilijihisi anyone sana
Ila nikafuta chozi ili kazi zingine ziendelee, maan naweza kulia siku tatu mfululizo, bila kunyamaza hivyo ilinibidi nifute machozi niendelee na kazi yangu, inayonipa amani ya kuishi maan kwa sasa hivi nilikuwa hata me namsaidia kwenye swala la kodi na mengineyoo madogo madogo nilikuwa namsaidia hivyoo nisipo kuwa makini na hili kwakwel kitanilamba maan dada nae huko alipokuwa ameajiliwa kwa huyo mmama kuna siku anamlipa, kuna siku anamzinguaa na bado baba na mama wanatutegemea muda huo Hussein nae anataka kupitia hapo hapo kwahyo lazma nitafutee kwa hali na mali, hii siku nakumbuka sikutoka nje kabisa
Mara aliingia shemeji James "Salma upo sawa? Mimi sijakuzoeaa hivyoo ujuee? najua wewe ni mchangamfu sana sasa kwanini unakuwa hivyo aliuliza shem James "Mhh nipo poa kabisa shem usijali kuhusu mimi, mimi nipo saw shem" nikajichekesha kinafki kuepusha maswali mengine kama unahisi kuna kitu hakipo sawa unaweza kuomba ruhusa hata ya wiki moja ili ukakae sawa mimi nakuona haupo saw kabisa binti nilicheka tu wala sikujibu, shem alinisogeleaa akaja akaketi kwenye kiti cha pale mbele yangu
"Usijali naelewa unavyojihisi unaonekan una mawazo sana, na kam una wasi wasi na pesa yako kwenye hayo mapumziko utakayoomba utakuwa unalipwa kila siku kam vile upo kazini, hata hivi haina haja ya kwenda mpaka kwa CEO wa hapaa kwasababu hayupo kasafiri kidgo kuna miradi yake mingine anafuatilia na hapa ameshakaaa sana hua anaenda kwa siku tatu anarudi, hivyoo kuhusu ruhusa wewe rudi tu nyumbani get pass nitakupa mimi hapa alisema shemeji James
"Sawa ila leo naomba nimalizie hii siku nitaondoka shem usijali siwez kurud nyumbani kwa sasa nielewe" nilimwambia shem na yeye aliondoka kuelekeaa kwenye mambo mengine maan pale yeye alikuwa ni manager na mtu wa karibu sana na CEO wa ile kampuni, ili niliwaza kuna kitu atakuwa anakijua huyuu sio buree tu mtu aje officine kwako aseme etty anakuomba akupe ruhusaa mhh niliwaza na hili bichwa langu bovuu
Jioni ilifika na nilienda nyumbani salama tu, ila leoo nilisema namtumia tu halafu tuone kam atanipigia kuniambia at least asante, maana ilikuwa kila siku nikituma me ndio nampigia na bado anasema poa, yaani kuna namna Fulani maneno ya CEO wangu yaliniingiaa hasa, nikabidi nianze na experiment kwanza, lakin ni kwel hata kupiga hakupiga nikaanza kuyaamin sasa maneno ya CEO kwamba mimi namtegemea sana Hussein kihisia, hili lilikuwa la kwanza kulinotice
Nilifika nyumbani sikutaka kuonana na dada uso kwa uso, maana nilikuwa najua atanambia kwamba nimwambie nini kinanisumbua na sikuwa tayar kumueleza kwa huo wakati nilikuwa nipo silent sana, niliamua tu kupika mapema kuepusha sababu za kuamshwa usingizini kula, nikalala zangu mapema, sikuwa nataka kumwambia dada angu chochote....
Itaendelea......
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni