MY WANGU❤️ sehemu ya 118
Zayd akasema.si mwanagu unanipangia kwa kumpeleka muache mtoto wangu. Mlige akasema muachie uyo mtoto. Akasema simuachii. Oyaaaa we mwanamke ongea na mshikaji wako. Mi ntakukanda wewe na bwana ako. Mlige akasema yule usimguse si una ona hali yake . Sasa jichanganye alafu apa sasa yule muweke pembeni. Tunaongea wanaume watupu yani mm na wewe . Nimekwambia muachie mtoto mkono. Zayd akasema simuachii. Aseeee mlige alimpiga ngumi ya uso mpaka nilisikia kitu kimegoka usoni kwake uni ile koo. Weeee kwa nn asimuachie rahul . Nikamshika mwanagu haraka.mlige akanipa funguo. Akanmbia kapande kwenye gari. Mie waka sikujiuliza .nikaondoka na mwanangu tukapanda katika garii. Ila mimi nimekaa kioo cha mblee naona kinacho endelea . Aseeee zikiamka ngumi sitaki kuwaambia. Uyo zayd anajiweza sasa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Alipigwaaa sitaki kuwambia . Mpaka mimi nilishuka kwenye gari .nilihisi mlige anamuua zayd pale . Kwanza kashamuweka chini anampiga ngumi za kichwaa. Zayd analia kama mtoto. Alivaa t shiry jeupe lote kimeloa damu. Na bado anampiga kwa hasira . Uku nalia.nikajua apo ni kamuunganishia mpaka yaliyotokea nyuma. Watu ata kugombelezea wameshindwaaa yani ana nguvu mnoo. Noeee mimi ndo nilienda nijapiga magoti .nikamwambia mlige una kiumbe ana kuja utanenda jela naleaje .wenyewe. plssss bba muache achana nae. Mlige ananiangalia ananmbia uyu ndo chanzo cha mapito yangu yite. Nikasema muche plsssss . Mlige ndo anamuacha mkono wake una damu yani . Nyieeee apo zayd ni ana hema kwa shida mpka nikawa naogopa .asije akfaaaa. Mlige akanishika mkono mbele zawatu . Akanivuta mpkaa kwenye gari tukaingia tukasepaaaaa. Ata sielwi ananipeleka wapi.
Ni ana hasira naanzaje kumuuliza nilitulia kimyaaa. Na yye ni kimya. Hi siku ata rahul hakuwa sawa . Ni yupo kimyaaa. Mh akaw anaelekea biharamulo . Nikajua ni anatupeleka kule alipokuwa ananijengeaa. Tukafika saasa wwwo nyumba imeshaisha ni nzuri na kuzuri mnoo. Amejenga nyumba ya kisasa ya ghorofa 1. Ndani kuzuri sana. Yani nilipapenda kaweka mpaka swimming. Bembea za watoot. Na fensi. Yani nilifurahi sana moyoni . Ila kwa mda ule niliuchuna mana baba alikuwa kavimba mnoo.basi tumeingia ndani. Kuna kila kitu yani furnituress zote zipo ndani. Mh mlige akamwambia rahul. Njoo apa mwanagu . Pole sana mkono unauma sana. Rahul akasema umepoa baba . Akammabia sawa nenda chumba kile kalale kwanza . Kisha mma anapika anakuja kukuamsha . Akase.a sawa baba.kweli mwanagu akaingia chumbani kupumzika .mlige akanishika mkono tukapandisha chumbani kwetu sasa . . kuzuri mnoooo sitaki ata kuwaambiaaa. Juu kaniweke picha yangu ya graduu ya form six.
Mh tumefika kwanza kaingia bafuni kuoga.nikajua kaenda kupunguza hasira zake ukoo. Kaoga akipotoka kaja kuwakia mm. Et ulikuwa unaongea nn na jamaaa. Nakuiliza wewe . Mlikuwa mnaongea nn. Muzaa ndo imekiwa shida. Unataka ukaludianae nae tena si ndio. Mnafanya mtoto kama kisingizio nambiee nakwambia. Aseeeee asa mm kosa langi nn. Mi wala sikujibu . Nikanyamaza kimya. Akanifokea sana nakwambia . Mi nikawa nalia tu. Mana akaanza kunambia unababaika na ule weupe wake sio . Usenge usenge mim sitaki faridah. Ukuma sitaki. Asa matusi ya nn. Nikajikuta tu nakla. Wala sikumjibu ata kitu kimoja. Akivyomaliza kutukana namuona katulia. Mie nikajikokota nikaingia kuoga. Nimetoka nakuta hayupo ndani. Mie wala sikutaka ata kujua kaenda wapi kashanitiibua .siku hizi amekuwa na matusi ata simuelewi kayatoa wapi wakati wala hakuwa anatukana. Mie nikavuta tauro nikajilaza kitandani mana kwanza nilichoka na hii hali yangu. Mala namuona kaingia na sahani ya chakura. Et mke wangu inuka ule. Nikamwambia nimeshiba kisha nikageuka upande mwengine. Akaweka sahani chini. Skatoka mule chumbani. Baada ya mda akaludi. Et mke wangu umelala. Usikasilike samahani mke wangu zilikuwa ni hasira. Nikainuka na mm kwa hasira . Nikamwmabia na mm nimechoka na lawama zako na matusi yako mligeee. Akanifata akaniweka mdomo kidoleni . Akanmbia basi mama usiendelee kuongea ukija kunambia hunitaki mimi. Plssssssss acha faridahaaa. Nisamehe mke wangu. Ni wivu tu na hasira .
🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni