MY CRAZY BOSS 08
SONGA NAYO
Usiku haukuwa usiku kwangu, kila dakika nilijigeuza nikiamini boss muharibifu atakuja muda wowote kwaajili yangu
Muda ulienda hatimae nami nilipitiwa na usingizi , nilikuja kushtuka asubuhi ikiwa ni majira ya saa tatu, simu yangu ya mkononi ikiwa inaita kwa fujo sana. Niliinua simu hio na moja kwa moja nikapokea na kuweka sikioni
"Haloo?".
Yes , haloo nani mwenzangu unanikatisha kwenye starehe yangu?. Niliuliza.
" Ni mimi Joyce, mbona unanifanyia hivi lakini , naomba tukutane tuongee tafadhali mama, Erick alizungumza".
" Kuhusu hilo nitajifikiria nipe muda. "Nilijibu kisha nikaendelea kulala huku moyoni nikijiona nimewin kuliko neno win."
Usiku nikiwa sina hili wala lile ,simu yangu iliita na mpigaji akiwa ni boss Erick
" Haloo "
"Yes haloo,nakuskiliza."
"Nimefika nipo nnje naomba toka tuongee,boss Erick alizungumza".
Sawa nakuja ,nilijibu kisha nikakata simu.Moja kwa moja nilielekea nnje sehemu aliponielekeza.
Nilifika mahali pale ambapo nilimkuta amesimama akiwa kainamisha kichwa chake chini,huku akiwa amevalia suruali nyeusi pamoja na tisheti nyeusi mithili ya mtekaji.Kwa jinsi alivyovaa nilisita kumsogelea ila ilinilazimu kujikaza
"Nimefika nakusikiliza๐." Nilizungumza.
"Asante kwa kuja ,naomba uingie ndani ya gari tuongee tafadhali."
" Ni sawa."
Kwa pamoja tuliingia ndani ya gari ,macho ya boss muda wote yalikuwa usoni kwangu ,nilijikuta naona aibu ila ilinilazimu kujikaza tu.
" Naomba unisamehe Joy,haikuwa kusudio isitoshe ulikuwa umelewa."
Hapohapo kwahiyo kama nililewa ukaona uchukue advantage ya kuniingilia si ndio?".Niliuliza.
Hapana ,nisamehe nimekosea Joy tafadhali naomba urudi kazini.Boss alizungumza.
Nimekusamehe,ila siwezi kurudi kazini.Nilijibu.
Ni sawa,waweza kwenda boss alinijibu huku akioneshwa kuchukizwa.Upande wangu nilishangaa kwani nilidhani angeendelea kuniganda kama mwanzo lakini haikuwa hivyo.
Nilifungua mlango na kuanza kutoka ila kabla sijafika nnje..........Nilishtushwa na mkono ulonivuta na kunirejesha ndani kwa nguvu.
"Unafanya nini boss?.Niliuliza.
Usiondoke Joy nisamehe mbona mimi silalamiki na umenikosea?.Alizungumza.
Nimekukosea?Kivipi na wewe ndo umen........kabla sijamaliza boss alinisogeza karibu yake na kuanza kunishushia mabusu bila kuniachia
Nilijikuta nashindea kujizuia nikaanza kulegea hapohapo,mara akaniachia nakusema:" Si unaona Joy hata wewe unataka ni vile tu."
" Niachie niachie,sidhani kama wastahili msamaha ,niliongea hayo huku nikijikaza na kushuka kwenye gari japo kiukweli nilikuwa vibaya sana".
" Mbona hata wewe umenitoa bikra yangu na silalamiki Joy ,kunisamehe tu unashindwaa".Nikiwa natembea nilishtushwa na sauti ya Erick ikizungumza hivyo
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃKama kawaida ya uswazi watu waliokuwepo nnje na wapangaji wenzangu waliangua kicheko,ni ajabu sana mwanaume kutamka kuhusu bikra.
Nilipuuzia na kuendelea kupiga hatua
" Ni kweli Joyce mbona hata nilivyokut** ulienjoy sasa kwanini hutaki kunisamehe au unahofia nitaku...........kabla hajamaliza kuropoka nilimkimbilia chap,nikamrukia kwenye gari na kumziba mdomo
"Nimekusamehe,nimekusamehe inatosha sasa kuniaibisha Erick." Nilijikuta nikiropoka .
Ooh asante sana ,nashukuru sana ,naomba kesho uwahi kazini.Erick alizungumza.
Ni sawa,nilijibu kisha
Nikashuka kwenye gari.
"Asante J". Nikiwa natembea nikasikia Boss Erick akiropoka tena. Nilimgeukia na kumpa ishara afunge bakuli lake ๐ค๐คkisha nikaingia ndani nikiwaacha watu wote wakitabasamu kinafki kama kawaida ya uswazi,inuka tukuseme๐คฃ.
Itaendelea
Itaendelea
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni