AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA SITA*
Kwanza kila mtu akashtuka na kuniangalia Mimi
ambaye nilikuwa nikitetemeka sana. Kuna Namna niliharibu moment nzuri ya Furaha
ya mama na Mtoto.
Kwa upande wa mkaka buyo aliganda akinishanga na kujiuliza kimoyomoyo Kuwa ni Mimi au armenifananisha
"Ishani Uko Sawa ?"
Madam Groly aliniuliza uku akinisogelea kwa wasiwasi
"Ujaumia
Aliniuliza Tena madam Groly
"Sijaumia, Nisamehe sana madam nimeangusha kwa Bahati mbaya limeniteleza
Nilianza kujitetea Mwenyewe kabla mambo
hayajaanza Kuwa mabaya
"Usijali, kikubwa ujaumia na Uko Sawa Kuwa na amani binti yangu
Alizungumza madam Groly kwa sauti yenye upendo mkubwa sana Ndani yake.
"Asante, ngoja nikachukue maji Nije Kusafisha Nilizungumza kisha nikageuka na kutaka kwenda jikoni lakini gafla.
"Wewe simana hapo"
Ilikuwa ni SAUTI ya enzo, mkaka ambaye namchukia mno Mungu anajua Kitendo cha enzo kunisimamisha kiliniogopesha
sana Tena sana, nilijikuta nikitetemeka sana.
"Mungu wangu Huyu asije akalopoka Kuwa ananijua
Nilizungumza kimoyomoyo.
Ngoja niwakumbishe kitu mnaweza mkawa mmesahau, Ishani Mimi, sikuwa mkweli kwa Madam Groly Maana nilimdanganya Kuwa siku ambayo nilipata ajali, Ndio siku nilifika Dar. halafu Kijana wake ananijua vizuri sana.
Anyway tuendelee
Kwa upole wa hali ya juu nikageuka na kumuangalia enzo wa woga, aibu, na wasiwasi
wa hali ya juu.
"Umeumia wewe Mbona kuna damu hapo chini
Alizungumza enzo, na hapo Ndio nikagundua Kuwa vichupa vya jagi viliweza kunichana mguuni kidogo.
Kwa mwendo wa haraka enzo akaninyanyua na
kunisogea kwenye kochi,
"Nenda nae kwenye chumba cha huduma ya kwanza ukamfunge iko kidonda
Alizungumza madam kisha akaondoka kuelekea
koni
Kwa upande Enzo amekuwa akiniangaila sana usoni Kana kwamba ananifananisha.
"Nitatembea Mwerryewe"
Nilimwambia enzo baada ya kutaka kunibeba Tena kwajili ya kwenda kwenye iko chumba cha huduma ya kwanza.
lla subilini kwanza, hivi kuna watu Ndio wanaishi Namna hii? Yani watu majumbani kwao wana zahanati ndogo ? Eeeh Mungu nipe hela na Mimi
"Kumbe Jina lako ni Ishani sto
Enzo aliniuliza akiwa amenikazia macho
Tulibaki tukiangaliana tu na mwisho enzo akaninyanyua na tukaenda kwenye chumba che huduma ya kwanza, enzo aka funga mlango
kabisa.
"Umefikaje NYUMBANI kwetu ?"
Enzo aliniuliza uku akiendelea kuniafisha
kidonda, lla iko kidonda Sasa Yaani ni
tudogo sana ni vile tu nimeumia kwa watu wenye hela, ila ningekuwa Mwenyewe
ningejimiminia chumvi tu kwisha habari
"Ni wewe Ndio ulipata ajali
Mama yangu akakusaidia?"
Enzo aliamua kuniuliza swali jingine ingawaje sikuwa nimemjibu swali lake la kwanza
"Ndio"
Nilijibu.
"Na kwenye kazi yako kule imekuwaje?
Enzo aliniuliza akionesha wazi Kuwa TAYALI
ameshajua Kuwa Mimi Ndio msichana ambaye
ameshawai kuona utupu wangu.
Nilimuangalia enzo kwa muda mwisho nikajizima data na kumuuliza
"Kazi gani ? Mbona unaniuliza Kama unanijua?"
"Ina Maana Mimi unikumbuki au?"
Enzo aliniuliza.
"Ndio Mara ya kwnza tunaonana Unataka
nikumbuke nini?"
Ikawa ni mwendo wa maswali juu ya maewall
hakuna majibu kuna Namna niliamua
kufanya hivyo ilo tu nisije nikaharibu na
kufukuzwa ikiwa sina sehemu ya kwenda.
Bani enzo akanihudumia
tukaenda kwenye meza ya chakula.
kwa pamoja
"Mama zena, finally enzo yuko TAYALI kuoa sasa
Alizungumza mume wa madam Groly akiwa Na
Furaha sana
"Linaca kitu gani na limezoea uasherati
Nilizungumza kimoyomoyo uku nikimuangalia
enzo kwa jicho la upande
Enzo Kwanini umekuja NYUMBANI usiku jamani
Madam Groly alimuuliza Kijana wake, kuna
Namna niliona Kuwa enzo anapendwa sana na
wazazi wake kuliko Huyu Suzy, na ata uongeaji
wa enzo kwa wazazi. Wake ni tofauti na Suzy,
Yaani Suzy anangeaga na wazazi wake Kama
anaongea na Mike mwenzie.
"Nitakuwa hapa Kama week mbili hivi Maana Nina likizo kazini
Madam Groly alikisi mkono wa enzo akionesha
ni kiasi gani amefurahishwa na taarifa hizo
Hatimaye ni siku 3 sasa tangu enzo aje hapa NYUMBANI kwao, kwa upande wangu nilikuwa nikimkwepa sana Tena sana, lakini ilikuwa
tofauti kwa mama zena ambaye alikuwa akipenda sana kukaa na enzo wakati wote na hii inikela sana kwani sikuwa mtu kupiga
nae story
Kwa upande wa Suzy alikuwa bize akiangalka
kuhakikisha Kuwa Mimi nafukuzwa kule Ndani,
kitu ambacho sikielewi kwa Huyu msichana ni
kwamba nimewai kumkoses kitu gani Mpaka
kufikia hatua ya kunichukia kiasi hiki.
Ikiwa ni Majila Ya joni, Suzy akajizoa moja kwa
moja Mpaka chumbani kwa Enzo.
"Haya Una jipya gani Tena chumbani kwangu?"
Enzo alimuuliza Suzy
"Kuna kitu nataka unisaidie enzo
Alizungumza Suzy kwa SAUTI ya kudeka sana
kisha moja kwa moja akasogea na kukaa
kwenye miguu ya Enzo na kwa SAUTI ya chini
akazungumza.
Enzo ongea na mama amuondoe Huyu binti
hapa NYUMBANI me sitaki kumuona
Enzo akamuangalia Suzy kwa muda kisha
akamuuliza
"Unamuongelea Ishanii au
"Ndio
simpendi
sitaki kumuona please
ongea nae amuondoe umu Ndani
"Lakini Kwanini amuondoe ukiwa hana kosa lolote lile binti wa watu?"
Enzo alimuuliza Suzy
"Makosa yapo Tena ni mengi tu lakini mnayafumbia macho, enzo hivi uoni Kuwa Huyu
maichana ni Kama mchawi mchawi hivi? Yaani nyote mnamtetea yeye, mama Ndio kabisa
amemfanya binti yake"
Enzo akamuangalia Suzy na kumwambia
"Jipe muda tu najua utamuelewa na kumpenda pia, Ishani yupo cool"
Kwa upande wangu nikiwa nimekaa tu sebuleni, madam akaja na kuniuliza.
"Enzo yuko wapi?"
"Alikuwa chumbani kwake"
Nilibu
"Kaniltie Mara moja
Kwa haraka nikanyanyuka na kwenda Mpoka chumbani kwa enzo, nilipofika mlangoni.
niliweza kusikia maongezi yake na Sury
nikajikuta nikiacha kumuita na kusikikza umbea.
"Enzo lakini Kwanini umeamua kunitesa eeeh ? Umeona kunikataa haitoshi leo hii Unataka kuoa
kwell?"
Ilikuwa ni SAUTI ya Suzy na alikuwa
akimwambia enzo, kuna Namna Nilihisi Kama sielewi wanazungumzia vitu gani hivi, Yaani Suzy anazungumza utazani enzo ni boyfriend wake
vile.
"Suzy Ebu nenda chumbani kwako Nina kazi
nyingi za kufanya
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni