WEWE NI WANGU 12 na 13
SEHEMU YA 12
Hii wanaelewa wanaume wenzangu jamaniπ sio mpaka niwaeleweshe akina dada mtaniua bure, basi baada ya kumaliza kula akanibusu shavuni kisha akaniaga kuwa anondoka nikamjibu poa
Akaita boda boda baada ya nusu saa ikawa imefika muda huo ni saa mbili usiku, baada ya boda kufika nikatoka nje nikiwa namsindikiza penina, mpaka getini
Nilipohakikisha amepanda boda na kuondoka na mimi ndio nikageuza kurudi ndani, mara jirani yangu huyu hapa ametoka na khanga ambayo imeng'ang'ania mambo yake
Hivi wanawake na nini lakini, hii si mitego kabisa hii ambayo mwanaume lijari hawezi kuchomoa kabisa, yule dada akanipita huku anannichezeshea
Kwa kuwa sikuwa sawa sikumzingatia akili yangu moyo wangu vilimuwa Lizy tu...
Hatimae siku ikapita kesho nayo nikaenda shule kama kawaida, nafika napo sioni mtu, natafuta week wapi simuoni aisee nilianza kuweuka π
Yani nilikuwa kama chizi kabisa, tena chizi wa mapenzi, basi siku zilikimbia week moja mpaka mbili nikaanza kuzoea sasa maisha ya kukaa bila yeye
Siku ya jumatatu asubuhi nikaamka na kipindi chote hicho mapenzi yangu yote niliyaamishia kwa penina maana alikuwa ananijali sana huyu dada na kuna wakati nilijikuta nikianza kumpenda kabisa
Kuna kale kaupendo kalianza kujitokeza kwa mbali, msije mkazani nimemsahau yule mtoto hapana kwa kweli, nafasi ya Lizy kwenye moyo wangu ni kubwa mno
Na kama ikitokea akarudi basi naweza nikamsahau penina yani kabisa namsahauu mara moja, ila kama akikaa miaka kadhaa kenda nitamsahahu kabisa hata akirudi hapa upendo wake utakuwa umefutika kabisa..
Basi jumatatu nililuwa na zamu shuleni, yani mimi ndio nilikuwa mwalimu wa zamu so nilitakiwa kuwahi asubuhi saa kumi na mbili mwamba nilitinga shuleni
Nikiwa mwalimu ambaye ninaongoza kwa kuwa body nzuri sana siku hii niliwaka walah, kila nilipokuwa napita wanafunzi wananitazama, basi niliendelea kusimamia usafi
Saa moja kamili kila kitu kilikuwa tayari katika week iliyopita niliwasisitiza sana wanafunzi kuwahi namba na namba nilisimamia mwenyewe
Siku hii watu waluowahi namba walikuwa wachache sana, yani wachache na yote namba nilihesabisha mimi kama ningeruhusu kiongozi ahesabishe namba basi wangekuwa watu wengi mno
"Wale wote ambao mmnajijua mmewahi namba ingieni darasani na wachelewaji wote mtabakia hapa sasa ole wake mtu ambaye kichwa chake kimeota funza awe hajawahi namba atoe fuvu lake hapa aisee ndio atanijua mimi ni nani..."
Nilisemabhayo kisha nikatulia pembeni, kweli wanafunzi waliowahi waliingia madarasani na mimi na mbichwa wangu mkjbwa nikaenda huko huko kujihakikishia
Nilipojihakikishia nilirudi na kuanza sasa kuwapa mazoezi makali nyieeeh, kuna wanafunzi walikuwa mpaka wanalia π acheni tuu katika kupitia wanafunzi ambao wanategea si nikamuona Lizy bana π₯Ή......
ITAENDELEA.........
SEHEMU YA 13
SONGA NAYO........
Nae alikuwa mmoja wao tena anapiga mazoezi ile mbaya , π nikasimama kwanza na kumtazama na yeye akanitazama binti alikuwa ananitazama kama hanijui walah nilikuwa naumia π
"Wewe..."
Baada ya kuona siangaliwi nilimuita akainua uso na kunitazamΓ , nyieee hivi huyu binti ndio amekuwa mzuri hivi yani alitakata na kuwa mweupe
Mikono yake ukiitazama ule mshipa wa damu lazimaa uuone walahi π binti alikuwa mzuri, na hii siku bwana alikuwa amemvaa nguo mpya kabisa yani alipendeza ile mbaya
Mwanaume mimi nikabaki namshangaa huyu mwanafunzi kwa namna alivyonawiri nashindwa hata kumuelezea kwa kweli, sasa wakati namtazama Penina akawa amefika mpaka nilipokuwa
Bqqda ya Penina kufika ikabidi nitoke pale maana huyu dada hacheleqi kumzaba Lizy mabao na vile hampendi aweee
"Jamani nimewasamehe lakini hakikisheni kwamba kesho mnawahi namba.."
Niliongea hayo huku nikiondoaka, basi wanafunzi wakashangilia, lakini nilipomtazama Lizy hata hakufurahia kabisa, akanyanyuka na kukung'uta vumbi kwenye sket yake kisha huyo akaondoka bila hata kuniangalia
Muda wa masomo ukaanza, ilikuwa ni kipindi cha madam Penina lakini nilimuomba nikamsaidie π aliponiuliza kwanini nikamjibu nakusaidia kama mpenzi wangu, basi akakubali huku akisema ataongozana na mimi lakini nilikataaa ππ
Hakuwa mbishi akabaki kweli nikaenda kufundisha kiswahili, nilipoingia tu darasani nikamkuta lLizy amekaa na pembeni yake alikuwepo mvulana flan hivi ni head boy wa shule
Kwanza baada ya kuwaoona tu moyo uliniuma hivi mnajua kuumia nyie yani niumia na wivu juu, π π walah huyu binti ananifanya nichukie watu kwa kweli.
Basi niliingia hivyo hivyo na maumivu yangu na kuanza kufundisha, kiherehere chote cha kuja kufundisha kiliniisha kabisa, yani nilikuwa sina raha kabisa
Hataimae somo lilisha nikanyanua kitabu changu na chark kisha nikazungumza
"Bony, naomba unifate ofsin..."
Nilizungumza na bila kupoteza muda niliondoka zangu huku nikiwaacha wwakinitazama, basi baada ya kufika ofsini nilikaa kwenye kiti na kujiinamia chini chini
Nilikuwa naumia amani π₯Ή haya maumivu yasikie tu kwangu ila omba yasikikukute ndugu yangu na kama yamekukuta naomba uje unifariji ndugu yangu nahisi kufa π₯Ή
"Sir nimeitikia wito.. "
Nikiwa nimejiinamia nikasikia sauti ya head boy, nikanyanyua uso na kumtazama jicho langu lilikuwa jekundu sana tena kali nyieee, kijana wa watu aliogopa π
"Kwahiyo wakati wote nafundisha kazi yako ilikuwa kumshika Lizy si ndio..??"
Nilimuuliza
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi

Maoni