CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 9
Nilikaaa nikimsubiri dada kwa hamu kweli na alifika, tulikuwa hyo siku nilikuwa nacheka cheka sana maan nilikuwa nina wazo ambalo nikimpa dada angu cha mdomo atalikubali, bika kunichamba
enhe mwenzetu vipi?, mbona unajichekesha chekesha sana auu kimekunasa?" Alisema dada Mariam nilimtizama tu bila kumjibuu nilikiwa najiuliza naanzaje ataanza kuniuliza wapi nilipotoa ile pesa na sina majibu kamili ya hilo swali, nilikuwa namtizama tu dada angu kama nipo nampangia mahesabu ya namuanzaje huyuu cha mdomo "We mbona unanitizama kam vile mimi kid udugu, au kibwengo cha mpapule?" Aliuliza dada maan na me sikua na jinsi nikamwambia " Dada, mimi hapa nina kam ml 6 na laki nne nilikuwa nataka tufungue biashara shga anguu, maan ile kazi unayofanya mimi naona haikufaiii shga angu, unaonaje hili wazo mimi nikawa napiga issue pale officine na wewe ukawa unafanya biashara yakoo, maana hivi naoana tu tunajidharirisha na hakuna kitu tunachopata dada alinitizamaa juu mpaka chini na dera langu la 6500
"Hivi wewe, tunaanza kufichana eeh?, yaani umepata kamwanaume huko Kenye hadhi unashindwa kusem, yaani kusema hizo pesa zote ni za mshahara wako wa hii miezi mitatu sio kweli hapo tutakuwa tunadanganyana, haya sema hizo pesa umetoa wapi wee mjinga" aloo aliongea dada Mariam nilikuwa najiuliza sana hili litatokeaa nikasema tu hapa namuongopeaa hamna shga angu, yaani pale officine kwetu huwa kuna kamsaada kanatoka kwa boss, kam mkopo unakuwa unakatwa asilimia 20 kwenye mshahaara wako kama labda unataka kujenga au vipi shga angu, ushaanza kufikiria vibaya juu yangu yaani dada bhana nilipotezea mada kihivyooo ili kumfunga dada kamdomo
haya hayo mapene yapo wapi wee miinga, maan kwa hayo masihala yako, naweza kujua pesa ipo kimbe unataniaa, yaani ntakutukana. weee mjinga, masihala sio kwenye pesa" yaani alibubujikwa na maneno maana huyu naee ana matatizo kwenye pesa hatakagi utani nikamuonesh maan ilikuwa kwenye simu maana sikuwa na account ya bank,
"wee mjinga yani pesa unaweka kwenye simu, simu ikiibiwa jee?, yaani wewe ni mjnga ujue?, uliona wapi pesa wanahifadhi kwenye simu, hebu twende tukatoee haraka kabla hatal matapeli wa mtaaandaoni hawajakupigiaa simu maana wale nao ni washenzi sana" yaani dada alikuwa anataka tukatoe mda huo huoo nilichoka, nikamshawishi mpaka akaelewa tukalala, tukakubaliana kesho tutaenda kutoaa tukatafute na frem maana dada alikuwa ana ujuzi wa kusuka na kupamba alitak kufunguaa saloon ya kisuper star
Asubuhi na mapema dada kaniamsha na kale kaupepeo ka saa 12, etty niinuke twende jaman nilichoka huyu dada jaman hapana ndio saa 12 jamn mhhh mwenzangu mhhh ni kimbembe, tukaaamka tukaoga tukavaaa madera yetu ya msomi mimi mwekundu na yeye wa njano mhhh muda huoo Hussein toka jana hajanitafuta hili lilinichanganya kwa kiasi kikubwa ila sikutaka dada agundue chochote kile kinachoendelea kati yangu mimi na Hussein kwanza dada yangu hampendi, wazazi wangu ndio hawamuelewi kabisa wanamuona mzinguaji tu
Hivyoo nikaamua kuachanaa na hilo niwe busy na mambo mengine maana bado tuna kazi ya kwenda kutafuta frem na kwenda kuangalia vifaa, kisha ndio tuwajulishe wazazi na mambo mengine yaendeelee
Tulipata frem Tandika kwa miezi sita million, frem za pale zina beii mhh jaman kwenye 6ml ikabaki million 5 hii kwa kazi aliyokuwa anataka kuifanya dada inatosha sana, tukaamua kwenda. kula maana tulikuwa tumechokaa saan jua tukale hata vichipsi na Pepsi ya baridi, ila ni vile najaribu kujichangamsha ila sipo sawa kabisa nina mastress sana na sina jinsi na sitaki dada. angu ashtukie chochote maan ataanza kunifokea na kuniambia nimuache Hussein na mimi hilo swala sitaki ila kuna muda huwa nawaz hiloo maana maneno alionambia Ellias ni kama yana ukweli ndani yake, maana nishaanza kuprove kimoja kimoja....
Itaendeleaa..
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni