AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA 11*
Nilijikuta nikishtuka sana na muda huo huo moyo wangu ulingia ganzi kutokana na jinsi ambavyo namchukia sana enzo, Huyu kaka Walahi namchukia kuliko maelezo yangu.
Niliamua ata kuachana na hiyo Pesa ya kumfutia kioo chake, kwa unyonge nikageuka na kuanza kuondoka hali ya juu
"Ishani, Ishani"
Enzo aliniuta mfululizo lakini sikuweza ata kugeuka kwakwell, muda huo ni machozi tu yalikuwa yakinitililiki kwenye mashavu yangu.
"Unamjua au?"
Aliuliza mwanamke ambaye alikuwa kwenye gari na Enzo
Kwa haraka enzo akataka kushuka kwenye gari na kunifusta, lakini Kama alichelewa hivi, kwani taa ziliruhusu magari kuondoka na Enzo hakuwa na chagua Tena zaidi ya kuwasha gari yake na kuondoka
Kwa upande wangu, rikasogea tu chini ya dalaja
na kukaa zangu chini nikiwa na huzuni sana, Yaani kitendo cha kumuona enzo tu, Ndio maumivu ya moyo wangu yalifumika na Kuwa makali sana, Yaani Sijui niwaambie kitu gani lakini kuna muda Nilihisi Kama moyo wangu
Unawaka moto hivi.
Nikiwa nimejliinamia kwa kuegemea magoti yangu, nilijikuta nikishtuka sana baada ya kuona miguu ya mtu ikiwa imevaa kiatu cha bei Kall Ikisimama mbele yangu.
Kwa utulivu
hali ya juu, nikanyanyua uso
wangu uliokuwa umelowana machozi na
kumuangalia mtu huyo.
"Unataka nini enzo ?"
Nilimuuliza enzo kwa hasira baada ya kumuona Kuwa ni yeye, Sijui ata gari allenda kupaki wapi
Maana alikuja kwa mguu pale nilipokuwa. nimekaa
"Tunaweza kuzungumza
Enzo aliniuliza uku akitaka kukaa pembeni yangu
"Hakuna cha kuzungumza enzo, Nafikili ungeendelea na mambo yako tu kuliko kupoteza muda wako hapa
"Please Ishani ni Muhimu sana Naomba
tuzungumze japo kidogo"
Alizungumza enzo kwa utulivu kisha akakaa
pembeni yangu
"Nini kinaendelea Ishani? Kwanini Uko hapa?
Kwanini unaonekana Kama hivi?"
Enzo alintuliza maswali mfululizo na akitaka majibu kutoka kwangu, nikageuka kumuangalia kisha Kwa SAUTI ya dharau nikamuuliza.
"Katika hayo maswali matatu Unataka nikujibu
swall lipi
"Nataka unijibu yote Ishani nini kinaendelea. unanichanganya ujue"
Enzo Unafikili utafaidika na nini Labda 7
Muonekano wangu
wewe Ndio ulitaka
kila kinachoendelea ni
imekuwa, moyo wako
ulikuuma sana kuona Kuwa mama yako amenisaidia Mimi si Ndio? Enzo umenijaji na sio kusikiltza upande wangu story, ukuwal
kunielewa tangu siku ya kwanza unakutana na Mimi kwenye Nyumba ya ma Mdogo, nilijitaidi kulinda usichana wangu lakini ulishinda kwajili
ya Pesa zako na Mimi nilishindwa kwaajili ya
umasikini wangu
Ishani unaongea kwa mafumbo sana
nashindwa kukuelewa ujue"
Alizungumza enzo akionesha wazi Kuwa
anielewi kabisa
"Nafikili ungeenda tu, enzo kuelewa maisha yangu ni Ngumu sana Maana somo Imra halafu Mwalimu wake ni bubu"
Kikapita kimya kifupi kisha enzo akazungumza.
"Mbona Kama moyo wangu unajikuta ni wenye hatia sana kwajili yako Ishani
Kabla sijamjibu enzo, muda huo huo akafika mwanamke ambaye alikuwa kwenye gari
Enzo
"Babe tunachelewa ujue"
Alizungumza msichana huyo akionekana Kuwa
na haraka sana
Enzo akanigeukia na kuniambia
"Ongozana na sisi ishani
Nikamuangalia kwa muda kisha nikanyanyuka
ha kumwambia.
Kwa Leo inatosha enzo, msalimie madam
Groly
Kwa siku hiyo Bwana Enzo alikuwa mkaidi sana
Tena sana, aliendelea kunifanya kila nilipoenda
mpaka girlfriend wake akachukia.
Waswahili usema hakuna mkate mgumu mbele ya chai Bwana, na hakuna anayependa shida ni
vile tu maisha yanatulazimisha.
Kwenye moja na MBILI katika mwendo wa sitaki
na taka nikajikuta tu nikiongozana na Enzo
safari ikaanza
Enzo Mboria Kama tunarudi NYUMBANI?"
Aliuliza mchumba
enzo ambaye alionekana
Kuwa na mashauzi sana Maana yoooh alikuwa
akiniangalia kwa dharau ya hali ya juu.
"Si unaona hali ya Ishani ilivyokuwa lakini ?
Lazima tumfikishe NYUMBANI kwanza"
Alijibu enzo uku akiendelea kuendesha gari
"Are you serious babe? Yaani uwith, subill
kwanza, Unataka kuniambia Kuwa Huyu chokolaa ni bora kuliko Mimi si Ndio 7 Enzo usisahau Kuwa natakiwa nikakutane na designer
wa nguo yangu ya send off
"Pully Mbona siku bado lakini eeeh, muda wa
kupima
relax
kuandaliwa hiyo nguo bado upo,
Kwenye gari mtu na mchumba wake ilikuwa ni
kubishana tu Tena kisa mimi, mtu Mwenyewe
sasa, Ndio kwanza niko Bize nasinzia tu baada
ya kula kiyoyozi cha ubaridi wa kwenye gari Kall
Hatimaye tulifika NYUMBANI Kwa enzo, Mimi na
Enzo Tulishuka kwenye gari kuingia ndani,
lakini pully, mwanamke enzo alibaki kwenye
gart, akiwa amevimba kwa hasira Kama kiboko
"Chumba chako ni kile kile, kaoge, chakula jikoni
kule, ngoja nikuletee nguo
Alizungumza Enzo kisha akaenda chumbani
kwake.
Mimi Sasa, kwakuwa kwenye hiyo Nyumba najua
kila kona, moja kwa moja nikaenda chumbani,
Klukweli nilikuwa Nina shauku kubwa sana ya
kutaka kuoga Maana dasaah maisha ya mtaani
kuoga ni kwa manati muda wote unawaza
kupata Pesa ya kula ili usitale njaa.
Ishani Mimi nikavua nguo zangu zote, kisha nikasogea kwenye kioo na kuanza kujikaqua jinsi ambavyo ngozi yangu ilibadilika na Kuwa mbaya
sana uku nikisahau Kuwa niko nyumbani Kiwa
watu
Kama kawaida, yasani enzo kwenye Suala la
kupiga hodi ni alipataga Sifuri, na safari hii Tena
akaingia Ndani na kunikuta nikiwa mtupu kabisa,
"Sorry sorry"
Alizungumza enzo haraka harak kisha akatoka
je
"Nguo ya kubadili hii hapa mlangoni sisi
tunatoka hatutakawia kurudi
Alizungumza enzo akiwa amesimama nje ya
mlango wangu, na mwisho Nilisikia tu hatua za
miguu yake na mlango wa nje ukifungwa
Nikaingia bafuni, nikaoga na niliporudi nikavisa
nguo ambayo moja kwa moja nilijua Kuwa ni
nguo ya mkewe
Baada ya kila kitu cha Mimi kujiweka msaň
Nikatoka na kwenda jikoni na kujisevia chakula mie, aaaaah huu nilioufanya Mimi sio uroho Sasa ni urafia nyieeeeh nilikula halafu nikala
Tena, nilikula nikasaza
"Ishani huu sasa ni uhalibifu wa chakula"
Nilijiambia Mwenyewe baada ya kuona Kuwa
nilichukuwa nikikifanya ni kibaya
Baada ya kushiba kwa kuvimbiwa, Isha Mirmi
sikuwa ata na nguvu ya kusafisha vyombo zaidi
nikajitupia kwenye kochi na kulala.
"Ishani, Ishani, Ishani"
Ilikuwa ni SAUTI ya enzo, ambaye alikuwa akinitta Jina langu kuamka. kunitikisa wweze
"Eeeeeh, mmmmh, aaaaah
Niliamka kwa uchovu sana na kujinyoosha,
Maana baada ya muda mrefu Leo Ndio nimelala
sehemu nzuri Tena ya utulivu
"Umeshakula?"
Enzo aliniuliza.
Nilimuangalia na kumjibu kwa kumtikisia kichwa
tu Maana bado nilikuwa na hasira nae sana.
"Wewe ili si Gauni langu jamani?"
Aliuliza pully akiwa semini kabisa Kama enzo amenipatia nguo yake niweze kuvaa
"Hakuwa na nguo ya kubadilisha Ndio Maana
muda ule nikampatia nguo yako"
Alijibu enzo kwa utulivu, nilibaki nikimshangaa.
tu, Maana sikuwai kumuona enzo akiwa Mtulivu
kiasi hiki
"Ishani, kalale Ndani, ni Sae 6 usiku sasa Mimi
na wewe tutazungumza kesho
"Sawa"
Nilybu kisha nikanyanyuka na kutaka kuondoka
lakini gafla pully akazungumza.
"Enzo chagua Huyu msichana aondoke au Mimi
Ndio niondoke
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni