Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

(BARSISA....!)  Inasimuliwa kuwa Barsisa alikuwa mtawa miongoni mwa Wana wa Israeli.
Gonga94 · Stories

(BARSISA....!) Inasimuliwa kuwa Barsisa alikuwa mtawa miongoni mwa Wana wa Israeli.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Alijijengea kibanda cha ibada mlimani, mbali na watu,
akaamua kutoa maisha yake yote kwa ibada ya Mwenyezi Mungu peke yake...!

Alijinyima starehe zote za dunia,
akaishi maisha ya kujitenga na watu, maisha ya ibada tu.

Chakula chake kilikuwa cha kawaida sana,
hakuoa wala hakuwahi kumgusa mwanamke yeyote katika maisha yake.

Barsisa akawa maarufu sana miongoni mwa Wana wa Israeli
kwa uchamungu wake, ucha-Mungu na kujiepusha na dunia,
jambo hilo liliwafanya watu wamuamini sana.

Miongoni mwao walikuwa vijana watatu
waliolazimika kusafiri kwa ajili ya biashara,
wakaamua kumuacha dada yao chini ya uangalizi wake....

Hawakupata na wala hawakuona mtu muaminifu na salama zaidi kuliko Barsisa,
hivyo wakamuacha dada yao, nao wakaondoka safarini.

Mwanzoni, Barsisa alikuwa mwaminifu kwa dhati.
Msichana aliishi katika chumba chake,
naye Barsisa akaishi katika chumba chake bila kumuona.

Lakini mambo yalianza kubadilika

Barsisa kadri muda ulivyokuwa unaenda alijikuta anaingia kwenye matamanio.

mwanzo Barsisa alikuwa hata msichana akigonga mlango kwajili ya kumletea chakula Barsisa alikuwa hamtazami msichana huyo...!

Ila Hatua kwa hatua,
Shetani akaanza kumpamba msichana machoni mwake.
Tena kwa Yule mtu ambaye alikuwa akiabudu kwa miongo mingi,
bila hata kumgusa mwanamke.

Hatimaye Barsisa siku moja matamanio yalimzidi akajikuta anafanya mapenzi na yule msichana, wakaingia katika uzinzi,
Barsisa katika kuburudika na msichana huyo, msichana akapata ujauzito.

Hapo hofu ikamjaa Barsisa....
hofu ya ndugu zake msichana
na hofu ya watu wa kijiji iwapo wangejua yaliyotokea.

Hapo ndipo Shetani akarudi kwa mara ya pili
kukamilisha hila yake.

Akamshawishi Barsisa
kwamba hakuna njia ya kuokoka aibu na balaa aliloangukia ni mtihani mzito kwake,
Jambo la kufanya ili kuficha aibu ni kumuua msichana.

Barsisa bila kufikiria kwa kina akamuua msichana
na akamzika jangwani.

Ndugu zake bint waliporudi kutoka safarini
wakaulizia kuhusu dada yao,
Barsisa akawaambia kuwa amefariki
na tayari amemzika.

Kwa sababu ya heshima na uaminifu aliokuwa nao Barsisa,
ndugu wakaamini maneno yake
wakaondoka.

Lakini Shetani hakuridhika na hilo.
Akataka kumfikisha Barsisa katika dhambi kubwa zaidi.

Akawatokea ndugu watatu katika ndoto,
akiwaambia kuwa dada yao aliuawa
na amezikwa jangwani,
wakaonyeshwa hata mahali alipozikwa.

Wale ndugu watatu walipoamka mapema sana asubuhi wakajadiliana kuhusu hiyo ndoto, mmoja wao akasema hiyo ndoto ni ya kweli Barsisa itakuwa alimzini mdogo wetu na kahofia aibu, wakasema “tulifatilie hili kuanzia sasa”

Wakaenda pale kaburini walipooteshwa,
wakalifukuwa kaburi,
wakatoa mwili wa dada yao ingawa mwili ulikuwa umeharibika ila kwa mtazamo wao waliamini dada yao ameuliwa.

Hapo wakatambua
kuwa Barsisa ndiye aliyefanya hayo kweli.

Hasira kali ikawajaa,
wakaelekea haraka kwenye kibanda cha Barsisa,
wakiwa wameazimia kumuua kulipiza kisasi.

Ndani ya kibanda barsisa,
akiwa amezidiwa na hofu alijikuta yupo katika wakati mgumu sana kiasi ambacho alianza kuongea maneno ya kufru kwa sauti.

Tazama jinsi Shetani alivyomvuta hatua kwa hatua:
▪️ Alimpamba uzinzi, akazini
▪️ Kisha akampamba mauaji, akaua
▪️ Kisha akamtaka akufuru, naye akakufuru

Hata hivyo,
Shetani hakutimiza ahadi yake.
Alijitenga naye,
akamwacha afe akiwa kafiri kwa Mwenyezi Mungu.

Hivyo ndivyo ulivyokuwa mpango wa Shetani kwa mtawa
aliyejiweka mikononi mwake,
akamfuata hadi kufikia ukafiri.

Naam inaisha namna hiyo hiki ni moja ya kisa maarufu sana na ukweli ni kuwa wapo viongozi wa dini wengi au watu wachamungu wengi hukufa wakiwa waovu, wengine wakiwa wanazini au maovu makubwa yeyote na wote huwa tunaskia mara sheikh kafa akiwa gest na mwanamke wakizini Nk....... ! Anyway JAMBO KUBWA ZAIDI NI KUMUOMBA MWENYEZI MUNGU MWISHO MWEMA unaweza ukawa mchamungu sasa na ukafa katika hali ya uovu na yule unayemuona muovu sasa akafa haliyakuwa ni mwema.

🤝Follow me Maher bey
✍️Maher bey

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

(BARSISA....!) Inasimuliwa kuwa Barsisa alikuwa mtawa miongoni mwa Wana wa Israeli.


Alijijengea kibanda cha ibada mlimani, mbali na watu,
akaamua kutoa maisha yake yote kwa ibada ya Mwenyezi Mungu peke yake...!

Alijinyima starehe zote za dunia,
akaishi maisha ya kujitenga na watu, maisha ya ibada tu.

Chakula chake kilikuwa cha kawaida sana,
hakuoa wala hakuwahi kumgusa mwanamke yeyote katika maisha yake.

Barsisa akawa maarufu sana miongoni mwa Wana wa Israeli
kwa uchamungu wake, ucha-Mungu na kujiepusha na dunia,
jambo hilo liliwafanya watu wamuamini sana.

Miongoni mwao walikuwa vijana watatu
waliolazimika kusafiri kwa ajili ya biashara,
wakaamua kumuacha dada yao chini ya uangalizi wake....

Hawakupata na wala hawakuona mtu muaminifu na salama zaidi kuliko Barsisa,
hivyo wakamuacha dada yao, nao wakaondoka safarini.

Mwanzoni, Barsisa alikuwa mwaminifu...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/barsisa-inasimuliwa-kuwa-barsisa-alikuwa-mtawa-miongoni-mwa-wana-wa-israeli

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi barsisa-inasimuliwa-kuwa-barsisa-alikuwa-mtawa-miongoni-mwa-wana-wa-israeli
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

1.06K
WEWE NI WANGU 12 na 13

WEWE NI WANGU 12 na 13

181
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 9

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 9

101
AAAAAASH BOSS ENZOO* *7&8*

AAAAAASH BOSS ENZOO* *7&8*

90
AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA SITA*

AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA SITA*

87
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO*

50
MY CRAZY BOSS 09

MY CRAZY BOSS 09

44
AAAAAASH BOSS ENZOO*    *Chapter 9*

AAAAAASH BOSS ENZOO* *Chapter 9*

24
Aaaaaah Boss Enzo Chapter 10

Aaaaaah Boss Enzo Chapter 10

19
(BARSISA....!)  Inasimuliwa kuwa Barsisa alikuwa mtawa miongoni mwa Wana wa Israeli.

(BARSISA....!) Inasimuliwa kuwa Barsisa alikuwa mtawa miongoni mwa Wana wa Israeli.

2

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.27K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.01K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.71K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.12K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.53K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.35K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.33K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.28K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
(BARSISA....!)  Inasimuliwa kuwa Barsisa alikuwa mtawa miongoni mwa Wana wa Israeli. Post Mpya
(BARSISA....!) Inasimuliwa kuwa Barsisa alikuwa mtawa miongoni mwa Wana wa Israeli.
@majario LIVE

Alijijengea kibanda cha ibada mlimani, mbali na watu, akaamua kutoa maisha yake yote kwa ibada ya Mwenyezi Mungu peke yake...! Alijinyima starehe zote za dunia, akaishi maisha ya kujitenga na watu, maisha ya...

Aaaaaah Boss Enzo Chapter 10 Post Mpya
Aaaaaah Boss Enzo Chapter 10
@majario LIVE

Asubuhi na mapema, nilidamka na kuingia mtaani ili niweze kupata chochote kitu Maana nilikuwa Nina njaa sana kwa wakati huo. Najua wengi mtaniuliza nilipeleka wapi Pesa ambazo nililipwa kwa kina enzo...

AAAAAASH BOSS ENZOO*    *Chapter 9* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *Chapter 9*
@majario LIVE

Nilijikuta nikipata mshtuko na wasiwasi wa hali ya juu. "Ina Maana ma Mdogo amemlipa Enzo kuja kunirudisha hapa?" Nilijiuliza kimoyomoyo. Baada ya kimya cha muda mfupi kidogo, enzo akaniambia. "Haya Shuka tumefika" Nilimuangalia kwa macho...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO*
@majario LIVE

seven alifurahi sana hata fahima nae alifurahi pia, seven alimsogeza fahima na kumkumbatia. asante sana mke wangu kwa kuniheshimisha akambusu fahima alisema seven kisha hongera sana mr seven sasa unatakiwa uwe sana...

MY CRAZY BOSS 09 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 09
@majario LIVE

SONGA NAYO Niliingia ndani , sikuwa na usingizi kabisa , ni ajabu sana kwani nilijikuta nikiwaza sana kuhusu Boss Erick muda wote. Kwenye maisha yangu yote nimewahi kukosewa na wanaume...

AAAAAASH BOSS ENZOO* *7&8* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *7&8*
@majario LIVE

Baada ya kuzunguka sana na kuchoka nikajikuta nikkaa tu chini kuanza kulia, najua mtanicheka lakini ni Kama akili yangu ilifika mwisho kwenye kufikilia lakini pia kuangaika Muda huo huo kapita...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 9 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 9
@majario LIVE

Nilikaaa nikimsubiri dada kwa hamu kweli na alifika, tulikuwa hyo siku nilikuwa nacheka cheka sana maan nilikuwa nina wazo ambalo nikimpa dada angu cha mdomo atalikubali, bika kunichamba enhe mwenzetu vipi?,...

WEWE NI WANGU 12 na 13 Post Mpya
WEWE NI WANGU 12 na 13
@majario LIVE

SEHEMU YA 12 Hii wanaelewa wanaume wenzangu jamani😂 sio mpaka niwaeleweshe akina dada mtaniua bure, basi baada ya kumaliza kula akanibusu shavuni kisha akaniaga kuwa anondoka nikamjibu poa Akaita boda boda baada...

AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA SITA* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA SITA*
@majario LIVE

Kwanza kila mtu akashtuka na kuniangalia Mimi ambaye nilikuwa nikitetemeka sana. Kuna Namna niliharibu moment nzuri ya Furaha ya mama na Mtoto. Kwa upande wa mkaka buyo aliganda akinishanga na kujiuliza kimoyomoyo Kuwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120. Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
@majario LIVE

🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴 🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴 Nikasusa chakura chakeee. Basi kaanza kujiombesha msamaha pale nisamehe mke wangu . Nisamhe basi. Mh namjua uyu . Nikaona asije akalia bule baba wa watu. Nikamwambia sawa nimekusamehe ila sitaki...

WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 11 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 11
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Japokuwa nilimfukuza lakini ukweli huyu binti nimetokea kumpenda jamani, Leo ndio naweka hisia zangu wazi maana siku zote nilikuwa nawaficha mnisamehe sana 🥹 Basi somo liliendelea na hatimaye kipindi changu...

AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*  *Chapter 5* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *Chapter 5*
@majario LIVE

ANZA NAYO..... Kitendo cha kusikia Jina langu nilijikuta tu nikisimama niweze kusikia na kujua Kuwa hawa watu ni Kwanini wananiongelea Mimi. "Kwahiyo mama Unataka huyu binti akae na sisi hapa NYUMBANI?" Ilikuwa ni...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8
@majario LIVE

Asubuhi ilifika sasa ila leo nilichelewa sana, japo huwa nachelewa ila leo ilijulikana dhahiri kwamba siendi kazini, naaamka hivi ilikiwa saa 4 inaelekea saa tano namuona dada bado yupo pale...

MY CRAZY BOSS 08 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 08
@majario LIVE

SONGA NAYO Usiku haukuwa usiku kwangu, kila dakika nilijigeuza nikiamini boss muharibifu atakuja muda wowote kwaajili yangu Muda ulienda hatimae nami nilipitiwa na usingizi , nilikuja kushtuka asubuhi ikiwa ni majira ya...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*
@majario LIVE

baba cathe haraka akaichukua picha ile ili kuangalia mtoto mwenyewe aiseeeeeeee alikodoa macho hayo kama kaba roho hakuamini kabisa baada ya kuona mtoto mwenyewe ni catherini ambaye alimlea tangu mdogo yani...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest