VYOTE NDANI GONGA94
Wanangu hakuna jambo la muhimu kwenye malezi ya mtoto kama uwepo na sauti ya Baba
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
.
Tofauti ni kubwa kati ya mtoto anayekuzwa na wazazi wote na yule anayelelewa na Mama pekee.
Sauti ya Baba hujenga nidhamu, mwelekeo na mipaka ya maisha.
Haimaanishi Mama hana mamlaka lakini kuna nyakati malezi yanahitaji msimamo, ukakamavu na uongozi wa Baba.
Maisha ni magumu na watoto lazima waandaliwe mapema kuyakabili.
Watoto wengi wanakuwa Mashoga, Wadangaji, Watumia Madawa kwa sababu tu walipokuwa wadogo walikosa sauti ya Baba!
Hata kama umegombana na mama lakini hakikisha ugomvi wenu haupelekei kuwatupa au kumsusia mama malezi.
Kuza familia yako ukishindwa Dunia itakusaidia โ๐ฟ
Steve Champion
Tofauti ni kubwa kati ya mtoto anayekuzwa na wazazi wote na yule anayelelewa na Mama pekee.
Sauti ya Baba hujenga nidhamu, mwelekeo na mipaka ya maisha.
Haimaanishi Mama hana mamlaka lakini kuna nyakati malezi yanahitaji msimamo, ukakamavu na uongozi wa Baba.
Maisha ni magumu na watoto lazima waandaliwe mapema kuyakabili.
Watoto wengi wanakuwa Mashoga, Wadangaji, Watumia Madawa kwa sababu tu walipokuwa wadogo walikosa sauti ya Baba!
Hata kama umegombana na mama lakini hakikisha ugomvi wenu haupelekei kuwatupa au kumsusia mama malezi.
Kuza familia yako ukishindwa Dunia itakusaidia โ๐ฟ
Steve Champion
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi wanangu-hakuna-jambo-la-muhimu-kwenye-malezi-ya-mtoto-kama-uwepo-na-sauti-ya-baba