Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

SHAMIRA 79  MPK. 81.    (SEASON 4)
Gonga94 ยท Stories

SHAMIRA 79 MPK. 81. (SEASON 4)

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

(HURU MEDIA wababe wa hili Game)
๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€
SHAMIRA
Sehemu ya 79
Mwandishi; lissa wa huru media


Nimawa nagoma kutoka .uku nalia nikawa nasema mama usinizalilishe plsss .yule mama akasema nisikuzalilishe nini wewe si unanjiona san maraya na unaweza sana kutembea na wanaume za watu sasa leo ndo ntakuonesha mshamba wewe. sasa ntakukomesha lioni na mishanga yake kiunoni kama lichawi .daaa yule mama hamuwezi amini alinisukuma mpka nje nikiwa na chupi na didiraia tu.kiukwrli mimi ni maraya na mshenzi ila huwa sivai nguo za ovyo kabisa. Sio mtu wa kujiacha uchi kabisa.mimi mala nyingi napenda kuvaa vijira vyangu tu. Ila uyu mama alipa ga kunikomesha jamni๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.basj nilipata fedheha ya mwaka siku .nilipotole nje pale dukani kwangu.nilishangaa kumkuta aisha yupo pale tena kajaa tele anashangilia madhaliliko yangu daah uyu dad jamani ina maana hakumbuki jema langu aya moja nililomfanyia.basi nilichuchuma kwa aibu ili nijifiche badj ma mana mh kulikuwa na watu kama wotr. wananishangaa jamani .bianadamu sisi ndo kwanza wananipiga oicha na kunichukua video na sio kuja kunisaodia.daah niliumia sana.
Tena yule mama na mkwe wake wakanifata pale chini nilipochuchimaa wakanza kunichangia.walinitandika mabao ya maana kweli kweli jamnia mh. Kiukweli sikujalibu ata kupigana nao niliona nitajizalilisha tu wakafanikiwa kunivua mpka sidiria uku watu wananipiga picha .nilidhalilika hii siku jamni sitaki kuwasmbia . Wakawa wanafosi eti wanivue na chipi alafu wanitembeze uchi mana wamesikia taarifa zangu kuwa katik huu mtaa mimi ndo maraya san na ni kWaida yangu kuchukua waume za watu daaah. Yule mama ana nguvu jamani mh. Nilisikia pale wanaonvea ongea kuwa yile mama ni mwanajeshi sijuh. Oyaa mbona nilieza mimi jamani daah . mimi na ujeuri wangu wote kwa yule mama nilifloat nakwambieni nilikuwa nalia uku naomba wasinifanyie hivyo.yani walikuja kunigombelezea wababa ndo wakawazuia wasiendele kunipiga na waache kunivua nguo. ila wanawake wenzangu ndo kwanza wanashangilia .acheni tu

Na mda uo uo ndo husna anafika maskini nahisi alisikia habari zangu labda kuwa shoga yake nadhalilishwa .husna alivyofika tu akanifunika kitenge kisha akanichukua .akanikodia boda na yeye akapanda nyuma uku tumemuacha yule mama anatukana mno .yani ata duka sikugfunga nililiacha wazi kabida mh nilidhaaririka sana ile siku mimi yani niliachwa utupu kasoro chupi tu .na ndp wafu wasingemigombelezea wangenivua leo daaah niliumuia sana
Nilipofika kwa husna nililia mno .husna akanmbia sikiliza hakuna kushindwa apa nataka twende polisi tukawashtaki kwanini wakudhalilishe vile.nikabaki nalia tu nikasema leo nimedhalilika mimi .yani leo nimeumbuka na naona ata aibu kutoka nje mimi.nililia sana .dakika 2 tu habari zangu zilismbaa charambe nzima kuwa nilikuwa natembea na mume wa mtu mama yake na mkewr wamekuja kunikomesha mpkannguo wamenivua na mamenitoa nje nikiwa na chupo tu daaah๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ..watu wakawa wanatumiana picha zamgu jamani .mngeniona jinsi nilivyokuwa nalia na kuficha utupu wangu mngenionea huruma walijua kunidhalilisha sana .mimi

Uko mitandaoni nikawa gumzo daah. Milikiwa nalia mpka nikatamani kujiua kwa ile aibu ntatembeaje hii charambe mimi jamani.mbona naadhirika jamani.niliumia mno yani zaidi ya sna .nakumbuka nilojifungia ndani kwa shoga yangu husna week 2. Sitoki kabisa. Uku nikisikia nachambwa sana na kina aisha na duka langu lilikufa mana naskia yule mama alitupa vitu vyote nje yani aligawa kila kitu.kawapa watu et ..ina maana pale hakuna biashara zaidi ya fremu . Yule mama sitamsamahau jamani yani kama sio mwanamke mh.ana roho ngumu sana.na kwa mda wote uo hamadi hakuwa kunipigia ata siku moja yani kama vile hakuna kilichotokea

Eeeeh bwana hii mdo season ya mwisho ndo na buku lako uje kumaliza mambo ni moto๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ mno

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€
SHAMIRA
Sehemu ya 80
Wassap; 0742443214
Mwandishi; lissa wa huru media
Apo na mimi simu sikuwa nayo mana katika lile varangati nilipoteza mpka simu. Sikuwa na raha ata kidogo niliwaza sana. nikaona kwanza hamadi sio mwnaume tena na kwa hii aibu dar naikimbia wallah yani hakunifai tena niliangalia akiba yangu niliona nna kama laki 8. Nikaona apa natafuta pa kwenda jamni.dar siwezi ntaweka wapi sura yangu bola mikoa mengine naweza pata amani kabisa.mana ntakuwa mgeni na hakuna ambahe atakuwa ananijua

Baada ya kukaa week 2 kwa husna week 2 nikijigungu kukwepa ainmbu ndo siku iyo sasa ndo hamadi alipiga na alimpigia simu husna akaomba kuongea na mimi
Nikachukua simu akasema sikia we maraya nazani ulichokitaka umekipata.na aya mambo wewe mwenyewe ndio uliyoyapaki.nazani ulikuwa hujui madhara yake ila sasa umejua na umeelewa bila shaka. kama ungetulia na usingemtafuta mke wangu ata mama asingeyajua ayo ila kuangaika kwako ndo kumekuponza mana wewe ulitaka mke wangu akujue kimekuramba sasa .na kuanzia leo tumeachana rasmi.kila mtu afanye maisha yake na mimi nifanye maisha yangu basi .mana kama kukusaidia nshakusaidia sana ila usaidiki .nikasema sawa kisha nikakata simu .sikutaka tena maelezo mana niliona ananiumiaza tu. na moyo wangu teali unavuja damu mno.kwaiyo sikutaks tena maneno.

Nilimtuma tu husna akanichukulie vitu vyangu vyangu vyote vya ndani pale nilipokuwa naishi .kisha nikamwambia aniuzie anaipe pesana na baadhi abmvichukue yeye mie nampa tu shoga yangu . Akanambia powa .na kqeli husna alienda kufanya uo utaratibu ila hakuchelewa sana akarudi kchoka mno akanmbia shosti hakuna kitu ata komoja kumbe mwanaume na ndugu zake walienda kutoa vitu vyake.mana mama mwenye nyumba alimwambia hamadi ndo alienda na watu wengine wakatoa vutu vyote.na shoga akanipa mchapo huo.nikasema sawa. Basi nikajivuta tena kwa siku kama tatu pale kwa husna. Apo nje sitoki mwenzenu naona aibu mno nyie kubakishwa na chupi sio mtaaani alafubwatu wamenipiga nyie hapana
Badi siku iyo nilimwambia shoga nashukuru nimekaa na wwe kwa wema sna ila nasepa zangu nakimbia dar ntaweka wapi sula yangu kila mtu ananijua naona niko uchi sana. Nilikua naongea uku nalia shoga yangu ndo alinibembelza akaniupiza unaondoka wapi sasa na unaenda kufikia wapi.nimasema mimi nimepafikilia dodma nikatafute maisha uko kwa dar nishaona sielewi

Basi husna akasema acha nikuelewe shoga yangu mana yaliyokukuta ni makubwa na mazito sana mungu akufanyie wepesi sana na akutangulie uko uendeko ila usiache kuwasiliana na mimi kipenzi changu .nikasema saw hamna tabu.na kweli mie ila akiba yangu ndo niliitoa na kesho yake saa 11 alafajir tu mimi ndo nilianza safari ya kuelekea stand kupanda basi ma kuelekea dodoma. Nakumbuka mpak mchana moda ya saaa 8 kasoro. niliingia dodoma mjini .nikiwa sielewi ata kitu kimoja apo mkono nna kama laki 7 na nusu .nishaingia mji wa watu sina sehemu ya kusihi na ndo ilikuwa mala yangu ya kwanza nafika dodoma na sijawahi kuelewa chochote kuhusu doduma ila akiri ilinambia uku tu huwenda nikatengeneza maisha yangu na mimi sasa mana daaah

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€
SHAMIRAo
Sehemu ya 81
Wassap; 0742443214
Mwandishilissa wa huru media
Basi bibi mie niatafuaka kilodge cha bei ya elfu 10 nikalal kwanza mana nilichoka sana hii siku .nikaja kustuka usiku sababu ya njaaa nikaenda kutafuta chakura nikapiga msosi nikaludi tena kulala .mawazo yakiwa mengi sana nikaiwa nawaza uku ntafanikiwa kweli mungu wangu mbona sielewi au na uku yatanikuta yake yale.nikasema no muhimu ni kutuliza kuchwa na akiri yangu na nijitambue kuwa sasa mimi ni mtu mzima
Basi nililala lodge kama siku 3. Na nilipapenda dodoma kiukweli mana hali ya hewe ilitulia sana nikaona wala sio shida ngoja nitulie uku kwanza maisha yaendleee . Basi bwna nikaanza kutafuta dalali anitafutie chumba na kweli nikapata chumba kimoja tu tena cha kiza mana mambo yangu magumu sikutaka mambo mengi na niko katika miji ya watu na sina ndugu wala rafiki uku.
basi nikanunua kigodoro kidogo dogo na vyombo vyangu vichache nikaanza maisha hwana. Nilikaa kama weeek 2 ndo nilimkumbuk sasa shoga yangu husna iila sina simu.nikapunguza kiakiba changu nikanunua simu ya elfu 25 .na hii siku nikampig simu shosti na kweli haikupita mda akapokeaa .akanambia daahh nlivyoona kimya nilivurugwa sana .nikawa nawaza shoga yangu ndo kanichunia mpaka mimi hajanitafuta
Nikasema nipo bwana shoga yangu ila nilikuwa naweka mazingira sawa si unajua tena uku mwenzio mgeni . Akasema kweli vp chumba umepata. Nikasema ndio nimepata shoga .Akasema sawa we uko kuwa busy na maisha na usiwe mnyonge tafuta kazi yoyote fanya shoga yangu mladi maisha yaende tu. Na bola umeondoka uku shoga yangu. huwezi amini mke wa hamadi na mama yake hamadi walikuja tena mpka apa et wanakuta.mh Nikasema sikia achana nao .we fanya mambo yako kila kitu kitakaa sawa.basi tukaongea tu mambo mengi sana na shoga. Ila niliona familia ya hamdi wamepanga kuniua daaah. Na mbaya zaidi hamadi asimami upande wanngu ata siku moja .sasa apo kuna .apenzi aua usenge
Badi shoga yenu maisha ya dodoma ndo yakaanza sasa .mawazo yakiwa mengi sana nikawa nawaza uku ntafanikiwa kweli mungu wangu mbona sielewi au na uku yatanikuta yake yale.nikasema no muhimu nitulize kuchwa na akiri yangu na nijitambue kuwa sasa mimi ni mtu mzima
Kiukweli nilipapenda sana dodoma mana hali ya hewe ilitulia sana .nikaona wala sio shida ngoja nitulie uku kwanza maisha yaendleee .

Maoni

You're not logged in


Tangazo - CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

SHAMIRA 79 MPK. 81. (SEASON 4)


(HURU MEDIA wababe wa hili Game)
๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€
SHAMIRA
Sehemu ya 79
Mwandishi; lissa wa huru media


Nimawa nagoma kutoka .uku nalia nikawa nasema mama usinizalilishe plsss .yule mama akasema nisikuzalilishe nini wewe si unanjiona san maraya na unaweza sana kutembea na wanaume za watu sasa leo ndo ntakuonesha mshamba wewe. sasa ntakukomesha lioni na mishanga yake kiunoni kama lichawi .daaa yule mama hamuwezi amini alinisukuma mpka nje nikiwa na chupi na didiraia tu.kiukwrli mimi ni maraya na mshenzi ila huwa sivai nguo za ovyo kabisa. Sio mtu wa kujiacha uchi kabisa.mimi mala nyingi napenda kuvaa vijira vyangu tu. Ila uyu mama...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/shamira-79-mpk-81-season-4

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending <br>

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi shamira
SHAMIRA sehemu ya 40&41
SHAMIRA sehemu ya 40&41
SHAMIRA sehemu ya 38&39
SHAMIRA sehemu ya 38&39
SHAMIRA  ๐Ÿ€ sehemu ya 32&33
SHAMIRA ๐Ÿ€ sehemu ya 32&33
SHAMIRA sehemu ya 34&35
SHAMIRA sehemu ya 34&35
SHAMIRA 1 mpk 7.
SHAMIRA 1 mpk 7.
SHAMIRA sehemu ya 27&28
SHAMIRA sehemu ya 27&28
SHAMIRA Sehemu ya 25&26
SHAMIRA Sehemu ya 25&26
SHAMIRA 21,22,23,24
SHAMIRA 21,22,23,24
SHAMIRA sehemu ya 36&37
SHAMIRA sehemu ya 36&37
SHAMIRA sehemu ya 29&30
SHAMIRA sehemu ya 29&30
SHAMIRA 8   MPK  12
SHAMIRA 8 MPK 12
SHAMIRA sehemu ya 15&16
SHAMIRA sehemu ya 15&16
SHAMIRA 17,18,19,20
SHAMIRA 17,18,19,20
SHAMIRA sehemu ya 13&14
SHAMIRA sehemu ya 13&14
SHAMIRA 71  MPK. 78. ( MWISHO S3)
SHAMIRA 71 MPK. 78. ( MWISHO S3)
SHAMIRA 44 kwa 45
SHAMIRA 44 kwa 45
SHAMIRA sehemu ya 30&31
SHAMIRA sehemu ya 30&31
SHAMIRA Sehemu ya 65&66
SHAMIRA Sehemu ya 65&66
 SHAMIRA Sehemu ya 54&55
SHAMIRA Sehemu ya 54&55
SHAMIRA 52 to 53
SHAMIRA 52 to 53
SHAMIRA Sehemu ya 48
SHAMIRA Sehemu ya 48
SHAMIRA Sehemu ya 47
SHAMIRA Sehemu ya 47
SHAMIRA Sehemu ya 60&61
SHAMIRA Sehemu ya 60&61
SHAMIRA 62 63 na 64
SHAMIRA 62 63 na 64
SHAMIRA Sehemu ya58&59
SHAMIRA Sehemu ya58&59
SHAMIRA 67 to 70
SHAMIRA 67 to 70
SHAMIRA Sehemu ya 46
SHAMIRA Sehemu ya 46
SHAMIRA 49 to 50
SHAMIRA 49 to 50
SHAMIRA Sehemu ya 56&57
SHAMIRA Sehemu ya 56&57
SHAMIRA Sehemu ya 51
SHAMIRA Sehemu ya 51
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž *season 3*  *64&65*

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž *season 3* *64&65*

936
JOGOO WA KIENYEJI 1----5

JOGOO WA KIENYEJI 1----5

279
*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ)  EP 13.

*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) EP 13.

278
*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ)  EP 14.

*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) EP 14.

271
*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) EP 12.

*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) EP 12.

257
SHAMIRA 71  MPK. 78. ( MWISHO S3)

SHAMIRA 71 MPK. 78. ( MWISHO S3)

238
*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) EP 15.

*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) EP 15.

184
SHAMIRA 67 to 70

SHAMIRA 67 to 70

170
SHARON 1 mpka 5

SHARON 1 mpka 5

124
NAKUPENDA BILA MIPAKA 1 - 12

NAKUPENDA BILA MIPAKA 1 - 12

118

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.76K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.48K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.84K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.33K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.95K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.91K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

2.74K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.73K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.67K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.6K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA 82 MPK  86   Post Mpya
SHAMIRA 82 MPK 86
@majario LIVE

(SEASON FOUR) (HURU MEDIA) ๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ SHAMIRA Sehemu ya 82 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shoga yenu maisha yakaanza dodoma sasa. Nikawa nipo na kiakiba changu ndo kinanisapoti naendesha maisha mdogo mdogo. Apo...

ISABELA NA WATOTO WA BOSSLADY 1 ---- 5 Post Mpya
ISABELA NA WATOTO WA BOSSLADY 1 ---- 5
@majario LIVE

SEHEMU YA KWANZA Ni majira ya jioni ikiwa ni muda mfupi tokea ametoka bafuni kuoga kwa ajiri ya kujiandaa aweze kurudi nyumbani mara baada muda wa kazi kuisha, Isabela akiwa...

SHAMIRA 79  MPK. 81.    (SEASON 4) Post Mpya
SHAMIRA 79 MPK. 81. (SEASON 4)
@majario LIVE

(HURU MEDIA wababe wa hili Game) ๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ SHAMIRA Sehemu ya 79 Mwandishi; lissa wa huru media Nimawa nagoma kutoka .uku nalia nikawa nasema mama usinizalilishe plsss .yule mama akasema nisikuzalilishe nini...

*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) EP 15. Post Mpya
*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) EP 15.
@majario LIVE

Nilikaa na kimimba changu kilimpenda, king Yani akikawia tu kuludi nyumbani najikuta naanza kulia, mpaka majilani nawapa Malala Miko napita Kwa majilani Yani mpaka king aje ndo naakubali kulejea nyumbani,...

*BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“*  "1__5" Post Mpya
*BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“* "1__5"
@majario LIVE

SEHEMU YA "1"๐Ÿ’“๐Ÿ˜ฝ BY BABIE LOVE "Alikuja kama muuza chai kumbe ni Billionea๐Ÿ’ต" Nyie njooni niwaambie kitu โ€ฆโ€ฆโ€ฆ mnazijua chapati? Sambusa je ? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ nani hazijui halfkeki ? Wote mnazijua ? Ona sikilizeni...

Nargis and Sunil Dutt were not just legendary stars of Hindi cinema, but also one of the most respected and inspiring couples in Bollywood Post Mpya
Nargis and Sunil Dutt were not just legendary stars of Hindi cinema, but also one of the most respected and inspiring couples in Bollywood
@majario LIVE

. Nargis was known for her natural acting and powerful screen presence. Films like Mother India made her a timeless icon, and even today she is remembered as one of...

SHARON 1 mpka 5 Post Mpya
SHARON 1 mpka 5
@majario LIVE

๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ *SHARON* Sehemu ya 1 Kwa majina naitwa sharon hillary, mm ni mtoto wa 3 kuzaliwa katika familia ya watoto watatu, so mm ni wa mwisho kuzaliwa wa kwanza ni kaka yetu anaitwa...

Mwamuzi wa mchezo wa Esparance dhidi ya Al Ahly,Issa Sy ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ณ Post Mpya
Mwamuzi wa mchezo wa Esparance dhidi ya Al Ahly,Issa Sy ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ณ
@majario LIVE

Mara baada ya filimbi ya mwisho akatoa kadi yake nyekundu,anataka kumuona mtu amfuate kuhoji maamuzi yake. Kuna afisa mmoja wa benchi la Al Ahly alitaka kwenda,baada ya kuona kadi nyekundu imeshikwa...

SHAMIRA 71  MPK. 78. ( MWISHO S3) Post Mpya
SHAMIRA 71 MPK. 78. ( MWISHO S3)
@majario LIVE

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ SHAMIRA Sehemu ya 71 Mwandishi; lissa wa huru media Nikamwambia sawa nashukuru kama mimi ndo kiboko yako. Basi mchumba akaenda kuoga akatoka mwepesi kabisa akavaa kisha akachuku pochi aknihasabia laki 8 .akanipa...

๐Ÿšจ SIMAMA KWANZA USIPITE! ๐ŸŒ BATTLE YA WAREMBO WA DUNIA Post Mpya
๐Ÿšจ SIMAMA KWANZA USIPITE! ๐ŸŒ BATTLE YA WAREMBO WA DUNIA
@majario LIVE

Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ, Kenya ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช, Congo ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ, Burundi ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฎ, Rwanda ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ผ, South Africa ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ na USA ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ Wote wamevaa rangi za nchi zaoโ€ฆ lakini NANI AMEUA STYLE ZAIDI? ๐Ÿ‘‘๐Ÿ”ฅ โš ๏ธ CHAGUA NCHI MOJA...

SHAMIRA 67 to 70 Post Mpya
SHAMIRA 67 to 70
@majario LIVE

62 MPK 70 (SEASON THREE) ๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ SHAMIRA Sehemu ya 67&68 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikiwa nawaza sana pale akaingia husna .akagonga mlango...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 1 - 12 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 1 - 12
@majario LIVE

:01 Natafuta ni wapi nianzie na ni wapi nimalizie, sijui kabisa yaani kwa maana moyo wangu, roho yangu, na hisia zangu vyote kwa pamoja vimejawa na furaha isiyo kifani. Maisha yangu ni...

*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ)  EP 14. Post Mpya
*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) EP 14.
@majario LIVE

Alinilegesha jamani king anajua kuandaa, anajua kutia sio Polepole jamani, nilijikuta nimempa yote bila kumbania, jamaa kumbe kiu ilikuwa kubwa na Mimi nilikuwa naukata kweli make kufanya hii kitu na...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž *season 3*  *64&65* Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž *season 3* *64&65*
@majario LIVE

๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ Basi nikapata na kipaji cha kubembeleza huu usiku mana zena hakuwa sawa kabisaa, na alikuwa na stress mnoo maskini na ni baada ya kumkubusha ya nyuma uko maskini, tulibembelezena mpka...

*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ)  EP 13. Post Mpya
*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) EP 13.
@majario LIVE

Tulifika nikakuta mke mwenzangu tayari yupo ukweni na anamimba japo ilikuwa haionekani, nilitukanwa matusi yote, Mimi tasa, maskini sina msaada wowote, nilikuwa niwakulia tu ukizingatia, sijawai tumia hats uzazi wa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest