SHAMIRA 62 63 na 64
Sehemu ya 62
Mwandishi; lissa wa huru media
Basi bwana nilikuwa naumia sna moyoni ila nilisema uwenda akasaidiwa uko na akapona kuliko kukaa nae mie. lazima mwanangu ata kufa mana sina kitu. Basi nikatafuata gari nikapanda mpka mbagala.nikatafuta la saku nikaludi mapka kwangu. Ile nafika tu naona maziwa yananimwagika sana nikawa najua kabisa mwanangu kashaaamka na anataka kunyonya. Asee niliumia sana nililia mnoo yani nililia sana uku moyo ukiniuma sana .nilisema nisamehe cairah mtoto wangu ila naamini upo sehemu sahihi mtoto wangu jamani.niliumia sana tena nililia mno na moyo ukiniuna sana .maziwa yalinivuja mno.nikawa nahisi kabisa mwanangu analia sana uko. Nikasema au yule kaka hajarudi katika gari lake .ooh mungu wangu ila atakuwa kamuona bwana.nikakakaza moyo tu .sikuwa na jinsi ata
Bsi bwana nikawa nimeganda tu katika godoro langu nikiwa ata sielewi ile roho ngumu ya kumuacha mtoto niliipata wapi daaah. Nikabaki najutia tu.nikawaza nikasema hivi ata ningesema nipambne nae mimi nisingeweza jamani. Ooh mungu wangu nisamehe. Na cairaha nisamehe sana mtoto wangu naamini utakuwa salama mh. Mpaka nikawa naogopa mimi mwenyewe jamani. Nilikuwa na picha ya mtoto wangu nilimpigaga.ndo nikaivuta nikamungalia sna nikawa nalia tu mpka usingizi ukanipitia .nikaja kustuka asubuh kabisa .ata kuoga sikutaka nilitulia tu nikiomboleza ndani ya moyo wangu.uku nikipata uchungu mkubwa sana .ata kula sikula kabisa ata njaa sisikii nyie.mwanangu aliniuma sana nimebaki na mshono tu
Basi bwana nilikaa ndani siku 3 nipo nalia naamka nalala.nawaza yani sikuwa sawa kabisa mpka siku ya 4 .husna ndo akaja sasa akanikuta nipo nalia tu. Sielewi yani .sikuwa nimekula kwa siku 3 na sikua nimeoga kwa siku 3 .yani kama chizi nilikuwa mpka nanuka.si unajua wanawake sisi alafu usioge siku 3. Basi hysna alinishanagaa sana kunikuta vile akaniuliza shida nini nikawa nalia tu. Akaniuliza una nini bado sikuweza kumwambia chochote kwa uo mda . Basi shoga kwanaza akanichukua akanipeleka bafuni akaenda kuniogesha kisha akaniludisha ndani akaniumiza umekula wwe.nikasema hapana na sijisikii kula. Akasema hapana lazima ule si unajiuna hauna ata nguvu.
Basi haraka haraka akanikologea uji . Na akanilazimisha kunywa na mwengine akaninywesha kabisa . Nilikunywa uji wote kwa kunilazimisha .akanambia sikia itakuwa ni kuhusu mtoto eeh mbona simuoni apa .nikasema baba yake kaja kafosi kamchukua . Mh niliona niongoepe namuambiaje mtu balaa kubwa nililolifanya mimi .mh hapana kwa kweli.basi shoga akasems mh baba yake hamadi unayesema kila siku kuwa anakataa kumsaidia mtoto. Nikasema ndio kaja kumchukua mtoto anasema ataenda kuishi nae. Shoga akanambia jamani sasa ndo unaumia mpka huli siku 3. Yule ni baba yake piah kama kajiludi ni sawa na uwezo wa kupambana na mtoto wake anao mana pesa anayo kwaiyo usiwe hivyo bwana sawa
Nikasema sawa amna shida kipenzi.
Basi shoga akanitia moyo sana kuwa nione kawaida tu akaanza kunipa story yake kuwa ata yeye kuna mwanae alipokunywa na mwanaume aalozaa nae kwaiyo na mimi niichukulie kawaida. Na mtoto atanikumbuka tu. Kumbe mwenzake nalia mengine kabisa nimetelekeza mtoto uko.kwa mtu ambaye ata simjuh na ata sula yake yule kaka mimi nishasahau. Yani nilivulyoona kapendaza na kashuka katika gar kali nimeenda kumtupa mwanang daah kazi ipoππππππππππππππππππππππ
ππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππ
SHAMIRA
Sehemu ya 63&64
Wassap; 0742443214
Mwandishi; lissa wa huru media
Basi hilusna akanambia twende ukakae kwangu siku 3 .alafu utaludi kwako naona haupo sawa kabisa.nikasema sawa Basi kweli husna akanichukua akanipeleka mpka kwake na kweli nilikaa siku 3 nikawa nipo poa kidogo na ata maziwa yakawa ayamwagi tena .ata sielewi ilikuwaje uko . Nikasema mungu amponye mwanangu uko au sijuh atakufa yani acheni. Baasi bwana nilipokuwa sawa nikamwambia shoga mimi pale sipataki tena kiishi pale ngoja nijisikilizie apa nitafute danga linipe pesa niame pale. Shoga hakuwa na shida akanmbia powa amna shida.
Na kweli bwana siku iyo razaki akanitafuta nini nikasepa nae lodge . Tukafanya yetu nikamuomba pesa yakuaama akanipa laki 1 na hamsini. Sikufanya ajizi sikuwa napataka tena pale niliona mtapata kumbu kumbu za mtoto wangu. Nikarudi uku uku charambe karibu na husna nikapanga chumba ila cha kiza mana nilikuwa ata sielewi .nikanunua na kiswaswadu cha kusogeza maisha sasa. Kiukweli razaki uyu alikuwa anaonesha sana anataka sana kukaa na mimi ila wala sikuhitaji .yani mpka akawa ananimbia nitulie anioe ila wala sikuwa nimempenda kwanza mimi razaki nilikua namuona kama danga tu
Ikapita miezi 3. Naendelea na maisha yangu ili kuna jinsi moyo unauma kila nikikumbuka kuhusu mwanangu nahisi ganzi sna.japo husna nilimdanganya kuwa mtoto kachukuliwa na baba yake ila moyo unauma mana nimefanya balaa la peke yangu bwana.basi maisha yakaludi kama mwanzo .nipo tu na husna ndo shoga yangu sana .mimi urafiki na aisha ukaisha kabisa. Nikawa naona duka lake limekua sana na pesa anayo mno .na anapendaeza mno.na yupo busy na mambo yake .na nilisikia kapanga nyumba nzima anaishi na bwana wake. Daah nikaona mimi nilikuwa mjinga sana ile biashara si bola ningefungua mwenyewe leo nisingekuwa na shida uwenda .aya bwana ndo akiri zangu chenga nafanyaje sasa
Basi maisha yakawa yanaendelea kama kawaida nikaludi kwenye udangaji kama jana.ila niliweka tena kijiti sikutaka kabisa kubeba mimba mimi. Hapana kwa kweli .nikapata vipesa vyangu nadunduliza sasa mwajuma na aisha ndo wakawa mashoga wananisema mie nilikuwa najifanya tajiri kumbe mshamba tu nilikuwa nalazumish mapenzi na hamadi kanikataa kweupe. Mimi wala sikuw na mda na aisha nikaona watanipotezea mda .nikawa busy na maisha yangu. Na nilijua vizuri kuwa aisha ndo anatoa siri zangu kwa maahadimu wangu .ila mimi wala nikawa sina mda.ili mladi maisha yanaenda
Siku iyo sasa nipo busy na shoga yangu tena tulikuwa tumekaa barazani katika nyumba aliyopanga . tunapiga story za apa na pale.nikaona gari imepack mbele pale .kisha nikashanga kumuona hamadi anashuka katika ile gari mh nilijisikia mpka kinyaa anakuja kufanya nini sasa na anamtaka nani. Basi akaja mpka pale anajikenulisha akasalimia mimi wala sikuitikia nilitulia kimya ila husna ndo akaiitikia salamu yake.kisha hamadi akaomba kuongea na mie kwenye gari yake .nilitaka kugoma ila nikaona ngoja nimsikilize.nikanyanyuka nikaingia katika gari lake .
Akasema vp shamira upo powa .nikamuangalia tu nikasema bwna sema shida yako haraka .akasema sawa nimefikilia mambo mngi sana shamira najiona kuna mambo nakosea shamira.nimekuwa nasumbuliwa na ndoto za kutisha sana naona watu wanalia na kunambia kwa nini natupa damu yangu lakini sio hivyo tu shamira niliona ni kweli nimefanana na yule mtoto plsss mama yamgu naomba nichukue majukumu kama baba japo nimechelewa naomba unipokee na unisamehe shamira tulee mtoto
Wetu.uwiiii uyu nimtukane tusi gani jamani ebu mnisaidieni walllha daaaaaah
πππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππ
SHAMIRA
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni