Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
15 Mar 2026
49 views
VYOTE NDANI GONGA94
SHAMIRA Sehemu ya 56&57
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Wassap; 0742443214
Mwandishi; 0742443214
Nikapanda kitandanni nikamlaza mwananagu kisha namie nikavuta shuka nikawa nipo busy namnyonyesha.tu. aisha akawa akanasema kwaiyo unaninyanyasa kwa sababu umenipa msingi ama.asee nilisema we kumamako usiniongeleshe tana usiniongeleshe nikishuka apa ntakuweka mibao hautaamini kama una bisha nijibu mshamba wewe. Weee aisha akafyata mdomo na ana nguvu zq kupigana na mimi sasa. Angenijibu aone. Nshavurugwa na mtoto wangu uko nilipotoka alafu msenge msenge kama yeye aje kunichanganya anachekesha nini.basi akabaki kimya si ananijua kichwa changu.nikishavurugwa
Nikawa busy na mtoto wangu mala kakawa kanilia nikajua mikojo nikambadilisha nguo vizuri tu.nikaona katulua kisha nikwa nambembeleza mrembo wangu alale . Basi akalala nami nikalala zangu.ata kula uo usiku mimi sikula. Asubuh nilichelewa kuamka nikakuta aisha kashaenda kazini na kaniwekea makaratasi yangu yote ya kiwanja kwenye sofa.mana alikuwa ana yaweka kwemhe begi lake .nami wala sikutaka mambo mengi nilioga kisha nikaja kumuogesha binti yangu. Na anapenda kucheka jamani.alafu ndo hivyo mpka nakionea huruma nafanyaje sasa nabaki naumia tu. Basi bibi mie nikamvalisha mwanangu nami nikavaa vizuri nkabeba makaratasi yangu nikenda mpka mbande .nikaenda kwa mwenye kiti wa pale nilipokuwa na kiwanja.nikamuelezea kuwa nataka kuuza .akanambia unataka sh ngapi. nikasema mimi nilinunua milion 4 ila mimi nataka 6 .mana sehemu yangunilikuwa kubwa sana tu.akanambia sawa na utapata mana wateja wanakuja uku kila siku .basi acha namba zako tutakujulisha mteja akitokea nikasema sawa. Nilivyotoka apo nikaludi kwangu. Nikawa naendelea na mambo yamgu.shoga usiku alivyoludi wala hakunisalimia na mimi sikuangaika nae ata .
Kesho yake asubuh kabla ajaenda kazini. Akanmbia shamira mimi nimepata chumba nahama umu . Nikasema sawa wasalimie.sikutaka kumuuliza unaamia wapi wala na nani.mimi mwenyewe jeuri atari.na umu ndani wala hakuwa na kitu zaiddi ya nguo vyote vyang.nikaona namuacha ajinunieshe akijisikia kuongea na mie tutaongea tu.wala sio kesi. Basi akajibebea nguo zake ata kuaga hajaaaga akasepa zake .nikasema ili kama lichawi kwaiyo mimi nisimtibia mwanagu kisa kuuza kiwanja mshamba nini. Kiwanja kinatafutwa mimi mwanangu ntampata wapi akifa .asinisumbue mie
Nikampigia simu husna kumpa mchapo wa shoga .akacheka akasem acahana nae na wala asijiumize kichwa kipenzi changu kwa sasa wewe anglia zaidi kuhusu afya ya mtoto basi.mambo mengine yataenda tu taratibu .nikasema powa shoga amna noma.na kweli nilikaa siku 2 tu nilipigiwa simu mteja wa kiwanja kapatikana.nilifurahi sana. Nikaenda haraka .na kwrli tukafanya biashara nikapewa milioni 6 yangu keshi. Nikatoa laki 3 nikampa mwenyekiti nyengine nikatia kwa pochi nikaludi kwangu sasa.
πππππππππππππ Mwandishi; 0742443214 Mwanangu alifika mwaka ila ata kutembea alikuwa hawezi husna akanambia wewe uyu mtot...
*AFANDE MILLANπ* *season 3* *SEHEMU YA HAMSINI NA SITA*
π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦ Daaah basi mwanangu ibraaa ndo akanipanga hivyo kwamba, nitafut...
πππππππππππππππππππππππππππππππ Sehemu ya 52 Mwandishi; lissa wa huru media Basi bwana kesho yake asubuh husna na aisha ...
48 MWISHOOO πΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌ Mwandishi; lissa wa huru media Kesho yake ...
Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA
SHAMIRA Sehemu ya 56&57
Wassap; 0742443214
Mwandishi; 0742443214
Nikapanda kitandanni nikamlaza mwananagu kisha namie nikavuta shuka nikawa nipo busy namnyonyesha.tu. aisha akawa akanasema kwaiyo unaninyanyasa kwa sababu umenipa msingi ama.asee nilisema we kumamako usiniongeleshe tana usiniongeleshe nikishuka apa ntakuweka mibao hautaamini kama una bisha nijibu mshamba wewe. Weee aisha akafyata mdomo na ana nguvu zq kupigana na mimi sasa. Angenijibu aone. Nshavurugwa na mtoto wangu uko nilipotoka alafu msenge msenge kama yeye aje kunichanganya anachekesha nini.basi akabaki kimya si ananijua kichwa changu.nikishavurugwa
Nikawa busy na mtoto wangu mala kakawa kanilia nikajua mikojo nikambadilisha nguo vizuri tu.nikaona katulua kisha nikwa nambembeleza...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/shamira-sehemu-ya-56-57
Maoni