Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 7 kwa 8
Gonga94 ยท Stories

*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 7 kwa 8

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

MTUNZI: SMILE SHINE
EP 7.
Kucheki vizuri alie nikaba kumbe ni vicram, alivyoona nimetulia akaniingiza Kuna chumba jilani, sijui ata alikiandaa saa ngap, kwani we kaka unashida Gani na Mimi? Vicram alitabasam tu Kisha akajibu, "nilikumiss sana mrembo, nililejea kukutafuta sikukupata, vicram usinizoee kukusaidia siku Ile isiwe sababu ya kunisumbua tafadhari sana usifanye nikajuta...

"Ety kunisaidia!! Ama ulitemheneza plan Yako Ili kunichunguza Kwa ajili ya familia Yako? Unazani sijausoma mchezo wenu? Nilijikuta nimepata hasira Yani jitu nimelisaidia afu kumbe ata shukrani halina na halijakua adui yake ni yupi, niliamua kutafuta zile voice record nilizihifadhi kwenye drive, usiku ule ule kama ushahidi, hata kama nitapoteza simu, basi ushahidi ubaki, nilimsikilizisha voice zote...

Alionekana kushtuka mnoo na mishipa ikaanza kujaa Kwa hasira , alitoka bila kuongea chochote, sikujua ninii kiliendelea nikaludi zangu nyumbani kipindi hiki nilikuwa na gari, nililinunuliwa na mama Fatuma, hivyo sikupata tabu kuludi nyumbani Kila mtu alikuwa na usafiri wake, japo mama hakuja na gari lake alikuja na Mimi, ila aliondoka na king...

Nilifika hoi nimechoka sana ilikuwa saa 8 usiku, nimeingia chumbani, nawasha taa, nashangaa Kuona mtu kitandani kwangu, kabla sijapiga kelele akaniwahi kuniziba mdomo,kaka mbona ndani kwangu usiku huu? "Mile Mimi sio kaka Ako niite tu king inatosha, nikabaki namshangaa, " mile uyu mkurungenzi wa *Flower air* unaukaribu Gani nae?...

Nilishangaa hili swali, sina ukaribu nae wowote, kwani Kuna nini?, mile unauhakika na unachokijibu Kwa sababu nimewaona mkiingia wote chumba kimoja, king aliongea huku kanuna alionekana kukasilika mno, nilishusha pumzi kwanza Kisha nikamjibu simjui kiundani nilishawai kukutana nae mahali nikamsaidia, lakini hatukuwahi kukutana tena na sikujua kama ndo mmiliki ya hio kampuni...

"Kwahiyo ungejua unge date nae? Hee jamani king swali gani Hilo tena, Sasa kudate nae kisa CEO ama unamanisha nini, na mbona nikama unanionea wivu au unanipenda mwenzangu, niliongea kama natania tu lakini nikashangaa king kazidi kuchukua akanisonya nakutoka chumbani Kwa hasira kweli, nilibaki nashangaa kulikoni tena jamani...

King alienda Moja Kwa Moja kumgongea mama ake, usiku huo huo,mam aligungua nakushangaa, king kulikoni usiku wote huu unatatizo Gani jamani? Mama naomba kwanza tukae tuongee, walikaa, mama hivi mile na huyu vicram wanauhusiani Gani? Kama unajua ni vyema ukaniambia kwasababu nimehisi kama Kuna kitu ninyi mnanificha, wakati anakueleza alimwambia ndo yule wa siku Ile, na ukaaniomba niondoke nawewe, mile aje mwenyewe, inamana ulidhamilia kumwacha Ili umpe muda wakuongea na mpinzani wetu amaa bwanaaa ake, ebu mnifumbue, king mwanangu mbona umekasilika sana, ilibidi mama ampe mkanda mzima kibaya zaidi hakubakisha ata ya kitandani, alivyomaliza tu kuongea mama, king akatoka bila ata kumuaga mama, Yani chuki yake ilikuwa wazi wazi kabisa, alikuja kwangu bila hata hodi, nilikuwa nakinguo Cha kulalia tu, akafika nakunikaba Kwa hasira, niliongea Kwa shida king nini? ...

Mile nilijua wewe ni mwanamke wa tofauti kumbe ni walewale, Yani kumsaidia mtu mpaka umpe mwili wako ee, aliniongelesha Kwa ukali nikashangaa, king nini jamani niachie basi, aliniachia ila ni anahasira mpaka macho yamekuwa mekundu, nilihisi huyu nikama ananipenda haya maswali sio yakawaida, nikaamua kujieleza Ili kuweka sawa lakini hakuelewa, ni ugomvi tu nikamuuliza king unanipenda?...

Alitoa kile kicheko Cha hasira kweli, akajibu siwezi penda cha wote Mimi kamwe, hofu yangu ni kampuni yangu tu na sio ujinga unaouwaza wewe, ulitaja nikubali Ili na Mimi unitunuku ama?, dah nilijisikia vibaya mnoo, inamaana ananichukuliaje uyu๐Ÿค”, "siwezi kukupenda mile huna sifa za kupendwa na Mimi ila kama ni kunyoosha viungo vya miili sawa, nipe siwezi kataa nitatumia Kinga, aliongea huku ananisogelea...

Aliinama kunipiga dโ‚ฌnda, nikamsukuma, alinicheka Kisha akanivuta Kwa nguvu, nakunipiga deep kiss, alianza kunichezea vibaya nikasahau kama kaniuzi nikalainika Yani nimeiva Ile Ile na ushilikiano nikatoa, kitu yake imetuna, mpaka naona kabisa anaumia, ila hanipi ๐Ÿ˜ญ, alinitoa kinguo changu Cha kulalia nikabaki, kama nilivyozaliwa, nimelegea kupita kiasi na kuloa nimeloa, ajabu akaanza kucheka, alicheka mno, afu akaniachia na kutoka...

Nyie iliniuma nilijiona mjinga, nililia hata usingizi haukuja kabisa,macho yalivimba nilikuja kupitiwa usingizi asubuhi..

Itaendelea ๐Ÿ”ฅ.
*MY HOT PILOT*
(rubani wangu๐Ÿ”ฅ)

MTUNZI: SMILE SHINE
EP 8.
Imefika saa 5 sionekani,mama akaja kunigongea,ndo nikashtuka ila nilikuwa nimevimba macho na hivi Nimweupe balaa tupu, aliniuliza milembe binti yangu uko sawa kweli?, ndio mama shikamoo, marhaba mbona macho yamevumba unaonekana kama umetoka kulia sana, hapana mama huenda ni Kwa sababu tu yanauma ila hakuna tatizo lolote...

Mama alikubali akaniagizia dawa ya macho, muda huo nikaingia kuoga, dawa ikaja akaniwekea mwenyewe machoni, pumzika dawa ufanye kazi, kama kutakuwa na tatizo naomba unipigie simu binti yangu sawa?, sawa mama, nililala tena saa tisa nikiwa nimeamka natoka kuoga, Niko najipaka mafuta, king akaingia na chakula bila hata hodi, Yani kaingia kama bike chumbani kwake...

Aliingia akakaa kitandani,mile usimsumbue mama Kwa mambo Yako ya kijinga, umeagiza dawa unaumwa nini? Ama unataka kumpa mama hofu tu, king nimekuelewa sitokaa ninwagize chochote mama unaweza ukaenda, nilijibu tu kifupi anipishe, alicheka na kuweka chakula akatoka, nilijisikia vibaya nikaanza upya kulia au king anaona kama nataka Mali za mama ake hataki, mama ake atumie pesa Kwa ajili yangu ๐Ÿค”...

Kuanzia Leo sitomua pesa nje na mshahara wangu, acha nipambane hapa sio kwetu, niliafikiana na hili wazo langu na nikaamua kukaa mbali na king, nilijikaza nikatoka angalau nipike chakula Cha usiku, nilipika kimya kimya bila kuongea, na sio kawaida yangu mdada wa kazi akashindwa kuvumilia akaniuliza, kulikoni Leo dada kimya kimya unatatizo?..

Alikuwa anaitwa iren, iren bwana hapana Niko fresh, sema nataka kutafakari mambo kichwani ndio maana Niko kimya, alikubali na kuniamini, nilivyomaliza nikawa natoka jikoni, nikapishana na king, akanistopisha na kuniuliza maswala ya kazini, alitaka tukajaze report, sawa nitakutumie Kwa email, hii siwezi kusubili email naomba leta laptop yako, apo seblen kwangu tufanye kazi...

Sikujibu kitu niliingia chumbani, nikachukua laptop yangu yakazi, ila moyo ukasita kwenda huko sebren kwake nikaamua kufunga mlango wangu na funguo, Kisha nikaanza kutumia report, baada ya hapo nikampigia azipitie tujadili Kwa njia ya simu sio lazima live,mile usinipeme ubongo wangu, nimesema njoo tujadili Kisha akakata, nikawaza sana nikamua kwenda, nilibisha hodi akafungua alikuwa kifua wazi na kipensi kifupi mno...

Sikujali ukizingatia, nimeshaanza kumchukia niliweka Kila kitu sawa nikasubili atoe na yeye report yake na mawazo yake, ajabu nimemaliza nasubili zamu yake, nashangaa mtu kaganda kunitizama, nikajua maigizo yameshanza, nikainuka akaniludisha Kwa nguvu, mpaka nikaumia, hakusema kitu akaleta ajenda zake na point, tukafika tamati, nikainuka nitoke akanivutia kitandani kwake, nilimlamba Kofi mpaka akabaki anashangaa, huo muda wake alokuwa anashangaa, Mimi nikautumia kutoka, tayari mama alikuwa kalejea nikamsalimia, vipi Hali Yako binti yangu...

Nzuri mama, Asante dawa imenisaidia sana, saivi angalau kuliko mchana, " ok aliingia chumbani kwake nami nikaingia kwangu, baada ya muda kidogo, nilitoka Kwa ajili ya chakula Cha usiku....

Itaendelea...๐Ÿ”ฅ
*MY HOT PILOT*
(rubani wangu๐Ÿ”ฅ)

Maoni

You're not logged in


Tangazo - from bangi to baby fully stories 1 to 21
from bangi to baby fully stories 1 to 21
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 7 kwa 8


MTUNZI: SMILE SHINE
EP 7.
Kucheki vizuri alie nikaba kumbe ni vicram, alivyoona nimetulia akaniingiza Kuna chumba jilani, sijui ata alikiandaa saa ngap, kwani we kaka unashida Gani na Mimi? Vicram alitabasam tu Kisha akajibu, "nilikumiss sana mrembo, nililejea kukutafuta sikukupata, vicram usinizoee kukusaidia siku Ile isiwe sababu ya kunisumbua tafadhari sana usifanye nikajuta...

"Ety kunisaidia!! Ama ulitemheneza plan Yako Ili kunichunguza Kwa ajili ya familia Yako? Unazani sijausoma mchezo wenu? Nilijikuta nimepata hasira Yani jitu nimelisaidia afu kumbe ata shukrani halina na halijakua adui yake ni yupi, niliamua kutafuta zile voice record nilizihifadhi kwenye drive, usiku ule ule kama ushahidi, hata kama...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-hot-pilot-rubani-wangu-7-kwa-8

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-hot-pilot-rubani-wangu
MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 6
MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 6
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 54 na 55

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 54 na 55

1.27K
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *season 3*  *SEHEMU YA HAMSINI NA SITA*

*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *season 3* *SEHEMU YA HAMSINI NA SITA*

745
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 59

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 59

584
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *57&58

*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *57&58

479
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 48.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 48.

347
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 46  na 47.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 46 na 47.

260
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 43  na 44.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 43 na 44.

219
SASA NAKUPENDA Sehemu ya  45.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 45.

210
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 41  na 42.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 41 na 42.

188
SHAMIRA 52 to 53

SHAMIRA 52 to 53

185

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.72K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.44K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.82K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.33K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.92K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.87K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.71K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

2.7K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.64K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.58K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 59 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 59
@majario LIVE

Kaka akasema jalia apa ni kwako, na ndo kwa mumeo feel good kuwa apa , jisikie upo kwako kabisaa, na apa ndo kwa mumeo, asikutoe apa kukupeleka kokote, na...

*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *57&58 Post Mpya
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *57&58
@majario LIVE

Daaah basi mwanangu ibraaa ndo akanipanga hivyo kwamba, nitafuta mama yoyote uku pemba , awe anaongea na zena ,akijifanya ni mama yangu ili impe amani zena , nikaona sio suala...

*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 7 kwa 8 Post Mpya
*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 7 kwa 8
@majario LIVE

MTUNZI: SMILE SHINE EP 7. Kucheki vizuri alie nikaba kumbe ni vicram, alivyoona nimetulia akaniingiza Kuna chumba jilani, sijui ata alikiandaa saa ngap, kwani we kaka unashida Gani na Mimi? Vicram alitabasam...

 SHAMIRA Sehemu ya 54&55 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 54&55
@majario LIVE

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ Mwandishi; 0742443214 Mwanangu alifika mwaka ila ata kutembea alikuwa hawezi husna akanambia wewe uyu mtoto anaumwa ebu tumpeleke zakiemu hospitali kubwa. Mh nikasema sawa. Mtoto wangu ni karembo jamani yani...

Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani FIFA & Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Afrika CAF Post Mpya
Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani FIFA & Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Afrika CAF
@majario LIVE

wametoa kibali rasmi cha kuthibitisha kuwa uwanja Wa Hoima City uliopo Uganda, unakidhi viwango vya kimataifa vya kuandaa mechi kubwa za soka. Uwanja huo wa kisasa uliopo katika mji wa...

*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *season 3*  *SEHEMU YA HAMSINI NA SITA* Post Mpya
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *season 3* *SEHEMU YA HAMSINI NA SITA*
@majario LIVE

๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ Daaah basi mwanangu ibraaa ndo akanipanga hivyo kwamba, nitafuta mama yoyote uku pemba , awe anaongea na zena ,akijifanya ni mama yangu ili impe amani zena , nikaona sio suala...

SHAMIRA 52 to 53 Post Mpya
SHAMIRA 52 to 53
@majario LIVE

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ Sehemu ya 52 Mwandishi; lissa wa huru media Basi bwana kesho yake asubuh husna na aisha wkaniletea uji na viazi vya rosti nilikula vizuri mana mwanangu kana nyonya mno. Basi nilipomaliza...

MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 6 Post Mpya
MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 6
@majario LIVE

MTUNZI: SMILE SHINE EP 6. Kumbe alikuwa ni Kingslay, jamani kanichungulia,niliona aibu nyie dah!, upande wa Kingslay aliingia Moja Kwa Moja chumbani kwake,alijikuta hisia zimempanda Ile Ile, "uyu binti jamani ni mrembo๐Ÿ˜‹,...

MY HOT PILOT ZYRO ( Rubani Wangu ) 1 to 5 Post Mpya
MY HOT PILOT ZYRO ( Rubani Wangu ) 1 to 5
@majario LIVE

(Kitabu Chote) MY HOT PILOT ZYRO ( rubani wangu ๐Ÿ”ฅ) MTUNZI; SMILE SHINE EP 1. Ikiwa ni majira ya saa tatu usiku, nikiwa jijini dar, maeneo ya tabata bima, Kwa Jina naitwa milembe mzaliwa wa...

SHAMIRA Sehemu ya 51 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 51
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi na aisha hakuchelewa sna akaleta vifaa vyangu na kadi langi la clinic pale.mimi sielewi nikawa nasema jamani nipelekeni nikazae naumwa sana. Manurse...

SHAMIRA 49 to 50 Post Mpya
SHAMIRA 49 to 50
@majario LIVE

Sehemu ya 49 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Aisha alinishauri nitafute mwanaume mmoja nimpe mimba. Nimasema wala sina mda uo. Kwanini nikamuongopee mtu kuhusu mtoto Uyu mtotot akizaliwa .mimi...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 48. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 48.
@majario LIVE

48 MWISHOOO ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Kesho yake mapema sana . Posa ya baraka ililetwa kwetu. Baba akaipokea nimksema mahari. Apo sasa ilibidi nimpigie adrian kua mimi naolewa.akanmbia aha sawa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 46  na 47. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 46 na 47.
@majario LIVE

46 MPAKA 47 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Yani nilibaki kimya namuangalia tu ata la kusema sina na wazazi wanatuangalia. Akanmbia shakira. Tusijitese mama angu. Tuanglie mioyo yetu.mimi naelewa shakira unanipenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya  45. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 45.
@majario LIVE

๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Na baada ya mda sasa ndo baraka akaingia. Kapoa kweli kweli na tangia zamani ana sura ya upole ndo akazidi nakwambia. Nna hasira nae...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 43  na 44. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 43 na 44.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee kwanza apa kwenye paji nilishonwa nyuzi 6.ni ngumi iyo .yani mkono wa mwanaume tu. Msenge alijua kuniweka alama. Basi nasehemu zengine nilipata mikwaruzo. Nilivimba...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest